JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,022
Nyie jamaa bwana wababaishaji sana. Si mlisema Magufuli aliiweka mahakama mfukoni na mkafurahia kifo chake. Mkafurahia DPP Biswalo kuondolewa, mkafurahia Sabaya kufunguliwa mashtaka na kesi, sasa haya ya Mahakama kuwa mali ya CCM yametoka wapi? Hivi mnajitambua kweli nyie watu?
..kwani magufuli alikufa na mapolisi, mahakimu, na majaji, waliokuwa wakishirikiana naye kudhulumu wapinzani?