Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,879
Last edited by a moderator:
Sitaki kukutana na yeyote wa humu.
(Willingly) never ever again.
Hivi tu watu hawakujui lakini hawaishi kukuzushia uzushi.
Wakikutana na wewe in the flesh si ndo utakuwa umewapa fodder ya kutosha kwa uzushi wao....
So hell to the no. But y'all can meet if you want to. But for me, just ain't my thing....
Mimi ningependa nikutane na "Tony Gwanco", ila masharti ya signature yako yazingatiwa....!Humu ndani tumekuwa wengi hatufahamiani ila tumeweza kuwa karibu kupitia id zetu tu. Kwa mfano kama ukipatiwa fursa ya kukutana live na mwana JF mwenzako ungependelea ukutane na nani.
Weka jina hapa
umeona eeeh!!!! kuna watu wambea wambea sana kama hawana kazi za kufanya vile. watu wanataka wakutane wapate la kuongea kwa wengine.
Nitaweka link kabisa, au kabanga kashaleta maana?
kabanga hajafika apa..nahisi ana zamu ya lindo kwa Snowden si unajua yeye ni KGB
wanamme huwa sio wambea, labda ukutane nao🙂
Ahahaah..........
hili itabidi tulianzishie thread siku moja mkuu , kuna watu humu wanajipa vyeo vya kufahamu wenzao kuanzia maisha ya jf mpaka ya nje ya jf wakati hata PM hamjawahi kuandikiana.
hili itabidi tulikemee siku moja......... inaudhi na haipendezi.
Mmmmmmh unataka kuyakuza!
hhahaa nauliza tu lol