Ngoja nikupe ushauri ( huu ni ushauri kwa mwanamke unayampenda na unataka kuwa naye muda mrefu)
1. Shemeji hama mzuka na wewe, au halipendi vibe la show yako. ( hapa kaa chini umuulize tatizo lipo wapi?)
2. Yeye akikojoa na hana hamu, means kisima kinakuwa kikavu kwa hiyo anapata maumivu kwa kukwangua kuta za kisima, so unachotakiwa ni kumwandaa vyema na mda mwingine ukiwa unachota maji kisimani mwambie asikojoe mapema chezo ndo kwanza linaanza.
3. Mapenzi ni starehe, ifanye iwe starehe achana na tamthilia za ngono au story za humu piga mate sana then nkashangaa kalowana, au nyonya chuchu nkamwinamisha piga sana fimbo.. Jua pigo( weak points) za demu wako zipoje na wapi nenda nazo taratibu, na uzishike taratibu wa kimapenzi, sio ukiiona chuchu unanyonya nyonya nyonya huku unatazama reaction yake mwishowe unaweza ukanyonya vibaya umemchubua hawezi kuendelea na mchezo
4. Mpe uwanja na yeye ajipimie kwenye ukuni wako ajikune atakavyo, usiwe wewe tu..
5. Msifie na mpe maneno mazuri wakati wa show yale yankumjaza ujinga, usikae kimya kama ukiwa unasikiliza maombi yankuombea chakula.
6. Mpe hela ( mjali kwenye mahitaji yake) japo si muhimu sana lakini linasaidia kuwa na hamu na sex muda mwingine. Maana mzee kaja siku ya kwanza kipondo then unamtoa kapa hata nauli humpi, siku nyingine the same qkija siku ya tatu anasema hapa nagongwa then najitegemea nauli so yale mawazo yanakuwa wakati wa tendo.
7. Umpe sikio la kumsikiliza pale anapohitaji kuongea na wewe na jicho la kumtazama na kumwangalia pindi ukiwa naye.
8. Jitahidi ukiwa naye usinuke jasho na mdomo , maana kwa upande wangu mimi demu akiwa na hivyo vitu nakiwq sina nguvu za k8ume kabisaa