Tundu Lissu: Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe ni mepesi kuliko pamba, awaponda Waendesha Mashtaka

Nyie jamaa bwana wababaishaji sana. Si mlisema Magufuli aliiweka mahakama mfukoni na mkafurahia kifo chake. Mkafurahia DPP Biswalo kuondolewa, mkafurahia Sabaya kufunguliwa mashtaka na kesi, sasa haya ya Mahakama kuwa mali ya CCM yametoka wapi? Hivi mnajitambua kweli nyie watu?

..kwani magufuli alikufa na mapolisi, mahakimu, na majaji, waliokuwa wakishirikiana naye kudhulumu wapinzani?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , amechambua mashitaka yaliyosomwa Mahakamani yanayomkabili Mwenyekiti wake Freeman Mbowe , huku akiyaita duni , mepesi na ya UONGO.

View attachment 1906115

Amedai ana uzoefu wa kutosha kwenye kesi za uzushi na uongo kama hii kutokana na kazi yake ya Uanasheria aliyoifanya kwa miaka mingi , ameahidi kushinda kesi hiyo ya kutunga mapema asubuhi .

Hebu msikilize mwenyewe ufaidi uhondo .
Mkuu nikitaka kupata video yote naingia wapi? Very sorry
 
na alipokuja kufanya kampeni oda ya kuuwawa ilikuwa imeshatoka kabla akimbietena kwa kuhofia usalama wake!!!!
 
DPP majibu tafadhali.... utaifuta kesi ili uifungue upya ama utaomba review uongezee uzito wa hati ya mashitaka ? maana unamtia hatiani mtuhumiwa mashitaka ya UGAIDI bila evidence iliyo wazi - umewaza tu kwamba alitaka....umejuaje ama una roho mtakatifu ndani yako alikwambia kwamba Mbowe atakwenda kulipua vituo vya mafuta kwa idadi visivyojulikana hata maendeo vilivyoko.

Pia dola $250 zinaweza kufadhili UGAIDI? au kukodi wale bodaboda wapora pochi za kinamama?
Maashtaka ya kupanga mauaji na mashtaka ya ugaidi, limechaguliwa neno zito...
 
hujui kitu wewe, kwenye judiciary inayofanya kazi vizuri, hii si kesi hata kidogo. Sema kwa vile majaji wanapokea magizo anything can come out... ukiipeleka Kenya wanaifukuza nakwambia.
Niliamini gaidi lazima awe katika kundi lenye watu wengi wenye nia ovu kama ya kwake na kwa mtu mmoja au watatu pekee hawawezi kuwa magaidi
 
yaani mtu bora ukose vyote kuliko kukosa akili ya kupambanua mambo yaani mnategemea ccm ife leo? yaani jihesabuni tu kuwa nyie ni wpinzani milele hamna sera hamna ushawishi kwa watu nani anawataka ?
Zezeta kabisa wewe .kwanini mnaiba kura ?kwanini hamtaki tume huru ya uchaguzi,kwa nini hamtaki katiba mpya? Kwa taarifa yako ccm inakufa 2026 mara baada ya kushinda uchaguzi 2025
 
Huwa nikisikia comments kama hizi mara moja huwa nahitimisha kwamba mtoaji comments ameshikiwa akili na ni mburula. Yaani ni mtu ambaye hana kabisa uwezo wa kutumia akili yake yeye mwenyewe kutafakari na kufanya hitimisho lake kwenye issues mbalimbali. Watu wa namna hii huendeshwa tuu kwa kufuata mkumbo wa kile wanachoelezwa kukiamini. Why kwa sababu mtu yeyote mwenye akili timilifu, na siyo akili ya kuvumia barabara au kwenda kukojoa , na wala si chuki za kijinga za kiitikadi au upuuzi mwingine, anajua fika nini hasa kilimkuta Tundu Lissu. Pia anajua fika uwezo wa Lissu kwenye eneo lake la sheria na ni kwa jinsi gani washindani wake wanamuogopa sana wanapokuwa naye mahakamani, kiasi kwamba ilifikia mahala wakaona hatakaa wamshinde mahakamani badala yake watafute njia ya mkato ya kushughulika naye.....
Watu wa aina hiyo ndio CCM inawataka na waliwekeza kweli kweli kwa watu hao kwa mtaji wa ujinga. CCM ilipoona kuna jukwaa huru kama hili letu la JF, ikawamwaga humu...yaani unakutana na watu humu mpaka unajiuliza mara mbili tatu kama waliwahi hata kuwa na akili na kama walikuwa nazo wamezipotezea wapi?

Kwa kweli CCM walifanya research ya kutosha na wakawekeza kweli kweli katika ujinga, hebu pitia hii orodha...
  1. Kamanda Asiyechoka
  2. magu2016
  3. Ezekiel Mbaga
  4. Shujaa Mwendazake
  5. tutamkumbukamagu
  6. akilinene
  7. Bushesha jr
  8. JUMA JUMA
  9. Wakudadavuwa
  10. zandrano
  11. shamimuodd
  12. Redpanther
  13. GENTAMYCINE
  14. Jasusi Mbobezi
  15. Elitwege
  16. Idugunde
  17. Jumbe Brown
  18. johnthebaptist
  19. USSR
  20. Magonjwa Mtambuka
  21. Dr Akili
  22. Janjaweed
  23. mtanzania1989
  24. Phillipo Bukililo
  25. Mr Dudumizi
  26. digba sowey
  27. IDEGENDA
  28. Niza doyi
  29. Kivumishi Kielezi
  30. Gerald .M Magembe
  31. Jasusi Mbobezi
  32. Jay One
  33. Stuxnet
  34. Latvia
  35. Iboya2021
  36. Ritz
  37. mama D
  38. Psalm 23
  39. Shambaboy jogoli
  40. Pulchra Animo
  41. BUSH BIN LADEN
  42. No signal
  43. Lord OSAGYEFO
  44. fisi 2
  45. Naipendatz
  46. Ibambasi
  47. wababayangu
Orodha itaendelea kulingana na wanavyozidi kufyatuliwa...

Hawa kaa nao mbali kama ukoma, akili zao ziko stoo za CCM, zimehifadhiwa huko huko. Mara moja moja wanapewa kwa muda wazitumie lakini tatizo ni kwamba hakuna uhakika wa kupewa za kwako! Ndio maana kuna wakati hawaeleweki eleweki...inasikitisha!
 
Huyo USSR, hajawahi kuwa na akili, hajawahi kuchangia kitu chochote cha maana. Kungekuwa na jukwaa kwaajili ya watu wenye uwendawazimu, would be the right place for him. Here, he is misfit.
He is not he.
He whom you are referring to,is she.
 
Watu wa aina hiyo ndio CCM inawataka na waliwekeza kweli kweli kwa watu hao kwa mtaji wa ujinga. CCM ilipoona kuna jukwaa huru kama hili letu la JF, ikawamwaga humu...yaani unakutana na wtu humu mpaka unajiuliza mara mbili tatu kama waliwahi hata kuwa na akili na kama walikuwa nazowamezipotezea wapi?

Kwa kweli walifanya research ya kutosha na wakawekeza kweli kweli, hebu pitia hii orodha...
  1. Kamanda Asiyechoka
  2. Ezekiel Mbaga
  3. Shujaa Mwendazake
  4. tutamkumbukamagu
  5. akilinene
  6. Bushesha jr
  7. JUMA JUMA
  8. Wakudadavuwa
  9. zandrano
  10. shamimuodd
  11. Redpanther
  12. GENTAMYCINE
  13. Jasusi Mbobezi
  14. Elitwege
  15. Idugunde
  16. Jumbe Brown
  17. johnthebaptist
  18. USSR
  19. Magonjwa Mtambuka
  20. Dr Akili
  21. Janjaweed
  22. mtanzania1989
  23. Phillipo Bukililo
  24. Mr Dudumizi
  25. digba sowey
  26. IDEGENDA
  27. Niza doyi
  28. Kivumishi Kielezi
  29. Gerald .M Magembe
  30. Jasusi Mbobezi
  31. Jay One
  32. Stuxnet
  33. Latvia
  34. Iboya2021
  35. Ritz
  36. mama D
  37. Psalm 23
  38. Shambaboy jogoli
  39. Pulchra Animo
  40. BUSH BIN LADEN
  41. No signal
  42. Lord OSAGYEFO
  43. fisi 2
  44. Naipendatz
  45. Ibambasi
Orodha itaendelea kulingana na wanavyozidi kufyatuliwa...

Hawa kaa nao mbali kama ukoma, akili zao ziko stoo za CCM, zimehifadhiwa huko huko. Mara moja moja wanapewa kwa muda wazitumie lakini tatizo ni kwamba hakuna uhakika wa kupewa za kwako! Ndio maana kuna wakati hawaeleweki eleweki...inasikitisha!
Hawa ndio wale tunaita buku 7 fc
 
Watu wa aina hiyo ndio CCM inawataka na waliwekeza kweli kweli kwa watu hao kwa mtaji wa ujinga. CCM ilipoona kuna jukwaa huru kama hili letu la JF, ikawamwaga humu...yaani unakutana na watu humu mpaka unajiuliza mara mbili tatu kama waliwahi hata kuwa na akili na kama walikuwa nazo wamezipotezea wapi?

Kwa kweli CCM walifanya research ya kutosha na wakawekeza kweli kweli katika ujinga, hebu pitia hii orodha...
  1. Kamanda Asiyechoka
  2. magu2016
  3. Ezekiel Mbaga
  4. Shujaa Mwendazake
  5. tutamkumbukamagu
  6. akilinene
  7. Bushesha jr
  8. JUMA JUMA
  9. Wakudadavuwa
  10. zandrano
  11. shamimuodd
  12. Redpanther
  13. GENTAMYCINE
  14. Jasusi Mbobezi
  15. Elitwege
  16. Idugunde
  17. Jumbe Brown
  18. johnthebaptist
  19. USSR
  20. Magonjwa Mtambuka
  21. Dr Akili
  22. Janjaweed
  23. mtanzania1989
  24. Phillipo Bukililo
  25. Mr Dudumizi
  26. digba sowey
  27. IDEGENDA
  28. Niza doyi
  29. Kivumishi Kielezi
  30. Gerald .M Magembe
  31. Jasusi Mbobezi
  32. Jay One
  33. Stuxnet
  34. Latvia
  35. Iboya2021
  36. Ritz
  37. mama D
  38. Psalm 23
  39. Shambaboy jogoli
  40. Pulchra Animo
  41. BUSH BIN LADEN
  42. No signal
  43. Lord OSAGYEFO
  44. fisi 2
  45. Naipendatz
  46. Ibambasi
  47. wababayangu
Orodha itaendelea kulingana na wanavyozidi kufyatuliwa...

Hawa kaa nao mbali kama ukoma, akili zao ziko stoo za CCM, zimehifadhiwa huko huko. Mara moja moja wanapewa kwa muda wazitumie lakini tatizo ni kwamba hakuna uhakika wa kupewa za kwako! Ndio maana kuna wakati hawaeleweki eleweki...inasikitisha!
Binafsi nakupa pole kwa kupambana kufatilia maisha ya wanaume pia nakupa pole kwa kuendelea kufanywa chambo kwa ajili ya tumbo la mwanasiasa.
Namalizia kwa kusema 'na bado'
 
Watu wa aina hiyo ndio CCM inawataka na waliwekeza kweli kweli kwa watu hao kwa mtaji wa ujinga. CCM ilipoona kuna jukwaa huru kama hili letu la JF, ikawamwaga humu...yaani unakutana na watu humu mpaka unajiuliza mara mbili tatu kama waliwahi hata kuwa na akili na kama walikuwa nazo wamezipotezea wapi?

Kwa kweli CCM walifanya research ya kutosha na wakawekeza kweli kweli katika ujinga, hebu pitia hii orodha...
  1. Kamanda Asiyechoka
  2. magu2016
  3. Ezekiel Mbaga
  4. Shujaa Mwendazake
  5. tutamkumbukamagu
  6. akilinene
  7. Bushesha jr
  8. JUMA JUMA
  9. Wakudadavuwa
  10. zandrano
  11. shamimuodd
  12. Redpanther
  13. GENTAMYCINE
  14. Jasusi Mbobezi
  15. Elitwege
  16. Idugunde
  17. Jumbe Brown
  18. johnthebaptist
  19. USSR
  20. Magonjwa Mtambuka
  21. Dr Akili
  22. Janjaweed
  23. mtanzania1989
  24. Phillipo Bukililo
  25. Mr Dudumizi
  26. digba sowey
  27. IDEGENDA
  28. Niza doyi
  29. Kivumishi Kielezi
  30. Gerald .M Magembe
  31. Jasusi Mbobezi
  32. Jay One
  33. Stuxnet
  34. Latvia
  35. Iboya2021
  36. Ritz
  37. mama D
  38. Psalm 23
  39. Shambaboy jogoli
  40. Pulchra Animo
  41. BUSH BIN LADEN
  42. No signal
  43. Lord OSAGYEFO
  44. fisi 2
  45. Naipendatz
  46. Ibambasi
  47. wababayangu
Orodha itaendelea kulingana na wanavyozidi kufyatuliwa...

Hawa kaa nao mbali kama ukoma, akili zao ziko stoo za CCM, zimehifadhiwa huko huko. Mara moja moja wanapewa kwa muda wazitumie lakini tatizo ni kwamba hakuna uhakika wa kupewa za kwako! Ndio maana kuna wakati hawaeleweki eleweki...inasikitisha!
Haya majitu sasa hv mengine yameshaanza kugawanyika-Mengine yamegawanywa na udini wakati mwingine yanakosoana yenyewe kwa yenyewe.Maushung kawapiga sana baadhi counter attack kwenye tozo nahisi biashara zao za tigo pesa na Mpesa zimeferengwa akili zimeanza kurudi
 
Watu wa aina hiyo ndio CCM inawataka na waliwekeza kweli kweli kwa watu hao kwa mtaji wa ujinga. CCM ilipoona kuna jukwaa huru kama hili letu la JF, ikawamwaga humu...yaani unakutana na watu humu mpaka unajiuliza mara mbili tatu kama waliwahi hata kuwa na akili na kama walikuwa nazo wamezipotezea wapi?

Kwa kweli CCM walifanya research ya kutosha na wakawekeza kweli kweli katika ujinga, hebu pitia hii orodha...
  1. Kamanda Asiyechoka
  2. magu2016
  3. Ezekiel Mbaga
  4. Shujaa Mwendazake
  5. tutamkumbukamagu
  6. akilinene
  7. Bushesha jr
  8. JUMA JUMA
  9. Wakudadavuwa
  10. zandrano
  11. shamimuodd
  12. Redpanther
  13. GENTAMYCINE
  14. Jasusi Mbobezi
  15. Elitwege
  16. Idugunde
  17. Jumbe Brown
  18. johnthebaptist
  19. USSR
  20. Magonjwa Mtambuka
  21. Dr Akili
  22. Janjaweed
  23. mtanzania1989
  24. Phillipo Bukililo
  25. Mr Dudumizi
  26. digba sowey
  27. IDEGENDA
  28. Niza doyi
  29. Kivumishi Kielezi
  30. Gerald .M Magembe
  31. Jasusi Mbobezi
  32. Jay One
  33. Stuxnet
  34. Latvia
  35. Iboya2021
  36. Ritz
  37. mama D
  38. Psalm 23
  39. Shambaboy jogoli
  40. Pulchra Animo
  41. BUSH BIN LADEN
  42. No signal
  43. Lord OSAGYEFO
  44. fisi 2
  45. Naipendatz
  46. Ibambasi
  47. wababayangu
Orodha itaendelea kulingana na wanavyozidi kufyatuliwa...

Hawa kaa nao mbali kama ukoma, akili zao ziko stoo za CCM, zimehifadhiwa huko huko. Mara moja moja wanapewa kwa muda wazitumie lakini tatizo ni kwamba hakuna uhakika wa kupewa za kwako! Ndio maana kuna wakati hawaeleweki eleweki...inasikitisha!
Binafsi nmefurahi sana mana tangu nimejiunga jf cjawahi kuona mtu akini-mention hvy kwa huu ushoga wako wa kuniita hapa mm nmefurahi sana na nakuomba uendelee na moyo huo huo wa kufatilia mume za watu
 
Back
Top Bottom