Kunauwongo sana juu ya chato,,hakuna kitu chaaana labda uwanja wa ndegeMagufuli alipendelea Chato tulipoongea mkasema kwani Chato sio Tanzania?
Sasa mama yenu alishasema yeye na jiwe ni kitu kimoja mnashangaa akivaa vya kwao Zanzibar sio Tanzania?
Mlizoea ujinga wa kusema maendeleo hayana chama wala ukanda haya pambaneni sasa MATAGA chipukizi na MATAGA wafiwa