Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,680
- 218,189
Fatuma Karume, Lugemeleza Nshala na Sasa ni Dr Edward Hosea, hawa wote ni pendekezo lake, ama yeye ndiye aliwashawishi kugombea au aliwaunga mkono.
Huyu Mtu ana ushawishi gani ndani ya chama cha Wanasheria wa Tanganyika?
Huyu Mtu ana ushawishi gani ndani ya chama cha Wanasheria wa Tanganyika?