OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
Unanichimba????!!!!!
Last edited by a moderator:
Unanichimba????!!!!!
Ramadhan hiyoooo, uje Iftar nyumbani.
humu ndani tumekuwa wengi hatufahamiani ila tumeweza kuwa karibu kupitia id zetu tu.kwa mfano kama ukipatiwa fursa ya kukutana live na mwana jf mwenzako ungependelea ukutane na nani.weka jina hapa
wakuu hakuna anae tamani kuonana na mimi?
mi natamani kuonana na babu asprin
Jamani,hakuna anayetamani kukutana na mimi??
Mi natamani kukutana na MziziMkavu, utafiti, Arushaone, Ntuzu, Tized,, mwallu,, gorgeousmimi, farkhina
Natumai sasa ushapona, kwakuwa maombi yangu yote ya leo, na sadaka nliyotoa ilikuwa kwa ajili ya afya yako.
Me siku moja nitakutafuta nataka nembo moja ivi
wakuu hakuna anae tamani kuonana na mimi?
mi natamani kuonana na babu asprin
So do İ. tufanye mipango mkakati basi next weekend tukutane bar yenye vyumba vya wageni incase mmoja akizidiwa, mwenzie ampeleke akalale kwa amani.
Tized,,Itakuwa heshima sana kukutana na wewe mkuu,asante!Itakuwa ni heshima kubwa sana kukutana na mtu kama wewe Mkuu sungura1980. Many thanks.
Jamani,hakuna anayetamani kukutana na mimi??
Mi natamani kukutana na MziziMkavu, utafiti, Arushaone, Ntuzu, Tized,, mwallu,, gorgeousmimi, farkhina
Hahahahaha asipaone nani?