Point ya Nyerere ya kwamba ili maendeleo yawe ni maendeleo ya watu ni lazima kuwe na uhuru wa watu pamoja na demokrasia unaikwepa ndiyo maana unaiita ni "mengineyo".Unaikwepa kwa sababu unajua maendeleo anayofanya Magufuli yanapinga uhuru wa watu pamoja na demokrasia.Point hiyo haiwezi kuwa ni "mengineyo" kwa sababu hata Nyerere mwenyewe amesema kuwa huwezi kusema kuwa una maendeleo wakati watu wanaishi kwa hofu.Uhuru na demokrasia ndiyo point kubwa na point namba moja katika kujenga uhuru wa watu na siyo "mengineyo" kama unavyojinasibu hapa.

Halafu suala la kwamba kugandamizwa kwa uhuru na demokrasia inazuia haki zangu za kufanya maendeleo au laa ni pointless.Nina haki ya kupata uhuru wangu kamili pamoja na demokrasia ninavyotaka ila mradi sivunji sheria halali.Ni haki yangu kuwa na uhuru kamili.Huwezi kugandamiza uhuru wangu kwa kigezo kuwa hainiathiri katika kufanya maendeleo.
Kwa kwa kwa kwah kwah kwah ...makofiiiii
 
Kama ni kweli hii ni post ya USA Embassy na wameandika hivyo wakilenga kukosoa juhudi za JPJM kwa kumbeba TAL basi wanasahau kuwa ili watu waendelee lazima uendeleze vitu. USA imeendelea kwa kuendeleza miundombinu yao. Hapa Tanzania tunatumia vitu ili kuendeleza watu na vyote hivi vinaenda sambamba. Tujiulize hivi kweli USA nao wanapinga uendelezaji wa umeme, barabara, maji, hospitali, afya n.k.??? Waseme bayana ili tujue kuwa kweli hawataki tuendelee. Mantiki ya Mwalimu Nyerere ilikuwa kuwa tusijisahau kwa kuendeleza vitu ambavyo havitawaendeleza watu. Kwa mfano sisi Tanzania mwaka huu tungetumia fedha zetu kujenga roketi ya kwenda Jupiter!!! Hilo ndiyo Mwalimu alikuwa analikataa period. Uzuri wake ni kwamba JPJM amejikita katika kuendeleza vitu ambavyo hakika vitawaendeleza watu. Hivi jamani hao akina TAL wakipewa uongozi watatuendelezaje bila kuendeleza vitu, yaani umeme, barabara, maji, miundombinu ya elimu, afya, nk. ????
Suala hili ninanikumbusha ule mzozo wa nini kilianza kuku au yai? lake?
MJADALA HUU WA MAENDELO YA WATU VS MAENDELEO YA VITU umeshashindwa kutushawishi tusimchague JPJM , mwenye maono ya muafaka ya kutukomboa kutoka ukoloni mambosasa. Mungu ibariki Tanzania.
Hayo ni maneno ya Mwalimu au ya US?
 
Wasiwe wanawaza kwa kutumia makalio. Kule kwao hivyo vitu havipo?ndege hazipo?train za mwendo kasi hazipo? Sisi tunaenda na vyote kwa pamoja.

Tumeinvest kwa watu na vitu.example wanafunzi wanasoma bure from Standard one to four 4.,tunatoa mikopo ya elimu ya juu.tumepeleka madaktari kusoma masters ,wengine wamesomea dawa za usingizi na nk.

Tunatoa huduma za afya bure kwa mama na mtoto na wazee.wasitupangie cha kufanya .hatutumii akili zao .Utajiri waliyonao ni Jasho la mababu zetu waliyowateka nyara na kuwapeleka huko.wasiziamshe hasira zetu.jinga kabisa
aliyesema hayo maneno ni Marekani au Nyerere?Weka wazi hayo matusi yaende panapohusika
 
Ndugu hakuna haja ya kuhangaika na hawa chadema wanaohangaika kukata roho. Ina maana wao sera yao ni ipi? In short hakuna maendeleo ya watu bila vitu labda kama kuna vitu wanavyovilenga wao watuambie waziwazi ni vitu gani ambavyo ambavyo havileti maendeleo vinavyofanywa na serilai ya awamu ya tano. Wanaitumia kauli ya mwalimu Nyerere kisiasa tena kwa kuipotosha zaidi. Hivi niulize swali moja tu, Ni vitu gani ambavyo serikali ya awamu ya tano chini ya Jemedali Magufuli inavifanya ambavyo havikufanyika wakati wa serikali ya awamu ya kwanza chini ya mwalimu Nyerere?

Je Nyerere hakujenga mabawa ya umeme tena kwa fedha za mkopo, hakujenga reli (TAZARA) tena kwa mkopo wenye riba nafuu/usiokuwa nba riba, Hakujenga vivuko na madaraja, hakujenga shule za msingi, sekondari na vyuo, hakujenga viwanda, hakujenga zahanati, vituo vya afya na hospitali, hakununua ndege 11 kwa ajili ya shirika la AirTanzania, hakujenga barabara hata kama ni za changarawe (kulingana na uchiumi wetu wakati huo, hakutengeneza na kukarabati meli kwenye maziwa na bahari ya nchi yetu, Hakuwekeza kwenye kuboresha bandari zetu n.k n.k n.k? CHADEMA NI CHAMA KILICHOKOSA SERA NA ITIKADI INAYOELEWEKA WAMEBAKI KUONGEA PUMBA TU. TUNATAKA CHADEMA WATUAMBIE WAO WAKIINGIA MADARAKANI WATAFANYA NINI NA WALA SI KULAUMU BILA KUTUAMBIA NJIA MBADALA.

Kimsingi Raisi Magufuli ndiye anayemuenzi kimatendo mwalimu Nyerere kwa kufanya yale yote ambayo mwalimu aliamini kwamba ndio chachu ya maendeleo ya watanzania.
Kuna tatizo kubwa sana katika kuelewa maana ya maendeleo ya watu.. Kawaambie na wengine "maendeleo ya watu ni kufanya maendeleo ya vitu kwa kuzingatia muda na vipaombele bila kuathiri uchumi wa watu au maisha ya watu,, kwa urahisi ni kuiwezesha jamii iwe yenye kujitegemea na kujiweza ili kukuza uchumi wa nchi kufanya maendeleo ya vitu"
 
Hapo Nyerere anasema kuwa maendeleo yanatakiwa kuambatana na uhuru pamoja na democrasia.Tanzania huo uhuru pamoja na democrasia havipo kwa sababu:

1.Zimetungwa sheria kadha wa kadha wakati huu wa Magufuli kukandamiza vyombo vya habari(Kila mtu analijua hili)

2.Zimetungwa sheria kadhaa kugandamiza uhuru wa social media.Watu kadhaa wameshtakiwa na kufungwa kisa kumkosoa Magufuli kwenye social media

3.Zimetungwa sheria kandamizi hadi kwenye kutumia line za simu(Ni mambo ya aibu)

4.Zimetungwa sheria kandamizi dhidi ya upinzani ikiwa ni pamoja na sheria za kuzuia wapinzani kuungana

5.Vyombo vya dola pamoja na tume vinaegemea wazi wazi upande wa CCM wakati huu wa uchaguzi na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa

6.Zimetungwa sheria kandamizi na za ajabu kuwa rais,speaker,waziri mkuu hawaruhusiwi kushtakiwa wakifanya maovu

Ndiyo maana tunasema kuwa utawala wa Magufuli unahangaika na maendeleo ya vitu badala ya maendeleo ya watu kwa hiyo Magufuli anatakiwa kukaa pembeni apishe wanaojua kuongoza nchi kwa sababu yeye amekosa kibali cha wananchi.
Acha ulongo
 
Jiwe hapa kapigwa dongo na mpinzani wake anabebwa na kauli hii kwani inaendana na slogan yake.

Watanzania, hapa US wamewasaidia kufanya chaguo sahihi,sasa kazi kwenu.
Kwamba Marekani anaipenda Tanzania kuliko Watanzania wanavyoipenda nchi yao? Hawa wanatafuta mtu dhaifu ili watupige madini na gesi yetu...HATUTAKUBALI.

October 28 kura zote ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Ndugu hakuna haja ya kuhangaika na hawa chadema wanaohangaika kukata roho. Ina maana wao sera yao ni ipi? In short hakuna maendeleo ya watu bila vitu labda kama kuna vitu wanavyovilenga wao watuambie waziwazi ni vitu gani ambavyo ambavyo havileti maendeleo vinavyofanywa na serilai ya awamu ya tano. Wanaitumia kauli ya mwalimu Nyerere kisiasa tena kwa kuipotosha zaidi. Hivi niulize swali moja tu, Ni vitu gani ambavyo serikali ya awamu ya tano chini ya Jemedali Magufuli inavifanya ambavyo havikufanyika wakati wa serikali ya awamu ya kwanza chini ya mwalimu Nyerere?

Je Nyerere hakujenga mabawa ya umeme tena kwa fedha za mkopo, hakujenga reli (TAZARA) tena kwa mkopo wenye riba nafuu/usiokuwa nba riba, Hakujenga vivuko na madaraja, hakujenga shule za msingi, sekondari na vyuo, hakujenga viwanda, hakujenga zahanati, vituo vya afya na hospitali, hakununua ndege 11 kwa ajili ya shirika la AirTanzania, hakujenga barabara hata kama ni za changarawe (kulingana na uchiumi wetu wakati huo, hakutengeneza na kukarabati meli kwenye maziwa na bahari ya nchi yetu, Hakuwekeza kwenye kuboresha bandari zetu n.k n.k n.k? CHADEMA NI CHAMA KILICHOKOSA SERA NA ITIKADI INAYOELEWEKA WAMEBAKI KUONGEA PUMBA TU. TUNATAKA CHADEMA WATUAMBIE WAO WAKIINGIA MADARAKANI WATAFANYA NINI NA WALA SI KULAUMU BILA KUTUAMBIA NJIA MBADALA.

Kimsingi Raisi Magufuli ndiye anayemuenzi kimatendo mwalimu Nyerere kwa kufanya yale yote ambayo mwalimu aliamini kwamba ndio chachu ya maendeleo ya watanzania.
Ila Mwalimu hakuamuru watu watekwe au wauwawe kisa wamekataa kumuabudu na wala hakujenga kiwanja cha ndege Butiama wala kula fedha za rambirambi za wahanga.

Naona hapo ndipo wanapotofautiana na huyu bwana anayelazimisha watu wamsujudu.
 
Unateka watu,unawaua watu,unawadhulumu watu haki zao ili kujenga miundo mbinu hayo ni upumbavu mtupu.
Hata ununue ndege 1000 flyover 50,000 ukaua watu 5,000 hayo si maendeleo
Ukihitajika kuleta ushaihidi wa hizo tuhuma zako upo tayari au unabwawaja tu kwa vile una uhuru wa kuongea ambao mnadai haupo?
 
Kwamba Marekani anaipenda Tanzania kuliko Watanzania wanavyoipenda nchi yao? Hawa wanatafuta mtu dhaifu ili watupige madini na gesi yetu...HATUTAKUBALI.

October 28 kura zote ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
All they want is a puppet leader who is easy for them to manipulate for their own benefit! MY FELLOW PATRIOTIC TANZANIANS PLEASE STAND FIRM FOR YOUR COUNTRY FOR THE BENEFIT OF YOURSELVES AND YOUR CHILDREN. VOTE FOR JOHN POMBE MAGUFULI - A PATRIOTIC LEADER!
 
Sisi vijana wa zamani Mwl alishatuonya kuwa ukiona mzungu (insert "beberu") anakusifu jiulize mara mbili. Ukiona anawashwawashwa ujue umemdungua mshale wa matako..
Wanakasirika kwa sababu walishazoea huko miaka ya nyuma kuona kila kitu tunakopa kwenye benki zao (World Bank, IMF) na katika nchi zao ili kutekeleza miradi yetu. Sasa wanaona huyu jamaa (JPM) hana mpango nao na pia makampuni yao hasa ya madini ameyataiti kwenye mikataba kwa ajili ya manufaa ya nchi. Hivyo hawawezi kumpenda hata kidogo. Furaha ya mzungu kwa muafrika ni kuona mwafrika yupo chini kila kitu. PERIOD!
 
Wanakasirika kwa sababu walishazoea huko miaka ya nyuma kuona kila kitu tunakopa kwenye benki zao (World Bank, IMF) na katika nchi zao ili kutekeleza miradi yetu. Sasa wanaona huyu jamaa (JPM) hana mpango nao na pia makampuni yao hasa ya madini ameyataiti kwenye mikataba kwa ajili ya manufaa ya nchi. Hivyo hawawezi kumpenda hata kidogo. Furaha ya mzungu kwa muafrika ni kuona mwafrika yupo chini kila kitu. PERIOD!
Si kweli mawazo mfu
 
Kwa hiyo unasubiri mzungu ndiye akuletee maendeleo ya nchi yako huku wewe umetundika tu makalio kwenye sofa?
Sera mbovu maendeleo yatoke wapi hata uwe unakesha ukifanya Kazi.Sera zetu mbovu ndo zimeleta umasikini.Wametawala afrika miaka michache kuliko miaka ambayo mwafrika amejitawala lkn walileta maendeleo makubwa Sana afrika elimu, afya Bora, ajira tele, kilimo bora, viwanda, miundombinu
 
Back
Top Bottom