Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Usiwe mjinga. Malaya huyo alikuwa anatafuta mtu. Wala hakupoteza simu. Alitaka tu kukupa namba yake ili uanzie hapo... Unawezakuta leo tu kawapa wanaume 5 (wewe wa 6) namba yake ya simu kwa mtindo huo huo.
Jana katika halakati za mtoko kwenda kupunguza msongo wa mawazo basi nipo kwenye daladala jilani yangu kulikuwa na binti mrembo Sana kaomba kuazima simu yangu ili ajipigie apige simu yake akihisi imeibiwa bila hiyana nikamsaidia simu ikapigwa, kumbe alisahau dukani.
 
Jamaa alimtia mimba dem wake wakiwa kidsto cha pili, baada ya kumaliza shule jamaa akaamua kuoa kabisa huyo mwanamke.
Kumbe mimba haikuwa yake ila alishikishwa. Basi wameishi wakazaa watoto wengine wanne na mschana jamaa akamlea kwa upendo akijua ni mwanae
Miaka imeenda bwana maugomvi na kutoelewana yakawa mengi na mama ikabidi amchane mshkaji kuwa firs born wao sio mtoto wa kuzaa wa baba huy ana bana yake. Jamaa alikuwa na hisia hizo toka binti akiwa mdogo ila alipotezea.
Mama akampa pia habari binri yake so binti alichukia sana na jamaa alichukia sana, rhen bint na jamaa wakawa kitj kimoja kumteta mama. Jamaa akazidisha upendo kwa binti na hatimae wakawa wapenzi.
Baada ya muda mama akafukuzwa na binti akaolewa na na mshikaji hadi leo wana watoto watatu. Mama anahaha tu mtaani
Green tea
 
Jana katika halakati za mtoko kwenda kupunguza msongo wa mawazo basi nipo kwenye daladala jilani yangu kulikuwa na binti mrembo Sana kaomba kuazima simu yangu ili ajipigie apige simu yake akihisi imeibiwa bila hiyana nikamsaidia simu ikapigwa, kumbe alisahau dukani. Baada ya kuambiwa amesahau muda huo akashuka kwenye gari, Mnyamwezi nikaendelea na safari baada ya muda nikamumuliza umepata simu yako? Akasema ndio

View attachment 2192298

View attachment 2192299

View attachment 2192300

View attachment 2192301

View attachment 2192302
Really!?
Yaani kisa umemsaidia tu ndio ukaomba na tunda hakikua kitendo Cha kingwana banah .
 
Ngoja nikupe ushauri ( huu ni ushauri kwa mwanamke unayampenda na unataka kuwa naye muda mrefu)

1. Shemeji hama mzuka na wewe, au halipendi vibe la show yako. ( hapa kaa chini umuulize tatizo lipo wapi?)
2. Yeye akikojoa na hana hamu, means kisima kinakuwa kikavu kwa hiyo anapata maumivu kwa kukwangua kuta za kisima, so unachotakiwa ni kumwandaa vyema na mda mwingine ukiwa unachota maji kisimani mwambie asikojoe mapema chezo ndo kwanza linaanza.

3. Mapenzi ni starehe, ifanye iwe starehe achana na tamthilia za ngono au story za humu piga mate sana then nkashangaa kalowana, au nyonya chuchu nkamwinamisha piga sana fimbo.. Jua pigo( weak points) za demu wako zipoje na wapi nenda nazo taratibu, na uzishike taratibu wa kimapenzi, sio ukiiona chuchu unanyonya nyonya nyonya huku unatazama reaction yake mwishowe unaweza ukanyonya vibaya umemchubua hawezi kuendelea na mchezo

4. Mpe uwanja na yeye ajipimie kwenye ukuni wako ajikune atakavyo, usiwe wewe tu..

5. Msifie na mpe maneno mazuri wakati wa show yale yankumjaza ujinga, usikae kimya kama ukiwa unasikiliza maombi yankuombea chakula.

6. Mpe hela ( mjali kwenye mahitaji yake) japo si muhimu sana lakini linasaidia kuwa na hamu na sex muda mwingine. Maana mzee kaja siku ya kwanza kipondo then unamtoa kapa hata nauli humpi, siku nyingine the same qkija siku ya tatu anasema hapa nagongwa then najitegemea nauli so yale mawazo yanakuwa wakati wa tendo.

7. Umpe sikio la kumsikiliza pale anapohitaji kuongea na wewe na jicho la kumtazama na kumwangalia pindi ukiwa naye.

8. Jitahidi ukiwa naye usinuke jasho na mdomo , maana kwa upande wangu mimi demu akiwa na hivyo vitu nakiwq sina nguvu za k8ume kabisaa
Umesema vyema sana, ila pia wanawake waliojifungua hawana mizuka sana na sex na kuna hormones huwa zinapungua, kwa wasiojifungua wanakua tu hawajakupenda inakuaje mwanamke hasitake game asikupe?

ila pia ukiteseka sana tafuta binti utakae muamini na kuheshimiana ambae utapata sex kwa utamu na kwa muda unaotaka kuliko ugomvi na mkeo kisa game, mnajikuta mnagombana kila siku na kisa sex ya nini, mpango wa kando ni muhumi sana, mwanamke hata umuhudumie kiasi gani kama hsmu zimemuisha anakua msumbufu tu sasa wanawake wapo unamchagua mmoja makini mwenye adabu zake na ni mrembo na muelewa
 
Jamaa alimtia mimba dem wake wakiwa kidsto cha pili, baada ya kumaliza shule jamaa akaamua kuoa kabisa huyo mwanamke.
Kumbe mimba haikuwa yake ila alishikishwa. Basi wameishi wakazaa watoto wengine wanne na mschana jamaa akamlea kwa upendo akijua ni mwanae
Miaka imeenda bwana maugomvi na kutoelewana yakawa mengi na mama ikabidi amchane mshkaji kuwa firs born wao sio mtoto wa kuzaa wa baba huy ana bana yake. Jamaa alikuwa na hisia hizo toka binti akiwa mdogo ila alipotezea.
Mama akampa pia habari binri yake so binti alichukia sana na jamaa alichukia sana, rhen bint na jamaa wakawa kitj kimoja kumteta mama. Jamaa akazidisha upendo kwa binti na hatimae wakawa wapenzi.
Baada ya muda mama akafukuzwa na binti akaolewa na na mshikaji hadi leo wana watoto watatu. Mama anahaha tu mtaani
Duuuh serious
 
Back
Top Bottom