UDOM: Makamu mkuu wa chuo akiri udini upo chuoni

Tatizo la watu wengine ni kama mang'ombe tu,badala ya kujadili maada unanza kutaja makabila ya watu. Kama kabila lako halikwenda shule shauri yako, si baba zenu na babu zenu walisema elimu maghalibi ni ukafiri sasa mnalalamika nini. Wafufue babu zenu muwachape viboko kwa kosa walilofanya.
Hakuna makabila ya wasiosoma,huo ni mwimbo wa kuwapumbaza watu.
 
Unazungumziaje upangaji wa wanafunzi kutokana na dini zao mwabwenini? Huoni kwamba likiendelea hili AnswarSuni wataanza kuwaona waislam wengine hawafai na wao wataanza kuomba kupangiwa peke yao? Na wa kristo hivyohivyo, walokole wakisema wa lutheri sio wakristo sana na wanataka kujitenga nao itakuwaje?

Ni juavyo mimi kigezo pekee kinachokubalika kutenganisha watu vyuoni ni Masomo tu na sio Dini. Kwa maana unaweza kuwapanga wa Kozi moja pamoja na sio wa dini moja pamoja kama kigezo.

Am Muslim nimesoma sekondari na Msalaba kifuani kwenye shati kuna Label, darasani kuna msalaba na sanamu ya bikira maria, vipindi vya Dini vinafanyika Ijumaa Saa Tatu mpaka saa nne na tukiwa na mavazi hayohayo tunajikusanya kama waislam na kushiriki mafunzo yetu.

Chuo nimesoma na Mate Mlokole tena Mlokole kwelikweli lakini haikuwa kikwazo kwangu na wala kwake tumeheshimiana na kushirikiana kama au zaidi hata ya ma Mate wengine, Na hakuna hata sikumoja mmoja wetu amewahi kufikiria kwenda kwa Dean kuomba kutenganishwa.
Tatizo si dini,TATIZO WENGINE WALEVI,WAVUTAJI SIGARA,NA WAKATI WENGINE SI WALEVI WALA WAVUTAJI SIGARA
 
KWA NINI TUSITAFUTE UFUMBUZI WA HAYA MATATIZO BADALA YA KUULIZANA WEWE NI DINI GANI AU IKULU KUNA WAKRISTO NA WAISLAM WANGAPI?
1.HALI NGUMU YA MAISHA nauli/kodi juu wakati kipato ni kile kile
2.HUDUMA ZA AFYA MBAYA.DAWA hakuna zikiwepo zaenda kwa hospital binafsi.
3.UBINAFSI WA VIONGOZI WETU -Kujilimbikizia mali kila mahali.Kufa kufaana
4.UFISADI -Dowans na Richmond
5.MIKATABA MIBOVU.Idara za madini na mali asili
6.KULINDANA KUNAKOLETA VIONGOZI WABOVU.Watoto wa vigogo kila penye idara nyeti nenda TRA,BOTn.k
7.UTAPANYAJI WA MALI NA RASILIMALI ZA UMMA.Magari ya umma kwa issue binafsi
8.KUONGEZEKA KWA TABAKA LA WALIONACHO NA WASIONACHO.Tajiri na masikini
9.KUTUMIA RASILIMALI ZA NCHI KUENEZA PROPAGANDA NA CHUKI.
10.UKOSEFU WA AJIRA.64% ya wahitimu ni jobless
11.VIWANDA VINGI KUFA NA KUFANYWA MAGOFU.
12.UKOSEFU WA HAKI KWENYE VYOMBO VYA MAAMUZI MFANO MAHAKAMA.
13.MIGOGORO KILA KONA HASA YA ARDHI ,WAWEKEZAJI KWANZA MZAWA BAADAYE..loliondo,kiteto n.k
14.MIFUMO MIBOVU YA UONGOZI HIVYO KUSABABISHA MZIGO MKUBWA KWA SERIKALI mfano vyeo vya ajabu tu kila
kona.
15.SIASA CHAFU HASA KWENYE MASUALA YA MSINGI MFANO MAJI AMBAYO NI ISSUE MUHIMU TEMBELEA SHY
TOWN,NZEGA,TABORA YOTE,SIMIYU,MPANDA KWA PINDA,DODOMA,DSM,MANYARA,GEITA ,BUNDA,N.K HAKUNA MAJI.
16.UJAMBAZI ULIKITHIRI WA RASILIMALI ZA TAIFA MFANO WANYAMA KUTOROSHWA.
17.ELIMU DUNI.

TUACHE KUWA WATUMWA WA UDINI BADALA YAKE TUTOE MUDA MWINGI KWENYE KERO ZINAZOTUKABILI..

Watanzania tuna vichwa kama vya panzi kwani wanaofilisi nchi hii ndio wameamua kutulengesha kwenye vita hii ya udini!Makamu mkuu wa chuo anajua anachokifanya kwani amekwisha palilia agenda kubwa ya kuwaondoa watanzania wasofikiri katika kupigania ustawi wao.Ndio maana wengi hata humu utawaona tu wanavyochangia unajua uwezo wao wa kufikiri!Miafrika tumejaa upumbavu tu kichwani!No reasoning,no thinking!inasikitisha!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Naomba kuuliza maswali haya ndo tutaacha mambo ya udin chuon
1. Vyuo vyetu vya umma vinaongozwa kidin
2. Je wakuu wa vyuo vyote vya umma wanateuliwa na Maaskofu au Mufti
3. Je mtanisaidia walau list ya viongozi wa vyuo vya umma vyote hasa Mkuu wa chuo, makamu wake na DVC kwa kila chuo cha umma
4.hapo ndo tutajua wakristo na waislamu wapi wamezidi na ndo tunauwezo wa kudhani au kusema kama tuna taarifa hizi
BILA HIZO TAARIFA TUTAKUWA TUNAKUZA UDINI NA TUNAJIINGIZA KATIKA MGOGORO MKUBWA
''EE MOLA/ALLAH TUEPUSHE NA USHABIKI WA KIDINI BALI TUJENGE KATIKA UMOJA NA MSHIKAMANO HUKU UKIMSUBIRI KILA MMOJA WETU KUMPATIA KADRI ALIVYOKUJUA NA KUKUTUMIKIA WEWE ULIYE WA HAKI NA KWELI''
 
Hivi tz udini mkubwa sana au unazungumziwa sana au unakuzwa sana then hawa gazet yaani wameenda udom wamemhoji mwanafunzi mmoja kati ya maelfu ambao wako pale na kuthibitisha madai ya hayo kwa kumsikiliza mtu mmoja tu?inabidi muda mwingine tutumie akili yaani twende udsm tumchukue mtu 1 aseme kuna ukabila waruguru wametawala chuo then tufikie conclusion kua ni kweli

Umenena kweli. Hawa Chadema wanadhani kuwa short cut ya kuwapeleka Ikulu ni kuvunjavunja misingi ya Taifa.
 
yaani mngemjua huyo kikula
hata msingesema yote hayo, kwani anaishi kimagharibi na ameoa mkiristo,
kiufupi hana mchango ktk uislamu ila jina lake ndio linamponza ndio mana
wakiristo hampati usingizi kwa roho mbaya zenu.

mdini namba moja hapo Udom DVC prof Shaban Mlacha ambaye inasemekana ameoa dada wa Kikwete! Mwingine ni dokta Kambuga ambaye ndio ameonekana kwenye ile Cd ya waislamu wa udom iliyopelekwa Bungeni na Mh 30
 
kwanza pale UDOM kulianza suala la kisiasa,hasa CHADEMA ndio waliokuwa wanapeleka migogoro ili wanafunzi wagome na kuipelekesha serikali,ktk hilo wengi waliokuwa wakikiunga mkono chadema walikuwa ni wakristo na baadhi ya waislamu wengi(hwakujua agenda),baada ya hali hii kuonekana ya kwamba inaweza ikaleta madhara kwa vijana wa kiislamu na mashekh kupelekewa ujumbe ya kwamba hapo vijana wao waislamu wasipo angalia watajikuta wakipoteza masomo na kuingia ktk mkumgo wa kisiasa na hakuta kuwa na faida kwao kwani chama hicho kina agenda yake,kutokana na hilo viongozi wa kidini wa kiislamu walikutana kujadili hilona kuangalia ni kiasi gani watawanusuru vijana wao na ujinga wa mgomo wakati wazazi wao wengi wao nimasikini na wamejitolea kila kitu ili wao wafikie malengo,hivyo walitumwa baadhi ya mashekh kwenda kutoa na daawa na kuwakumbusha nini jukumu lao km vijana ktk dinni yao taifa lao na familia zao, waachane na ulevi,uzinzi,siasa zisizo na maana,waangalie masomo yao.
hapo ndipo vijana wa kiislamu walipozinduka na kujua wao ni kina nani,na wanatakiwa kuwa vipi,walibadilika kuanzia tabia,na kujikita zaidi ktk masomo na dinni yao,hilo ndio sasa limeleta tatizo, kwanini?
JIBU,CHADEMA walitegemea hapo wataweza kuteka vijana wa kiislamu na kuwafanya wawe wanachadema zaidi kuliko dinni yao,taifa lao,na familia zao,kutokana na hilo basi viongozi wa chadema walianza kujenga chuki na kutunga kila aina ya uongo na uongo wao mkubwa ni kusema pale pana UDINNI,kwa kuwa wameshindwa kuingiza fikra zao hapo,na ndio nia kuu ya chadema kuwachukia waislamu,hivyo basi mkuu wa chuo kuwa muislamu (japo kaoa mkristo na wala hafuati uislamu)kwao kusa.km kwa raisi kuwa muislamu kwa kosa.
 
mdini namba moja hapo Udom DVC prof Shaban Mlacha ambaye inasemekana ameoa dada wa Kikwete! Mwingine ni dokta Kambuga ambaye ndio ameonekana kwenye ile Cd ya waislamu wa udom iliyopelekwa Bungeni na Mh 30
Thibitisha udini wa Prof. Mlacha usikimbilie kuwa kamuoa dada yake Kikwete, hiyo ina uhusiano gani na udini? Mbona hamgusii PAROKIA YA NECTA?
 
huyu muandishi atakuwa ni punguani. kwa nini ahoji mwanafunzi wa upande mmoja kama kwelialikuwa na nia ya dhati kupata ukweli? kwanini hakuenda kumhoji dean of students? kwani Prof Kikula atakuwa anaratibu kila mtu anayeenda UDOM, ama ni padre, askofu, shekh au mbunge? hivi nyie waandishi wa Tanzania daima kila siku mmekazania kupost udini kwenye jamii, utawafikisha wapi? hivi mnajua madhara yake? nachukia hizi habari zenu za udini. waTz hatutaki hizo pumba zenu mnazozieneza kwa nguvu tena kubwa. nyie ni mataahira na mtakuwa mnafanyiziwa. na shangai mkawa mmeolewa japokuwa mmezaliwa na uume. pumbavu yenu na useng.e wenu.



MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Profesa Idris Kikula amekiri kuwapo kwa suala la udini chuoni hapo.
Akizungumza na Tanzania Daima jana kuhusiana na malalamiko ya suala hilo, Profesa Kikula alisema hali hiyo inatokana na matakwa ya wanafunzi wenyewe.

"Unakuta wanafunzi wanataka kupangwa kutokana na shule walizotoka au wakati mwingine wengine hutaka kukaa chumba kimoja kwa kuwa tabia hazilingani... wengine ni wanywaji wa pombe, sasa inakuwa ni ngumu kuwaweka watu wenye tabia tofauti. Lakini pia suala hili la udini lilianza miaka mitatu iliyopita kwenye uchaguzi wa serikali ya wanafunzi," alisema.

Hata hivyo, alisema yeye si mpangaji wa wanafunzi isipokuwa mkuu wa wanafunzi (Dean of Students) ndiye anayewajibika kupanga wanafunzi.

Awali wanafunzi chuoni hapo walimlalamikia Profesa Kikula kwa kupenyeza suala la udini chuoni hapo.

Mmoja wa wawakilishi wa wanafunzi aliyezungumza na Tanzania Daima, alisema hivi sasa hali ni mbaya chuoni hapo, kwani imesababisha mgawanyo kati ya Waislamu na Wakristo.

Mwakilishi huyo alisema hali hiyo inawaathiri kimasomo kutokana na wao kushindwa kujadili baadhi ya masomo kwa pamoja na kusema kuwa imefika mahala wanafunzi wametengewa mabweni ya kulala kutokana na dini zao.

"Wakati mwingine utasikia achana na hao makafikiri, mang'ong'o, kiuhalisia jambo hili ni baya sana, kwani athari zake ni kubwa na chanzo cha yote haya ni Profesa Kikula," alisema mwanafunzi huyo.

Alieleza kuwa awali chokochoko hizo zilianzia kwenye uchaguzi wa serikali ya wanafunzi mwaka jana ambapo kulikuwa na namna ya kuingiza masuala ya udini na itikadi za vyama.

"Profesa Kikula hayuko pekee yake, kwani anashirikiana na wenzake na alishawahi kuleta masheikh chuoni, jambo ambalo sisi kama wanafunzi wenye imani ya Kikristo tunapatwa na wasiwasi na tunaomba Rais Jakaya Kikwete alishughulikie suala hili," alisema.

source:Tanzania Daima
 
nadhani sasa tunakubaliana na lema kuhusu kiongozi gani hasa ni mwanzilishi wa udini hapa nchini.!
 
Mh!! Kama kweli Prof. Kikula kakiri haya inaleta tafsiri gani? Yeye kama makama mkuu wa Chuo kachukua hatua gani madhubuti kulisemea hili? Hawa wanafunzi tukiwaacha namna hii watakuja kuchinjana nawaambieni. Huu ni udhaifu mkubwa sana kuonyeshwa na VC. Ni aibu kwa UDOM kama taasisi ya elimu. Ati anasema Dean of Students ndiye anahusika na kupanga wanafunzi. Hivi kweli anashindwa kuingilia kati kwenye hili?
 
yaani mngemjua huyo kikula hata msingesema yote hayo, kwani anaishi kimagharibi na ameoa mkiristo, kiufupi hana mchango ktk uislamu ila jina lake ndio linamponza ndio mana wakiristo hampati usingizi kwa roho mbaya zenu.

Kunguru atabaki kuwa kunguru tu hata ukimchanganya kwenye kundi la kuku kamwe hatabadilika...
 
yaani mngemjua huyo kikula hata msingesema yote hayo, kwani anaishi kimagharibi na ameoa mkiristo, kiufupi hana mchango ktk uislamu ila jina lake ndio linamponza ndio mana wakiristo hampati usingizi kwa roho mbaya zenu.
wewe ndio mdini zaidi kuliko hao ndugu zetu wakristo unaowasema.!
acha chuki ya kidini ndugu yangu, hizi dini tumeletewa tu, endapo waarabu na wazungu wasingali kuja kupora rasilimali zetu tusingalizijua.!
hata wewe haukuwa mwisilamu kwasababu ulifanya juhudi fulani bali tu ni kwasababu wewe umzaliwa katika familia ya kiiilamu na wenzetu wamezaliwa katika familia za kikristo...
hebu tuheshimiane kwakuwa wote sisi ni WATANZANIA.!
 
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Profesa Idris Kikula amekiri kuwapo kwa suala la udini chuoni hapo.
Akizungumza na Tanzania Daima jana kuhusiana na malalamiko ya suala hilo, Profesa Kikula alisema hali hiyo inatokana na matakwa ya wanafunzi wenyewe.

“Unakuta wanafunzi wanataka kupangwa kutokana na shule walizotoka au wakati mwingine wengine hutaka kukaa chumba kimoja kwa kuwa tabia hazilingani... wengine ni wanywaji wa pombe, sasa inakuwa ni ngumu kuwaweka watu wenye tabia tofauti. Lakini pia suala hili la udini lilianza miaka mitatu iliyopita kwenye uchaguzi wa serikali ya wanafunzi,” alisema.

Hata hivyo, alisema yeye si mpangaji wa wanafunzi isipokuwa mkuu wa wanafunzi (Dean of Students) ndiye anayewajibika kupanga wanafunzi.

Awali wanafunzi chuoni hapo walimlalamikia Profesa Kikula kwa kupenyeza suala la udini chuoni hapo.

Mmoja wa wawakilishi wa wanafunzi aliyezungumza na Tanzania Daima, alisema hivi sasa hali ni mbaya chuoni hapo, kwani imesababisha mgawanyo kati ya Waislamu na Wakristo.

Mwakilishi huyo alisema hali hiyo inawaathiri kimasomo kutokana na wao kushindwa kujadili baadhi ya masomo kwa pamoja na kusema kuwa imefika mahala wanafunzi wametengewa mabweni ya kulala kutokana na dini zao.

“Wakati mwingine utasikia achana na hao makafikiri, mang’ong’o, kiuhalisia jambo hili ni baya sana, kwani athari zake ni kubwa na chanzo cha yote haya ni Profesa Kikula,” alisema mwanafunzi huyo.

Alieleza kuwa awali chokochoko hizo zilianzia kwenye uchaguzi wa serikali ya wanafunzi mwaka jana ambapo kulikuwa na namna ya kuingiza masuala ya udini na itikadi za vyama.

“Profesa Kikula hayuko pekee yake, kwani anashirikiana na wenzake na alishawahi kuleta masheikh chuoni, jambo ambalo sisi kama wanafunzi wenye imani ya Kikristo tunapatwa na wasiwasi na tunaomba Rais Jakaya Kikwete alishughulikie suala hili,” alisema.

source:Tanzania Daima
Hivi kesi ya ngedere kula mahindi unaipeleka kwa nyani unadhani hukumu yake itakuwaje? Akili kwa kichwa
 
Back
Top Bottom