Bwana Mpanzi

Senior Member
Jun 28, 2019
180
165
Habari za jioni wanajamvi,
Kumekuwa na woga au maswali kwa wadau wengi yanayowapa ukakasi kuwekeza katika sekta ya kilimo hasa kutokana na wimbi la upatu au kilimo ambacho hakieleweki uelekeo wake.
Kwangu unaweza kuuliza kuhusu miche, wapi inaweza kufanya vizuri kwanini isifanye, namna ya kulima na changamoto zake pia suala la kimasoko na changamoto zake.

Pili unaweza kuagiza miche au kuweka oda kabisa kwa mawasiliano yafuatayo.

Shamba initiatives and agritours
Mtaa wa makanisani karibu na Aquaculture
Morogoro-Tanzania
+255 714 600 575 || 621 600 575
Www.shambainitiatives.com
Na katika mitandao ya kijamii ni:
Shamba initiatives


Tatu shughuli ya kutembelea mashamba na kushauri au kufundisha vikundi vya kijamii kuhusu kilimo au masuala ya mazingira na utunzaji wake pia.

Miche yetu ni bei rafiki na kokote tunatuma hata wale wa Nje ya nchi kwa kufuata kanuni za nchi husika za sheria za masuala ya mimea na udhibiti wa Visumbufu mazao.
Karibuni sana sana
IMG_20211208_163730.jpg
IMG_20211208_163730.jpg
IMG_20211204_131201.jpg
IMG_20211202_173304.jpg
IMG_20211202_173304.jpg
IMG_20211202_172801.jpg
IMG_20211202_164145.jpg
IMG_20211127_172140.jpg
IMG_20211125_092939.jpg
IMG_20211123_111203.jpg
 
Back
Top Bottom