Kuonesha jinsi ambavyo sisi wanaume tulio kuwa na moyo safi tunavyo kutana na majalibiolengo la huu uzi ni nini?
Mhuuu maaana hakuna mwenye uhakika Kati ya yeye ama Mimi nani ni jini hapo.Kisha mnalalamika hamfanikiwi kimaisha, mara ooh kila siku matatizo. Utafanikiwaje sasa wakati unatembea na majini?
Sawa mkuu Asante kwa malekebisho yako Ila sio wote tumesoma wengine hatujasomaUmeingizwa mkenge na wewe ukaingia.
Muuzaji kajipatia mteja kirahisi.
Halafu jifunze kutofautisha matumizi ya 'L' na 'R' kwenye uandishi wako.
Ndio lengo la jamii jf ilo kuleta matukio na mawazo yanayotokea ndani ya jamii.Server za JF zina kazi sana
Ndio lengo la jamii jf ilo kuleta matukio na mawazo yanayotokea ndani ya jamii.
Jana katika halakati za mtoko kwenda kupunguza msongo wa mawazo basi nipo kwenye daladala jilani yangu kulikuwa na binti mrembo Sana kaomba kuazima simu yangu ili ajipigie apige simu yake akihisi imeibiwa bila hiyana nikamsaidia simu ikapigwa, kumbe alisahau dukani. Baada ya kuambiwa amesahau muda huo akashuka kwenye gari, Mnyamwezi nikaendelea na safari baada ya muda nikamumuliza umepata simu yako? Akasema ndio
View attachment 2192298
View attachment 2192299
View attachment 2192300
View attachment 2192301
View attachment 2192302
Kisha mnalalamika hamfanikiwi kimaisha, mara ooh kila siku matatizo. Utafanikiwaje sasa wakati unatembea na majini?



Nenda peleka script kwa akina Steve NyerereJamaa alimtia mimba dem wake wakiwa kidsto cha pili, baada ya kumaliza shule jamaa akaamua kuoa kabisa huyo mwanamke.
Kumbe mimba haikuwa yake ila alishikishwa. Basi wameishi wakazaa watoto wengine wanne na mschana jamaa akamlea kwa upendo akijua ni mwanae
Miaka imeenda bwana maugomvi na kutoelewana yakawa mengi na mama ikabidi amchane mshkaji kuwa firs born wao sio mtoto wa kuzaa wa baba huy ana bana yake. Jamaa alikuwa na hisia hizo toka binti akiwa mdogo ila alipotezea.
Mama akampa pia habari binri yake so binti alichukia sana na jamaa alichukia sana, rhen bint na jamaa wakawa kitj kimoja kumteta mama. Jamaa akazidisha upendo kwa binti na hatimae wakawa wapenzi.
Baada ya muda mama akafukuzwa na binti akaolewa na na mshikaji hadi leo wana watoto watatu. Mama anahaha tu mtaani
Lengo ni kuonyesha jinsi nchi hii ilivyo na vijana wa hovyolengo la huu uzi ni nini?
😂😂😂anaonekana bado dent kbsaaDaah! Shule zimefungwa?
wapo likizo mkuuDaah! Shule zimefungwa?