Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

hahaha!!! ushaharibu sasa. huo muda ndo mzuri lakn maana tukitoka huko hamisi atanidrop home. teheeeeee!!!!

Ha ha haaaa na hawezi kukuacha uhatarishe maisha yako (say kwa Mbwamwitu)!!!!!!!
 
Sitaki kukutana na yeyote wa humu.

(Willingly) never ever again.

Hivi tu watu hawakujui lakini hawaishi kukuzushia uzushi.

Wakikutana na wewe in the flesh si ndo utakuwa umewapa fodder ya kutosha kwa uzushi wao....

So hell to the no. But y'all can meet if you want to. But for me, just ain't my thing....

Well said....
 
Mm sihitaji kukutana naye....yaani nataka nioneshwe kwa mbali huyu ndio lara1......bhaaaas
 
Last edited by a moderator:
labda ulikutana na wa kwa mange kimambi, wa hapa wote ni real men, responsibe and loaded 🙂

weeeeeeee!!!! tena hao ndo usiseme. wambea halafu wapiga mizinga. sijui ndo fee ya umbea.
 
Back
Top Bottom