Jaji Mugasha Apewe Maua Yake Kupinga Uvunjifu wa Katiba Ukomo wa CJ, ila Mbona Hili ni Dogo Tuu, Kubwa ni Katiba Yetu Imenajisiwa! Why Wako Kimya?!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,499
113,610
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Makala ya leo ni pongezi kwa Jaji Stella Mugasha wa Mahakama ya Rufani Tanzania, kusimama kidete, kupinga uvunjifu wa katiba uliofanywa na Rais wa JMT, kumuongezea muda wa kuhudumu katika nafasi ya Jaji Mkuu, baada ya kutimiza umri wa miaka 65 kama ilivyoripotiwa humu Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?

Naomba ku declare Interest
Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma ni Mwalimu wangu wa sheria nilipokuwa Mwanafunzi wa LL.B UDSM.
Nilipomaliza mwaka wa 4, Dr. Ibrahim Juma (as then was), ndio alikuwa Dean wangu pale Fol.
Na nilipopata uwakili, ni Prof. Ibrahim Juma aliyeniapisha kuwa Wakili kipindi hiki cha Ujaji Mkuu wake, hivyo nikitetea uvunjifu huu wa katiba wa Rais Samia kumuongezea muda Jaji Mkuu kinyume cha katiba, simtetei Dr. Juma kwasababu ni Mwalimu wangu, wala simtetei kwa sababu ni Dean wangu, au kwasababu alinipa uwakili, namtetea Dr. Ibrahim Juma kuongezewa muda kidogo kwa katiba kuvunjwa kidogo tuu for logical reasoning, kama katiba yetu imeisha vunjwa sana mara kibao kwa mambo makubwa ya msingi na yenye madhara makubwa kwa taifa na tulikaa kimya!, why isivunjwe kwa hili dogo ambalo halina madhara yoyote?.
Rais Samia vunja tuu katiba kwa haya madogo madogo, hata watangulizi wako wote walivunja!, tena wengine wetu akina sisi pia tulikuwa washauri wa bure kumshauri rais wetu avunje katiba Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'! hivyo hili, mwacheni Mama avunje katiba as long as anavunja kwa nia njema na dhamira safi!, na uvunjwaji wenyewe, hauna madhara!.

Nimependekeza Jaji Mugasha apewe maua yake kwa sababu hii ndio mara ya kwanza katika historia ya Mahakama Tanzania, mtu mwenye cheo cha juu kiasi hicho, cheo cha Jaji Rufani kupinga hadharani tena kwa waraka wenye vifungu, kupinga kitendo cha Rais wa JMT kumuongezea muda Jaji Mkuu baada ya kutimiza umri wa miaka 65 ni uvunjifu wa katiba ya JMT ya mwaka 1977 kuhusu ukomo wa Jaji Mkuu kuhudumu.

Hii ndio mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, ofisa yoyote wa serikali kupinga uvunjifu wa katiba unaofanywa na Rais wa JMT.

Hili ni jambo zuri na la afya sana, katiba ndio sheria Mama, hakuna aliye juu ya katiba, hata rais wa JMT hayuko juu ya katiba, katiba ni lazima iheshimiwe na wote, hivyo kitendo hiki cha Jaji Stella Mugasha, ni kitendo cha kishujaa sana na ni cha kishujaa zaidi kufanywa na Jaji Mwanamke, hivyo kuthibitisha sometimes wanawake ni mashujaa kuliko wanaume!, hivyo Jaji Mugasha apewe maua yake na jina lake liandikwe kwa herufi za dhahabu katika list ya mashujaa wa nchi hii.

Pamoja na ushujaa wote huu kwangu mimi, hili la Rais wa JMT kuvunja katiba kwa nia Njema ili taifa lisiwe na ombwe la uongozi wa Mahakama wakati mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mpya ukiendelea mimi naliona kama ni dogo tuu, yaani nakubali na kuridhia kabisa katiba ivunjwe tuu katika yale madogo madogo yasiyo na madhara!.

Jana nimemsikia Wakili senior Alex Mgongolwa Clouds TV akimtetea Rais Samia kuvunja katiba kwa kumuongezea muda Jaji Mkuu, Wakili Mgongolwa hoja yake ni Kifungu cha ambacho Rais ana mamlaka ya kumuongezea muda Jaji Rufani baada ya kutimiza umri wa miaka 65, Wakili Mgongolwa, aliteleza kifungu cha kinachomzua CJ, CAG, CDF, DIS, na wakubwa wengine kuteuliwa nafasi za kiutendaji baada ya kufikisha umri wa kustaafu Wakili Mgongolwa: Katiba inamruhusu Rais kumuongezea muda Jaji Mkuu

Sababu yangu ni moja tuu, using logical reasoning, jee kuna ubaya gani kumuongezea muda kidogo tuu Jaji Mkuu aliyepo, ambaye ametimiza umri wa miaka 65 kwa ghafla tuu kabla mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mwingine?.

Hii maana yake kuna udhaifu kwenye utendaji wa Mahakama, kwasababu kwa mujibu wa Standing Orders za serikali, mtendaji yoyote wa serikali anapobakiza miaka miwili kabla ya tarehe yake ya kustaafu, anakumbushwa kwa barua ili aanze kujipanga. Anapobakiza 6 months anatumiwa reminder, na anapobakiza mwezi mmoja, anapewa likizo ya lazima ya kustaafu wakati akiandaliwa mafao yake, akitoka likizo ni kuaga tuu na kuagwa!. Inaonekana hili halikufanyika kiasi kwamba inaonekana it's as if Jaji Mkuu ametimiza miaka 65 ghafla!. Turuhusu Uvunjifu huu wa katiba kwa nia Njema ila pia watu wawajibike!.

Swali kwa Jaji Stella Mugasha na wana tasnia nzima ya sheria, walikuwa wapi siku zote Rais wa JMT alipokuwa anavunja katiba ya JMT kwenye mambo makubwa ya msingi?!. Mfano mzuri ni Rais wa JMT alipozuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa!, hili ni jambo kubwa na la msingi sana, lenye madhara makubwa!, majaji watetezi wa katiba ya JMT, walikuwa wapi?!, mbona walikaa kimya?.

Kwenye hili, angalau mimi nililulizia, japo sikumbuki nilijibiwa nini, lakini watetezi wa katiba wa aina hii walikuwa wapi?, mbona walinyamaza kimya?.

Juzi kati hapa nimeipongeza TLS kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa katiba hili la Bandari Kwa la Bandari, Pongezi TLS. Katiba yetu imenajisiwa. Bunge limetunga Sheria batili. Haki za Watanzania zimeporwa. Kwanini TLS wamenyamaza kimya? lakini nao pia niliwauliza maswali haya haya ninayouliza leo.

Sheria Kuu kuliko zote nchini kwetu ni katiba, katiba ndio sheria Mama, sheria nyingine yoyote inayokwenda kinyume cha katiba ni sheria batili!. Kinachoibatilisha hiyo sheria yoyote kinyume cha katiba, ni katiba yenyewe!.

  1. Serikali yetu ime draft sheria batili, inayokwenda kinyume cha katiba, ikaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria!, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  2. Bunge letu likaitunga hiyo sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  3. Rais wa JMT akaisaini hiyo sheria batili kuwa ni sheria!, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  4. Mahakama Kuu kupitia kesi ya Mchungaji Mtikila, (RIP), ikatamka sheria hiyo ni batili na kuitaka serikali iifute, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  5. Ubatili wa sheria batili yoyote unabatilishwa na katiba, Mahakama Kuu ikiisha tamka sheria fulani ni batili kwa kwenda kinyume cha katiba, automatically sheria batili hiyo inakuwa imebatilika from there and then. Kazi ya serikali ni procedures tuu za kuifuta!. Kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikaa kimya?!.
  6. Serikali yetu ikakata rufaa kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu, ikashidwa!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikaa kimya?!.
  7. Serikali yetu baada ya kubwagwa, ikafanya kubwa kuliko, ikapeleka Bungeni mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, batili ile ikachomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu!. Kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  8. Bunge letu likafanya mabadiliko ya batili ya katiba na kuichomeka kiubatili, hiyo batili ndani ya katiba yetu!. Hivyo katiba yetu imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  9. Mchungaji Mtikila hakukubali katiba yetu inajisiwe, akafungua shauri jingine kupinga mabadiliko hayo ya katiba, Mahakama Kuu ikampa ushindi na kutangaza mabadiliko hayo ni batili!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  10. Serikali yetu ikakata rufaa Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu, serikali ikashinda, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
Mpaka leo ninapoandika hapa, Katiba yetu bado inacho kifungu batili hicho!, sheria zetu bado zina ubatili huo na TLS wako kimya!.

Nimalizie kwa pongezi tena, kwa Jaji Stella Mugasha kwa hili la utetezi wa katiba ya ila kuna makubwa kuliko hili la kumuongezea muda Jaji Mkuu.

Natoa wito kwa Rais wetu Mama Samia, kwa vile wewe ni Mwanamke na ni mtetezi Mkuu wa wanawake, na kwa vile Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma amefikisha muda wa ukomo wa kuwa Jaji Mkuu, na kwa vile Jaji Stella Mugasha ana sifa zote za kuwa Jaji Mkuu, ila amebakiza miaka 3 kutimiza umri wa miaka 65, hivyo hawezi kuteuliwa kuwa Jaji Mkuu , lakini anaweza kuteuliwa kuwa Kaimu Jaji Mkuu, wakati mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mpya ukiendelea na tena Samia endelea kuandika historia mpya ya Tanzania kwa kututeulia Jaji Mkuu wa kwanza Mwanamke!.

Mungu Mbariki Jaji Stella Mugasha
Mungu Mbariki Rais Samia atuteulie Jaji Mkuu Mwanamke!
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Rejea
1. Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law! Kuendelea Kuitumia ni Ujinga? Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!
2. Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!.
3. Mgombea Kudhaminiwa na Chama ni Ubatili Uliochomekwa Kiubatili na Bunge Letu Ndani ya Katiba Yetu!. Tuache Ubatili Huu Uendelee Ndani ya Katiba Yetu?
4. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Makala ya leo ni pongezi kwa Jaji Stella Mugasha wa Mahakama ya Rufani Tanzania, kusimama kidete, kupinga uvunjifu wa katiba uliofanywa na Rais wa JMT, kumuongezea muda wa kuhudumu katika nafasi ya Jaji Mkuu, baada ya kutimiza umri wa miaka 65.

Naomba ku declare Interest
Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma ni Mwalimu wangu wa sheria nilipokuwa Mwanafunzi wa LL.B UDSM.
Nilipomaliza mwaka wa 4, Dr. Ibrahim Juma (as then was), ndio alikuwa Dean wangu pale Fol.
Na nilipopata uwakili, ni Prof. Ibrahim Juma aliyeniapisha kuwa Wakili kipindi hiki cha Ujaji Mkuu wake, hivyo nikitetea uvunjifu huu wa katiba wa Rais Samia kumuongezea muda Jaji Mkuu kinyume cha katiba, simtetei Dr. Juma kwasababu ni Mwalimu wangu, wala simtetei kwa sababu ni Dean wangu, au kwasababu alinipa uwakili, namtetea Dr. Ibrahim Juma kuongezewa muda kidogo kwa katiba kuvunjwa kidogo tuu for logical reasoning, kama katiba yetu imeisha vunjwa sana mara kibao kwa mambo makubwa ya msingi na yenye madhara makubwa kwa taifa na tulikaa kimya!, why isivunjwe kwa hili dogo ambalo halina madhara yoyote?.
Rais Samia vunja tuu katiba kwa haya madogo madogo, hata watangulizi wako wote walivunja!, tena wengine wetu akina sisi pia tulikuwa washauri wa bure kumshauri rais wetu avunje katiba Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'! hivyo hili, mwacheni Mama avunje katiba as long as anavunja kwa nia njema na dhamira safi!.

Nimependekeza Jaji Mugasha apewe maua yake kwa sababu hii ndio mara ya kwanza katika historia ya Mahakama Tanzania, mtu mwenye cheo cha juu kiasi hicho, cheo cha Jaji Rufani kupinga hadharani tena kwa waraka wenye vifungu, kupinga kitendo cha Rais wa JMT kumuongezea muda Jaji Mkuu baada ya kutimiza umri wa miaka 65 ni uvunjifu wa katiba ya JMT ya mwaka 1977 kuhusu ukomo wa Jaji Mkuu kuhudumu.

Hii ndio mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, ofisa yoyote wa serikali kupinga uvunjifu wa katiba unaofanywa na Rais wa JMT.

Hili ni jambo zuri na la afya sana, katiba ndio sheria Mama, hakuna aliye juu ya katiba, hata rais wa JMT hayuko juu ya katiba, katiba ni lazima iheshimiwe na wote, hivyo kitendo hiki cha Jaji Stella Mugasha, ni kitendo cha kishujaa sana na ni cha kishujaa zaidi kufanywa na Jaji Mwanamke, hivyo kuthibitisha sometimes wanawake ni mashujaa kuliko wanaume!, hivyo Jaji Mugasha apewe maua yake na jina lake liandikwe kwa herufi za dhahabu katika list ya mashujaa wa nchi hii.

Pamoja na ushujaa wote huu kwangu mimi, hili la Rais wa JMT kuvunja katiba kwa nia Njema ili taifa lisiwe na ombwe la uongozi wa Mahakama wakati mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mpya ukiendelea mimi naliona kama ni dogo tuu, yaani nakubali na kuridhia kabisa katiba ivunjwe tuu katika yale madogo madogo yasiyo na madhara!.

Jana nimemsikia Wakili senior Alex Mgongolwa akimtetea Rais Samia kuvunja katiba kwa kumuongezea muda Jaji Mkuu, Wakili Mgongolwa hoja yake ni Kifungu cha ambacho Rais ana mamlaka ya kumuongezea muda Jaji Rufani baada ya kutimiza umri wa miaka 65, Wakili Mgongolwa, aliteleza kifungu cha kinachomzua CJ, CAG, CDF, DIS, na wakubwa wengine kuteuliwa nafasi za kiutendaji baada ya kufikisha umri wa kustaafu.

Sababu yangu ni moja tuu, using logical reasoning, jee kuna ubaya gani kumuongezea muda kidogo tuu Jaji Mkuu aliyepo, ambaye ametimiza umri wa miaka 65 kwa ghafla tuu kabla mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mwingine?.

Hii maana yake kuna udhaifu kwenye utendaji wa Mahakama, kwasababu kwa mujibu wa Standing Orders za serikali, mtendaji yoyote wa serikali anapobakiza miaka miwili kabla ya tarehe yake ya kustaafu, anakumbushwa kwa barua ili aanze kujipanga. Anapobakiza 6 months anatumiwa reminder, na anapobakiza mwezi mmoja, anapewa likizo ya lazima ya kustaafu wakati akiandaliwa mafao yake, akitoka likizo ni kuaga tuu na kuagwa!. Inaonekana hili halikufanyika kiasi kwamba inaonekana it's as if Jaji Mkuu ametimiza miaka 65 ghafla!. Turuhusu Uvunjifu huu wa katiba kwa nia Njema ila pia watu wawajibike!.

Swali kwa Jaji Stella Mugasha na wana tasnia nzima ya sheria, walikuwa wapi siku zote Rais wa JMT alipokuwa anavunja katiba ya JMT kwenye mambo makubwa ya msingi?!. Mfano mzuri ni Rais wa JMT alipozuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa!, hili ni jambo kubwa na la msingi sana, lenye madhara makubwa!, majaji watetezi wa katiba ya JMT, walikuwa wapi?!, mbona walikaa kimya?.

Kwenye hili, angalau mimi nililulizia, japo sikumbuki nilijibiwa nini, lakini watetezi wa katiba wa aina hii walikuwa wapi?, mbona walinyamaza kimya?.

Juzi kati hapa nimeipongeza TLS kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa katiba hili la Bandari Kwa la Bandari, Pongezi TLS. Katiba yetu imenajisiwa. Bunge limetunga Sheria batili. Haki za Watanzania zimeporwa. Kwanini TLS wamenyamaza kimya? lakini nao pia niliwauliza maswali haya haya ninayouliza leo.

Sheria Kuu kuliko zote nchini kwetu ni katiba, katiba ndio sheria Mama, sheria nyingine yoyote inayokwenda kinyume cha katiba ni sheria batili!. Kinachoibatilisha hiyo sheria yoyote kinyume cha katiba, ni katiba yenyewe!.

  1. Serikali yetu ime draft sheria batili, inayokwenda kinyume cha katiba, ikaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria!, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  2. Bunge letu likaitunga hiyo sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  3. Rais wa JMT akaisaini hiyo sheria batili kuwa ni sheria!, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  4. Mahakama Kuu kupitia kesi ya Mchungaji Mtikila, (RIP), ikatamka sheria hiyo ni batili na kuitaka serikali iifute, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  5. Ubatili wa sheria batili yoyote unabatilishwa na katiba, Mahakama Kuu ikiisha tamka sheria fulani ni batili kwa kwenda kinyume cha katiba, automatically sheria batili hiyo inakuwa imebatilika from there and then. Kazi ya serikali ni procedures tuu za kuifuta!. Kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikaa kimya?!.
  6. Serikali yetu ikakata rufaa kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu, ikashidwa!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikaa kimya?!.
  7. Serikali yetu baada ya kubwagwa, ikafanya kubwa kuliko, ikapeleka Bungeni mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, batili ile ikachomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu!. Kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  8. Bunge letu likafanya mabadiliko ya batili ya katiba na kuichomeka kiubatili, hiyo batili ndani ya katiba yetu!. Hivyo katiba yetu imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  9. Mchungaji Mtikila hakukubali katiba yetu inajisiwe, akafungua shauri jingine kupinga mabadiliko hayo ya katiba, Mahakama Kuu ikampa ushindi na kutangaza mabadiliko hayo ni batili!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  10. Serikali yetu ikakata rufaa Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu, serikali ikashinda, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
Mpaka leo ninapoandika hapa, Katiba yetu bado inacho kifungu batili hicho!, sheria zetu bado zina ubatili huo na TLS wako kimya!.

Nimalizie kwa pongezi tena, kwa Jaji Stella Mugasha kwa hili la utetezi wa katiba ya ila kuna makubwa kuliko hili la kumuongezea muda Jaji Mkuu.

Natoa wito kwa Rais wetu Mama Samia, kwa vile wewe ni Mwanamke na ni mtetezi Mkuu wa wanawake, na kwa vile Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma amefikisha muda wa ukomo wa kuwa Jaji Mkuu, na kwa vile Jaji Stella Mugasha ana sifa zote za kuwa Jaji Mkuu, ila amebakiza miaka 3 kutimiza umri wa miaka 65, hivyo hawezi kuteuliwa kuwa Jaji Mkuu , lakini anaweza kuteuliwa kuwa Kaimu Jaji Mkuu, wakati mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mpya ukiendelea na tena Samia endelea kuandika historia mpya ya Tanzania kwa kututeulia Jaji Mkuu wa kwanza Mwanamke!.

Mungu Mbariki Jaji Stella Mugasha
Mungu Mbariki Rais Samia atuteulie Jaji Mkuu Mwanamke!
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Rejea
1. Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law! Kuendelea Kuitumia ni Ujinga? Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!
2. Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!.
3. Mgombea Kudhaminiwa na Chama ni Ubatili Uliochomekwa Kiubatili na Bunge Letu Ndani ya Katiba Yetu!. Tuache Ubatili Huu Uendelee Ndani ya Katiba Yetu?
Kwa mara ya Kwanza Leo Mzee pascal umekubali kuwa katiba hii imepitwa na wakati .Lakini hadi Leo chama chako kimejificha kwenye migomba
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Makala ya leo ni pongezi kwa Jaji Stella Mugasha wa Mahakama ya Rufani Tanzania, kusimama kidete, kupinga uvunjifu wa katiba uliofanywa na Rais wa JMT, kumuongezea muda wa kuhudumu katika nafasi ya Jaji Mkuu, baada ya kutimiza umri wa miaka 65.

Naomba ku declare Interest
Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma ni Mwalimu wangu wa sheria nilipokuwa Mwanafunzi wa LL.B UDSM.

Nilipomaliza mwaka wa 4, Dr. Ibrahim Juma by then ndio alikuwa Dean wangu pale Fol.
Na nilipopata uwakili, ni Prof. Ibrahim Juma aliyeniapisha wakati wa kipindi chake cha Ujaji Mkuu, hivyo nikitetea uvunjifu huu wa katiba wa Rais Samia kumuongezea muda kinyume cha katiba, simtetei Dr. Juma kwasababu ni Mwalimu wangu, wala simtetei kwa sababu ni Dean wangu, au kwasababu alinipa uwakili, namtetea Dr. Ibrahim Juma kuongezewa muda kidogo kwa katiba kuvunjwa kidogo tuu for logical reasoning, kama katiba yetu imeisha vunjwa sana kwa mambo makubwa yenye madhara, why isivunjwe kwa hili dogo ambalo halina madhara?.

Nimependekeza Jaji Mugasha apewe maua yake kwa sababu hii ndio mara ya kwanza katika historia ya Mahakama Tanzania, mtu mwenye cheo cha juu kiasi hicho, cheo cha Jaji Rufani kupinga hadharani tena kwa waraka wenye vifungu, kupinga kitendo cha Rais wa JMT kumuongezea muda Jaji Mkuu baada ya kutimiza umri wa miaka 65 ni uvunjifu wa katiba ya JMT ya mwaka 1977 kuhusu ukomo wa Jaji Mkuu kuhudumu.

Hii ndio mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, ofisa yoyote wa serikali kupinga uvunjifu wa katiba unaofanywa na Rais wa JMT.

Hili ni jambo zuri na la afya sana, katiba ndio sheria Mama, hakuna aliye juu ya katiba, hata rais wa JMT hayuko juu ya katiba, katiba ni lazima iheshimiwe na wote, hivyo kitendo hiki cha Jaji Stella Mugasha, ni kitendo cha kishujaa sana na ni cha kishujaa zaidi kufanywa na Jaji Mwanamke, hivyo kuthibitisha sometimes wanawake ni mashujaa kuliko wanaume!, hivyo Jaji Mugasha apewe maua yake na jina lake liandikwe kwa herufi za dhahabu katika list ya mashujaa wa nchi hii.

Pamoja na ushujaa wote huu kwangu mimi, hili la Rais wa JMT kuvunja katiba kwa nia Njema ili taifa lisiwe na ombwe la uongozi wa Mahakama wakati mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mpya ukiendelea mimi naliona kama ni dogo tuu, yaani nakubali na kuridhia kabisa katiba ivunjwe tuu katika yale madogo madogo yasiyo na madhara!.

Jana nimemsikia Wakili senior Alex Mgongolwa akimtetea Rais Samia kuvunja katiba kwa kumuongezea muda Jaji Mkuu, Wakili Mgongolwa hoja yake ni Kifungu cha ambacho Rais ana mamlaka ya kumuongezea muda Jaji Rufani baada ya kutimiza umri wa miaka 65, Wakili Mgongolwa, aliteleza kifungu cha kinachomzua CJ, CAG, CDF, DIS, na wakubwa wengine kuteuliwa nafasi za kiutendaji baada ya kufikisha umri wa kustaafu.

Sababu yangu ni moja tuu, using logical reasoning, jee kuna ubaya gani kumuongezea muda kidogo tuu Jaji Mkuu aliyepo, ambaye ametimiza umri wa miaka 65 kwa ghafla tuu kabla mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mwingine?.

Hii maana yake kuna udhaifu kwenye utendaji wa Mahakama, kwasababu kwa mujibu wa Standing Orders za serikali, mtendaji yoyote wa serikali anapobakiza miaka miwili kabla ya tarehe yake ya kustaafu, anakumbushwa kwa barua ili aanze kujipanga. Anapobakiza 6 months anatumiwa reminder, na anapobakiza mwezi mmoja, anapewa likizo ya lazima ya kustaafu wakati akiandaliwa mafao yake, akitoka likizo ni kuaga tuu na kuagwa!. Inaonekana hili halikufanyika kiasi kwamba inaonekana it's as if Jaji Mkuu ametimiza miaka 65 ghafla!. Turuhusu Uvunjifu huu wa katiba kwa nia Njema ila pia watu wawajibike!.

Swali kwa Jaji Stella Mugasha na wana tasnia nzima ya sheria, walikuwa wapi siku zote Rais wa JMT alipokuwa anavunja katiba ya JMT kwenye mambo makubwa ya msingi?!. Mfano mzuri ni Rais wa JMT alipozuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa!, hili ni jambo kubwa na la msingi sana, lenye madhara makubwa!, majaji watetezi wa katiba ya JMT, walikuwa wapi?!, mbona walikaa kimya?.

Kwenye hili, angalau mimi nililulizia, japo sikumbuki nilijibiwa nini, lakini watetezi wa katiba wa aina hii walikuwa wapi?, mbona walinyamaza kimya?.

Juzi kati hapa nimeipongeza TLS kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa katiba hili la Bandari Kwa la Bandari, Pongezi TLS. Katiba yetu imenajisiwa. Bunge limetunga Sheria batili. Haki za Watanzania zimeporwa. Kwanini TLS wamenyamaza kimya? lakini nao pia niliwauliza maswali haya haya ninayouliza leo.

Sheria Kuu kuliko zote nchini kwetu ni katiba, katiba ndio sheria Mama, sheria nyingine yoyote inayokwenda kinyume cha katiba ni sheria batili!. Kinachoibatilisha hiyo sheria yoyote kinyume cha katiba, ni katiba yenyewe!.

  1. Serikali yetu ime draft sheria batili, inayokwenda kinyume cha katiba, ikaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria!, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  2. Bunge letu likaitunga hiyo sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  3. Rais wa JMT akaisaini hiyo sheria batili kuwa ni sheria!, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  4. Mahakama Kuu kupitia kesi ya Mchungaji Mtikila, (RIP), ikatamka sheria hiyo ni batili na kuitaka serikali iifute, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  5. Ubatili wa sheria batili yoyote unabatilishwa na katiba, Mahakama Kuu ikiisha tamka sheria fulani ni batili kwa kwenda kinyume cha katiba, automatically sheria batili hiyo inakuwa imebatilika from there and then. Kazi ya serikali ni procedures tuu za kuifuta!. Kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikaa kimya?!.
  6. Serikali yetu ikakata rufaa kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu, ikashidwa!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikaa kimya?!.
  7. Serikali yetu baada ya kubwagwa, ikafanya kubwa kuliko, ikapeleka Bungeni mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, batili ile ikachomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu!. Kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  8. Bunge letu likafanya mabadiliko ya batili ya katiba na kuichomeka kiubatili, hiyo batili ndani ya katiba yetu!. Hivyo katiba yetu imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  9. Mchungaji Mtikila hakukubali katiba yetu inajisiwe, akafungua shauri jingine kupinga mabadiliko hayo ya katiba, Mahakama Kuu ikampa ushindi na kutangaza mabadiliko hayo ni batili!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  10. Serikali yetu ikakata rufaa Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu, serikali ikashinda, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
Mpaka leo ninapoandika hapa, Katiba yetu bado inacho kifungu batili hicho!, sheria zetu bado zina ubatili huo na TLS wako kimya!.

Nimalizie kwa pongezi tena, kwa Jaji Stella Mugasha kwa hili la utetezi wa katiba ya ila kuna makubwa kuliko hili la kumuongezea muda Jaji Mkuu.

Natoa wito kwa Rais wetu Mama Samia, kwa vile wewe ni Mwanamke na ni mtetezi Mkuu wa wanawake, na kwa vile Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma amefikisha muda wa ukomo wa kuwa Jaji Mkuu, na kwa vile Jaji Stella Mugasha ana sifa zote za kuwa Jaji Mkuu, ila amebakiza miaka 3 kutimiza umri wa miaka 65, hivyo hawezi kuteuliwa kuwa Jaji Mkuu , lakini anaweza kuteuliwa kuwa Kaimu Jaji Mkuu, wakati mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mpya ukiendelea na tena Samia endelea kuandika historia mpya ya Tanzania kwa kututeulia Jaji Mkuu wa kwanza Mwanamke!.

Mungu Mbariki Jaji Stella Mugasha
Mungu Mbariki Rais Samia atuteulie Jaji Mkuu Mwanamke!
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Rejea
1. Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law! Kuendelea Kuitumia ni Ujinga? Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!
2. Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!.
3. Mgombea Kudhaminiwa na Chama ni Ubatili Uliochomekwa Kiubatili na Bunge Letu Ndani ya Katiba Yetu!. Tuache Ubatili Huu Uendelee Ndani ya Katiba Yetu?
Tusiendelee kulaumu tulipo angukia tuondoe sababu iliyofanya Tujikwae!
Yaliyopita sio ndwele Tugange Yajayo....
 
Mama Mugasha kasema ukweli na ukweli mtupu.

Tanzania imeshakuwa nchi kubwa, watu milioni sitini na ushee siyo haba. Hivyo hata taasisi za nchi inabidi zifanyiwe mabadiliko makubwa (Massive Restructuring) ili ziweze kuendana na maendeleo ya nchi na dunia kiujumla. Kiuhalisia hili lilitakiwa lianze kushughulikiwa na WIZARA YA KATIBA NA SHERIA na TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA, kabla hata ya Jaji Mugasha kupaza sauti.

Nimejiuliza, hivi kama Jaji Mugasha asingepaza sauti yake na kutoa ushahidi mkubwa wa barua za Johnson Mwanyika (AG) kwa Philemon Luhanjo (CS), hili suala ndiyo lilikuwa linapitishwa na kwenda kufanywa utamaduni. Majaji wengine wa mahakama ya Rufani hili limewapita kichwani kabisa na wengine wameonekana hata kukubaliana nalo. Hili linatufanya tuwaze mno, kwamba kama uvunjifu mkubwa hivi wa katiba unafanyika na majaji wanabariki, wananchi tutakuwa na imani na mahakama zetu kweli ?

Tanzania kama nchi iko HIGHLY CENTRALIZED, na hili limefanya madaraka na maamuzi mengi kulimbikizwa sehemu moja (THE EXECUTIVE/THE PRESIDENCY) kitu ambacho kinachangia sana mambo mengi kwenda taratibu kwasababu taasisi zinakuwa kubwa na THE EXECUTIVE/THE PRESIDENCY haiwezi kufanya kila kitu yenyewe hivyo mengi ni lazima yawapite.

Hapo zamani wakati Tanzania ina watu milioni 20-30, kulimbikiza madaraka kwa THE EXECUTIVE/THE PRESIDENCY ilikuwa ndiyo njia sahihi ya kuongoza nchi changa kama Tanzania ambayo sehemu kubwa ya watu wake walikuwa hawajasoma, lakini hata taasisi za utumishi wa ummah zilikuwa na watu wachache ambao wanafahamika. Leo hii taasisi za utumishi wa ummah zimekuwa kubwa, lakini pia hata sekta binafsi zimekuwa kubwa na mchango wako hauwezi kupita bila kuzingatiwa.

Hivyo basi nachelea kusema yafuatayo:
Mosi, matatizo mengi yanayotokana na uvunjifu wa katiba huchangiwa sana na THE EXECUTIVE/THE PRESIDENCY kukosa taarifa sahihi kuhusu taasisi zake. Hapa nazungumzia Sheria zinazoanzisha hizo taasisi (Substantive Laws Establishing the Institution) na kanuni za hiyo taasisi (Rules of Procedure of such Institution.

Taasisi ni nyingi mno, huku kila taasisi ikitegemea kuongozwa moja kwa moja kwa miongozo ya THE EXECUTIVE/THE PRESIDENCY. Hili ni gumu mno na serikali haitaweza kulifanya peke yake bila kutengeneza urasimu mkubwa (STIFF BUREACRACY), uzito wa kitaasisi (RIGIDITY), mazingira ya rushwa (CORRUPTION) na uzembe (COMPLACENCY).

Pili, kama umeamua kulimbikiza madaraka sehemu moja, basi lazima uhakikishe kwamba unatengeneza mfumo wa kuzifanya taasisi ziweze kujiendesha zenyewe kuanzia ngazi ya serikali kuu (CENTRAL GOVERNMENT) hadi serikali za mitaa (LOCAL GOVERNMENT). Ifike mahali tuseme kwamba, taasisi nyingine za ummah ziwe chini ya TAMISEMI na zijiendeshe zenye bila kuingiliwa na serikali kuu (AUTONOMOUS).

Naamini wahusika wa maeneo ndiyo watakuwa na uwezo mkubwa wa kutatua mambo yao kwa kuyafuatilia kiukaribu kabisa kabla hayajafika juu huko, ambako mara nyingi huweza kupuuzwa au kutofuatiliwa kwasababu ya URASIMU uliojengeka. Leo hii TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA ingekuwa ni AUTONOMOUS kama sehemu ya muhimili unaojitegemea, sidhani kama hili zengwe lingekuwepo.

Kuna JAJI MKUU MSTAAFU (Jina kapuni) alienda mbali na kutaka watumishi wa mahakama wasiitwe PUBLIC/CIVIL SERVANTS bali JUDICIAL SERVANTS,kwasababu wao hutoka kwenye muhimili mwingine kabisa unaojitegemea. Hili la kuifanya mahakama ziwe chini ya THE EXECUTIVE/THE PRESIDENCY hata kwenye mambo ya kiutendaji, halijakaa sawa kabisa.

Katika maana nyingine kilichofanywa na Raisi Samia kitaalamu ni VIOLATION OF THE INDEPENDENCE OF JUDICIARY na inaonesha kwamba Raisi ana malengo yake binafsi ya kusigina katiba kwa maksudi. Kama mahakama ingejitegemea kiutendaji na kushirikiana na THE EXECUTIVE na LEGISLATURE kwenye mambo ya msingi ya uteuzi wa nafasi za majaji na kupanga bajeti za mahakama, kadhia kama hizi zisingekuwepo.

Tatu, moja ya sifa kubwa ya KATIBA YA 1977 ni URAISI WA KIFALME/IMPERIAL PRESIDENCY. Ambapo hakuna kinachoweza kufanyika nchini bila Raisi kukiridhia. Raisi ndiye mdhamini mkuu, Raisi ndiye msimamizi wa rasilimali zote za ummah, Raisi ndiye anachagua wakuu wa vyombo vya usalama, Raisi anachagua majaji wote wa mahakama kuu, Raisi anachagua wabunge kupitia kofia yake ya uenyekiti wa CCM, Raisi anaruhusiwa kufungua mahusiano ya kidiplomasia na taifa lolote lile n.k

Haya yote, Raisi anafanya bila kuwajibika kwa mtu. Unadhani kama kitu cha Uraisi kinakaliwa na mtu mwovu, nchi haitauzwa kweli ? Nchi nyingine ambazo zina IMPERIAL PRESIDENCY, Raisi hawezi kufanya analojitakia tu bila kusimamiwa na bunge. Eti leo hii Raisi anaamka tu, anaamua kuchagua majaji wa makama ya Rufani (COURT OF APPEAL) bila ushirikishwaji wa wananchi kupitia bunge.

Vivyo hivyo Raisi anaamua tu kuteua mabalozi, wakuu wa vyombo vya usalama na wakuu wa mashirika ya ummah bila kuwajibika kwa mtu yoyote yule. Mwishowe ndiyo mambo kama uswahiba, ufisadi na uzembe huzaliwa kwasababu watu wanaowekwa kwenye nafasi za ummah hawatokani na wananchi bali fikra za Raisi. Hili la Jaji Mkuu kuongezewa muda kwa nchi zenye watu makini lingekuwa limezua taharuki tayari.

Raisi anamaana gani kumuongezea Jaji Mkuu muda ?
Kwani majaji wengine hawapo huko mahakama ya Rufani ?
Kwanini Raisi hatoi sababu zozote zile za kumuongezea Jaji muda ?
Hivi kweli kwa nchi ilipofika leo hii ni sahihi Raisi kufanya hivi bila kutoa sababu ?

NB: Binafsi mimi huwa nawaza kwamba ili kulinda heshima ya mahakama na kuepukana na hizi tabia za hovyo ambazo zimeibuka hapa nchini za kupeana nafasi kikabila, kikanda, kidini, kiswahiba na kimaslahi. Majaji wawe wanateuliwa baada ya kufanyiwa mahojiano maalumu na taasisi huru na mwishowe wapewe mikataba ya miaka mitano tu (Renewable).

Haya mtu anapewa ujaji kwasababu analindwa kutokana na rekodi yake mbaya au kuzimishwa kutokana na kufanya mambo fulani linaenda kuliangamiza kabisa hili taifa kama tusipoangalia. Muasisi wa hii michezo mibaya ambayo imenajisi uhuru wa mahakama alikuwa ni Raisi Kikwete ambapo alikuwa anateua kiswahiba au kuzimisha watu. Mfano mzuri, uteuzi wa Dr FELESHI na baadhi ya wenzake kisa yale mambanga ya PCCB.

Raisi Magufuli yeye aliteua majaji kisiasa na kikanda. Mtu yoyote mwenye akili ni lazima angeshangaa na jinsi alivyokuwa akifanya yule mzee. Raisi Samia naye akaanza hivyo-hivyo na wakina BISWALO na leo hii kafika kwa Jaji Mkuu PROF JUMA. Kiufupi tunasema kama uliozea kuingilia dirishani, siku ukilazimishwa kupitia mlango ni lazima utachuchumaa kwa woga.

 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Makala ya leo ni pongezi kwa Jaji Stella Mugasha wa Mahakama ya Rufani Tanzania, kusimama kidete, kupinga uvunjifu wa katiba uliofanywa na Rais wa JMT, kumuongezea muda wa kuhudumu katika nafasi ya Jaji Mkuu, baada ya kutimiza umri wa miaka 65.

Naomba ku declare Interest
Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma ni Mwalimu wangu wa sheria nilipokuwa Mwanafunzi wa LL.B UDSM.
Nilipomaliza mwaka wa 4, Dr. Ibrahim Juma (as then was), ndio alikuwa Dean wangu pale Fol.
Na nilipopata uwakili, ni Prof. Ibrahim Juma aliyeniapisha kuwa Wakili kipindi hiki cha Ujaji Mkuu wake, hivyo nikitetea uvunjifu huu wa katiba wa Rais Samia kumuongezea muda Jaji Mkuu kinyume cha katiba, simtetei Dr. Juma kwasababu ni Mwalimu wangu, wala simtetei kwa sababu ni Dean wangu, au kwasababu alinipa uwakili, namtetea Dr. Ibrahim Juma kuongezewa muda kidogo kwa katiba kuvunjwa kidogo tuu for logical reasoning, kama katiba yetu imeisha vunjwa sana mara kibao kwa mambo makubwa ya msingi na yenye madhara makubwa kwa taifa na tulikaa kimya!, why isivunjwe kwa hili dogo ambalo halina madhara yoyote?.
Rais Samia vunja tuu katiba kwa haya madogo madogo, hata watangulizi wako wote walivunja!, tena wengine wetu akina sisi pia tulikuwa washauri wa bure kumshauri rais wetu avunje katiba Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'! hivyo hili, mwacheni Mama avunje katiba as long as anavunja kwa nia njema na dhamira safi!.

Nimependekeza Jaji Mugasha apewe maua yake kwa sababu hii ndio mara ya kwanza katika historia ya Mahakama Tanzania, mtu mwenye cheo cha juu kiasi hicho, cheo cha Jaji Rufani kupinga hadharani tena kwa waraka wenye vifungu, kupinga kitendo cha Rais wa JMT kumuongezea muda Jaji Mkuu baada ya kutimiza umri wa miaka 65 ni uvunjifu wa katiba ya JMT ya mwaka 1977 kuhusu ukomo wa Jaji Mkuu kuhudumu.

Hii ndio mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, ofisa yoyote wa serikali kupinga uvunjifu wa katiba unaofanywa na Rais wa JMT.

Hili ni jambo zuri na la afya sana, katiba ndio sheria Mama, hakuna aliye juu ya katiba, hata rais wa JMT hayuko juu ya katiba, katiba ni lazima iheshimiwe na wote, hivyo kitendo hiki cha Jaji Stella Mugasha, ni kitendo cha kishujaa sana na ni cha kishujaa zaidi kufanywa na Jaji Mwanamke, hivyo kuthibitisha sometimes wanawake ni mashujaa kuliko wanaume!, hivyo Jaji Mugasha apewe maua yake na jina lake liandikwe kwa herufi za dhahabu katika list ya mashujaa wa nchi hii.

Pamoja na ushujaa wote huu kwangu mimi, hili la Rais wa JMT kuvunja katiba kwa nia Njema ili taifa lisiwe na ombwe la uongozi wa Mahakama wakati mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mpya ukiendelea mimi naliona kama ni dogo tuu, yaani nakubali na kuridhia kabisa katiba ivunjwe tuu katika yale madogo madogo yasiyo na madhara!.

Jana nimemsikia Wakili senior Alex Mgongolwa akimtetea Rais Samia kuvunja katiba kwa kumuongezea muda Jaji Mkuu, Wakili Mgongolwa hoja yake ni Kifungu cha ambacho Rais ana mamlaka ya kumuongezea muda Jaji Rufani baada ya kutimiza umri wa miaka 65, Wakili Mgongolwa, aliteleza kifungu cha kinachomzua CJ, CAG, CDF, DIS, na wakubwa wengine kuteuliwa nafasi za kiutendaji baada ya kufikisha umri wa kustaafu.

Sababu yangu ni moja tuu, using logical reasoning, jee kuna ubaya gani kumuongezea muda kidogo tuu Jaji Mkuu aliyepo, ambaye ametimiza umri wa miaka 65 kwa ghafla tuu kabla mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mwingine?.

Hii maana yake kuna udhaifu kwenye utendaji wa Mahakama, kwasababu kwa mujibu wa Standing Orders za serikali, mtendaji yoyote wa serikali anapobakiza miaka miwili kabla ya tarehe yake ya kustaafu, anakumbushwa kwa barua ili aanze kujipanga. Anapobakiza 6 months anatumiwa reminder, na anapobakiza mwezi mmoja, anapewa likizo ya lazima ya kustaafu wakati akiandaliwa mafao yake, akitoka likizo ni kuaga tuu na kuagwa!. Inaonekana hili halikufanyika kiasi kwamba inaonekana it's as if Jaji Mkuu ametimiza miaka 65 ghafla!. Turuhusu Uvunjifu huu wa katiba kwa nia Njema ila pia watu wawajibike!.

Swali kwa Jaji Stella Mugasha na wana tasnia nzima ya sheria, walikuwa wapi siku zote Rais wa JMT alipokuwa anavunja katiba ya JMT kwenye mambo makubwa ya msingi?!. Mfano mzuri ni Rais wa JMT alipozuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa!, hili ni jambo kubwa na la msingi sana, lenye madhara makubwa!, majaji watetezi wa katiba ya JMT, walikuwa wapi?!, mbona walikaa kimya?.

Kwenye hili, angalau mimi nililulizia, japo sikumbuki nilijibiwa nini, lakini watetezi wa katiba wa aina hii walikuwa wapi?, mbona walinyamaza kimya?.

Juzi kati hapa nimeipongeza TLS kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa katiba hili la Bandari Kwa la Bandari, Pongezi TLS. Katiba yetu imenajisiwa. Bunge limetunga Sheria batili. Haki za Watanzania zimeporwa. Kwanini TLS wamenyamaza kimya? lakini nao pia niliwauliza maswali haya haya ninayouliza leo.

Sheria Kuu kuliko zote nchini kwetu ni katiba, katiba ndio sheria Mama, sheria nyingine yoyote inayokwenda kinyume cha katiba ni sheria batili!. Kinachoibatilisha hiyo sheria yoyote kinyume cha katiba, ni katiba yenyewe!.

  1. Serikali yetu ime draft sheria batili, inayokwenda kinyume cha katiba, ikaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria!, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  2. Bunge letu likaitunga hiyo sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  3. Rais wa JMT akaisaini hiyo sheria batili kuwa ni sheria!, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  4. Mahakama Kuu kupitia kesi ya Mchungaji Mtikila, (RIP), ikatamka sheria hiyo ni batili na kuitaka serikali iifute, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  5. Ubatili wa sheria batili yoyote unabatilishwa na katiba, Mahakama Kuu ikiisha tamka sheria fulani ni batili kwa kwenda kinyume cha katiba, automatically sheria batili hiyo inakuwa imebatilika from there and then. Kazi ya serikali ni procedures tuu za kuifuta!. Kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikaa kimya?!.
  6. Serikali yetu ikakata rufaa kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu, ikashidwa!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikaa kimya?!.
  7. Serikali yetu baada ya kubwagwa, ikafanya kubwa kuliko, ikapeleka Bungeni mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, batili ile ikachomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu!. Kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  8. Bunge letu likafanya mabadiliko ya batili ya katiba na kuichomeka kiubatili, hiyo batili ndani ya katiba yetu!. Hivyo katiba yetu imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  9. Mchungaji Mtikila hakukubali katiba yetu inajisiwe, akafungua shauri jingine kupinga mabadiliko hayo ya katiba, Mahakama Kuu ikampa ushindi na kutangaza mabadiliko hayo ni batili!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  10. Serikali yetu ikakata rufaa Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu, serikali ikashinda, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
Mpaka leo ninapoandika hapa, Katiba yetu bado inacho kifungu batili hicho!, sheria zetu bado zina ubatili huo na TLS wako kimya!.

Nimalizie kwa pongezi tena, kwa Jaji Stella Mugasha kwa hili la utetezi wa katiba ya ila kuna makubwa kuliko hili la kumuongezea muda Jaji Mkuu.

Natoa wito kwa Rais wetu Mama Samia, kwa vile wewe ni Mwanamke na ni mtetezi Mkuu wa wanawake, na kwa vile Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma amefikisha muda wa ukomo wa kuwa Jaji Mkuu, na kwa vile Jaji Stella Mugasha ana sifa zote za kuwa Jaji Mkuu, ila amebakiza miaka 3 kutimiza umri wa miaka 65, hivyo hawezi kuteuliwa kuwa Jaji Mkuu , lakini anaweza kuteuliwa kuwa Kaimu Jaji Mkuu, wakati mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mpya ukiendelea na tena Samia endelea kuandika historia mpya ya Tanzania kwa kututeulia Jaji Mkuu wa kwanza Mwanamke!.

Mungu Mbariki Jaji Stella Mugasha
Mungu Mbariki Rais Samia atuteulie Jaji Mkuu Mwanamke!
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Rejea
1. Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law! Kuendelea Kuitumia ni Ujinga? Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!
2. Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!.
3. Mgombea Kudhaminiwa na Chama ni Ubatili Uliochomekwa Kiubatili na Bunge Letu Ndani ya Katiba Yetu!. Tuache Ubatili Huu Uendelee Ndani ya Katiba Yetu?
4. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?
Nikweli P huwenda walishauri kwa njia yao kwa mara hizo ambazo katiba ilivunjwa hawakusikilizwa wameona washauri kwa kupaza sauti, nakwakua wazee wa nchi na viongozi wa mahakama nao wanaungana na watanzania kupinga uvunjwaji wa katiba hatupaswi kuhoji walikuwa wapi maana kila mtu ana njia yakushauri nakuonya akishindwa anatoka hadharani kuungana na wenye nchi,nashauri hakuna dhambi ndogo wewe ni mwanasheria mimi sio mwanasheria ila naamini ktk kutenda haki huwezi kufutiwa kosa kwakuwa ni dogo Bali utaadhibiwa kulingana na kosa lako endapo utabainika umetenda kosa,,HAKUNA HAKI INAYOPATIKANA KWA KUTENDA KOSA,
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Makala ya leo ni pongezi kwa Jaji Stella Mugasha wa Mahakama ya Rufani Tanzania, kusimama kidete, kupinga uvunjifu wa katiba uliofanywa na Rais wa JMT, kumuongezea muda wa kuhudumu katika nafasi ya Jaji Mkuu, baada ya kutimiza umri wa miaka 65.

Naomba ku declare Interest
Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma ni Mwalimu wangu wa sheria nilipokuwa Mwanafunzi wa LL.B UDSM.
Nilipomaliza mwaka wa 4, Dr. Ibrahim Juma (as then was), ndio alikuwa Dean wangu pale Fol.
Na nilipopata uwakili, ni Prof. Ibrahim Juma aliyeniapisha kuwa Wakili kipindi hiki cha Ujaji Mkuu wake, hivyo nikitetea uvunjifu huu wa katiba wa Rais Samia kumuongezea muda Jaji Mkuu kinyume cha katiba, simtetei Dr. Juma kwasababu ni Mwalimu wangu, wala simtetei kwa sababu ni Dean wangu, au kwasababu alinipa uwakili, namtetea Dr. Ibrahim Juma kuongezewa muda kidogo kwa katiba kuvunjwa kidogo tuu for logical reasoning, kama katiba yetu imeisha vunjwa sana mara kibao kwa mambo makubwa ya msingi na yenye madhara makubwa kwa taifa na tulikaa kimya!, why isivunjwe kwa hili dogo ambalo halina madhara yoyote?.
Rais Samia vunja tuu katiba kwa haya madogo madogo, hata watangulizi wako wote walivunja!, tena wengine wetu akina sisi pia tulikuwa washauri wa bure kumshauri rais wetu avunje katiba Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'! hivyo hili, mwacheni Mama avunje katiba as long as anavunja kwa nia njema na dhamira safi!.

Nimependekeza Jaji Mugasha apewe maua yake kwa sababu hii ndio mara ya kwanza katika historia ya Mahakama Tanzania, mtu mwenye cheo cha juu kiasi hicho, cheo cha Jaji Rufani kupinga hadharani tena kwa waraka wenye vifungu, kupinga kitendo cha Rais wa JMT kumuongezea muda Jaji Mkuu baada ya kutimiza umri wa miaka 65 ni uvunjifu wa katiba ya JMT ya mwaka 1977 kuhusu ukomo wa Jaji Mkuu kuhudumu.

Hii ndio mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, ofisa yoyote wa serikali kupinga uvunjifu wa katiba unaofanywa na Rais wa JMT.

Hili ni jambo zuri na la afya sana, katiba ndio sheria Mama, hakuna aliye juu ya katiba, hata rais wa JMT hayuko juu ya katiba, katiba ni lazima iheshimiwe na wote, hivyo kitendo hiki cha Jaji Stella Mugasha, ni kitendo cha kishujaa sana na ni cha kishujaa zaidi kufanywa na Jaji Mwanamke, hivyo kuthibitisha sometimes wanawake ni mashujaa kuliko wanaume!, hivyo Jaji Mugasha apewe maua yake na jina lake liandikwe kwa herufi za dhahabu katika list ya mashujaa wa nchi hii.

Pamoja na ushujaa wote huu kwangu mimi, hili la Rais wa JMT kuvunja katiba kwa nia Njema ili taifa lisiwe na ombwe la uongozi wa Mahakama wakati mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mpya ukiendelea mimi naliona kama ni dogo tuu, yaani nakubali na kuridhia kabisa katiba ivunjwe tuu katika yale madogo madogo yasiyo na madhara!.

Jana nimemsikia Wakili senior Alex Mgongolwa akimtetea Rais Samia kuvunja katiba kwa kumuongezea muda Jaji Mkuu, Wakili Mgongolwa hoja yake ni Kifungu cha ambacho Rais ana mamlaka ya kumuongezea muda Jaji Rufani baada ya kutimiza umri wa miaka 65, Wakili Mgongolwa, aliteleza kifungu cha kinachomzua CJ, CAG, CDF, DIS, na wakubwa wengine kuteuliwa nafasi za kiutendaji baada ya kufikisha umri wa kustaafu.

Sababu yangu ni moja tuu, using logical reasoning, jee kuna ubaya gani kumuongezea muda kidogo tuu Jaji Mkuu aliyepo, ambaye ametimiza umri wa miaka 65 kwa ghafla tuu kabla mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mwingine?.

Hii maana yake kuna udhaifu kwenye utendaji wa Mahakama, kwasababu kwa mujibu wa Standing Orders za serikali, mtendaji yoyote wa serikali anapobakiza miaka miwili kabla ya tarehe yake ya kustaafu, anakumbushwa kwa barua ili aanze kujipanga. Anapobakiza 6 months anatumiwa reminder, na anapobakiza mwezi mmoja, anapewa likizo ya lazima ya kustaafu wakati akiandaliwa mafao yake, akitoka likizo ni kuaga tuu na kuagwa!. Inaonekana hili halikufanyika kiasi kwamba inaonekana it's as if Jaji Mkuu ametimiza miaka 65 ghafla!. Turuhusu Uvunjifu huu wa katiba kwa nia Njema ila pia watu wawajibike!.

Swali kwa Jaji Stella Mugasha na wana tasnia nzima ya sheria, walikuwa wapi siku zote Rais wa JMT alipokuwa anavunja katiba ya JMT kwenye mambo makubwa ya msingi?!. Mfano mzuri ni Rais wa JMT alipozuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa!, hili ni jambo kubwa na la msingi sana, lenye madhara makubwa!, majaji watetezi wa katiba ya JMT, walikuwa wapi?!, mbona walikaa kimya?.

Kwenye hili, angalau mimi nililulizia, japo sikumbuki nilijibiwa nini, lakini watetezi wa katiba wa aina hii walikuwa wapi?, mbona walinyamaza kimya?.

Juzi kati hapa nimeipongeza TLS kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa katiba hili la Bandari Kwa la Bandari, Pongezi TLS. Katiba yetu imenajisiwa. Bunge limetunga Sheria batili. Haki za Watanzania zimeporwa. Kwanini TLS wamenyamaza kimya? lakini nao pia niliwauliza maswali haya haya ninayouliza leo.

Sheria Kuu kuliko zote nchini kwetu ni katiba, katiba ndio sheria Mama, sheria nyingine yoyote inayokwenda kinyume cha katiba ni sheria batili!. Kinachoibatilisha hiyo sheria yoyote kinyume cha katiba, ni katiba yenyewe!.

  1. Serikali yetu ime draft sheria batili, inayokwenda kinyume cha katiba, ikaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria!, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  2. Bunge letu likaitunga hiyo sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  3. Rais wa JMT akaisaini hiyo sheria batili kuwa ni sheria!, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  4. Mahakama Kuu kupitia kesi ya Mchungaji Mtikila, (RIP), ikatamka sheria hiyo ni batili na kuitaka serikali iifute, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  5. Ubatili wa sheria batili yoyote unabatilishwa na katiba, Mahakama Kuu ikiisha tamka sheria fulani ni batili kwa kwenda kinyume cha katiba, automatically sheria batili hiyo inakuwa imebatilika from there and then. Kazi ya serikali ni procedures tuu za kuifuta!. Kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikaa kimya?!.
  6. Serikali yetu ikakata rufaa kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu, ikashidwa!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikaa kimya?!.
  7. Serikali yetu baada ya kubwagwa, ikafanya kubwa kuliko, ikapeleka Bungeni mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, batili ile ikachomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu!. Kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  8. Bunge letu likafanya mabadiliko ya batili ya katiba na kuichomeka kiubatili, hiyo batili ndani ya katiba yetu!. Hivyo katiba yetu imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  9. Mchungaji Mtikila hakukubali katiba yetu inajisiwe, akafungua shauri jingine kupinga mabadiliko hayo ya katiba, Mahakama Kuu ikampa ushindi na kutangaza mabadiliko hayo ni batili!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  10. Serikali yetu ikakata rufaa Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu, serikali ikashinda, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
Mpaka leo ninapoandika hapa, Katiba yetu bado inacho kifungu batili hicho!, sheria zetu bado zina ubatili huo na TLS wako kimya!.

Nimalizie kwa pongezi tena, kwa Jaji Stella Mugasha kwa hili la utetezi wa katiba ya ila kuna makubwa kuliko hili la kumuongezea muda Jaji Mkuu.

Natoa wito kwa Rais wetu Mama Samia, kwa vile wewe ni Mwanamke na ni mtetezi Mkuu wa wanawake, na kwa vile Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma amefikisha muda wa ukomo wa kuwa Jaji Mkuu, na kwa vile Jaji Stella Mugasha ana sifa zote za kuwa Jaji Mkuu, ila amebakiza miaka 3 kutimiza umri wa miaka 65, hivyo hawezi kuteuliwa kuwa Jaji Mkuu , lakini anaweza kuteuliwa kuwa Kaimu Jaji Mkuu, wakati mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mpya ukiendelea na tena Samia endelea kuandika historia mpya ya Tanzania kwa kututeulia Jaji Mkuu wa kwanza Mwanamke!.

Mungu Mbariki Jaji Stella Mugasha
Mungu Mbariki Rais Samia atuteulie Jaji Mkuu Mwanamke!
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Rejea
1. Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law! Kuendelea Kuitumia ni Ujinga? Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!
2. Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!.
3. Mgombea Kudhaminiwa na Chama ni Ubatili Uliochomekwa Kiubatili na Bunge Letu Ndani ya Katiba Yetu!. Tuache Ubatili Huu Uendelee Ndani ya Katiba Yetu?
4. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?
Kaka Paskali, nimeshangazwa mno tena sana na maneno yako kuwa RAIS AVUNJE TU KATIBA KISA ILISHAVUNJWA HUKO NYUMA..!!! This is too low to come from you kaka..!! Kwa kauli hizi, hivi tukifika rais wa awamu ya mia, si itakuwa hatuna katiba..!!! NO, BRO, REPHRASE..!!
 
Tarehe za kustaafu za viongozi wakubwa zinafahamika. Uvunjifu wa katiba unafanywa makusudi na utaendelea kufanywa kwasababu hakuna 'consequences' zozote pale viongozi wanapofanya jambo hilo.

Kuna watu wameapa kuilinda na kuitetea katiba yetu, je wanajua nini cha kufanya pale katiba inapovunjwa? Wanazo mechanism za kuweza kuilinda na kuitetea? Au ni kiapo tu?

Angalau huyo mama Mheshimiwa Jaji ameitendea haki nafasi yake. Amejaribu kuitetea na kuilinda katiba.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Makala ya leo ni pongezi kwa Jaji Stella Mugasha wa Mahakama ya Rufani Tanzania, kusimama kidete, kupinga uvunjifu wa katiba uliofanywa na Rais wa JMT, kumuongezea muda wa kuhudumu katika nafasi ya Jaji Mkuu, baada ya kutimiza umri wa miaka 65 kama ilivyoripotiwa humu Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?

Naomba ku declare Interest
Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma ni Mwalimu wangu wa sheria nilipokuwa Mwanafunzi wa LL.B UDSM.
Nilipomaliza mwaka wa 4, Dr. Ibrahim Juma (as then was), ndio alikuwa Dean wangu pale Fol.
Na nilipopata uwakili, ni Prof. Ibrahim Juma aliyeniapisha kuwa Wakili kipindi hiki cha Ujaji Mkuu wake, hivyo nikitetea uvunjifu huu wa katiba wa Rais Samia kumuongezea muda Jaji Mkuu kinyume cha katiba, simtetei Dr. Juma kwasababu ni Mwalimu wangu, wala simtetei kwa sababu ni Dean wangu, au kwasababu alinipa uwakili, namtetea Dr. Ibrahim Juma kuongezewa muda kidogo kwa katiba kuvunjwa kidogo tuu for logical reasoning, kama katiba yetu imeisha vunjwa sana mara kibao kwa mambo makubwa ya msingi na yenye madhara makubwa kwa taifa na tulikaa kimya!, why isivunjwe kwa hili dogo ambalo halina madhara yoyote?.
Rais Samia vunja tuu katiba kwa haya madogo madogo, hata watangulizi wako wote walivunja!, tena wengine wetu akina sisi pia tulikuwa washauri wa bure kumshauri rais wetu avunje katiba Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'! hivyo hili, mwacheni Mama avunje katiba as long as anavunja kwa nia njema na dhamira safi!, na uvunjwaji wenyewe, hauna madhara!.

Nimependekeza Jaji Mugasha apewe maua yake kwa sababu hii ndio mara ya kwanza katika historia ya Mahakama Tanzania, mtu mwenye cheo cha juu kiasi hicho, cheo cha Jaji Rufani kupinga hadharani tena kwa waraka wenye vifungu, kupinga kitendo cha Rais wa JMT kumuongezea muda Jaji Mkuu baada ya kutimiza umri wa miaka 65 ni uvunjifu wa katiba ya JMT ya mwaka 1977 kuhusu ukomo wa Jaji Mkuu kuhudumu.

Hii ndio mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, ofisa yoyote wa serikali kupinga uvunjifu wa katiba unaofanywa na Rais wa JMT.

Hili ni jambo zuri na la afya sana, katiba ndio sheria Mama, hakuna aliye juu ya katiba, hata rais wa JMT hayuko juu ya katiba, katiba ni lazima iheshimiwe na wote, hivyo kitendo hiki cha Jaji Stella Mugasha, ni kitendo cha kishujaa sana na ni cha kishujaa zaidi kufanywa na Jaji Mwanamke, hivyo kuthibitisha sometimes wanawake ni mashujaa kuliko wanaume!, hivyo Jaji Mugasha apewe maua yake na jina lake liandikwe kwa herufi za dhahabu katika list ya mashujaa wa nchi hii.

Pamoja na ushujaa wote huu kwangu mimi, hili la Rais wa JMT kuvunja katiba kwa nia Njema ili taifa lisiwe na ombwe la uongozi wa Mahakama wakati mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mpya ukiendelea mimi naliona kama ni dogo tuu, yaani nakubali na kuridhia kabisa katiba ivunjwe tuu katika yale madogo madogo yasiyo na madhara!.

Jana nimemsikia Wakili senior Alex Mgongolwa Clouds TV akimtetea Rais Samia kuvunja katiba kwa kumuongezea muda Jaji Mkuu, Wakili Mgongolwa hoja yake ni Kifungu cha ambacho Rais ana mamlaka ya kumuongezea muda Jaji Rufani baada ya kutimiza umri wa miaka 65, Wakili Mgongolwa, aliteleza kifungu cha kinachomzua CJ, CAG, CDF, DIS, na wakubwa wengine kuteuliwa nafasi za kiutendaji baada ya kufikisha umri wa kustaafu Wakili Mgongolwa: Katiba inamruhusu Rais kumuongezea muda Jaji Mkuu

Sababu yangu ni moja tuu, using logical reasoning, jee kuna ubaya gani kumuongezea muda kidogo tuu Jaji Mkuu aliyepo, ambaye ametimiza umri wa miaka 65 kwa ghafla tuu kabla mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mwingine?.

Hii maana yake kuna udhaifu kwenye utendaji wa Mahakama, kwasababu kwa mujibu wa Standing Orders za serikali, mtendaji yoyote wa serikali anapobakiza miaka miwili kabla ya tarehe yake ya kustaafu, anakumbushwa kwa barua ili aanze kujipanga. Anapobakiza 6 months anatumiwa reminder, na anapobakiza mwezi mmoja, anapewa likizo ya lazima ya kustaafu wakati akiandaliwa mafao yake, akitoka likizo ni kuaga tuu na kuagwa!. Inaonekana hili halikufanyika kiasi kwamba inaonekana it's as if Jaji Mkuu ametimiza miaka 65 ghafla!. Turuhusu Uvunjifu huu wa katiba kwa nia Njema ila pia watu wawajibike!.

Swali kwa Jaji Stella Mugasha na wana tasnia nzima ya sheria, walikuwa wapi siku zote Rais wa JMT alipokuwa anavunja katiba ya JMT kwenye mambo makubwa ya msingi?!. Mfano mzuri ni Rais wa JMT alipozuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa!, hili ni jambo kubwa na la msingi sana, lenye madhara makubwa!, majaji watetezi wa katiba ya JMT, walikuwa wapi?!, mbona walikaa kimya?.

Kwenye hili, angalau mimi nililulizia, japo sikumbuki nilijibiwa nini, lakini watetezi wa katiba wa aina hii walikuwa wapi?, mbona walinyamaza kimya?.

Juzi kati hapa nimeipongeza TLS kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa katiba hili la Bandari Kwa la Bandari, Pongezi TLS. Katiba yetu imenajisiwa. Bunge limetunga Sheria batili. Haki za Watanzania zimeporwa. Kwanini TLS wamenyamaza kimya? lakini nao pia niliwauliza maswali haya haya ninayouliza leo.

Sheria Kuu kuliko zote nchini kwetu ni katiba, katiba ndio sheria Mama, sheria nyingine yoyote inayokwenda kinyume cha katiba ni sheria batili!. Kinachoibatilisha hiyo sheria yoyote kinyume cha katiba, ni katiba yenyewe!.

  1. Serikali yetu ime draft sheria batili, inayokwenda kinyume cha katiba, ikaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria!, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  2. Bunge letu likaitunga hiyo sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  3. Rais wa JMT akaisaini hiyo sheria batili kuwa ni sheria!, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  4. Mahakama Kuu kupitia kesi ya Mchungaji Mtikila, (RIP), ikatamka sheria hiyo ni batili na kuitaka serikali iifute, Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  5. Ubatili wa sheria batili yoyote unabatilishwa na katiba, Mahakama Kuu ikiisha tamka sheria fulani ni batili kwa kwenda kinyume cha katiba, automatically sheria batili hiyo inakuwa imebatilika from there and then. Kazi ya serikali ni procedures tuu za kuifuta!. Kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikaa kimya?!.
  6. Serikali yetu ikakata rufaa kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu, ikashidwa!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikaa kimya?!.
  7. Serikali yetu baada ya kubwagwa, ikafanya kubwa kuliko, ikapeleka Bungeni mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, batili ile ikachomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu!. Kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  8. Bunge letu likafanya mabadiliko ya batili ya katiba na kuichomeka kiubatili, hiyo batili ndani ya katiba yetu!. Hivyo katiba yetu imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  9. Mchungaji Mtikila hakukubali katiba yetu inajisiwe, akafungua shauri jingine kupinga mabadiliko hayo ya katiba, Mahakama Kuu ikampa ushindi na kutangaza mabadiliko hayo ni batili!, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
  10. Serikali yetu ikakata rufaa Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu, serikali ikashinda, kwanini Majaji na wanasheria watetezi wa katiba kama hawa walikuwa wapi?, mbona walikaa kimya?!.
Mpaka leo ninapoandika hapa, Katiba yetu bado inacho kifungu batili hicho!, sheria zetu bado zina ubatili huo na TLS wako kimya!.

Nimalizie kwa pongezi tena, kwa Jaji Stella Mugasha kwa hili la utetezi wa katiba ya ila kuna makubwa kuliko hili la kumuongezea muda Jaji Mkuu.

Natoa wito kwa Rais wetu Mama Samia, kwa vile wewe ni Mwanamke na ni mtetezi Mkuu wa wanawake, na kwa vile Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma amefikisha muda wa ukomo wa kuwa Jaji Mkuu, na kwa vile Jaji Stella Mugasha ana sifa zote za kuwa Jaji Mkuu, ila amebakiza miaka 3 kutimiza umri wa miaka 65, hivyo hawezi kuteuliwa kuwa Jaji Mkuu , lakini anaweza kuteuliwa kuwa Kaimu Jaji Mkuu, wakati mchakato wa kumpata Jaji Mkuu mpya ukiendelea na tena Samia endelea kuandika historia mpya ya Tanzania kwa kututeulia Jaji Mkuu wa kwanza Mwanamke!.

Mungu Mbariki Jaji Stella Mugasha
Mungu Mbariki Rais Samia atuteulie Jaji Mkuu Mwanamke!
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Rejea
1. Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law! Kuendelea Kuitumia ni Ujinga? Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!
2. Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!.
3. Mgombea Kudhaminiwa na Chama ni Ubatili Uliochomekwa Kiubatili na Bunge Letu Ndani ya Katiba Yetu!. Tuache Ubatili Huu Uendelee Ndani ya Katiba Yetu?
4. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?
Wakili msomi, mwana habari na mwandshi mwandamizi P

Uchambuzi kama huu ndio unaonesha unavyotumia elimu yako kwa tija kwa sababu inaelimisha wengine kuliko siasa maana kule hata ukiwa very smart upstairs utakuwa brainwashed to safeguard the fox interests.

Uchambuzi wa masuala kwa ushahidi uishikilie sana italinda heshima yako siku zote
 
NB: Binafsi mimi huwa nawaza kwamba ili kulinda heshima ya mahakama na kuepukana na hizi tabia za hovyo ambazo zimeibuka hapa nchini za kupeana nafasi kikabila, kikanda, kidini, kiswahiba na kimaslahi. Majaji wawe wanateuliwa baada ya kufanyiwa mahojiano maalumu na taasisi huru na mwishowe wapewe mikataba ya miaka mitano tu (Renewable).
Dah!...wakifanya haya huu mhimili utakuwa na nguvu sana mpaka kuichallenge 'executive' kwenye baadhi ya maeneo (rejea sakata la Rutto na uteuzi wa manaibu waziri huko kwa majirani).

Ingekuwa tuna majaji ambao wamegawika kiitikadi yaani liberals na conservative kwa mfumo huo ungeleta balaa ..
 
Back
Top Bottom