Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu.

Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya uhaini na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanganyika

Ana historia yake maalum .. Ana mengi mazuri ya kiwango kaifanyia Tanganyika.. TUMUENZI SASA. NI WAKATI WAKEView attachment 3381742
(7,029) Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu | JamiiForums Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu
Mwamba kweli kweli
 
Hajawahi kutokea mgombea mtarajiwa wa upinzani kuwekwa rumande karibia ya uchaguzi na imetokea kwa lissu tu, huyu ni kiboko ya CCM wote
Saelf akisikia jina la lissu anaenda chooni kuhara, anatetemeka huku lucas na wenzake wakibubujikwa namachozi
 
Natabiri huu uzi kuwa na maisha marefu sana, huu uzi unatembea kwa sababu unamhusu mkombozi wa kweli wa yanganyika,the last standing man

Tupo hapa mpaka unabii utakapotimia
 
Natabiri huu uzi kuwa na maisha marefu sana, huu uzi unatembea kwa sababu unamhusu mkombozi wa kweli wa yanganyika,the last standing man

Tupo hapa mpaka unabii utakapotimia
Tupo hapa mpaka unabii utakapotimia✌🏿🔥📌🔨❗
 
 
Back
Top Bottom