Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

X wangu kaja jana ana mishe zake akaona apite anisalimie, maana walionana na office mate wangu akamwambia usiondoke bila kumsalimia jamaa bana, tuliachana miaka kama 4 imepita tena kwa kutukanana maana nlimfumania na vijana wadogo wenzake. Sa mvua ikaanza kunyesha and anawahi usafiri arudi wilayani
Basi akaomba nimsindikize kwa gari stend, sijui nlipara akiligani, wakati tunaenda nikapita maeneo gest tulikuwa tunaenda kuvunja amri ya sita, sijaongea kitu mmnikaingiza gari ndani bila kumsemesha jambo, nikashuka nikafungua mlango wake nikamshika mkono tukaingia ndani
Nimelipa room nikamshika.mkono, bado anashangaashangaa nikafunga mlango .
Nikaingia na funguo bafuni kuoga nimekuja kutoka namkuta amevua nguo kalala.
Ilibidi aende kwake kesho yake. Ilikuwa weekendi so haikuwa nome kazini kwake so nlimwacha gest usiku wa saa sita. Kesho yaake asubuhi nikaenda kukamua tena ndo akaondoka
.
Mtalaka hatongozwi
 
Alafu mimi mwanamke anaenikubali haraka nampaga respect sana kulijo jitu linalonichomesha mahindi...najifanyaga sina time nae nikimkamata namla alafu namwacha siku hyo hiyo ila simwambii...
Nakazia.

Then baadaye anakuambia nilikiwa najishaua nilikupenda kitambo ila nilijua haupo seriously na utanichezea.
Sasa mimi nakufuata muda wote huu, unasema ntakuchezea.mimi ni nani nibishane na maneno unayojiumbia ndo namwacha sasa na kumchezea
 
Nakazia.

Then baadaye anakuambia nilikiwa najishaua nilikupenda kitambo ila nilijua haupo seriously na utanichezea.
Sasa mimi nakufuata muda wote huu, unasema ntakuchezea.mimi ni nani nibishane na maneno unayojiumbia ndo namwacha sasa na kumchezea

Hivi vitu havina formula ukikataliwa kua mpole, wewe unakaziwa kisha kuna mtu anapewa mpaka akinai.
 
Hiki kisa kukiweka nlikua naona noma sana.
Anyway, ntajaribu kuweka codes kwa usalama.

Kipindi nipi Form 5 miaka hiyo nasoma boarding boys tulipata mualiko kwenda shule ya boarding ya girls. Officially ilikua ni kwa ajili ya debate lakini uhalisia ilikua ni kucheza mziki na kufamamiana.
Kuna manzi nlikutana nae siku hiyo alikua ni mkali kinoma. Kapanda hewani, rangi ya mtume, slim na figure moja matata. Alikua na jicho yule manzi akikuangalia unahisi upo ndotoni. Kama bahati tukaanza kuongea tukaelewana na ile siku nzima nka spend nae na hata mziki hatukucheza. Tulikaa tu nje kwenye viti, story kwa sana. Wakati tunaondoka kanipa namba yake njia nzima tunachat. Kipindi hicho ni mwendo wa Nokia Obama tu. Zinafichwa hatari sizikamatwe. Siku ile ile tukaanza kudate lakini kula tunda ilichukua miezi karibia sita.
Katika wanawake wote nliowahi kuwa nao hakuna nliewahi kumpenda kama huyu. Kipindi hicho nlikuawaga nacheza Basketball sana, ile likizo nlikuaga nadundia kikapu pale UDSM, kwao alipokua anafikiawakati wa likizo ilikua kwa baba mdogo wake maeneo ya Kimara. Alikua anakuja uwanjani anakaa nje wakati tunacheza, anatucheki halafu jioni muda wa kuondoka tunatembea hadi Ubungo pale pembeni ya Tanesco, kipindi hicho kuna stand ya daladala. Tukifika hapo anapanda daladala ya Kimara na mimi naenda home. Yale mapenzi yalidumu mpaka tunamaliza Form 6.
Tulimaliza alikaa Dar hadi mwezi wa 7, kuonana karibia kila wiki, ratiba ni kukutana kwa ajili ya show au kwenye kikapu, kipindi hicho nacheza ligi na team moja jina kapuni. Mwezi wa 7 akaenda kwao kabisa Moshi. Mapenzi ya kwenye simu yakaanza. Vyuo vikafata. Mikoa tofauti. Kuonana ikawa shida. Mambo yakawa mengi, akaanza kunipotezea, na mimi nlikua nshajua huyu sio wangu tena. Kwa ule uzuri, plus umbali na life la chuo. Siku akaniambia tuachane, ile ile semester ya kwanza, mimi nkawa muelewa sana hakuamini. Maisha yakaendelea.
Ikawa baada ya muda kama miezi au mwaka ananicheki tunaongea au tunaweza chat af anapotea, sikuona point yoyote kuhangaika kurudiana nae, so akinitafuta najibu fresh tu akipotea na mimi nakausha lakini sijawahi kugombana nae wala kumjibu vibaya, mimi ni full vibes tu. Now ni mwalimu wa secomdary, alishaolewaga kitambo tu na ana watoto anaishi mkoani huko kaskazini.
March mwaka huu siku kancheki instagram anaomba namba yangu, nikampa akanipigia. Akaniambia mdogo wake wa mwisho anasoma chuo hapa Dar, degree ya mambo ya ICT, wamepewa barua za kuombea field lakini hana connection yoyote. Akaniomba nimsaidie kumtafutia field na kumpa ABCs za jinsi kuendana na hii taalumu coz mimi ndo taaluma yangu na nafanya kazi na watu wengi wa hii taaluma. Mi sina shida kabisa, nkamuambia ampe namba yangu anicheki.
Kweli siki hiyo hiyo jioni yule dogo kanipigia, nmeongea nae vizuri kajitambulisha na shikamoo kibao. Nkamuambia baada ya kama siku 3 hivi ntakua na kazi karibia na chuoni kwao ataniletea hiyo barua.

Hiyo siku anaileta ndo nkamuona, ni version ya dada yake copy and paste kipindi naanza nae mapenzi miaka hiyo. Alikuja na mwenzie kibonge bonge. Nkachukua barua wakasepa. Akawa anantafuta sana whatsapp kuomba ushauri na kuulizia nimefikia wapi, namjibu tu kawaida inaisha. Sijawahi waza kumla, nna majanga yangu kibao ya michepuko. Kuongeza mwanamke haikua in my favour kabisa. Kuna siku kama two weeks zimepita now siku Madrid kamtoa Chelsea UEFA nlikua na wanangu tunakunywa bia huku tunacheki game, katika kuperuzi status za watu nkaona amejipost status, zile za manzi anaangalia camera tu na kubetua midomo. Nkacomment pale tukaanza kuchat, sasa na zile bia kichwani nkawa kama namuonesha namtaka na yeye anakuja tu, nkamuomba pics zake katuma kama 20. Nkajua hapa tayari.
Kesho yake nlikua naingia job mchana. Mambo ya support tu hamna ishu. Asubuhi nikamcheki jamaa alieingia asubuhi nkamuomba amalize siku nzima na mimi siku tunaingia wote ntamaliza siku nzima na yeye apumzike mwamba kakubali. Midaa ya saa 3 hivi nkatext kale katoto whatsapp nkakaambia nataka kukaona, kakauliza saa ngapi na wapi, nkaaambia mchana maeneo ya External kakasema kakitoka class saa 6 katakuja.

Sikutaka kutumia nguvu nyingi, nkaenda kununua Wine ya Four Cousins chupa mbili na icecream ile kubwa nkaziweka kwa fridge nkaenda kupata supu halafu nkaenda maeneo ya External, nkaaagiza kuku nusu na chips ya kufunga nkawa nakasubiri. By saa 8 hivi kakawa kamefika, kamevaa zile suruali zao wanaziita high waist, kanaita balaa. Kalivosema kamefika mimi nkaita bolt ya gari ki IST halafu nkamuambia dereva kuna mtu tunamfata kituo cha daladala, tumefika nkampigia simu na maelekezo kaja kaingia kwenye gari tumesepa. Home moja kwa moja.
Tumeingia ndani ananiuliza why umenileta kwako nkamjibu mchana huu na hili jua unataka twende wapi, subiri jion ntakutoa out halafu ntakurudidha hostel. Nkakaandalia msosi kakala fresh tukawa tunapiga story. Nkaweka movie muda unasogea. Baada ya kama nusu saa nkafata wine chupa moja na glass mbili, kauliza vimaswali pale nkamtoa hofu tukaanza kunywa.
Nimejilia mema ya nchi mchana kutwa, baada ya bao la kwanza nkakaletea icecream tunakula kwa bed full mahaba na usiku hakajaondoka kakalala. Usiku nkampeleka kucheki game ya Liverpool na Benfica full burudani.
Now kanataka kuja karibia kila siku, shule haijachanganya bado, tatizo mapopo yangu ya kila siku nayapeleka wapi.
Naona sikatendei haki coz najua sitakuja kuweza kukatreat au kukapenda kama ilivokuaga kwa dada yake. Kama atamwambia dada yake au vipi atajua mwenyewe.
Nitaendelea baada ya matangazo
 
Sima mchongoo wowote nipo kitaaa chuo nimemaliza mwaka 2020 hiyooo kuna jamaa angu alikuwa anauza duka so kila mida ya jionii naenda pale kupigaa story kuna manzi ni Pisi kali haswaa kuna jamaa ake alikuwa anakuja karibu kila weekend ila katikati ya week hajagi so kuna siku ilikuwa nimewahi kwenda kijiweni nkawa napiga story na mwana akaniambia demu mbona east tu sema uwe na helaaa me hapo hela sina ila nalimatamani balaa lile lidemu... Tumekaa tunapiga story yule demu akatoka akaja pake anasema anataka soda ila hela hana so jamaa amkopeshe kumbe mwana ashamkopeshaa sanaa me nkwamwambia me nakununulia soda ila sharti nataka nikunywesheee Manzi etii akajibu me ukitaka hata tunyweshane sawa tu huku anachekaa nkamwambia jamaa ampe sodaa manze akasepaa ila me Kichwani nkasema lazima nijizime dataa nikajaribu chance yangu leoo. Muda ukaendaa ikafikaa saa 3 usiku hivi nkasema sasa ndo muda wa kwenda kunumua chips na kuku nikabeba na Soda za kopo maana nliona muda umeenda na manzi yupo tu ndani nkaja na zile chips nkagongaa nkamwambia nimekuja Tulishanee pia mamii Eti wee fala haya pitaaaa bhasi nyie sikuamini hapo mfukoni nishabeba ndomu tukaanza kula ila demu ana mapajaa hayooo kavaa khanga ikawa inafunguka nikaona aisee nkasema sasa mbona hatulishani akasema wew ndo unilishee eehe nkaweka kipaja mdomo nkawa namsogolea mdomonii wew akanipokea mzima mzimaaaaa khaa kumbe lilikuwa na minyegee balaaa nkaanza kubinya matiti huku nalilaa dendaa...nyonyaa sana shingonii huku naminya chuchuu demu kapagawaa yani kasahau hata chakulaaa Nkasema huyu akili zisije kumrudia akazinguaa yani nilivaa ndomu faster wekaaaaaa... Demu kelelee sasa beib ntoo...mbe...beib yako tooo...mba nkawa namziba mdomoo maana duu watu wangetega wajue ni nanii alafu pale mtaani me wananijua ni mkimyaa sanaaa.. Lile demu niligonga viwili tu nkasepaa shida sasa kesho akanletea shida ya kikobaaaaa elfu 30 hivi nkajua haya ni malipo na kwa jamaa angu nkaancha kwenda kama week hivi ila sasa siku moja imepita kama mwezi likantumia msg mwenzio nina nyegee njoo bhasiii ntoo..mbe beib nkupe na vinginee Aha vingine sikulaaa wakuu.
Ulifanya Sana Kosa kutokula vingine ..unastahili viboko 100
 
Wakati mwingine kuwa makini sana. Usipende sana kuwapa watu watumie simu yako kupiga mahali usipopajua, nakutahadharisha!

Alafu jifunze kutongoza vizuri, achana na ujinga wa nilikupa support naomba na wewe unipe support
Wala hata hiyo nilikupa support na mimi unipe support hakutakiwa kuiweka.

Jamaa hajui kutongoza,halafu anatongoza malaya.

Malaya hatongozwi.
 
Oya mazee.... hii imekaaje?
Nina dem wangu, nikiwa napiga show, ikatokea akapizi kabla yangu, yani anakuwa hataki tena.
Kama ni usiku basi hapo nijue ntapata gemu kesho asubuh tena.
Otherwise, nalala kifara tu maana hata nimbembeleze hataki.

Ila yeye akiwa na minyege ananilazimisha hata kama nimelala.

Vip na nyie inawakuta au huyu dem mzinguaji?
 
Na huko Yanga,? Mmefukuza kabwili mbna fei toto yupo bado? Au kisa basha wao mkoko tonombe katoka?

Huko yanga wachezaji wengi ni wanageuzana, na kabwili alitaka kuwalipua wote mkaona mumpoze na chochote kitu, hahahah

Yanga mnalo hiloooo.
Jmn leteni za kimasihara mnaharibu uzi
 
Hapana sio suala la kukara viuno kuna manka mmoja alikuwa mweupe shape kama lotee ila jamanii yeye anataka Style mojaa tuu kifo cha mendee na hapo miguu hanyanyuii kajilazaa kama kazimiaaa... mwenyewe anakwambia hivyo ndo anasikia rahaaa Nkajua hapa hakuna kituuu
ila watu mweeeeh.
 
Hospitali gani inaruhusu jinsia ya kiume kukaa katika wadi ya kike?
Sehemu ambayo hakuma Muingiliano wa Kijinsia ni wodi za wazazi tu kwingine huku Mbona muingiliano upo vizuri tuu mkuu...!!
 
Sehemu ambayo hakuma Muingiliano wa Kijinsia ni wodi za wazazi tu kwingine huku Mbona muingiliano upo vizuri tuu mkuu...!!
ICU pekee wanakwa jinsia zote mbili! Wodi zingine hakuna kitu hicho
 
Ngoja niwape na yangu(mtanisamehe sio mwandishi mzuri)

Kipindi namaliza form four nilikua bado na govi ila hakuna mwanafunzi aliekua anajua,uzuri ilikua shule ya kata na kukojoa shule ilikua ni kwa machale sana.

Basi bana tokeo likaja nikawa nimekunja zangu two enzi hzo 2009 kupata two shule ya kata ulionekana kipanga hatari.ikabidi nianze kujiandaa kwa ajiri ya advance maana nilichaguliwa mbali af ilikua ni boarding.kipindi nakaribia kwenda nkakumbuka kua huu mkono wa sweta kwenda nao advance itakua msala sana ikabidi nimwambie maza kua inabidi kamkono ka sweta kakatwe.siku mmoja akamwambia rafiki ake mmoja hivi aliitwa mariam.basi mariam akamwambia ijumaa niende kwake saa tano tutaenda ote msikitini nikakatwe na ikawa hivo

Shida ikawa kupona sasa weka kila dawa wapi ,kunywa kila dawa hola(ila suruali nilikua naweza kuvaa but za kitambaa tu).Ikabidi siku moja niende chumbani kwake maza aniangalie isije kua naoza.(hii ilituchukua week kukubaliana kua anicheki maana wote tulikua tunashtukiana) alivyo ona tu akaogopa ikabidi amwambie tena mariam kua hali ni tete.Mariam akaniambia niende kwake ijumaa atanipa dawa akitoka msikitini ataipitia sehem.Ijumaa ilipofika nikaenda nilimkuta peke ake..(watoto wake wawili walikua chuo na mme wake ana wake wanne na walikua kama wameachana ila alikua anakuja kuleta mahitaji tuu)..nikawa nimemwambia kua nimefata ile dawa aliomwambia maza akajibu nimfate huku akinyanyuka, haoo mpaka chumbani..mara akaniambia "em vua nione" nikasema hapana asee akawa ameshika mkanda anataka kufungua Suruali nikamsukuma.tukabaki tumeangaliana tu nikamwambia kafunge mlango kwanza akasema haina haja geti si limefungwa(lengo langu lilikua atoke af akute nimevua sijui why niliwaza vile) tukabaki tumeangaliana nikamwambia akanichukulie simu yangu sebuleni nimeacha kwenye kochi akanyanyuka fasta basi nikawa nimesita kuvua nikakaa tu kitandani namsubiri.mariam akarudi anaongea na simu mara gafla akaniwekea sikioni ongea na mama ako😂😂.maza akawa anacheka akaniuliza unaogopa nn??em vua huko upewe dawa(kumbe ile dawa ilitakiwa uwekewe na mwanamke so maza alimuomba mariam aniwekee kabisa siku zilikua zimeisha af dawa ni ya mafuta unapaka dushe zima unakua kama unalifanyia massage kimtindo so maza aliona sio sawa yeye kufanya hvo na sijui alihisi sina dem pia)
Ikabidi nisimame nikafumba macho dada marium akawa anacheka.akapiga magoti akafungua mkanda na zip akashusha suruali then akashusha boksa taratibuu asiniumize nikaona kashtuka ila akakaa kimya.wakati anachukua yale mafuta akaniuliza ulitumia dawa za kukuza nn??nikajibu hapana,akasema na miaka yake 39 hajawahi kuona chatu kama yule. nikawa nacheka cheka na vi aibu aibu vyangu.nikaskia hongera mwaya😂😂😂.ikabidi nikaushe nikaskia nakupa hongera ikabidi niseme asantee.akaanza kunipaka ile dawa ila kuna namna alikua analishika dushe siiielewi kabisa nikawa najikaza nisisimashe maana likisimama naumia vibaya hatari.zoezi likakamilika nikavaa nikaondoka.siku mbili tu nikawa nimepona siku ya tatu nikawa nimeondoka kwenda shule....itaendelea
 
Back
Top Bottom