Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Baada ya Muda mrefu sana, nimefanikiwa kumaliza page zote 1781. Haikuwa kazi rahisi ila nimeweza.

Humu ndani kuna mabaharia sio poah. Sema Mods walizingua pakubwa sana walipounganisha huu uzi.

Anyway, stori ziendelee.
Bado kuna vingi umemiss kuna maandiko mengi mods wamefuta ila sio mbaya
 
N
Ukitaka kuishi kitumwa kula staff mwenzako,jirani yako au mwanafunzi mwenzako,utapata tabu sana aisee. Katika vitu nilivyojiwekea mipaka mojawapo ni hivyo,sitathubutu.
Nimetafuna jirani fresh tu shida mnapata wapi nyie ila staff bado nina mkosi nao maana kila nikitongoza wananicholea
 
Kumepoa ngoja nichangamshe genge

Basi bhana miaka fulani hapo katikati. Kuna kipindi nikawa na mgonjwa alikua amelazwa hospital kubwa tuu hapa huu mkoa. Ikawa ni lazima nipite asubuhi au jioni kuona mgonjwa wangu. Ndani ya wodi kulikua na wagonjwa kama 3. Sasa mgonjwa mmoja mmama wa makamo alikua ana hudumiwa na binti na ilikua nikipita nawacheki yeye pamoja na mgonjwa wake niliokua nawaona then naamia kwa mgonjwa wangu.

Nakumbuka jioni moja nikawa nimepewa kibali na ndugu mimi ndio nikamsimamie “mgonjwa”usiku wote. Nikafika jioni nimekaa wodini huku nawaza mgonjwa wangu na mambo yangu, yule binti naye na mgonjwa wake nikawa na piga piga naye story “hivi huyu wa iko kitanda karuhusiwa eh, ndiyo karuhusiwa asubuhi” basi soga linanoga na yule binti pale. Kichwa changu inawaza majukumu tuu.

Kula kimasihara. Baasi kuna muda”usiku wa mapema”nikatoka kukaa pembeni”top floor” kutazama nione mazingira na upepo upepo, binti naye huyu apa. “Nikasikia mgonjwa wangu kalala ila nafuu ipo kesho nahisi ruhusa ipo”. Ata wetu nangojea ripoti ya madktari asubuhi ila sijui kama kutoka kupo hivi karibuni. Story story tukakuta tumeshikana mikono, binti ana mikono laini. Hapo ukimya ukatawala. Wazo wa ngono ila hapa. Nikaanza kushika kiuno naona demu ametulia. Napitisha mkono mgongoni katulia. Mikono ikafika kusalimia kifua, nikakutana na vitu laini vimeanza kusimama simama. Nikawa navipapasa pale kwa juu juu. Naona mtoto anazidi kulegea tuu.

Tumeshikana shikana pale we kichwa cha chini kikasimama hatari nikaona apa leo ni kojoe tuu na nyege zangu. Nikasogelea sikio ya demu nikamwambia nenda toilet nakuja. Uzuri wagonjwa sijui walitegemea tukio letu walikua watulivu wamelala hahahahaha.

Baada ya dakika 2 muhuni nami nikaunga toilet. Kufika nikampokea mtoto piga denda pale la kutosha. Mipapaso ikiendelea. Mtoto anaangaika tuu huku anaitafut tochi chini atoe kwa ajili ya kumulika pango lake lile. Fasta nikashusha nguo yake nikavuta na chupi chini huku ameshikishwa choo”kukaa”Faster nikamuwekea tochi. Nimemulika pale faster faster tena kwa nguvu”kikubwa mshindo”. Mkono nimezui sauti na miguno. Sikuchukua muda kwa ule motomoto wazungu hao. Ooooh kimya kikatawala

Faster nikachomoka nikasuuza tochi yangu pale nikatupia ndani nikarudi kwa mgonjwa wangu. Nikakuta amelala wake pia amelala. Akiingia na yeye baada ya muda. Kimya kikatawala. Baadae nurse wa zamu akapita akauliza mbona sikukuta mtu wa kutazama mgonjwa “ tulikwenda kutafuta chakula njaa ilishika ghafla jirani akaitikia” siku nyingine abaki mmoja kwa usalama “nurse akamalizia”.

Kesho yake kabla sijaondoka tukabadirishana namba. Kuchati na mtoto tukaomba turudie show tena ianzie bafuni imalizikie ndani ya 6x6. Siku ya uzinzi Tanzania ikafika “jumapili” tulisuguana siku iyo. Ilikua ni tochi inawaka na kuzima kumulika pangoni lilo lowana utasema ndani kuna mvua inanyesha. Kuna wanawake wawekwe makumbusho ya taifa.
Hospitali gani inaruhusu jinsia ya kiume kukaa katika wadi ya kike?
 
Operesheni Ivanka....

Hodi kwenye huu uzi wa kimasihara, leo na mimi naomba kutoa mchango wangu kwenye uzi huu kwani nimekuwa msomaji sana wa uzi huu miaka mingi sasa na sitatenda haki kama sitoweka hapa kisa hata kimoja cha tunda kimasihara.

Awali kabla sijaanza kuandika niseme sijawahi kutongoza mwanamke, mara nyingi wanawake ninaokula huwa wanakuwa tayari wenyewe ni wachache sana ambao nilijikuta naanza kuwaomba mapenzi mimi ila wengi walinichokoza wao.

Andiko hili litakuwa na CODE za maeneo na vitu vingine ambavyo vinaweza kubainika kwa uwazi, hivyo nitajaribu kuweka code kwenye maeneo hatarishi kwa sababu naamini huyo mwenzangu niliyemla kimasihara anapenda sana mitandao licha ya kuwa hayupo hapa nchini.

"Tusamehewe kwa tamaa zetu za kimwili"

Ni jioni moja nipo kwenye gari natoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine baada ya kupewa mwaliko wa birthday, huwa sina kasumba ya kuhudhuria sherehe hizi na wala siabudu sherehe aina yoyote. Mwaliko wa kwenda kwenye birthday niliupata kutoka kwa mpenzi wangu Nancy.

"Brighton naomba kaniwakilishe kwenye sherehe ya rafiki yangu Ivanka, mimi kwa sasa siwezi kwenda kwa hali yangu hii" yalikuwa ni maneno ambayo yalikuwa yanasikika kutoka kwenye simu ya Nancy (mpenzi wangu) Hata yeye anajua wazi mimi siyo mtu wa kujichanganya na sipendi kuwa katikati ya kundi kubwa la watu bila sababu yoyote ya msingi na nzito.

Nilitafakari sana na kuamua kwenda mkoa jirani na pale tulipokuwa tunakaa, ilikuwa ni wastani wa kilomita 90 kutoka nilipo hadi kwenye sherehe hiyo (birthday ya Ivanka)

Ivanka nilikutana naye mara mbili kama sikosei ila mara zote hatukuwahi kuingia kwenye maongezi ambayo yangetuweka karibu zaidi, nilikuwa nasalimiana naye pale ambapo Nancy anawasiliana naye kwa njia ya simu.

Majira ya saa 9 alasiri nafika na kupiga simu kwa mwenyeji wangu kuwa nimefika na akanipa maelekezo njia ipi nipite hadi nyumbani. Baada ya muda mfupi nikawa nimefika kwao Ivanka ambaye alikuwa anakaa na Baba yake na Bibi yake mzaa Baba. Ivanka alifurahi sana kufika pale siku ile nami nikafurahi mno kuwepo pale, story na baba yake Ivanka zikanichukua na ghafla ni jioni na maandalizi ya sherehe yakaanza. Sherehe hii ilikuwa inaenda kufanyika kwenye ukumbi mmoja jirani na kwao Ivanka.

Basi baada ya muda nikaitwa ndani na kupewa chakula cha nguvu kisha nikaambiwa nijiandae tunaondoka muda si mrefu, japo sipendi kutoka usiku ila nilijikokota hivyohivyo na tukapanda gari na kuelekea ukumbini. Tumefika nikakutanishwa na waalikwa wengine na wengi wao walikuwa ni wanafunzi wa vyuo.

Sherehe ikaanza Ivanka alipendeza jamani, mpaka uone namsifia ujue alipendeza huwa sina kasumba ya kusifia kila aliyevaa nguo kuwa kapendeza. Kifupi huyu ni mwanamke mrefu, rangi ya kung'aa siyo mweusi wala mweupe, ana umbo jembamba ila lenye kupendekeza machoni kwa kila mwanaume mwenye uwezo wa kupenda.

Ivanka naomba ulaumu gauni lako ulilovaa ile siku kuwa ndilo lilikuponza, mimi siyo wa kuachiwa mapaja nje na kuoneshwa nusu ya matiti (kifua) yaliyosimama na kujaa vyema.

Ndugu wasomaji, Ivanka wakati anafanya sherehe hii alikuwa tayari kachumbiwa na jamaa mmoja kutoka Sweden na alikuwa na pete ya uchumba, hisia zangu zikaanza kusafiri hadi zikafika Sweden nikajiuliza kwahiyo Ivanka akaenda kukazwa Sweden na mzungu? Wanabeba vivutio vya taifa na kupeleka kwao huku wakiacha Taifa likibaki na wakina Chiku, Mwajuma na Mamu!

Sherehe ikaisha na tukapanda gari kurudi nyumbani, wakati tupo kwenye gari nikaendelea kuwa karibu na raia huyu mtarajiwa wa Sweden, tulikaa karibu yeye akiwa tayari kalewa, tumefika nyumbani anajifunga kanga na kuja chumba ambacho nilipaswa kulala na kuanza kunitandikia. "Brighton hiki ni chumba cha ndugu yangu, siyo mtu wa kujali kuhusu usafi naomba ulale na nisamehe kama hujapenda"

Sikuchukulia kama ni suala kubwa sana kwangu maana mimi naweza kulala popote hata juu ya moto ili mradi ufunikwe tu vizuri na shuka. Basi nikalala na asubuhi ikafika, hatimaye mchana na jioni nikarudi kwenye makazi yangu.

Baada ya mwezi nikawa naendelea kuwasiliana naye na nilijisikia furaha sana kukutana na mwanamke ambaye unaweza kuchat naye na usiboreke (kama wewe ni mwanamke wa hivyo basi mimi ni shabiki wako)

Siku moja jioni nikamuuliza unafanya nini? Akanijibu nipo tu shemeji yangu sina chochote nachofanya zaidi ya kuimba na kucheza muziki. Nikapigilia msumari wa inchi 5 kwenye kucheza muziki, nikamuuliza kumbe unajua kucheza na muziki na mbona ile siku hukucheza ama ulikuwa unaogopa watu? Akasema anapenda kucheza ila si mazingira yote anaweza kucheza muziki. Mwanaume nikatumia mbinu za kivita kama ambazo natumia kule Ukraine (angalia avatar) nikaomba kutumiwa kipande kidogo cha video chenye kuonesha akicheza muziki.

Kweli baada ya maridhiano ya amani video ikatumwa na nikaona kwa macho yangu kiuno kikikatwa kwa ustadi mkubwa sana (alikuwa amevaa taiti na kitop) nilipata nafasi ya kuona kitovu na herufi V iliyobanwa vyema zaidi na ile taiti. V ni nzuri acheni tu itumike huko Ukraine kwenye operesheni ya Urusi ila V ni nzuri sana.

Video ile ilikuwa na masharti kuwa isionekane popote kwani Nancy ni rafiki yake wa damu na nisije nikaacha kwenye simu bila kuifuta. Nilivyomaliza kuitazama nikaipeleka kwenye makumbusho yangu (email) hiyo email imetunza siri nyingi na nzito zaidi ya nyaraka za uhuru na muungano zilizopo pale Magogoni.

Baadae nilijikuta nami namtumia kombora langu la hypersonic lililokuwa limesimama wima tayari kwa oparesheni yoyote ile. Kombora hili lisilozuilika kwa namna yoyote lilienda kuharibu mfumo wake mzima wa kiulinzi na akaomba tukutane ili kumaliza huu mzozo kabla hajapata hasara kwenye miundombinu yake ambayo ilikuwa inapelekwa Sweden muda si mrefu.

Basi tukaendelea kuwasiliana kwa ahadi kuwa siku moja tutaonana. Siku moja Nancy ananiambia anataka kwenda kumsalimia Ivanka na kama naweza twende wote kwake. Kutokana na uchokozi wa wanajeshi wake kwangu nikaona lazima niende kwa Ivanka nikiwa na Nancy na tutajua huko huko mbele ya safari nini kifanyike.

Ivanka amemchokoza Putin na sasa Putin anaenda kumpiga kwake (Kiev) mbele ya Nato (Nancy) na washirika wake wa karibu.

Usikose sehemu ya pili ya Operesheni Ivanka.
.................... Itaendeleza...................
IMALIZIWE AISEE
 
Hiki kisa kukiweka nlikua naona noma sana.
Anyway, ntajaribu kuweka codes kwa usalama.

Kipindi nipi Form 5 miaka hiyo nasoma boarding boys tulipata mualiko kwenda shule ya boarding ya girls. Officially ilikua ni kwa ajili ya debate lakini uhalisia ilikua ni kucheza mziki na kufamamiana.
Kuna manzi nlikutana nae siku hiyo alikua ni mkali kinoma. Kapanda hewani, rangi ya mtume, slim na figure moja matata. Alikua na jicho yule manzi akikuangalia unahisi upo ndotoni. Kama bahati tukaanza kuongea tukaelewana na ile siku nzima nka spend nae na hata mziki hatukucheza. Tulikaa tu nje kwenye viti, story kwa sana. Wakati tunaondoka kanipa namba yake njia nzima tunachat. Kipindi hicho ni mwendo wa Nokia Obama tu. Zinafichwa hatari sizikamatwe. Siku ile ile tukaanza kudate lakini kula tunda ilichukua miezi karibia sita.
Katika wanawake wote nliowahi kuwa nao hakuna nliewahi kumpenda kama huyu. Kipindi hicho nlikuawaga nacheza Basketball sana, ile likizo nlikuaga nadundia kikapu pale UDSM, kwao alipokua anafikiawakati wa likizo ilikua kwa baba mdogo wake maeneo ya Kimara. Alikua anakuja uwanjani anakaa nje wakati tunacheza, anatucheki halafu jioni muda wa kuondoka tunatembea hadi Ubungo pale pembeni ya Tanesco, kipindi hicho kuna stand ya daladala. Tukifika hapo anapanda daladala ya Kimara na mimi naenda home. Yale mapenzi yalidumu mpaka tunamaliza Form 6.
Tulimaliza alikaa Dar hadi mwezi wa 7, kuonana karibia kila wiki, ratiba ni kukutana kwa ajili ya show au kwenye kikapu, kipindi hicho nacheza ligi na team moja jina kapuni. Mwezi wa 7 akaenda kwao kabisa Moshi. Mapenzi ya kwenye simu yakaanza. Vyuo vikafata. Mikoa tofauti. Kuonana ikawa shida. Mambo yakawa mengi, akaanza kunipotezea, na mimi nlikua nshajua huyu sio wangu tena. Kwa ule uzuri, plus umbali na life la chuo. Siku akaniambia tuachane, ile ile semester ya kwanza, mimi nkawa muelewa sana hakuamini. Maisha yakaendelea.
Ikawa baada ya muda kama miezi au mwaka ananicheki tunaongea au tunaweza chat af anapotea, sikuona point yoyote kuhangaika kurudiana nae, so akinitafuta najibu fresh tu akipotea na mimi nakausha lakini sijawahi kugombana nae wala kumjibu vibaya, mimi ni full vibes tu. Now ni mwalimu wa secomdary, alishaolewaga kitambo tu na ana watoto anaishi mkoani huko kaskazini.
March mwaka huu siku kancheki instagram anaomba namba yangu, nikampa akanipigia. Akaniambia mdogo wake wa mwisho anasoma chuo hapa Dar, degree ya mambo ya ICT, wamepewa barua za kuombea field lakini hana connection yoyote. Akaniomba nimsaidie kumtafutia field na kumpa ABCs za jinsi kuendana na hii taalumu coz mimi ndo taaluma yangu na nafanya kazi na watu wengi wa hii taaluma. Mi sina shida kabisa, nkamuambia ampe namba yangu anicheki.
Kweli siki hiyo hiyo jioni yule dogo kanipigia, nmeongea nae vizuri kajitambulisha na shikamoo kibao. Nkamuambia baada ya kama siku 3 hivi ntakua na kazi karibia na chuoni kwao ataniletea hiyo barua.

Hiyo siku anaileta ndo nkamuona, ni version ya dada yake copy and paste kipindi naanza nae mapenzi miaka hiyo. Alikuja na mwenzie kibonge bonge. Nkachukua barua wakasepa. Akawa anantafuta sana whatsapp kuomba ushauri na kuulizia nimefikia wapi, namjibu tu kawaida inaisha. Sijawahi waza kumla, nna majanga yangu kibao ya michepuko. Kuongeza mwanamke haikua in my favour kabisa. Kuna siku kama two weeks zimepita now siku Madrid kamtoa Chelsea UEFA nlikua na wanangu tunakunywa bia huku tunacheki game, katika kuperuzi status za watu nkaona amejipost status, zile za manzi anaangalia camera tu na kubetua midomo. Nkacomment pale tukaanza kuchat, sasa na zile bia kichwani nkawa kama namuonesha namtaka na yeye anakuja tu, nkamuomba pics zake katuma kama 20. Nkajua hapa tayari.
Kesho yake nlikua naingia job mchana. Mambo ya support tu hamna ishu. Asubuhi nikamcheki jamaa alieingia asubuhi nkamuomba amalize siku nzima na mimi siku tunaingia wote ntamaliza siku nzima na yeye apumzike mwamba kakubali. Midaa ya saa 3 hivi nkatext kale katoto whatsapp nkakaambia nataka kukaona, kakauliza saa ngapi na wapi, nkaaambia mchana maeneo ya External kakasema kakitoka class saa 6 katakuja.

Sikutaka kutumia nguvu nyingi, nkaenda kununua Wine ya Four Cousins chupa mbili na icecream ile kubwa nkaziweka kwa fridge nkaenda kupata supu halafu nkaenda maeneo ya External, nkaaagiza kuku nusu na chips ya kufunga nkawa nakasubiri. By saa 8 hivi kakawa kamefika, kamevaa zile suruali zao wanaziita high waist, kanaita balaa. Kalivosema kamefika mimi nkaita bolt ya gari ki IST halafu nkamuambia dereva kuna mtu tunamfata kituo cha daladala, tumefika nkampigia simu na maelekezo kaja kaingia kwenye gari tumesepa. Home moja kwa moja.
Tumeingia ndani ananiuliza why umenileta kwako nkamjibu mchana huu na hili jua unataka twende wapi, subiri jion ntakutoa out halafu ntakurudidha hostel. Nkakaandalia msosi kakala fresh tukawa tunapiga story. Nkaweka movie muda unasogea. Baada ya kama nusu saa nkafata wine chupa moja na glass mbili, kauliza vimaswali pale nkamtoa hofu tukaanza kunywa.
Nimejilia mema ya nchi mchana kutwa, baada ya bao la kwanza nkakaletea icecream tunakula kwa bed full mahaba na usiku hakajaondoka kakalala. Usiku nkampeleka kucheki game ya Liverpool na Benfica full burudani.
Now kanataka kuja karibia kila siku, shule haijachanganya bado, tatizo mapopo yangu ya kila siku nayapeleka wapi.
Naona sikatendei haki coz najua sitakuja kuweza kukatreat au kukapenda kama ilivokuaga kwa dada yake. Kama atamwambia dada yake au vipi atajua mwenyewe.
Ķama hukumlaga sister wake sioni shida. Endelea kujilia vyako.
 
Daah basi alikua hakufeel huyo ..hapo alikua anawaza pochi lako umalize akupige kizinga
Yaani kweli unashindwa kuelewa...mara mwanamke kinainishi mbususu hela...mara lazima uwe na feelings...sasa sijui tushike lipi tuache lipi
 
X wangu kaja jana ana mishe zake akaona apite anisalimie, maana walionana na office mate wangu akamwambia usiondoke bila kumsalimia jamaa bana, tuliachana miaka kama 4 imepita tena kwa kutukanana maana nlimfumania na vijana wadogo wenzake. Sa mvua ikaanza kunyesha and anawahi usafiri arudi wilayani
Basi akaomba nimsindikize kwa gari stend, sijui nlipara akiligani, wakati tunaenda nikapita maeneo gest tulikuwa tunaenda kuvunja amri ya sita, sijaongea kitu mmnikaingiza gari ndani bila kumsemesha jambo, nikashuka nikafungua mlango wake nikamshika mkono tukaingia ndani
Nimelipa room nikamshika.mkono, bado anashangaashangaa nikafunga mlango .
Nikaingia na funguo bafuni kuoga nimekuja kutoka namkuta amevua nguo kalala.
Ilibidi aende kwake kesho yake. Ilikuwa weekendi so haikuwa nome kazini kwake so nlimwacha gest usiku wa saa sita. Kesho yaake asubuhi nikaenda kukamua tena ndo akaondoka
.
 
Nawe unapiga unasepa...unafunga mkataba
Bora iwe hivyo maana kuwaridhisha nyie haiwezekana....mara mwanaume tafuta hela...ukiwa nazo utasikia mwanaume mwenye wala sina hia nae au hajui kunitomba.....ebu msitule stress
Wee njoo nisasambue mbususu tufurahi basi
 
X wangu kaja jana ana mishe zake akaona apite anisalimie, maana walionana na office mate wangu akamwambia usiondoke bila kumsalimia jamaa bana, tuliachana miaka kama 4 imepita tena kwa kutukanana maana nlimfumania na vijana wadogo wenzake. Sa mvua ikaanza kunyesha and anawahi usafiri arudi wilayani
Basi akaomba nimsindikize kwa gari stend, sijui nlipara akiligani, wakati tunaenda nikapita maeneo gest tulikuwa tunaenda kuvunja amri ya sita, sijaongea kitu mmnikaingiza gari ndani bila kumsemesha jambo, nikashuka nikafungua mlango wake nikamshika mkono tukaingia ndani
Nimelipa room nikamshika.mkono, bado anashangaashangaa nikafunga mlango .
Nikaingia na funguo bafuni kuoga nimekuja kutoka namkuta amevua nguo kalala.
Ilibidi aende kwake kesho yake. Ilikuwa weekendi so haikuwa nome kazini kwake so nlimwacha gest usiku wa saa sita. Kesho yaake asubuhi nikaenda kukamua tena ndo akaondoka
.
Kweli ex hatongozwi
 
Back
Top Bottom