Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,976
- 25,303
Bora wewe umeelewa! Bila hao jamaa leo kusingekuwa na hata gari! Enzi za manabii walipanda punda na ni watu wa imani . Leo binadamu wanajenga kituo angani! Na hawana imani za manabii. Wanashirikiana na alien. Tatizo hapa watu wanaangalia picha za kuchora za alien na kubisha. Picha sio sahihi ila alien wapo!
.....well said !!!