BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,532
- 11,027
Ukila jirani unapata utumwa gan mkuu,kwamba utashindwa kuvusha wengine kwa kumuogopa jirani uliye mla?Ukitaka kuishi kitumwa kula staff mwenzako,jirani yako au mwanafunzi mwenzako,utapata tabu sana aisee. Katika vitu nilivyojiwekea mipaka mojawapo ni hivyo,sitathubutu.




