Taifa kubwa Marekani linapohubiri unafiki ni aibu. Msitupangie cha kufanya

ZALEMDA

JF-Expert Member
Aug 15, 2017
1,647
1,884
Nimeona heading ya salamu kutoka ubalozi wa marekani Tanzania eti maendeleo siyo ya vitu bali ya watu.

Kwanza ni waulize.je ni kazi yenu kujiendesha kapeni ya urais katika nchi mnayowakirisha?

Pili tangia lini mnatupangia cha kufanya?

Mlipowateka babu zetu mkawapeleka kwenu mliyushirikisha maamzi hayo ya kipumbavu?

Maendeleo ya Vitu

Je kwenu hamna ndege?
Kwenu hamna barabara za juu ?kwenu hamna barabara za njia nani na kuendelea?
Kwenu hamna hospital za kimataifa?

Kwenu hamna umeme wa bei nafu?

Kwenu mnalima mashamba kwa kutumia jembe na panga kama tufanyavyo sisi nchi maskini?
Kuna hamna meli kubwa za uvuvi?

Kwenu hamna technologia iliyoendelea?

Kwenu hamna vifaa vya Hatari vya kivita mnavyotumia kuwanyayasia nchi maskini ?
Nauliza tena kama kwenu hivyo vipo kwenu hayo ni maendeleo ya vitu,watu au maendeleo ya nyani?

Unajua mnaona wivu mkubwa mnapoona JPM anaibadirisha kwa kazi ya ajabu sana.mmeenda Libya mmeiba mafuta na kuyafanyia condensation ilimje kuyatumia baadaye.

Mnajifanya kuwasaidia nchi maskini kwa kuleta mikondomo, vilainishi,chanjo,uzazi wa mpango .Niwaulize kitu .ni lini mlikuja Tanzania mkasema tunaomba tuwasomeshe watanzania wapate ujuzi kama wa kwetu??
Labda mnawasomesha bibaraka wenu.

Msitupangia cha kufanya,nchi ni yetu si yenu.Tunasoma kwa Jasho letu,tunalima kwa Jasho letu na tunajiendesha kwa Jasho letu.

By the way .tunaomba itusaidie na kuinvest kwa watu.sisi tunaweka misingi imara ya uchumi wetu kama walivyofanya huko kwao.full stop.

====

“Maendeleo ni watu, si vitu” – Julius Nyerere

Katika Siku ya #MwalimuNyerere, Ubalozi wa Marekani unaungana na Watanzania wote kumkumbuka na kumuenzi Baba wa Taifa. Kwa karibu miaka 60 Mwalimu alituelezea imani yake kuwa maendeleo endelevu yanamaanisha kuwekeza katika watu.

Screenshot_20201014-115741.png
 
Nimeona heading ya salamu kutoka ubalozi wa marekani Tanzania eti maendeleo siyo ya vitu bali ya watu.

Kwanza ni waulize.je ni kazi yenu kujiendesha kapeni ya urais katika nchi mnayowakirisha?

Pili tangia lini mnatupangia cha kufanya?

Mlipowateka babu zetu mkawapeleka kwenu mliyushirikisha maamzi hayo ya kipumbavu?

Maendeleo ya Vitu

Je kwenu hamna ndege?
Kwenu hamna barabara za juu ?kwenu hamna barabara za njia nani na kuendelea?
Kwenu hamna hospital za kimataifa?

Kwenu hamna umeme wa bei nafu?

Kwenu mnalima mashamba kwa kutumia jembe na panga kama tufanyavyo sisi nchi maskini?
Kuna hamna meli kubwa za uvuvi?

Kwenu hamna technologia iliyoendelea?

Kwenu hamna vifaa vya Hatari vya kivita mnavyotumia kuwanyayasia nchi maskini ?
Nauliza tena kama kwenu hivyo vipo kwenu hayo ni maendeleo ya vitu,watu au maendeleo ya nyani?

Unajua mnaona wivu mkubwa mnapoona JPM anaibadirisha kwa kazi ya ajabu sana.mmeenda Libya mmeiba mafuta na kuyafanyia condensation ilimje kuyatumia baadaye.

Mnajifanya kuwasaidia nchi maskini kwa kuleta mikondomo, vilainishi,chanjo,uzazi wa mpango .Niwaulize kitu .ni lini mlikuja Tanzania mkasema tunaomba tuwasomeshe watanzania wapate ujuzi kama wa kwetu??
Labda mnawasomesha bibaraka wenu.

Msitupangia cha kufanya,nchi ni yetu si yenu.Tunasoma kwa Jasho letu,tunalima kwa Jasho letu na tunajiendesha kwa Jasho letu.

By the way .tunaomba itusaidie na kuinvest kwa watu.sisi tunaweka misingi imara ya uchumi wetu kama walivyofanya huko kwao.full stop.

====

“Maendeleo ni watu, si vitu” – Julius Nyerere

Katika Siku ya #MwalimuNyerere, Ubalozi wa Marekani unaungana na Watanzania wote kumkumbuka na kumuenzi Baba wa Taifa. Kwa karibu miaka 60 Mwalimu alituelezea imani yake kuwa maendeleo endelevu yanamaanisha kuwekeza katika watu.

View attachment 1599731
Kwa ushenzi huu wa serikali na chama chake ni sawa kabisa Marekani kuingilia kati la sivyo ccm wataumiza watu kwa ujinga wao.
 
Nimeona heading ya salamu kutoka ubalozi wa marekani Tanzania eti maendeleo siyo ya vitu bali ya watu.

Kwanza ni waulize.je ni kazi yenu kujiendesha kapeni ya urais katika nchi mnayowakirisha?

Pili tangia lini mnatupangia cha kufanya?

Mlipowateka babu zetu mkawapeleka kwenu mliyushirikisha maamzi hayo ya kipumbavu?

Maendeleo ya Vitu

Je kwenu hamna ndege?
Kwenu hamna barabara za juu ?kwenu hamna barabara za njia nani na kuendelea?
Kwenu hamna hospital za kimataifa?

Kwenu hamna umeme wa bei nafu?

Kwenu mnalima mashamba kwa kutumia jembe na panga kama tufanyavyo sisi nchi maskini?
Kuna hamna meli kubwa za uvuvi?

Kwenu hamna technologia iliyoendelea?

Kwenu hamna vifaa vya Hatari vya kivita mnavyotumia kuwanyayasia nchi maskini ?
Nauliza tena kama kwenu hivyo vipo kwenu hayo ni maendeleo ya vitu,watu au maendeleo ya nyani?

Unajua mnaona wivu mkubwa mnapoona JPM anaibadirisha kwa kazi ya ajabu sana.mmeenda Libya mmeiba mafuta na kuyafanyia condensation ilimje kuyatumia baadaye.

Mnajifanya kuwasaidia nchi maskini kwa kuleta mikondomo, vilainishi,chanjo,uzazi wa mpango .Niwaulize kitu .ni lini mlikuja Tanzania mkasema tunaomba tuwasomeshe watanzania wapate ujuzi kama wa kwetu??
Labda mnawasomesha bibaraka wenu.

Msitupangia cha kufanya,nchi ni yetu si yenu.Tunasoma kwa Jasho letu,tunalima kwa Jasho letu na tunajiendesha kwa Jasho letu.

By the way .tunaomba itusaidie na kuinvest kwa watu.sisi tunaweka misingi imara ya uchumi wetu kama walivyofanya huko kwao.full stop.

====

“Maendeleo ni watu, si vitu” – Julius Nyerere

Katika Siku ya #MwalimuNyerere, Ubalozi wa Marekani unaungana na Watanzania wote kumkumbuka na kumuenzi Baba wa Taifa. Kwa karibu miaka 60 Mwalimu alituelezea imani yake kuwa maendeleo endelevu yanamaanisha kuwekeza katika watu.

View attachment 1599731
Wee umeandika uchafu gani huu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nimeona heading ya salamu kutoka ubalozi wa marekani Tanzania eti maendeleo siyo ya vitu bali ya watu.

Kwanza ni waulize.je ni kazi yenu kujiendesha kapeni ya urais katika nchi mnayowakirisha?

Pili tangia lini mnatupangia cha kufanya?

Mlipowateka babu zetu mkawapeleka kwenu mliyushirikisha maamzi hayo ya kipumbavu?

Maendeleo ya Vitu

Je kwenu hamna ndege?
Kwenu hamna barabara za juu ?kwenu hamna barabara za njia nani na kuendelea?
Kwenu hamna hospital za kimataifa?

Kwenu hamna umeme wa bei nafu?

Kwenu mnalima mashamba kwa kutumia jembe na panga kama tufanyavyo sisi nchi maskini?
Kuna hamna meli kubwa za uvuvi?

Kwenu hamna technologia iliyoendelea?

Kwenu hamna vifaa vya Hatari vya kivita mnavyotumia kuwanyayasia nchi maskini ?
Nauliza tena kama kwenu hivyo vipo kwenu hayo ni maendeleo ya vitu,watu au maendeleo ya nyani?

Unajua mnaona wivu mkubwa mnapoona JPM anaibadirisha kwa kazi ya ajabu sana.mmeenda Libya mmeiba mafuta na kuyafanyia condensation ilimje kuyatumia baadaye.

Mnajifanya kuwasaidia nchi maskini kwa kuleta mikondomo, vilainishi,chanjo,uzazi wa mpango .Niwaulize kitu .ni lini mlikuja Tanzania mkasema tunaomba tuwasomeshe watanzania wapate ujuzi kama wa kwetu??
Labda mnawasomesha bibaraka wenu.

Msitupangia cha kufanya,nchi ni yetu si yenu.Tunasoma kwa Jasho letu,tunalima kwa Jasho letu na tunajiendesha kwa Jasho letu.

By the way .tunaomba itusaidie na kuinvest kwa watu.sisi tunaweka misingi imara ya uchumi wetu kama walivyofanya huko kwao.full stop.

====

“Maendeleo ni watu, si vitu” – Julius Nyerere

Katika Siku ya #MwalimuNyerere, Ubalozi wa Marekani unaungana na Watanzania wote kumkumbuka na kumuenzi Baba wa Taifa. Kwa karibu miaka 60 Mwalimu alituelezea imani yake kuwa maendeleo endelevu yanamaanisha kuwekeza katika watu.

View attachment 1599731
Haina shida nafikiri wamekusikia na wamekuelewa vizuri sana ...

Ila ndio mjiandae msije kujilaumu tu maana mmekula ya Mbuzi mmeota mapembe maneno yanawatoka

Msije kusema Lissu ndio kawachonganisha na MABEBERU nini nyinyi wenyewe ndio mnasema wasiwaingilie mambo yenu kwa sababu nyinyi ni taifa huru Ok poa hawatowaingilia tena endeleeni tu na mambo yenu sio kesi ...

JamiiForums784649547.jpg
 
Nimeona heading ya salamu kutoka ubalozi wa marekani Tanzania eti maendeleo siyo ya vitu bali ya watu.

Kwanza ni waulize.je ni kazi yenu kujiendesha kapeni ya urais katika nchi mnayowakirisha?

Pili tangia lini mnatupangia cha kufanya?

Mlipowateka babu zetu mkawapeleka kwenu mliyushirikisha maamzi hayo ya kipumbavu?

Maendeleo ya Vitu

Je kwenu hamna ndege?
Kwenu hamna barabara za juu ?kwenu hamna barabara za njia nani na kuendelea?
Kwenu hamna hospital za kimataifa?

Kwenu hamna umeme wa bei nafu?

Kwenu mnalima mashamba kwa kutumia jembe na panga kama tufanyavyo sisi nchi maskini?
Kuna hamna meli kubwa za uvuvi?

Kwenu hamna technologia iliyoendelea?

Kwenu hamna vifaa vya Hatari vya kivita mnavyotumia kuwanyayasia nchi maskini ?
Nauliza tena kama kwenu hivyo vipo kwenu hayo ni maendeleo ya vitu,watu au maendeleo ya nyani?

Unajua mnaona wivu mkubwa mnapoona JPM anaibadirisha kwa kazi ya ajabu sana.mmeenda Libya mmeiba mafuta na kuyafanyia condensation ilimje kuyatumia baadaye.

Mnajifanya kuwasaidia nchi maskini kwa kuleta mikondomo, vilainishi,chanjo,uzazi wa mpango .Niwaulize kitu .ni lini mlikuja Tanzania mkasema tunaomba tuwasomeshe watanzania wapate ujuzi kama wa kwetu??
Labda mnawasomesha bibaraka wenu.

Msitupangia cha kufanya,nchi ni yetu si yenu.Tunasoma kwa Jasho letu,tunalima kwa Jasho letu na tunajiendesha kwa Jasho letu.

By the way .tunaomba itusaidie na kuinvest kwa watu.sisi tunaweka misingi imara ya uchumi wetu kama walivyofanya huko kwao.full stop.

====

“Maendeleo ni watu, si vitu” – Julius Nyerere

Katika Siku ya #MwalimuNyerere, Ubalozi wa Marekani unaungana na Watanzania wote kumkumbuka na kumuenzi Baba wa Taifa. Kwa karibu miaka 60 Mwalimu alituelezea imani yake kuwa maendeleo endelevu yanamaanisha kuwekeza katika watu.

View attachment 1599731
Ahahaha hao wamefanya kukariri maneno ya baba wa taifa mkuu kama ni wakumlaum ni Mh. JK Nyerere na siubalozi
 
Haina shida nafikiri wamekusikia na wamekuelewa vizuri sana ...

Ila ndio mjiandae msije kujilaumu tu maana mmekula ya Mbuzi mmeota mapembe maneno yanawatoka

Msije kusema Lissu ndio kawachonganisha na MABEBERU nini nyinyi wenyewe ndio mnasema wasiwaingilie mambo yenu kwa sababu nyinyi ni taifa huru Ok poa hawatowaingilia tena endeleeni tu na mambo yenu sio kesi ...

View attachment 1600210
Kuna machizi watasema "Hii barabara imejengwa kwa fedha za ndani.
Imejengwa na Road Fund."
Nakumbuka enzi za mabasi ya Safina, Nissan Diesel UD, Saitama TZD. Ndio lilikuwa suluhisho pekee la usafiri Mbeya Swanga
 
Nimeona heading ya salamu kutoka ubalozi wa marekani Tanzania eti maendeleo siyo ya vitu bali ya watu.

Kwanza ni waulize.je ni kazi yenu kujiendesha kapeni ya urais katika nchi mnayowakirisha?

Pili tangia lini mnatupangia cha kufanya?

Mlipowateka babu zetu mkawapeleka kwenu mliyushirikisha maamzi hayo ya kipumbavu?

Maendeleo ya Vitu

Je kwenu hamna ndege?
Kwenu hamna barabara za juu ?kwenu hamna barabara za njia nani na kuendelea?
Kwenu hamna hospital za kimataifa?

Kwenu hamna umeme wa bei nafu?

Kwenu mnalima mashamba kwa kutumia jembe na panga kama tufanyavyo sisi nchi maskini?
Kuna hamna meli kubwa za uvuvi?

Kwenu hamna technologia iliyoendelea?

Kwenu hamna vifaa vya Hatari vya kivita mnavyotumia kuwanyayasia nchi maskini ?
Nauliza tena kama kwenu hivyo vipo kwenu hayo ni maendeleo ya vitu,watu au maendeleo ya nyani?

Unajua mnaona wivu mkubwa mnapoona JPM anaibadirisha kwa kazi ya ajabu sana.mmeenda Libya mmeiba mafuta na kuyafanyia condensation ilimje kuyatumia baadaye.

Mnajifanya kuwasaidia nchi maskini kwa kuleta mikondomo, vilainishi,chanjo,uzazi wa mpango .Niwaulize kitu .ni lini mlikuja Tanzania mkasema tunaomba tuwasomeshe watanzania wapate ujuzi kama wa kwetu??
Labda mnawasomesha bibaraka wenu.

Msitupangia cha kufanya,nchi ni yetu si yenu.Tunasoma kwa Jasho letu,tunalima kwa Jasho letu na tunajiendesha kwa Jasho letu.

By the way .tunaomba itusaidie na kuinvest kwa watu.sisi tunaweka misingi imara ya uchumi wetu kama walivyofanya huko kwao.full stop.

====

“Maendeleo ni watu, si vitu” – Julius Nyerere

Katika Siku ya #MwalimuNyerere, Ubalozi wa Marekani unaungana na Watanzania wote kumkumbuka na kumuenzi Baba wa Taifa. Kwa karibu miaka 60 Mwalimu alituelezea imani yake kuwa maendeleo endelevu yanamaanisha kuwekeza katika watu.

View attachment 1599731
Ame quotes muhubiri ya mwalimu nyerere,hivi lini babu yako alichukuliwa kwenda America anaitwa nani na anaishi wapi America kwanini hukumsaidia,kwetu sisi wengine history make us strong sio kama wewe unavyo taka mzungu na sisi ni sawa anacho fanya nawewe unaweza fanya kama ubaguzi wa Rangi ha magu anao au hujamsikia?
 
Kwa ushenzi huu wa serikali na chama chake ni sawa kabisa Marekani kuingilia kati la sivyo ccm wataumiza watu kwa ujinga wao.
wataingilia na cdm itaangukia pua.

halafu hawa hawa marekani wataipongeza tena ccm,hapo ndio utajua hujui.
 
Back
Top Bottom