Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

dah..kweli mapenzi hayana baunsa
usiwe bushoke sana lakini..


Huyu Eli79 cha mtoto tu dada yng! Wewe unafikiri ataweza kumtoa karucee kwenye mikono ya ngosha?!!
 
Last edited by a moderator:
Huyu Eli79 cha mtoto tu dada yng! Wewe unafikiri ataweza kumtoa karucee kwenye mikono ya ngosha?!!
Ntuzu, nimejitoa rasmi.. Sina kinyongo kabisa, teh! Kiwanja cha mwallu nacho kimewahiwa, naona mjini hapa viwanja vya Mbezi vina soko balaa, teh!
 
Last edited by a moderator:
teh teh...bora tu ulivyojitoa kwenye kiwanja cha kaka yangu..mtajengaje wawili sehemu moja?
Ntuzu, nimejitoa rasmi.. Sina kinyongo kabisa, teh! Kiwanja cha mwallu nacho kimewahiwa, naona mjini hapa viwanja vya Mbezi vina soko balaa, teh!
 
Mimi sina kiwanja hata kimoja Eli79..nlikuwa nauliza kama vinapatikana kirahisi hivo na mm nijiongeze

zamani nikidhani vinapatikana kirahisi aisee, kumbe siku hizi hata vya morogoro vimepanda bei, achilia mbali vya mbezi!!
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu, nimejitoa rasmi.. Sina kinyongo kabisa, teh! Kiwanja cha mwallu nacho kimewahiwa, naona mjini hapa viwanja vya Mbezi vina soko balaa, teh!



Ha ha ha ha usijitoe Mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom