Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Nimemwangalia maalum Seif anaonekana kuchoka sana kiafya. Ila huwa ninawashangaa sana wapinzani. Zitto na huyo Maalum Seif siyo wapinzani. Tunawashukuru kwa akili kubwa na itatimia wakishaungana na hiyo Chadema. Na ukweli hakuna wa kumshinda Mh. Magufuli. Kwa sasa atapata asilimia kubwa mno kuzidi 2015.