Ufaransa: Kwanini walinzi wa Rais Samia wanavaa Barakoa ya Zanzibar kwenye ziara ya Tanzania?

Pamoja na kujadili wajumbe wa ziara walivyovaa, muhimu zaidi tujue nini kilichojadiliwa na kukubaliwa. Isije kuwa masuala ya ulinzi wa bahari yetu wakapewa Wafaransa kwa hoja kuwa wanatusaidia kulinda uchumi wa buluu. Manowari za Wafaransa zikiruhusiwa kuja kuweka kambi huku kwetu basi itakuwa ngumu sana kuwadhibiti iwapo wataamua kutuhujumu. Ni angalizo tu....
 



Raisi ame ingia mikataba huko mikubwa badala ya kuulizia mikataba ina nini? Mikataba ya nini? Tunaongelea majina ya barakoa halafu mnataka hawa watu watuone tupo serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…