William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Je ndio ameamua kuwa kimya ili Mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.
Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi Kabwe aliyekaribia kumsajili ACT-Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.
Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au ni sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe ni Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.
Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.
Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.
Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.
Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.
Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi Kabwe aliyekaribia kumsajili ACT-Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.
Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au ni sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe ni Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.
Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.
Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.
Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.
Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.
Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.