OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
Last edited by a moderator:
anyway natamani kukutana na utafiti
OLESAIDIMU hhaha asipaone madame k hapa
na Eiyer style yako ya maswali maswali inanipa shida ila natamani kukutana nawe pia
umeona eeeh!!!! kuna watu wambea wambea sana kama hawana kazi za kufanya vile. watu wanataka wakutane wapate la kuongea kwa wengine.
Ndo hivyo tu na si jingine. Sasa kwa nini mi niwasaidie katika hiyo ajenda yao chafu?
Heri niende zangu kwa Ustaadh Swaleh nikapige naye stori za kusafisha nyota :smile-big:
hahahaha!!!!! ngoja namie nikachukue namba yake. lol.
Nkutane na Nyan Ngabu lkn hatak kukutana na m2 ila me co mzush
Mkakati wako nimeupenda, Nyani Ngabu unaona hii "coincidence" ya kuandaliwa hapo kwa ustaadh!!!!!!!
Husninyo the super predator!!!!!!
miss chagga hana wezele sasaNikikutana na miss chagga sio mbaya...
Sent from my iPhone using JamiiForums app
hahahahaha!!! ujue ww mchokozi sana. kila mtu ataenda kwa ustadh swalehe kwa muda wake bana.
Nkutane na Nyan Ngabu lkn hatak kukutana na m2 ila me co mzush
Mie mchokozi tena au nimewaza kwa sauti!!!!!!????
Haya bhana asije ustadh akasema nambania wateja bure, ila kwa masuala ya nyota mtapewa appointment saa nne usiku!!!
Kama una shepu ya masogange atakuona tu
umeona eeeh!!!! kuna watu wambea wambea sana kama hawana kazi za kufanya vile. watu wanataka wakutane wapate la kuongea kwa wengine.
hehehe!!! mlainishe tu mwenyewe atalegeza msimamo. lol
cc Nyani Ngabu.