Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Back 2020 nimesogea Kilimanjaro kwa broo kucheck raman za kaz kufika kule jamaa kanituliza , nikasema sio kesi wacha ni msikilize broo .
Broo hajaoa afu ni mtu wamademu sana kwahio nilifahamiana na mademu wengi sana wa broo ,
Street pale nikawa nafahamika sana kwa namna ya utupiaji wangu wa codes na ukimya hivyo nikawa nafahamika kias flan.
Sasa pale getto akaja workmate wa broo jamaa zikawa zinaunga sana na mm kuliko broo maana jamaa alikua na vitabia kama vyangu , tukawa ratiba zetu zina eleweka kila jion tuna shuka grocery za street pale kupata mvinyo hivyo nikawa napata wanawake tofaut tofaut .
Siku ya tukio broo alikua ana elekea arusha day kwenye graduation ya manzi mmoja ana hitimu A -level.
Mara ule work mate WA broo akanipigia simu oya jiandae uende arusha kwenye sherehe kupitia card yangu me naingia mtingo , nikasema poa baada ya muda nikatikea sehem ambayo raia zimejikusanya kusubir ndinga .
Nimetulia pale Ila ilikuja pisi moja hivi sio ya kitoto nikamuuliza broo huyu nan ? akanijibu demu wa JCB ( ule workmate wake ) nikakausha kabla hatujaondoka JCB akaja akaniabidhisha ule demu ni mchunge nikasema fresh jamaa akanikata 50 ya mvinyo huko niendako.
Mtoto nikanza mletea mapicha picha pale pale mara nikachukua mkoba wake na badhi ya vitu nikawa na msaidia , kupiga hatua kadhaa kiatu cha bidada kime funguka kamba nikasimama na kukifunga vizur.
Watu wakaanza kututania tania pale Safar had arusha day , ***** kufika kule kuna hao watoto sio wa nchi hii , nikawa na muinda demu muingine nae mhitimu ni mzuri kinoma , ule nlieenda nae nikawa kama na mkataa hiv sasa ndo akazid kuniganda mara time ya msos atake tule wote , basi sherehe ilifanyika time ya kurud tukawa tume kaa siti moja na ule bidada , story za hapa na pale basi tukafika Boma ng'ombe raia wakaomba tupate hapo unywaji kidogo tukangia bar moja tukaanza piga bia demu hanywi bia hua ana kunywa wine ***** nikasema huyu ata nipasua ikabid nimchukulie wine apige.
Baada ya muda wine ikaanza kumleta mara akakojoe mara acheke frequenclly
Mimi nikaona bia zina nichelewesha kuingia kwenye ulimwengu wa binti na mimi nikaagiza value basi shuhuli ikawa kubwa pale .
Demu akasema nisindikize chooni Nika mwambia poa kaenda kalimwaga nami nikaingia huko kuliwaga demu hatoki chooni nikaona sio Les nikatoa dudu na kukojoa kisha tuka geuka kupiga gambe , time ikawasili ya kurud hm nika mpanga bidada afikie getto afu asubuh ntampost kwao akasema poa Ila wacha afanye mawasiliano na sister ake ili isije leta shida kwao.
Basi bhana kufika kituoni nikamtoa kwa kumwambia twenzetu kwa sister ako akakubali nikaita boda Nika mshow atupeleke geto kwa speed ya jet chalii akawasha toyo hao hukudemu akisema mbona huku kama sio kwa sister nikamwambia nataka tuoge tujiweke sawa ndo nikupost kwa sister akasema dua .
Wenyewe hao had geto tukapiga maji nikafuta na wine nyingine na vibia kadhaa kisha tukaja poa geto
Manzi zikampanda tena akaanza cheza mziki mixer kunilalialai nikaona mtoto Kesha ivaa ni mwendo wa kumpasua sasa hio show yake sio ya nchii hii namka asubuh ntampost mtoto kurud nakuta wapangaj wameamka wanza nipa bingo za jana kwamba shem naona Jana ulipania kuua mtoto wa watu vilio had huku kwetu .
Ika wa utani shida mtoto akawa kuniganda Mazima afu mwenyew nlikua na mtoto mmoja wa Kenya mbichi afu namwelewa kinoma.
Manzi ikabid nimchane kwamba mm nina demu akasema sijali chamuhimu we nipende na mm naue unanipiga miti tu hata mara moja kwa week .
 
Hamnaga matunda ya masikhara bana, ni planned kabisa sema nyie ndiyo mnaona ujiko eti masikhara hiiii.
Yes hakika sio masihara uwa inakua hivi mdada anakua nayeye ashamtamani mkaka kwaiyo anapo chombezwa kidogo anakubali tu japo wanaume tunafanya kimasihara tu yaani tunakua atujari sana ila ndio ivyo mdada naye anakua ashamuelewa mkaka alipo muona tu[emoji3][emoji106]
 
Back 2020 nimesogea Kilimanjaro kwa broo kucheck raman za kaz kufika kule jamaa kanituliza , nikasema sio kesi wacha ni msikilize broo .
Broo hajaoa afu ni mtu wamademu sana kwahio nilifahamiana na mademu wengi sana wa broo ,
Street pale nikawa nafahamika sana kwa namna ya utupiaji wangu wa codes na ukimya hivyo nikawa nafahamika kias flan.
Sasa pale getto akaja workmate wa broo jamaa zikawa zinaunga sana na mm kuliko broo maana jamaa alikua na vitabia kama vyangu , tukawa ratiba zetu zina eleweka kila jion tuna shuka grocery za street pale kupata mvinyo hivyo nikawa napata wanawake tofaut tofaut .
Siku ya tukio broo alikua ana elekea arusha day kwenye graduation ya manzi mmoja ana hitimu A -level.
Mara ule work mate WA broo akanipigia simu oya jiandae uende arusha kwenye sherehe kupitia card yangu me naingia mtingo , nikasema poa baada ya muda nikatikea sehem ambayo raia zimejikusanya kusubir ndinga .
Nimetulia pale Ila ilikuja pisi moja hivi sio ya kitoto nikamuuliza broo huyu nan ? akanijibu demu wa JCB ( ule workmate wake ) nikakausha kabla hatujaondoka JCB akaja akaniabidhisha ule demu ni mchunge nikasema fresh jamaa akanikata 50 ya mvinyo huko niendako.
Mtoto nikanza mletea mapicha picha pale pale mara nikachukua mkoba wake na badhi ya vitu nikawa na msaidia , kupiga hatua kadhaa kiatu cha bidada kime funguka kamba nikasimama na kukifunga vizur.
Watu wakaanza kututania tania pale Safar had arusha day , ***** kufika kule kuna hao watoto sio wa nchi hii , nikawa na muinda demu muingine nae mhitimu ni mzuri kinoma , ule nlieenda nae nikawa kama na mkataa hiv sasa ndo akazid kuniganda mara time ya msos atake tule wote , basi sherehe ilifanyika time ya kurud tukawa tume kaa siti moja na ule bidada , story za hapa na pale basi tukafika Boma ng'ombe raia wakaomba tupate hapo unywaji kidogo tukangia bar moja tukaanza piga bia demu hanywi bia hua ana kunywa wine ***** nikasema huyu ata nipasua ikabid nimchukulie wine apige.
Baada ya muda wine ikaanza kumleta mara akakojoe mara acheke frequenclly
Mimi nikaona bia zina nichelewesha kuingia kwenye ulimwengu wa binti na mimi nikaagiza value basi shuhuli ikawa kubwa pale .
Demu akasema nisindikize chooni Nika mwambia poa kaenda kalimwaga nami nikaingia huko kuliwaga demu hatoki chooni nikaona sio Les nikatoa dudu na kukojoa kisha tuka geuka kupiga gambe , time ikawasili ya kurud hm nika mpanga bidada afikie getto afu asubuh ntampost kwao akasema poa Ila wacha afanye mawasiliano na sister ake ili isije leta shida kwao.
Basi bhana kufika kituoni nikamtoa kwa kumwambia twenzetu kwa sister ako akakubali nikaita boda Nika mshow atupeleke geto kwa speed ya jet chalii akawasha toyo hao hukudemu akisema mbona huku kama sio kwa sister nikamwambia nataka tuoge tujiweke sawa ndo nikupost kwa sister akasema dua .
Wenyewe hao had geto tukapiga maji nikafuta na wine nyingine na vibia kadhaa kisha tukaja poa geto
Manzi zikampanda tena akaanza cheza mziki mixer kunilalialai nikaona mtoto Kesha ivaa ni mwendo wa kumpasua sasa hio show yake sio ya nchii hii namka asubuh ntampost mtoto kurud nakuta wapangaj wameamka wanza nipa bingo za jana kwamba shem naona Jana ulipania kuua mtoto wa watu vilio had huku kwetu .
Ika wa utani shida mtoto akawa kuniganda Mazima afu mwenyew nlikua na mtoto mmoja wa Kenya mbichi afu namwelewa kinoma.
Manzi ikabid nimchane kwamba mm nina demu akasema sijali chamuhimu we nipende na mm naue unanipiga miti tu hata mara moja kwa week .
Pisi za moshi na arusha zpo poa sana shida kwenye mapenz kitandan aiseee
Unaweza ukalia akishika maiki utasema anaparua karoti
Mungu awasaidie tu dada zetu ila kitandan mpo hovyo mbaya
 
Pisi za moshi na arusha zpo poa sana shida kwenye mapenz kitandan aiseee
Unaweza ukalia akishika maiki utasema anaparua karoti
Mungu awasaidie tu dada zetu ila kitandan mpo hovyo mbaya
[emoji23][emoji23][emoji23] kabisa asee
 
Emu nikumbushie kisa cha kwenda club huku umechomekea,

Ilikuwa Tanga kwenye club famous sana pale, nipo zangu bar napiga castle light mixer sminorf x1 (kwa wanaoijua hii ni kali balaa, kitu cha sauzi) basi nimechomekea fresh sina muda wa kwenda kucheza mziki, mtoto wa kidigo kaja akakaa karibu yangu, na muda huo ilikuwa ni mapema kidogo akaniambia nimewaona wenzako sio mida wamepita nje sasa Mimi hapo sijui ananiambia wenzangu gani, ile kumuuliza wenzangu gani akaniambia wa benki ya ***, aaaahhh nikaona huyu kajikanyaga lile shati nilililovaa.

Mida ikaenda na Mimi naendelea kumpa story za Bank kama kweli mfanyakaZi wa Benki [emoji28], baadae akaniambia anataka aondoke maana kesho wana safari ya kikazi ila kwa pale pale Tanga, nikamwambia poa akaniambia nimsindikize anaogopa kwenda alone, nikamwita mwanangu wa bajaji chap tukaamsha, japo kanywa kidogo, alatuelekeza kwake tukafika hapo sijamfanya chochote maana tabia inabidi iendani na mavazi yako [emoji41], ile kufika akampigia mwenzake afungue mwenzake apokei simu nyumba yenyewe ni zile servant, angalia funguo wanapoweka amna, na nyumba kama hakuna mtu ndani, baadae akasema twende kwangu, kufika Demu ikawa kama tumejuana muda mrefu na ukizingatia ile nilikuwa nimepanga maeneo ya baharini, sema watoto wa kidigo wanajua kutiana demu anabadili gia kabla gari alijapunguza mwendo, sasa na ile sminorf x1 ndio balaa, nashukuru tu kesho ilikuwa jmos ila nillmt*** na kumf*** muda mrefu sana na mtoto achoki. Sasa kuamka kabla ajaondoka ananiambia anaomba form 6 zile wanazovaaga mateller wa benk hata moja tu, nikamwambia mimi sipo benki nipo kwenye maswala ya Farming na kampuni moja hivi, alimind kidogo ila show aliipenda akaamua kukausha tu.
watoto wa kitanga kwa kugawa tigo nasikia ni balaa aiseee..
 
Kabla ya yote nataka ifahamike kuwa bandiko hili halina nia ya kukejeli wanawake tajwa hapo juu bali najaribu kuelezea uhalisia wa sehemu ya mapito yangu.
Fuatana nami[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Kama mkataba wa kazi yangu ulivyonitaka niwe tayari kufanya kazi mahali popote ndani ya Tanzania na ndivyo ilivyotokea nikajikuta nipo bandarini kusubiria boti ya kuelekea zanzibar kufanya kazi huko kwa muda wa miezi sita. Ilikua ni mara yangu ya kwanza kwenda zanzibar na pia mara ya kwanza kutoka nje ya kituo kikuu cha kazi yangu hapa dar es salaam na kupangiwa kituo kingine tangu nipate mkataba wa miaka mitatu kwenye kampuni hii iliyokua na makao makuu yake ndani ya bandari ya dar es salaam. Sehemu zetu za kazi ambazo mtu angepaswa kwenda kama angehamishwa kutoka hapa makao makuu ni mtwara, tanga, unguja, pemba, mafia na bagamoyo.

Safari ilianza saa 11 jioni, nikiwa na begi langu nikaingia kwenye boti na kwenda kukaa kwenye daraja la tiketi yangu ambalo ni silver class. Sehemu niliyokaa kando yangu kulikua na msichana wa kati ya miaka 22+ ambapo yeye alitangulia kuingia kabla yangu na nilimkuta yuko bize na simu yake ya tochi, nikamsalimia na hatukua na maongezi tena kati yetu kwa muda huo. Baada ya safari kuanza na kila kitu kutulia nami nikaona nitoe simu yangu japo niperuzi. Simu yangu ilikua ni iphone 5s kwa wakati huo na ilikua siku nzuri haswa. Sasa bwana, baada ya kuitoa ile simu nikaona yule msichana amemakinika kidogo kuikazia macho, na baada ya muda akaanza kunisemesha na kuuliza ile ni simu gani, nilipomjibu akafungua mkoba wake akatoa simu kama ile ikiwa mpya kabisa akasema alitumiwa na ndugu yake kutoka canada na ametoka kuichukua lakini hawezi kuitumia na hata alipojaribu kuweka line hakuona majina. Basi nikamfanyia setting pale ikiwa ni pamoja na kumtengenezea apple id ili aweze kutumia na baada ya hapo tukawa kama watu tuliofahamiana kitambo, nikapata mpaka namba. Katika kufahamiana nikagundua kuwa yule msichana kwao mombasa lakini anaishi unguja, na akaniambia kama mipango itaenda sawa anatarajia kwenda kuishi canada miezi mitatu mpaka sita ijayo.

Baada ya kushuka pale bandarini (znz) kila mmoja (kati yetu) akashika njia yake huku tukipeana ahadi za kuwasiliana, lakini haikua hivyo kwani yule bint aliamua kunipotezea. Ni mara moja tu alipokea simu yangu baada ya kuachana pale bandarini tena ni pale nilipompigia ili kumuuliza kama amefika salama, baada hapo hakupokea tena simu wala kujibu sms. Kidume nilijaribu kwa njia zote kufanya ushawishi labda nitajibiwa lakini ikawa kinyume chake, nikakata tamaa lakini sikufuta namba. Nikapotezea kwa muda.

Baada ya wiki kama tatu hivi za kuwa busy weekend moja nikiwa mahali ninapoishi nimeshika simu yangu nikamkumbuka yule bint, nikasema wacha nijaribu leo nikatuma sms ya salamu, mara baada ya kutuma sms tu punde akanipigia. Ile kupokea bint ananiuliza mimi ni nani nikajisemea duh mpaka namba kafuta!, hata hivyo nikajitambulisha, ajabu bint akaanza kufurahi na kunilaumu kwa nini nilikua simtafuti nikashangaa!
Ktk kuendelea kuongea ndipo akaniambia mdogo wake amei restore ile simu yake (iphone) kwa bahati mbaya, na ameenda kwa fundi ameambiwa hawezi kuitumia mpaka aweke apple id iliyokuwepo awali lkn yeye anaikumbuka apple id pekee passwords amezisahau hivyo akataka kujua kama naweza kuzikumbuka, na kweli zilikua kichwani maana nilimuwekea passwords ninazotumia kwenye simu yangu.
Hata hivyo nikamwambia aje ninapoishi na hiyo simu kama anaweza, akaja.

Alivyokuja akanikuta napika sasa ili mimi nifanye kazi yake akaniambia jiko nimuachie yeye. Kazi kwangu haikua ngumu ila ikabidi nijicheleweshe ili nipikiwe kila kitu na pia nipate kuzoeana na yule bint. Akapika vikaiva na tukala pamoja, baada ya muda kdg ndipo nikampa simu yake ikiwa sawa. Yule bint aliiangalia simu mara moja tu na mara nikashtuka akiwa amenivaa mwilini huku akiwa amefurahi ajabu, akanikumbatia kwa nguvu huku napigwa mabusu hapo mzee sikulaza damu, japo nilipata usumbufu ule wa sitaki nataka lkn hatimae nilimla yule bint siku ile ile.
Rasmi sasa tukawa wapenzi baada ya lile game na ikafikia point mpaka nikawa naonewa wivu, ajabu ni kwamba hakuwahi kunionyesha kwao na hakutaka hata nipajue, sikujali. Baada ya miezi miwili ya uhusiano akaondoka kwenda mombasa na akasema anaenda kukamilisha taratibu za safari na alisafiri kweli. Kwa sasa yupo canada na hatuwasiliani baada ya kurudia zile tabia zake za kunata.

Baada ya mwezi kupita nikapata mwanamke mwingine, huyu kwao pemba ila alikua anafanya field pale bandarin unguja. Bint mweusi wa kipemba, mzur wa sura na asiekua na mambo mengi akameza ndoano yangu. Uhusiano ukaanza na ukashamiri, huyu nilimkuta bado bikra, nikampenda haswa huku nikijiwazia "huyu ndie mke".


Tulale kwanza....
huyo mpemba mwingine ulimkuta na bikra zote au moja tu??? maana wapemba duuuh...🙌
🙌🙌🙌🙌😁😁🤣
 
Uoga wako ndo umaskini wako man, mimi juzi tu hapa Japo ni usela mavi sikatai ila kuna jirani wangu ana pisi kali kweli inafanya kazi bank ilikua likizo sasa mara kwa mara anakuja kuomba movie mara aombe micro wave akaitumie nkaona Haya mazoea sio ya kawaida

Acha uoga jimwage ila ukishayamwaga hakikisha unakula mzigo akiondoka hujamla atakudharau sana.
shusha uzi sasa ulivyomla kimasihara jirani huyo 😁
😁 🤣
 
Kwema waungwana, nilikuwa sijawahi kula kimasihara. Ilikuwa wiki iliyopita 07/07 nilikula tunda kimasihara.

Nilikuwa nimempeleka mtoto wa brother shule moja huko Manyara wilaya moja milimani, toka mkoa niliopo mpaka huko shule ni mwendo wa masaa matano, mtoto alienda kuanza shule kidato cha tano.

Tulifika makao makuu ya wilaya mida ya saa nane, shule ilikuwa nje ya mji. Tukakaa stand kusubir hiace inayoenda shulen ijae, tulisubiri kwa karibu saa nzima. Ikajaa tukaanza kuelekea shule. Wilaya hiyo inasifika kwa kuwa na baridi kali kama la makambako.

Tulifika shuleni tukapokelewa vizuri, pale niliwakuta wazazi kadhaa waliowaleta watoto shuleni. Mtoto alikaguliwa akasajiliwa na kuelekea bwenini.

Wakati wa kuondoka nikaongozana na mama (kwangu alikuwa age mate) mmoja aliyemeleta binti yake ambaye ni 1st born hiyo aliniambia baada ya shughuli. Tulikaa pale mda mrefu kusubiri gari, mida ya saa 18:30 tulipata lift mpaka mjini na wote tulikuwa wageni.

Yule dada alikuwa around 36-38yrs alikuwa mweupee mama wa kimasai. Ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kuona masai mweupe mwenye shape MashaAllah kama vibint vya mika 25. Alikuwa mrefu, mwenye macho makubwa na miguu ya dompo akitembea wezere linatetema huku kidume moyo unaniruka kichura chura.

Kwa sababu wote tulikuwa wageni na tusingeweza kusafiri kwa siku ile kutokana na usafiri wa kutufikisha mkoani na maeneo mengine ulikuwa mgumu tukaanza kutafuta gest, tulipata gest inaitwa "Washington" ipo karibu na uwanja wa mpira jirani na stand. Kila mtu alipata chumba chake. Baada ya kuweka mambo sawa, yule dada alinishauri tutafute sehemu tupate msos na vinywaji.

Tulizunguka kidogo tukapata sehemu nzuri wanachoma nyama na vinywaji vilikuwepo. Huyu dada napenda nimuite "Maasai Queen" akaagiza serengeti zake tatu, mimi sio mnywaji wa alcohol so niliagiza kinywaji barid tukawa tunapiga story mdogo mdogo.

Akanambia yeye ni mjasiria mali ila mumewe ni engineer huko mikoa ya kaskazini na yule mtoto ndio 1st born wake, katika story akagusia maisha yalivyokuwa enzi za mwendazake kuwa out zilipungua sababu mumewe michongo ilikata hata tendo la ndoa alikuwa halipati kwa wakati, aliyaongea hayo baada ya kutupia serengeti kadhaa.

Anadai mume akirudi alikuwa na mawazo kinyama kiasi kwamba hisia hazipo akasema kabla mwendazake hajaingia madarakani mechi zilikuwa zinapigwa mpaka anasikia harufu ya nyama nyoma kwenye papuchi. Anadai mwendazake aliwabana sana kiasi michongo ilikata. Tendo la ndoa lilikiwa la manati sababu mzee wake alikuwa na stress mb..oo haiendi mnara. Ila kabla ya hapo mechi zilikuwa safiii na k.. ilikuwa inapata haki yake daily. Anasema mzee wake alifanya sherehe mwendazake alivyokata moto.

Zile story zikaanza kuninyegesha.
Nkamchana ujue unaninyegesha kwa sababu tulikaa jirani basi akahtuka akauliza kweli nkamwambia angalia duduwasha limesimama akasema acha utani, akigusa akakuta kitu kiko mnara unasoma 5G. Akacheeka, macho yakazidi kulegea. Tukaanza kushikana papasa mapaja nakutana na paja laini kama anaogea maziwa na kujipaka asali. Alikuwa laini kama mafuta gando.

Touch zikakolea, nikamshauri tuondoke turudi guest. Tukaishia room kwangu tukaanza kukiss Maasai Queen anajua kukiss sana, tukajikuta tupo naked dada anatako lain na chuchu zilizosimama as if hajazaaa, kunyonywa shingo na chuchu ndo ilikuwa ugonjwa wake nyonya saana.

Nkamlaza kitandani, akalalia tumbo nkaanza kumkanda mgongo kwa mafuta yake ya nywele dada wa kimaasai analia tuu anabembeleza nipe! nipe! Nikamgeuza akaidaka dududwasha akaanza kujipimia blow job, nikahis ntaaibika kidume naweza mwaga wazungu. Nikamgeuza 69 position nkaanza kucheza na kisimi chake, kwanza nilishangaa kukuta hajakatwa. Alikuwa na kismi kikubwa na kirefu nikaanza kukichezea kwa ncha ya ulimi kufuata mwendo wa ant clockwise anakaanza kutetemeka na vimaji vyepesi vikaanza kuruka. Nacheza na kisimi huku mikono inampapasa tumboni mayowe yakazidi eti nakupenda mume wangu, wakati hata majina hatufahamiani.

Kelele zilizidi nkahisi chumba cha pili wanatusikia, tukabadili style yeye huku anatetemeka nkaingiza kichwa pasipo kuzamisha yote nkawa nasugua engo ya juu kule kwenye kinyamaa kigumu chenye matuta nilishangaa nafinywa mgongoni anataka niingize yote. Dada alinipa miuno balaaa nkawa nahis kama anaifinyia kwa ndani mara wazungu hao!

Tulinyanduana usiku kucha kuja kushtuka ni saa tatu asubuhi. Ila yule dada alikuwa dizain kama mnyaruanda kumbe ni masai aliyezaliwa Simanjiro. Nikamuuliza jina lake tukabadilishana namba. Tunapeana hi kikawaida. Ila nataka tuje turudie mechi nilimuelewa.
hongera mzee baba.. Pisi za kimasai nasikia tamu mno.... Nimewahi kula mtoto mmpja wa kikurya sijui mjaluo yule alikuwa kakeketwa, sema ukeketaji ambao haukati sana zile sehemu (aliniambia yeye mwenyewe), nikashangaa alikuwa ana hisia kali na anakojoa mno aisee
 
Say just Hi to the neighbor 😂 😂 😂
Hapa bongo hawasemi hivyo code yao ni kuitisha kuku saa nane usiku
akiitisha kuku ujue beef burger inalika furesh
daaaaah hatariiii... 😁
😁 😁 😁 😁 🙌 🙌 🙌 🙌 🙌
 
Oya mazee.... hii imekaaje?
Nina dem wangu, nikiwa napiga show, ikatokea akapizi kabla yangu, yani anakuwa hataki tena.
Kama ni usiku basi hapo nijue ntapata gemu kesho asubuh tena.
Otherwise, nalala kifara tu maana hata nimbembeleze hataki.

Ila yeye akiwa na minyege ananilazimisha hata kama nimelala.

Vip na nyie inawakuta au huyu dem mzinguaji?
Japo anazingua...mwambie akugeuzie tako ujichue inawezekana anataka line B wanawake hawako selfish namna hiyo, akifika atavumilia umalize..na kama mwanamke wako anafika hujamaliza atataka umalize alale japo kidogo, hata dk 3 tuu...mimi nikitomba demu akifika kweli nnajua aki fake nnajua na 90% huwa wanapitiwa na kausingizi kafupi i respect that ila kama sijafika na kachoka nnamgeuza nacheza na matako, simuingilii kwenye mkun.do ila sliding btn em cheeks
 
Kuna mshenz mmoja najua sio mchoyo Lkn ananibania eti atanipa August huko . Anajifanya kuniona husband material
Alafu mimi mwanamke anaenikubali haraka nampaga respect sana kulijo jitu linalonichomesha mahindi...najifanyaga sina time nae nikimkamata namla alafu namwacha siku hyo hiyo ila simwambii
 
Back
Top Bottom