LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,338
- 6,427
Nakazia kwa herufi kubwa. Kila kitu fanya serious kama official visit ya muheshimiwa raisi. Itifaki inazingatiwa, wanaanza mgambo mpaka wazee wa suti nyeusi na miwani.wanawake viumbe wa ajabu sana . unaweza mpelekea moto ukasema huyu akitoka hapa atakuwa hana hamu na mm . Cha ajabu yeye ndo akakuganda zaidi .
Mzee wangu aliwahi niambia duniani hapa kitu ambacho ukikizidisha ni umeharibu ni chumvi kwenye chakula . lakini maswala mengine yote ni bora uzidishe kuliko kupunguza . sinaga mdhaha na hawa viumbe.
Kijana tukikutana na mwanamke show show.





Aha vingine sikulaaa wakuu.

