Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Hahaha nitafuta ushauri wako mkuu...

HAhahahaah watu8,Unamaanisha kwamba ladyfurahia ni wa Bodaboda na siku akipanda Bajaj full kusinzia yani ana-relax mnooo.Kwa ushauri wangu tu hiyo Bentley itume tena kaka, ila weka na Neti kabisa na mashuka bila kusahau mito.
 
You would think this Kiranga fellow was some Nobel laureate or something.

Why, I would like to meet him myself judging from the buzz here!
 
Hivi ukipewa nafasi moja tu ya kukutanishwa na mwana jf mmoja tu(ambaye humfahamu kwa sura zaidi ya ID yake tu) ungechagua/ungependa ukutanishwe na nani?

mi ntamtaja badae kidogo..labda anaweza akanitaja yeye...

HAYA TENA..MEMBERS WAPYA WAMEONGEZEKA NA WENGINE WAKONGWE WAMEKIMBIA...KAZI KWAKO!!

Hujui kwa nn wamekimbia uliza uambiwe peoplez wameshajua ujinga unaoendelea humu hakuna tofauti na fb bana!!
 
You would think this Kiranga fellow was some Nobel laureate or something.

Why, I would like to meet him myself judging from the buzz here!

Una mbwembwe nyingi, that's why I want to meet you
nijionee what makes you so hardy to speak with such confidence.
Pia outside the jf realm i would like to ask a few personal questions.
 
Haaa unataka kukanyaga ukutani sio? (ukanya mwaimato)
Uliniambai nikija nyumbani utakuwepo kila wakati, nimekuja kama mara 56 haupo.
nambie sasa ulienda wapi Mamndenyi?

Yalaa mimi sina nyumbani mbona. Utakuwa ulipotea tu.
 
Last edited by a moderator:
Napenda nikutane na sijui nini maana ile thread yangu ya thamani ya pesa uliichangia vizuri sana
 
Napenda nikutane na sijui nini maana ile thread yangu ya thamani ya pesa uliichangia vizuri sana
hahahah....ile thread watu walikuwa wanajifanya kiburi tu kuelewa ila kila kitu kilikuwa wazi pale...
 
Humu ndani tumekuwa wengi hatufahamiani ila tumeweza kuwa karibu kupitia id zetu tu. Kwa mfano kama ukipatiwa fursa ya kukutana live na mwana JF mwenzako ungependelea ukutane na nani.

Weka jina hapa
 
Back
Top Bottom