Unalijua eneo la siri zaidi duniani Area 51?

Unalijua eneo la siri zaidi duniani Area 51?

soma post zote tangu mwanzo utaelewa! alien unaowaona picha zao sio kweli, hao nasa wamewapachika kuficha alien halisi, pia tunaposema watu "smart" inaelekea hujaelewa. hukuna mjomba "smart" huku kwetu! huku hata wakiletewa ujuzi na hao waliokutana na watu smart wanaharibu, kwetu hakuna mtu smart wa aina ya nasa wanaowataka! huku kuna wagumu na wabishi kama unavyoona hapa jf,tanzania ina vitu vingi vya kukuza uchumi kuliko marekana, ila imekosa watu wanaotumia akili za hali ya juu, (itakuwa kuwasiliana na alien!) hapa ubishi,wizi,miradi hewa ndio sawa, mambo ya kutafuta ugunduzi,maarifa makubwa,alien yatabaki hukohuko usa (area51) na kwingineko,sisi tunaletewa teknolojia na tunatumia tu, bisha mkuu kwanguvu...

haki ya nani
aiseee.........ngoja jitafute namba za alien
 
Kivuli sawa chanzo cha mwanga,rangi nayo ni chanzo cha nn

chanzo cha mwanga ni hizi hizi zinazotumika studio wakati wa kumake film ndo zilitumika hapo hiyo ndo sababu wanasayansi flani hupinga hiyo video kuwa ilichukuliwa mwezini kwani kama ingekuwa umechukuliwa mwezini vivuli vingeelekea upande mmoja tu kwa sababu ya chanzo kimoja cha mwanga ktk mwezi yaani jua.
 
Hili eneo lajulikana kama area 51 linapatikana katika jimbo la nevada uko Marekani, eneo hili ndiko kulipo na kituo kikuu cha ujasusi cha Marekani, na inaaminika kwamba Majajusi wa Marekani hukutana na viumbe vya ajabu na kupewa siri na maarifa ya kisayansi jinsi gani ya kuitawala dunia.

Na hapo ndipo kiumbe cha ajabu kilipoifadhiwa baada ya kukamatwa na majasusi wa marekani miaka ya 90 baada ya kuachwa na wenzake waliotoroka kusikojulikana na chombo chao UFO na kumsahau mwenzao aliekuwa mbali na kuishia mikononi mwa majasusi wa Marekani.

Si rahisi kwa mtu wa kawaida kufika uko hata mtawala wa marekani hufika uko kwa kiapo , na mara moja kwa miaka 10.


Kama lingekuwa siri usingejua. Inawezekana ni eneo la siri zaidi marekani, sio duniani. China, Russia na Korea Kaskazini ndio wana maeneo mengo ya siri zaidi duniani.
 
Area 51 si eneo la kusadikika lipo, na hapa ndiko kunakofanyika ugunduzi na majaribio ya ajabu na ya kutisha mno katika dunia hii. Area 51 ndiko kulikobuniwa kwa mara ya kwanza utengenezaji wa virusi vya ukimwi, na kila kinachofanyika mahali hapo hufanywa chini ya approval ya Rais 100%

Mkuu wewe ndio umenena, hakuna kitu chochote kinachofanywa kuhusu National Security ya US kisiwe approved na Rais. Ndicho ambacho nimekuwa nikimwambia myoyambendi lakini haelewi!
 
Last edited by a moderator:
Hili eneo lajulikana kama area 51 linapatikana katika jimbo la nevada uko Marekani, eneo hili ndiko kulipo na kituo kikuu cha ujasusi cha Marekani, na inaaminika kwamba Majajusi wa Marekani hukutana na viumbe vya ajabu na kupewa siri na maarifa ya kisayansi jinsi gani ya kuitawala dunia.

Na hapo ndipo kiumbe cha ajabu kilipoifadhiwa baada ya kukamatwa na majasusi wa marekani miaka ya 90 baada ya kuachwa na wenzake waliotoroka kusikojulikana na chombo chao UFO na kumsahau mwenzao aliekuwa mbali na kuishia mikononi mwa majasusi wa Marekani.

Si rahisi kwa mtu wa kawaida kufika uko hata mtawala wa marekani hufika uko kwa kiapo , na mara moja kwa miaka 10.


Mbona logic inagoma hapa, yaani, aliens walikamatwa halafu wengine wakatoka nduki na kumwacha mwenzao, halafu wakati huo huo unasema aliens huwa wanakutana na cowboys. Au huyo aliyeachwa na wenzie ndio anaendelea kuwapatia siri?
 
Mkuu wewe ndio umenena, hakuna kitu chochote kinachofanywa kuhusu National Security ya US kisiwe approved na Rais. Ndicho ambacho nimekuwa nikimwambia myoyambendi lakini haelewi!

Lete ushahidi. Mm nimeweka bajeti 2013 wekeni yakwenu. Uainishe approval ya congress na seneta
 
Last edited by a moderator:
sijakazania, wewe hujiulizi tangu binadamu amekuja duniani maelfu ya miaka, tena wa zamani walikuwa pamoja na manabii,mitume, lakini hawakugundua hata saa ya mkononi au redio au nokia tochi, lakini miaka 150 kuna mabadiliko makubwa sana, kati ya hiyo miaka 30 ina mabadiliko kuliko miaka 3000 iliyopita! zamani alien hawakuwa na nafasi, sasa wanatafutwa kusaidiana na wanasayansi, tunza imani,elimu yako, ila usibishe kama hujui..
Evolution Ndugu
 
Mkuu nna mashaka na elimu yako Kama ulifika angalau s.t.d 7

Ni Ngumu sana kumuelewa nini anasema lakini ukifuatilia sana utagundua ana logic kubwa sana, ukitaka kupata mwanga wa anachosema tafuta clip you tube zipo kibao "secret in plain sight". utaona jinsi miji kalibia yote mikubwa including washngton jinsi ilivyo jengwa kwa kufuata mifumo ya nyota na sayari pamoja na mambo ya anga kibao hasa from Egypt.
 
Kila tulichosoma kingekuwa kina apply, dunia ingekuwa sawa kwa maendeleo. Tunao wachumi, wanasayansi wa aina zote, wanafalsafa, washauri wa kila aina hata jf wapo."evolution"miaka 30 ipite miaka 2000 graph haikubali!!
 
Ni Ngumu sana kumuelewa nini anasema lakini ukifuatilia sana utagundua ana logic kubwa sana, ukitaka kupata mwanga wa anachosema tafuta clip you tube zipo kibao "secret in plain sight". utaona jinsi miji kalibia yote mikubwa including washngton jinsi ilivyo jengwa kwa kufuata mifumo ya nyota na sayari pamoja na mambo ya anga kibao hasa from Egypt.

Angalau wewe....
 
Wabongo kwa kuamini conspiracy theories!

Area51 imejaa conspiracies kama ilivyo illuminati au freemasonry hapa wote mnajazana chenga tu Hakuna anaejua

Kama linalindwa nyie mnajuaje? Tatizo waaTz mmejua kuingia YouTube na Google basi wote mnajifanya researchers mliobobea. Smh

Hakuna uthibitisho wa aliens mahala popote duniani acheni kujazana ujinga
Hahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji109] yeah mkuuu u ko sawa no one knows abt aliens ila tu wanasoma
 
mtu anabisha hata post ya bajet "cia black budget" nimekopi hapo juu imechapishwa na gazati kubwa la new york times 2013. Halafu anajiita msomi humu.
 
Back
Top Bottom