Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

uvimbe kwenye njia ya haja kubwa ni tatzo linalo wapata watu wa jinsia zote yaani me au ke kitaalamu huitwa haemorrhoid or piles au viotea ktk puru tatzo hutokana na sababu mbalmbl mala nying htkea unaporazmisha kutoa haja kubwa hasa unapokua na tatz la kukosa choo kwa mda mrefu yaan constipation au kutokana na kula vyakula visivyo laini.tatzo hili pia hutkea sana kwa akna mama wajawazto sasa sjajua wewe ni mama au baba.kuna dawa unazoweza kupewa na kuzichomeka km vile anusol supp.au proctosedyl supp nk dawa hiz mala nyng hutuliza na kuliahrisha tatz kwa muda tu hivyo hudhuria kituo cha tiba unaweza kfanyiwa upasuaji kadiri daktar atakavyoona tatzo lako.USHAURI WA NYONGE

Pole sana kaka stan b, nahisi dr hapo juu kajibu vizuri ila kwa ushauri wa ziada waweza kutumia matunda yenye nyuzinyuzi kama ndizi, maembe, nk pia unatakiwa kula ugali wa dona (unga usiokobolewa) tiba hii husaidia sana kuondokana na ugonjwa huo wa bawasiri
 
kaka pia waweza angalia topic yangu moja kwenye hilihili jukwaa ina kichwa cha habari MISULI YA MKUNDUNI (HEMORRHOIDS), nlipata ushauri mzuri sana
 
Wadau kuna kitu kimeniogopesha sana.......jirani yangu saa hii yupo mahututi kalazwa hospitali.....inasemekana ana nyama kwenye njia ya haja kubwa na anahitaji upasuaji........kinachonitisha zaidi ni jinsi anavyolia kwa maumivu.....jamani....chanzo cha hii kitu ni nini?.....na mtu ufanyaje ili uepukane nayo.....?
 
...wakati mwingine ni kuingiliwa kinyume na maumbile,pia ufanyaji wa kazi nzito,kam mazoezi ya kijeshi ama kubeba vyuma vizito huwa ni sababu tosha!!hiyo ni kwa uchache niyajuayo,wataalamu zaidi nathani watatuelimisha
 
nilishapatwa na tatizo ka hilo miaka minne iliyopita nikiwa chuo,maumivu ni makali sana nakumbuka sikulala usiku mzima nalia ka mtoto mdogo,doctar aliniambia inasababishwa kuinua vitu vizito,kazi za kukaa mda mrefu na ni kweli kipindi hicho nilikuwa na nafnya mazoezi ya kunyanyua vitu vizito,niliandikiwa dawa ya kunywa na ya kuingiza huko kwa haja kubwa..na mshukuru Mungu nimepona na naendelea na mazoezi poleploe
 
...wakati mwingine ni kuingiliwa kinyume na maumbile,pia ufanyaji wa kazi nzito,kam mazoezi ya kijeshi ama kubeba vyuma vizito huwa ni sababu tosha!!hiyo ni kwa uchache niyajuayo,wataalamu zaidi nathani watatuelimisha

mmmmh.......nimejaribu kuwaza kwamba inahusianaje....ndio nazidi kuchanganyikiwa.......
 
Sina uhakika hasa kiundani. Lakini kuna mtu wangu wa karibu alipatwa na hilo tatizo akaambiwa inasababiswa na constipation. Hii inapelekea unye mavi magumu mara kwa mara ambayo yatasababisha kutokwa na nyama huko kwenye njia za haja kubwa. kuna dawa za hospital za kutumia lakini dawa nyingine ni pamoja na kula matunda vizuri na maji. kwahiyo kama wewe sio rafiki wa matunda na maji uwezekano wa kupata constipation ni mkubwa. Lakini kitu ambacho kilinishangaza zaidi huyu jamaa alipata constipation baada tu ya kufanyiwa Appendix surgery na maelezo yake alikuwa anajitahidi kuwa rafiki wa matunda na maji.

Huo ni uelewa wangu mdogo tu, sina utaalam. Labda wataalam watatusaidia zaidi.
 
nilishapatwa na tatizo ka hilo miaka minne iliyopita nikiwa chuo,maumivu ni makali sana nakumbuka sikulala usiku mzima nalia ka mtoto mdogo,doctar aliniambia inasababishwa kuinua vitu vizito,kazi za kukaa mda mrefu na ni kweli kipindi hicho nilikuwa na nafnya mazoezi ya kunyanyua vitu vizito,niliandikiwa dawa ya kunywa na ya kuingiza huko kwa haja kubwa..na mshukuru Mungu nimepona na naendelea na mazoezi poleploe
Ili kuweza kumsaidia mtoa hoja na wadau wengine sio vibaya kama ungetaja jina au majina ya dawa ulizoandikiwa na Dr.
 
mpe pole lkn hiyo kitu inatokea tu muda mwingine ibilisi anajiinua kwa njia nyingi
 
Huu ni ugonjwa uitwao Hemorrhoids au Bawasiri kwa kiswahili na hutokana na kusukuma haja kubwa ambayo huwa ni ngumu kutoka na hivyo kufanya nyama na mishipa ya mkunduni kutoka nje. Dawa ya asili kwa ugonjwa huu ni kula sana matunda ya nyuzinyuzi, kuacha kutumia unga uliokobolewa yaani atumie unga wa dona kwa ugali na kunywa maji mengi. Hii ni dawa nzuri na haina gharama sana kwa mgonjwa wa bawasiri.
 
Back
Top Bottom