Unalijua eneo la siri zaidi duniani Area 51?

Unalijua eneo la siri zaidi duniani Area 51?

Nimehudhuria semina za watu kama David Icke huko abroad way back before you tube haijaanza sasa kama wewe unaona ndiyo ujanja pole sana

Huyo David ashawahi ingia area51? Kama Ni restricted area iwaje aruhusiwe na yeye aje kusema kinachoendelea mle?
 
Hakuna uthibitisho wa uwepo wa aliens mahala popote nirudie mara ngapi!

More than 130k classified docs kuhusu UFO zilikuwa released online sijui umesoma ngapi hadi sasa ila one thing for sure hakuna hata moja inayothibitisha uwepo wa aliens na hizi Ni kutoka kwa wahusika wenyewe

Unapokazania area51 kuna aliens wamefugwa uwe unatoa reliable source za info zako ukizingatia Hakuna ajuae nini kinaendelea mule sasa sijui wewe umezitoa wapi hizo habari

ALIEN INTERVIEW Official Website | Nurse reveals Top Secret transcripts from Roswell, 1947

soma hapo kuhusu nurse Matilda aliyemhudumia yule allien waliyem capture baada ya kuanguka kwa UFO
narudia tena na tena,goverments huwa zina siri hazitoi,kinachotokea ni whistleblowers pamoja na watu wanaojua kuunganisha dots kupata kitu kamili
rudinyuma ,thousands of years ago usome kuhusu pyrmids za egypt za mexico,kuhusu mayan civilisation and antlantic city na kuhusu bermuda triangle vilevile utagundua jinsi viumbe kutoka sayari nyingine walivyojenga hayo mavitu
and howcan you explain hii michoro ya zamani huko egypt,unaona kabisa helicopters na submarines
kwa taarifayako hivyo viumbe viko mbele yetu mno kiteknolojia hatayule allien kabla hawajamuua alimuambia nurse matilda hilo jambo
download (1).jpeg
 
Huyo David ashawahi ingia area51? Kama Ni restricted area iwaje aruhusiwe na yeye aje kusema kinachoendelea mle?
David Icke ndiye alikuwa conspiracy theorist wa kwanza kusema kuhusu reptilian shapeshifters sababu umekataa kuhusu yule bodyguard wa obama kwamba ni uongo
kuhusu area 51 na hadi ushirikiano wao na vatican chini ya Jesuits mbona yalishaongelewa sana lakini yanayojulikana ni kidogo mno and some people paid the price kuna whistleblowers waliuliwakwa hayo mambo
 
Na kule wanapopaita Bohemian Grove ni wapi? Naskia wanafanyaga ibada zao za Secret Society
hapo hadi marais huenda,matajiri wa dunia na watu mashuhuri,kufanya gay sex na satanic rituals,advert yake ina claim ni social club lakini kuna evidence nyingi sana za ushetani unaofanyika hapo
ukiangalia movie ya eyes wide shut utapata idea ya upuuzi unaofanyika hapo
 
David Icke ndiye alikuwa conspiracy theorist wa kwanza kusema kuhusu reptilian shapeshifters sababu umekataa kuhusu yule bodyguard wa obama kwamba ni uongo
kuhusu area 51 na hadi ushirikiano wao na vatican chini ya Jesuits mbona yalishaongelewa sana lakini yanayojulikana ni kidogo mno and some people paid the price kuna whistleblowers waliuliwakwa hayo mambo

ALIEN INTERVIEW Official Website | Nurse reveals Top Secret transcripts from Roswell, 1947

soma hapo kuhusu nurse Matilda aliyemhudumia yule allien waliyem capture baada ya kuanguka kwa UFO
narudia tena na tena,goverments huwa zina siri hazitoi,kinachotokea ni whistleblowers pamoja na watu wanaojua kuunganisha dots kupata kitu kamili
rudinyuma ,thousands of years ago usome kuhusu pyrmids za egypt za mexico,kuhusu mayan civilisation and antlantic city na kuhusu bermuda triangle vilevile utagundua jinsi viumbe kutoka sayari nyingine walivyojenga hayo mavitu
and howcan you explain hii michoro ya zamani huko egypt,unaona kabisa helicopters na submarines
kwa taarifayako hivyo viumbe viko mbele yetu mno kiteknolojia hatayule allien kabla hawajamuua alimuambia nurse matilda hilo jambo
View attachment 263242

Nishasoma sana, nishaangalia sana history channel zile series za extraterrestrials, super powers, aliens, are we alone? N.k Zote ni conspiracies tu hakuna kipya

Story nyingi Ni made up hazina uthibitisho wowote zaidi ya nadharia. Story hizi zinawabamba watu wasio makini na lack of knowledge

Hao unaowaita whistleblowers mimi nawaita vilaza maana Ni wale ambao hawamini uwezo wa binadamu wanadhani Lazima kuna nguvu nyuma yake ndio inasababisha. Wanaanza kuconnect mambo yasiyo na msingi.

Internet Ni free platform kila mtu anaweka anachojisikia watu wanatengeneza story na kuedit video wanaweka na nyie mnachukua kama zilivyo mf. Hiyo vidoe ya bodyguard wa Obama ni clear editing nashangaa who falls for that? Yani Obama ana bodyguard alien na Hakuna ajuaye? Hivi unajua security breach ngapi zimemtokea Obama lately? Huyo bodyguard wake alien alikua wapi

Hakuna uthibiti wa uwepo wa aliens zote Ni conspiracies tu Period
 
Nishasoma sana, nishaangalia sana history channel zile series za extraterrestrials, super powers, aliens, are we alone? N.k Zote ni conspiracies tu hakuna kipya

Story nyingi Ni made up hazina uthibitisho wowote zaidi ya nadharia. Story hizi zinawabamba watu wasio makini na lack of knowledge

Hao unaowaita whistleblowers mimi nawaita vilaza maana Ni wale ambao hawamini uwezo wa binadamu wanadhani Lazima kuna nguvu nyuma yake ndio inasababisha. Wanaanza kuconnect mambo yasiyo na msingi.

Internet Ni free platform kila mtu anaweka anachojisikia watu wanatengeneza story na kuedit video wanaweka na nyie mnachukua kama zilivyo mf. Hiyo vidoe ya bodyguard wa Obama ni clear editing nashangaa who falls for that? Yani Obama ana bodyguard alien na Hakuna ajuaye? Hivi unajua security breach ngapi zimemtokea Obama lately? Huyo bodyguard wake alien alikua wapi

Hakuna uthibiti wa uwepo wa aliens zote Ni conspiracies tu Period
we kilaza kweli,umeangalia video yenyewe????wameita obama bodyguard lakini ni wa jews hao ilikua ni event ya ushirikiano wa US and Israel,by the way kubishana na wewe ni kupoteza muda wala hufananii na mtu anayesema anaangalia history channels, you sound kama mtu anayeangalia Trace tv kumshangilia Diamond akiingia top 10
nakupa hii link yamwisho,dont be a kilaza,watch it na ukibisha na hii basi wewe utakimbiza hata upepo

na hizo security breaches unaziamini? unajua jinsi serikali zinavyotafuta sympathy mambo yakiwa magumu au kufanya lolote to get things go their way(kumbuka vinyesi visimani kule zanzibar au flag terrorism kama september 11
 
Last edited by a moderator:
Nishasoma sana, nishaangalia sana history channel zile series za extraterrestrials, super powers, aliens, are we alone? N.k Zote ni conspiracies tu hakuna kipya

Story nyingi Ni made up hazina uthibitisho wowote zaidi ya nadharia. Story hizi zinawabamba watu wasio makini na lack of knowledge

Hao unaowaita whistleblowers mimi nawaita vilaza maana Ni wale ambao hawamini uwezo wa binadamu wanadhani Lazima kuna nguvu nyuma yake ndio inasababisha. Wanaanza kuconnect mambo yasiyo na msingi.

Internet Ni free platform kila mtu anaweka anachojisikia watu wanatengeneza story na kuedit video wanaweka na nyie mnachukua kama zilivyo mf. Hiyo vidoe ya bodyguard wa Obama ni clear editing nashangaa who falls for that? Yani Obama ana bodyguard alien na Hakuna ajuaye? Hivi unajua security breach ngapi zimemtokea Obama lately? Huyo bodyguard wake alien alikua wapi

Hakuna uthibiti wa uwepo wa aliens zote Ni conspiracies tu Period


msikilize obama hapa,.nakuomba sana punguza kuangalia video za shilole,take your time kuangalia hii video then utaelewa tu
 
Last edited by a moderator:
msikilize obama hapa,.nakuomba sana punguza kuangalia video za shilole,take your time kuangalia hii video then utaelewa tu


Ni UPU.MBAVU kufanya research YouTube.

Kilaza umejua kuingia YouTube na Google imekua kosa

Sasa unataka changa security breach za Obama kuwa conspiracies zako tena bloody idiot. Kichwani mwako zimejaa conspiracies tu ndio maana nimesema wanaofall kwa hizi propaganda Ni vilaza, watu wasio makini na wenye lack of knowledge. Sababu wabongo wengi kwenye conspiracies na ulozi ndio mahala pao basi hata hamfikirishi kichwa wote mnashikwa kama Freemasons/illuminati zinavyowabamba

Hutakaa uone au kusikia kithibiti cha uwepo wa alien/majini/mapepo zaidi ya stories. Kaendelee kufanya research YouTube uje kuwashika vilaza wenzio wavivu kufika YouTube hadi waletewe. Done
 
Last edited by a moderator:
Ni UPU.MBAVU kufanya research YouTube.

Kilaza umejua kuingia YouTube na Google imekua kosa

Sasa unataka changa security breach za Obama kuwa conspiracies zako tena bloody idiot. Kichwani mwako zimejaa conspiracies tu ndio maana nimesema wanaofall kwa hizi propaganda Ni vilaza, watu wasio makini na wenye lack of knowledge. Sababu wabongo wengi kwenye conspiracies na ulozi ndio mahala pao basi hata hamfikirishi kichwa wote mnashikwa kama Freemasons/illuminati zinavyowabamba

Hutakaa uone au kusikia kithibiti cha uwepo wa alien/majini/mapepo zaidi ya stories. Kaendelee kufanya research YouTube uje kuwashika vilaza wenzio wavivu kufika YouTube hadi waletewe. Done
kilaza umemsikia yule ex CIA akimwaga data za area 51,kilaza umemsikia obama ulimi ulivyomteleza kuhusu reptlians shapeshifters,kilaza endelea kusubiri govt ya US ikuandikie kitabu kuhusu hayo mambo ndio uamini?
ningekufundisha mengi lakiniubongo wako ni mdogo mno,we kafatilie habari za team shilole hayo mengine tuachie ma genius
 
W
So hizo sehemu zote kuna aliens wanafugwa?

Nimekwambia Hakuna uhakika wa uwepo wa aliens mahala popote, Hakuna mjuzi ataekuja kukwambia nini kinafanyika pale sababu Hakuna mwenye uhakika zote Ni conspiracies tu. Wabongo mnapenda sana conspiracies
We nae umeshupaa na conspiracies kila wakati hata kma ni uzushi bac ni uzushi unaovutia kupinga bila kuleta hoja hapa ni kazi bure usituharibie uhondo hapa
 
W
We nae umeshupaa na conspiracies kila wakati hata kma ni uzushi bac ni uzushi unaovutia kupinga bila kuleta hoja hapa ni kazi bure usituharibie uhondo hapa

Nilete hoja gani kwa kitu kisicho-exist. Tulia udanganywe Dada na researchers wa YouTube. Story kama hizi na Freemasons ndio mahala penu
 
As a person working with an organisation which is CERN scientific collaborator, and understands what's actually going on there, you are insulting my intelligence beyond imaginable reason. Please keep quite of things you have no idea how they are done.

In CERN as with ESA,NASA etc there is a lot of Quantum physics and rocket science involved which unfortunately is reserved for a tiny percentile of the human population.

What's next?pilots aren't really flying those huge pressurized metal balloons you call planes? accept that there are people who are smarter than you and they happen to not be aliens.

Hao smartest people ndio alien! Ndio maana ni wachache, wako miongoni binadamu. Pia wanapatika maeneo maalum. Achana na picha za kuchora za alien!
 
Na kule wanapopaita Bohemian Grove ni wapi? Naskia wanafanyaga ibada zao za Secret Society

Bora wewe umeelewa! Bila hao jamaa leo kusingekuwa na hata gari! Enzi za manabii walipanda punda na ni watu wa imani . Leo binadamu wanajenga kituo angani! Na hawana imani za manabii. Wanashirikiana na alien. Tatizo hapa watu wanaangalia picha za kuchora za alien na kubisha. Picha sio sahihi ila alien wapo!
 
Huyo David ashawahi ingia area51? Kama Ni restricted area iwaje aruhusiwe na yeye aje kusema kinachoendelea mle?

Avatar yako inajieleza. Jenerali ni wabishi. Huwa nasa wanavujisha habari fulani makusudi, ndicho kinacholeta tabu. Wanavujisha ukweli kidogo na uongo pia. Lengo ni kuwaacha wengine wakibishana kama wewe wao wanaenda mbele
 
W
We nae umeshupaa na conspiracies kila wakati hata kma ni uzushi bac ni uzushi unaovutia kupinga bila kuleta hoja hapa ni kazi bure usituharibie uhondo hapa

Neno lenyewe analokazania limeanzia hukohuko kwa wataalamu wa nasa na cia! Jamaa anakomalia wabongo!!
 
Ni UPU.MBAVU kufanya research YouTube.

Kilaza umejua kuingia YouTube na Google imekua kosa

Sasa unataka changa security breach za Obama kuwa conspiracies zako tena bloody idiot. Kichwani mwako zimejaa conspiracies tu ndio maana nimesema wanaofall kwa hizi propaganda Ni vilaza, watu wasio makini na wenye lack of knowledge. Sababu wabongo wengi kwenye conspiracies na ulozi ndio mahala pao basi hata hamfikirishi kichwa wote mnashikwa kama Freemasons/illuminati zinavyowabamba

Hutakaa uone au kusikia kithibiti cha uwepo wa alien/majini/mapepo zaidi ya stories. Kaendelee kufanya research YouTube uje kuwashika vilaza wenzio wavivu kufika YouTube hadi waletewe. Done

kwa hiyo we source zako zinatoka wapi?

nyie kazi zenu kukatisha tamaa wenzenu tu..


hebu tuache tujifunze......

KAAAA KIMYA
 
natamani kucheka! Ki ukweli nimecheka, kama wajuzi walivyosema hapo juu, kunadhaniwa kuwa na viumbe wa anga za mbali walitua area 51(walikuwepo, sijui kwa sasa) h abari za hapo ni siri sana, na mengi unayoyasoma yametoka kwa kuvujavuja! Unahijati kukomaa kweli kujua habari za alien kwa sababu kiasi kikibwa zinashindana na imani za dini zetu, kuna wataalam wa sayansi wa nasa,cia,nsa ambao wanaweka dini pembeni ili kufanikisha masuala ya tekinalojia!! Hawa wanajua namna ya kuwasiliana na viumbe wengine(ambao kwa kawaida hawapo,kwa siri wapo)wakatafuta eneo la ziwa la magadi na jangwa lililo katikati kama bonde kuuuubwa wakaliita area 51, linalindwa kupita maelezo, hata ndege hazipiti anga lake! Sasa kazi ilikuwa kutengeneza mazingira wa kuwapata hao (alien) kuna michoro mingi ya ajabu area 51 kuanzia geomatrik,pantagram...

....very interesting !!!
 
Back
Top Bottom