Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Daah! Shule zimefungwa?
Jana katika halakati za mtoko kwenda kupunguza msongo wa mawazo basi nipo kwenye daladala jilani yangu kulikuwa na binti mrembo Sana kaomba kuazima simu yangu ili ajipigie apige simu yake akihisi imeibiwa bila hiyana nikamsaidia simu ikapigwa, kumbe alisahau dukani. Baada ya kuambiwa amesahau muda huo akashuka kwenye gari, Mnyamwezi nikaendelea na safari baada ya muda nikamumuliza umepata simu yako? Akasema ndio

View attachment 2192298

View attachment 2192299

View attachment 2192300

View attachment 2192301

View attachment 2192302
 
Kweli Jf never bores

Kwa hiyo hapo na ww umetunukiwa kimasihara??......kesho uje utueleze unetobolewa Savannah ngap plus hela ya lodge na ya Huduma

NB:hawa wazoefu wanakuwaga na vipimo vyao so anaweza akakuchaji pia au akakukaushia
 
Jamaa alimtia mimba dem wake wakiwa kidsto cha pili, baada ya kumaliza shule jamaa akaamua kuoa kabisa huyo mwanamke.
Kumbe mimba haikuwa yake ila alishikishwa. Basi wameishi wakazaa watoto wengine wanne na mschana jamaa akamlea kwa upendo akijua ni mwanae
Miaka imeenda bwana maugomvi na kutoelewana yakawa mengi na mama ikabidi amchane mshkaji kuwa firs born wao sio mtoto wa kuzaa wa baba huy ana bana yake. Jamaa alikuwa na hisia hizo toka binti akiwa mdogo ila alipotezea.
Mama akampa pia habari binri yake so binti alichukia sana na jamaa alichukia sana, rhen bint na jamaa wakawa kitj kimoja kumteta mama. Jamaa akazidisha upendo kwa binti na hatimae wakawa wapenzi.
Baada ya muda mama akafukuzwa na binti akaolewa na na mshikaji hadi leo wana watoto watatu. Mama anahaha tu mtaani
Nenda peleka script kwa akina Steve Nyerere
 
Back
Top Bottom