Soma kwa akili wewe kijana! Kwani nimezuia SGR isijengwe au?Hujui matokeo ya SGR katika uchumi wa Tanzania, huwezi kutambua matokeo ya Bwawa la Umeme Julius nyerere? Kama huwezi kutambua hayo inakubidi urudi shule ukajifunze upya.
Nimesema ijengwe lakini sio kwa watu wateseke! Jenga huku unaajiri watu na kuwaongezea mishahara yao!