Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,333
- 17,873
Tatizo limgine ni kuwa watu wanataka kukmuona fulani, ili tu amlinganishe na anachokoment kule Jukwa La Wakubwa (JLW)...
Wrong sana hiyo lol
Tatizo limgine ni kuwa watu wanataka kukmuona fulani, ili tu amlinganishe na anachokoment kule Jukwa La Wakubwa (JLW)...
zamani nikidhani vinapatikana kirahisi aisee, kumbe siku hizi hata vya morogoro vimepanda bei, achilia mbali vya mbezi!!
teh teh...bora tu ulivyojitoa kwenye kiwanja cha kaka yangu..mtajengaje wawili sehemu moja?
Kaizer niambie miss chagga anataka kujua nini?Uyo kijana apo juu ana mchumba analo sasa anasema linampa presha kila anapoambatana naye..alipotaka kumwona miss chagga ndo nikamtaarifu ivo sasa lol
Kwamba inasaidia nini hili swali nalielekeza kwa utafiti na kabanga
mwallu sio memba kule JLW, Ngalikihinja analijua hilo. Halafu mwallu ninaye deile ss sihitaji kukutanishwa naye mkuummmmmh, wewe unatamani ukutanishwe na mwallu ili uone nini?
Kaizer niambie miss chagga anataka kujua nini?
Eti wezele faida zake nini au inasaidia nini?:what:😀😀
Usisahau na kielelezo ili miss chagga aelewe vizuri
mwallu sio memba kule JLW, Ngalikihinja analijua hilo. Halafu mwallu ninaye deile ss sihitaji kukutanishwa naye mkuu