Unalijua eneo la siri zaidi duniani Area 51?

Unalijua eneo la siri zaidi duniani Area 51?

natamani kucheka! Ki ukweli nimecheka, kama wajuzi walivyosema hapo juu, kunadhaniwa kuwa na viumbe wa anga za mbali walitua area 51(walikuwepo, sijui kwa sasa) h abari za hapo ni siri sana, na mengi unayoyasoma yametoka kwa kuvujavuja! Unahijati kukomaa kweli kujua habari za alien kwa sababu kiasi kikibwa zinashindana na imani za dini zetu, kuna wataalam wa sayansi wa nasa,cia,nsa ambao wanaweka dini pembeni ili kufanikisha masuala ya tekinalojia!! Hawa wanajua namna ya kuwasiliana na viumbe wengine(ambao kwa kawaida hawapo,kwa siri wapo)wakatafuta eneo la ziwa la magadi na jangwa lililo katikati kama bonde kuuuubwa wakaliita area 51, linalindwa kupita maelezo, hata ndege hazipiti anga lake! Sasa kazi ilikuwa kutengeneza mazingira wa kuwapata hao (alien) kuna michoro mingi ya ajabu area 51 kuanzia geomatrik,pantagram...
tamimusalim hili ni eneo walikopiga picha za Apollo 11 kwamba wamefika mwezini ndio maana CIA na NASA hawakubali watu wapasogelee maana SIRI ya USA kwamba hawajawahi kwenda mwezini itafichuka
na wameweka hizo allien nyingi kuihadaa Dunia lakina Putin (wa Russia) kawakaba waseme ukweli km walifika mwezini au walicheza Moon fake hapo More Faked Moon Landings - We never landed on the moon!



nohelmet.jpg
 
Aiseee..long live JF..ila hawa wenzetu wanajua sana kucheza na akili za watu..uzuri ni kwamba wana matumizi bora ya akili zao na ndio maana wakafika hapo..
 
Yup,eneo hilo ndipo hadi leo wapo the two white tall aliens,ukweli ni kwamba vituvingi wanavyofanya hawa jamaa sio akili za kibinadamu,wanapewa na aliens ambao wana uwezo wa kuishi hadi miaka 10,000
Unadhani mpaka watuwamefikia hatua ya kufanya project ya CERN bila msaada ya hivyo viumbe,project ambayo ikikosewa kidogo tu ita destroy dunia nzima?
wengi wa area 51 wako kwenye unit ya MEN IN BLACK

As a person working with an organisation which is CERN scientific collaborator, and understands what's actually going on there, you are insulting my intelligence beyond imaginable reason. Please keep quite of things you have no idea how they are done.

In CERN as with ESA,NASA etc there is a lot of Quantum physics and rocket science involved which unfortunately is reserved for a tiny percentile of the human population.

What's next?pilots aren't really flying those huge pressurized metal balloons you call planes? accept that there are people who are smarter than you and they happen to not be aliens.
 
existence ya aliens ni kifikra zaidi watu wamefikirishwa tu hakuna kitu kama hicho
 
Wabongo kwa kuamini conspiracy theories!

Area51 imejaa conspiracies kama ilivyo illuminati au freemasonry hapa wote mnajazana chenga tu Hakuna anaejua

Kama linalindwa nyie mnajuaje? Tatizo waaTz mmejua kuingia YouTube na Google basi wote mnajifanya researchers mliobobea. Smh

Hakuna uthibitisho wa aliens mahala popote duniani acheni kujazana ujinga



wacha wafunguke tuu mkuu.

Najua kuna ukweli kma 10% hivi, ila zinavutia sana
 
asante mleta mada maana tumeelimika kiasi,
upo sahihi kabisa na hata picha uliyoitoa post # 65 ni Area 51 ambako hata senator yeyote hatakiwi kupafahamu km nilivyokwisha sema ndipo Apollo 11 ilipotua sasa ili USA asiaibike ni heri mtu akapotezwa uhai wake
kuhusu Bufa
avatar75950_7.gif
kukataa
sijaelewa anachokataa ni kipi kwani mada imezungumzia vitu vi3 tofauti ambavyo vyote ni vizito kujadili km mada moja

  1. Area 51 Nevada Desert
  2. UFO = Unidentified flying object (redirect from UFOs) viumbe vinavyoruka angani na huenda vimetoka sayari ingine
  3. Alien may refer to:Extraterrestrial life, life which does not originate from Earth Alien (law), a non-citizen inhabitant of a country
kwa vile link, zipo picha hata Google na Wikipedia unabidi tuamini majini yapo labda hao alien ni wa hadithi
images

kwetu sisi ni vigumu kuamini kuwa Mmarekani hajafika mwezini ndio maana hatuamini kuwa eneo hilo lina siri na milima waliyopiga picha za mwezini kumbe ni Area 51 Nevada (Mmarekani keshaonekana yupo Dunia ingine basi hakuna wa kuhoji)
area-51-nevada-2_2645732c.jpg

A rare view of Area 51 from a light aircraft (Nevada Aerospace Hall of Fame)
UNOFFICIAL, OFFICIAL STORY

A year ago this past week, the federal government at long last acknowledged the secret facility inside the Nevada Test Site, freeing those like 77-year-old Las Vegas resident Thornton "TD" Barnes to finally tell his wife what he did for the Central Intelligence Agency from 1968 to 1975.
"Back then, aliens weren't a thing," Barnes said in an interview last week
Nevada’s best-kept secrets endure at Area 51 | Las Vegas Review-Journal
Area 51 exists and there were strange goings on admit CIA - Telegraph
 
Daaaa...hii kwangu elimu mipya kabisa na bado sijapata mpaka mwisho
 
ALIENS NI VIUMBE GANI?
Hawa ni viumbe vya nguvu za giza vinavyokaa au kumiliki anga. wanaojua mambo ya mapepo wanajua hili vzr sana. kuna viumbe wanamiliki na kuishi majini na wana mkuu wao na kuna viumbe vinamiliki anga na wana mkuu wao wa anga. uko ndiko sayansi yote ya dunia inatokaga uko.Je unaweza kufika vipi uko au kuwasiliana nao.? APA DUNIANI Kuna vyama vingi sana vya kichawi au nguvu za giza amabapo wanachama wao upew madaraja. wale amabao wamefika madaraja ya juu kabisa katika tasinia ya mambo ya nyota ndio huweza kufika uko juu angani kwa hao mapepo yani kwa mfalme wa anga na uyo mtu ataweza kufikishwa adi kwenye chuo kikubwa kabisa cha mabo ya ugunduzi wa kisayansi na technologia ambapo hufundishwa zen huja uku duniani na kusema wamegundua au wamevumbua kitu. ivyo kuusu viumbe hivi vya aliens ni kuwa hivi ni mapepo au mashetani na mabo haya yanafanyika kichawi.Naomba nishie apa ila tambueni iyo nchi mnayoizungumzia inatawaliwa na kuendeshwa na mila na desturi cha kichawi. Naishia apa kwasababu watakaonielewa ni wachache sana ambao eiza wapo ndani ya sociaty za kichawi au uwe mtu unyemjua Mungu wa kweli ambaye ni mwanzo na mwisho. elimu hii kuusu mapepo yanayomiliki angha ni ndefu.... Okoka mwisho umekaribia sana

Ilimu hiyo kwa Yesu haipatikani?
 
Lakini ukweli unabaki kuwa uwepo wa Mungu upo pale pale na Mungu huyo ndie yule alieandikwa kwenye kitabu cha biblia. Hayo yote yalitabiriwa kwenye kitabu hicho hicho kwa hivyo tusome tuu lakini yasituhamishe imani kwani ni mazao ya yule muasi wa Mungu na mpinzani wake ambae hatashinda kamwe ibilisi shetani.
 
Wakuu endeleeni basi,
Au mmenda ku-google nini?
wala usiogope ku-Google au unaenda You=Tube https://www.youtube.com/watch?v=9OY9lni0F_s
taona jinsi Mmarekani alivyotumia jangwa la Nevada na vilima vyake kutuhadaa kuwa yupo mwezini na ndio maana akapazuia ili watu wasipatembelee
hapa chiniwakiandaa namna ya kupiga picha jangwani Nevada (Area 51)
trafficsigns.jpg

fananisha picha hizo mbili ya hiyo wakiongeza mafuta katika Rover na kuifuta picha ya kujazia mafuta (A)
gasstation2.jpg

area-51-nevada-2_2645732c.jpg

1969 ilikuwa ni wakati wa Vita baridi kati ya USSR na USA Mmarekani akafunga goli la Apollo
Leo (kuna tetesi) Puttin keshawaambia wamarekani bora waseme ukweli km walishafika mwezini au la, na hii ni baadaya sekeseke la Blatter na FIFA Mmarekani kuwashtaki viongozi wala rushwa ikiwemo na Russia kuandaa Kombe la Dunia
Tusubiri yataibuka mengi
 
Back
Top Bottom