Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 966
- 1,069
Anaepinga hili na sio mnufaika wa CCM, ni MPUMBAVU TU.Baada ya Nyerere mzalendo wa kweli mwingine ni TL. Asikudanganye mtu.
Anaepinga hili na sio mnufaika wa CCM, ni MPUMBAVU TU.Baada ya Nyerere mzalendo wa kweli mwingine ni TL. Asikudanganye mtu.
Ndio ukweli wenyeweAnaepinga hili na sio mnufaika wa CCM, ni MPUMBAVU TU.
Basi sawa mzalendo wa kweli kaacha nchi yake tar 17 machi 2021Labda smart kwa pale wodi ya mirembe,mzalendo gani aanayekimbia nchi yake na kuishi ugenini?
Very committed and rightousTundu Lissu ni aina ya watu kama,"Steve Biko na Martin Luther King Jnr".
Fatuma Karume , Lugemeleza Nshala na Sasa ni Dr Edward Hosea , hawa wote ni pendekezo lake, ama yeye ndiye aliwashawishi kugombea au aliwaunga mkono .
Huyu Mtu ana ushawishi gani ndani ya chama cha Wanasheria wa Tanganyika ?
Hata manabii,mitume wamekufa.Ipo siku wewe,watoto wako,mimi na wanajf wote tutakufa.Basi sawa mzalendo wa kweli kaacha nchi yake tar 17 machi 2021
Mchungaji gan tena????Mkuu sema yule mchungaji akiyetabir kuwa ccm 2021 mtazika alinitisha kweli na mkazika kweli,
Nasubiria utabiri wake pia kuwa kuna nafasi kubwa ya kimataifa atapatiwa mpinzani.
Muda utaongea.
Hata Mandela na wapigania uhuru wa nchi za chini ya Jangwa la Sahara walikimbia nchi zao.Labda smart kwa pale wodi ya mirembe,mzalendo gani aanayekimbia nchi yake na kuishi ugenini?
Huwezi kumuelewa kwa akili yako ndogo,Kama unaweza kusema zezeta ni mtu smart, hapo mimi umeniacha njia panda!
Lisu huyu huyu anayesema mlinzi wa Magufuli alikufa kwa Corona wakati mlinzi yuko hai wewe ndiyo unamuona ni mtu smart?
Mkuu, za kuambiwa changanya na zako tafadhali
Sio kufa kwa fedheha vile. Uliona wapi mtu anaumwa anafichwa kama jambazi?Hata manabii,mitume wamekufa.Ipo siku wewe,watoto wako,mimi na wanajf wote tutakufa.
Kwa hiyo point yako haina jipya zaidi ya marudio tu ya ulimwengu
Hosea alipingwa sana na CCM , nilipouliza sababu. Nikaambiwa ana kisasi cha kuondolewa nafasi yake PCCB na hajawahi kuwa mtiifu kwa chama. Kumbe nyuma yake kuna LISSU ndo nikashangaa zaidi.mimi nilikuwa wa kwanza kuhoji jambo hili humu jf , kuna uzi wake kabisa , lakini hoja yangu ni ushawishi wa Lissu maana nimeona akimpigia debe Hosea
Mkuu mbona amekufa na kuzikwa kwa jicho la heshima,na nadhani sijawahi ona raisi akililiwa namna ile kwa misiba niliyoshuhudiaSio kufa kwa fedheha vile. Uliona wapi mtu anaumwa anafichwa kama jambazi?
Aiseeee !!Sio kufa kwa fedheha vile. Uliona wapi mtu anaumwa anafichwa kama jambazi?
Nasema Lisu ana karama ya pekee. Ni zawadi toka kwa Mungu, CHADEMA hiii tunu waitunze vema! Huyu ni Albert Einstein of our time in Tanzania and even the world, it is a matter of time! by the way, hivi Tundu Lisu ana akauunti JF?Fatuma Karume , Lugemeleza Nshala na Sasa ni Dr Edward Hosea , hawa wote ni pendekezo lake, ama yeye ndiye aliwashawishi kugombea au aliwaunga mkono .
Huyu Mtu ana ushawishi gani ndani ya chama cha Wanasheria wa Tanganyika ?
Yupo na Utabiri wake uliletwa humu.Mchungaji gan tena????
Katika watu wa hovyo kutokea hapa Tanzania ni huyo jamaa.Mimi ni CCM ila Tundu Lissu ni moja ya watu smart sana, mzalendo hasa. Huyu sio raia tu wa kawaida atakuwa 'Mzalendo aliyepikwa'. Huyu ndiye aliye sacrifie maisha yake kwa ajili ya Watanzania. Ana miiko, maadili na misimamo.
Muongeze na Mwendazake alijiibia mahela kwa mahela uku hospitali hazina dawa ,ajira anagawa kama za Mama ake et upate ajira lazima uwe na kadi ya Ccm.Yule jamaaa mungu aliona mbali sana kumchukua saizi nchi ina hewa nzuri.Katika watu wa hovyo kutokea hapa Tanzania ni huyo jamaa.