Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ngoja niwape na yangu(mtanisamehe sio mwandishi mzuri)

Kipindi namaliza form four nilikua bado na govi ila hakuna mwanafunzi aliekua anajua,uzuri ilikua shule ya kata na kukojoa shule ilikua ni kwa machale sana.

Basi bana tokeo likaja nikawa nimekunja zangu two enzi hzo 2009 kupata two shule ya kata ulionekana kipanga hatari.ikabidi nianze kujiandaa kwa ajiri ya advance maana nilichaguliwa mbali af ilikua ni boarding.kipindi nakaribia kwenda nkakumbuka kua huu mkono wa sweta kwenda nao advance itakua msala sana ikabidi nimwambie maza kua inabidi kamkono ka sweta kakatwe.siku mmoja akamwambia rafiki ake mmoja hivi aliitwa mariam.basi mariam akamwambia ijumaa niende kwake saa tano tutaenda ote msikitini nikakatwe na ikawa hivo

Shida ikawa kupona sasa weka kila dawa wapi ,kunywa kila dawa hola(ila suruali nilikua naweza kuvaa but za kitambaa tu).Ikabidi siku moja niende chumbani kwake maza aniangalie isije kua naoza.(hii ilituchukua week kukubaliana kua anicheki maana wote tulikua tunashtukiana) alivyo ona tu akaogopa ikabidi amwambie tena mariam kua hali ni tete.Mariam akaniambia niende kwake ijumaa atanipa dawa akitoka msikitini ataipitia sehem.Ijumaa ilipofika nikaenda nilimkuta peke ake..(watoto wake wawili walikua chuo na mme wake ana wake wanne na walikua kama wameachana ila alikua anakuja kuleta mahitaji tuu)..nikawa nimemwambia kua nimefata ile dawa aliomwambia maza akajibu nimfate huku akinyanyuka, haoo mpaka chumbani..mara akaniambia "em vua nione" nikasema hapana asee akawa ameshika mkanda anataka kufungua Suruali nikamsukuma.tukabaki tumeangaliana tu nikamwambia kafunge mlango kwanza akasema haina haja geti si limefungwa(lengo langu lilikua atoke af akute nimevua sijui why niliwaza vile) tukabaki tumeangaliana nikamwambia akanichukulie simu yangu sebuleni nimeacha kwenye kochi akanyanyuka fasta basi nikawa nimesita kuvua nikakaa tu kitandani namsubiri.mariam akarudi anaongea na simu mara gafla akaniwekea sikioni ongea na mama ako😂😂.maza akawa anacheka akaniuliza unaogopa nn??em vua huko upewe dawa(kumbe ile dawa ilitakiwa uwekewe na mwanamke so maza alimuomba mariam aniwekee kabisa siku zilikua zimeisha af dawa ni ya mafuta unapaka dushe zima unakua kama unalifanyia massage kimtindo so maza aliona sio sawa yeye kufanya hvo na sijui alihisi sina dem pia)
Ikabidi nisimame nikafumba macho dada marium akawa anacheka.akapiga magoti akafungua mkanda na zip akashusha suruali then akashusha boksa taratibuu asiniumize nikaona kashtuka ila akakaa kimya.wakati anachukua yale mafuta akaniuliza ulitumia dawa za kukuza nn??nikajibu hapana,akasema na miaka yake 39 hajawahi kuona chatu kama yule. nikawa nacheka cheka na vi aibu aibu vyangu.nikaskia hongera mwaya😂😂😂.ikabidi nikaushe nikaskia nakupa hongera ikabidi niseme asantee.akaanza kunipaka ile dawa ila kuna namna alikua analishika dushe siiielewi kabisa nikawa najikaza nisisimashe maana likisimama naumia vibaya hatari.zoezi likakamilika nikavaa nikaondoka.siku mbili tu nikawa nimepona siku ya tatu nikawa nimeondoka kwenda shule....itaendelea
Kwahiyo Mariam unamla lini?? Kenge we unatuharibia ratiba ss wapiga chabo
 
mtu alivyonasa mwenyewe juzi baada ya mwezi kuandama
Screenshot_20220502-233123_WhatsApp.jpg
 
Kuna wale walinzi kweny mwendo kasi

Nimefika nimekaa sana kusubir mwendo kasi za mwenge maana zipo chache piga dana story mtto amevaa kiafande alafu mkali nikamsifia sana akaniambia kafunga nikamtoa buku mbili ya kufuturia nikamuomba namba akaogopa kushika simu yangu kaingia kweny vile vyumba vyao kaja kaichora kweny tiket chakavu mwendo kasi inakuja napanda tunaagana kwa tabasamu

Wiki hii nitaleta kisa kamili sasa nipo kwenye fainali aseeh ukiwa mcheshi raha sana nikama kumsukuma mlevi
 
Kuna wale walinzi kweny mwendo kasi

Nimefika nimekaa sana kusubir mwendo kasi za mwenge maana zipo chache piga dana story mtto amevaa kiafande alafu mkali nikamsifia sana akaniambia kafunga nikamtoa buku mbili ya kufuturia nikamuomba namba akaogopa kushika simu yangu kaingia kweny vile vyumba vyao kaja kaichora kweny tiket chakavu mwendo kasi inakuja napanda tunaagana kwa tabasamu

Wiki hii nitaleta kisa kamili sasa nipo kwenye fainali aseeh ukiwa mcheshi raha sana nikama kumsukuma mlevi
Hii sio kimasikhara.kimasikhara ni kula bila kutarajia,hapo ulipo ushaanza michakato ya kuchakata mbususu huwezi ita kimasikhara.
 
Kuna wale walinzi kweny mwendo kasi

Nimefika nimekaa sana kusubir mwendo kasi za mwenge maana zipo chache piga dana story mtto amevaa kiafande alafu mkali nikamsifia sana akaniambia kafunga nikamtoa buku mbili ya kufuturia nikamuomba namba akaogopa kushika simu yangu kaingia kweny vile vyumba vyao kaja kaichora kweny tiket chakavu mwendo kasi inakuja napanda tunaagana kwa tabasamu

Wiki hii nitaleta kisa kamili sasa nipo kwenye fainali aseeh ukiwa mcheshi raha sana nikama kumsukuma mlevi
Kwa hiyo na wewe hapo unakuwa umekula kimasihara au siyo???!!!.
 
Back
Top Bottom