mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,193
- 6,381
Fatilia nyuzi zanguAcha uongo Mkuu wewe sio CCM
Fatilia nyuzi zanguAcha uongo Mkuu wewe sio CCM
Uko sahihiMimi ni CCM ila Tundu Lissu ni moja ya watu smart sana, mzalendo hasa. Huyu sio raia tu wa kawaida atakuwa 'Mzalendo aliyepikwa'. Huyu ndiye aliye sacrifie maisha yake kwa ajili ya Watanzania. Ana miiko, maadili na misimamo.
Hebu tupe sababu kutetea hoja yako!Baada ya Nyerere mzalendo wa kweli mwingine ni TL. Asikudanganye mtu.
Mkuu jibu ni mbaikiwa, mungu husemwa nami juu ya huyu kiumbe wake yapo Mambo mpaka nda huu mh lissu yeye binfsi bado hajuhi kwamba yeye ni nani katika ulimwengu huu, that man is a man of God, tatizo ,tatizo mie Sina karama ya kuomba Sana may be labda sio mchungaji, ila wenye karama za kuomba mh lissu ni tinu ya taifa Hili , naishia hapaFatuma Karume , Lugemeleza Nshala na Sasa ni Dr Edward Hosea , hawa wote ni pendekezo lake, ama yeye ndiye aliwashawishi kugombea au aliwaunga mkono .
Huyu Mtu ana ushawishi gani ndani ya chama cha Wanasheria wa Tanganyika ?
Ni mtu mzalendo kwa mabeberu naalisacrifie maisha yake kwa ajili ya kutetea mabeberuMimi ni CCM ila Tundu Lissu ni moja ya watu smart sana, mzalendo hasa. Huyu sio raia tu wa kawaida atakuwa 'Mzalendo aliyepikwa'. Huyu ndiye aliye sacrifie maisha yake kwa ajili ya Watanzania. Ana miiko, maadili na misimamo.
Fatuma Karume , Lugemeleza Nshala na Sasa ni Dr Edward Hosea , hawa wote ni pendekezo lake, ama yeye ndiye aliwashawishi kugombea au aliwaunga mkono .
Huyu Mtu ana ushawishi gani ndani ya chama cha Wanasheria wa Tanganyika ?
mimi nilikuwa wa kwanza kuhoji jambo hili humu jf , kuna uzi wake kabisa , lakini hoja yangu ni ushawishi wa Lissu maana nimeona akimpigia debe HoseaMkuu na wewe unafikiri nini? Kumchagua Dr. Hosea ni sahihi?
Lawyers wanajua vizuri wanachotaka. Kazi kwao mawakili wasomimimi nilikuwa wa kwanza kuhoji jambo hili humu jf , kuna uzi wake kabisa , lakini hoja yangu ni ushawishi wa Lissu maana nimeona akimpigia debe Hosea
Amina. Mungu anajua nia ktk moyo wako thabiti. Barikiwa na BwanaMkuu jibu ni mbaikiwa, mungu husemwa nami juu ya huyu kiumbe wake yapo Mambo mpaka nda huu mh lissu yeye binfsi bado hajuhi kwamba yeye ni nani katika ulimwengu huu, that man is a man of God, tatizo ,tatizo mie Sina karama ya kuomba Sana may be labda sio mchungaji, ila wenye karama za kuomba mh lissu ni tinu ya taifa Hili , naishia hapa
Mimi akimpigia Mtu Kampeni, mimi ni nani wa kupinga? He is my role model so far. TL God bless you my brother.mimi nilikuwa wa kwanza kuhoji jambo hili humu jf , kuna uzi wake kabisa , lakini hoja yangu ni ushawishi wa Lissu maana nimeona akimpigia debe Hosea
Hoja si usisiemu bali USHAWISHI WA TL...HOSEA si ndo CCM hao???
Wewe ni moja ya wajinga walewale. System ina watu na Wazalendo kila sehemu. Upinzani ni sehemu ya afya kwa TaifaNi mtu mzalendo kwa mabeberu naalisacrifie maisha yake kwa ajili ya kutetea mabeberu
Mimi ni CCM ila Tundu Lissu ni moja ya watu smart sana, mzalendo hasa. Huyu sio raia tu wa kawaida atakuwa 'Mzalendo aliyepikwa'. Huyu ndiye aliye sacrifie maisha yake kwa ajili ya Watanzania. Ana miiko, maadili na misimamo.
Nothing but his intelligence, sincerity, and transparency. He is visionary.Fatuma Karume , Lugemeleza Nshala na Sasa ni Dr Edward Hosea , hawa wote ni pendekezo lake, ama yeye ndiye aliwashawishi kugombea au aliwaunga mkono .
Huyu Mtu ana ushawishi gani ndani ya chama cha Wanasheria wa Tanganyika ?
System ina watu kila sehemu, ndivyo unavyofanya kazi. Kwani tumeshtakiwa sehemu ngapi? South na Canada tumeshtakiwa. Ndege zetu haziruki nje kwa sababu ya Madeni. Possibility ya kushtakiwa ilikuwepo na yeye alitimiza wajibu wake kuonya na kushauri. Kaka tulikuwa tuko sasa hizi yale ma trillioji tumelipwa? Au tuliisuia kuhadiwa kuahudiwa zile bilioni na mwisho wa siku hata hizo hawakautoa na makontena ya mchanga wakaruhusiwa kusafirisha.Hasa pale alipotutisha na kushtakiwa Miga alionesha uzarendoz
mbona hata huyo hosea nasikia msukuma ?au ni chai tuSubiri MATAGA a.k.a sukuma gang waje
System ina watu kila sehemu, ndivyo unavyofanya kazi. Kwani tumeshtakiwa sehemu ngapi? South na Canada tumeshtakiwa. Ndege zetu haziruki nje kwa sababu ya Madeni. Possibility ya kushtakiwa ilikuwepo na yeye alitimiza wajibu wake kuonya na kushauri. Kaka tulikuwa tuko sasa hizi yale ma trillioji tumelipwa? Au tuliisuia kuhadiwa kuahudiwa zile bilioni na mwisho wa siku hata hizo hawakautoa na makontena ya mchanga wakaruhusiwa kusafirisha.