Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 40,540
- 69,493
Leo ni leo msema kesho ni mwongoThe living testmony....TAL ✌️
No reforms no election
Leo ni leo msema kesho ni mwongoThe living testmony....TAL ✌️
No reforms no election
NRNENO REFORM NO ELLECTION
The TaleLeft to tell...!!!
Tundu Lissu alipinga serekali kuingia mikataba ya hovyo na Barick/accasia enzi za Nkapa, serekali ikamwita mjinga aliyefichama ktk taaluma.Tundu Lissu alisaliti taifa na kuwasaidia Acacia, ataishi kwa mateso hivyo hivyo hapa duniani
Hakimu jana ilitakiwa alipe tuition fee 😂Hakimu kasema ni kweli hoja za Mh LISSU zinaeleweka lakini hana kifungu Cha kuamua dhidi ya malalamiko ya mtuhumiwa,mahakama haiwezi kumuamrisha DPP afute kesi au apeleke kesi kwenye mahakama kuu,hivyo hakimu akaipa jamhuri siku 14 Tena ndipo watakapokutana yaani tarehe 15.07.2025.View attachment 3390799View attachment 3390799
Shule ya jana mahakama ya kisutu hata Law School haipo kabisa📌🔨✌🏿Hakimu jana ilitakiwa alipe tuition fee 😂
Maana na yeye alikuwa anapewa darasa la bure kabisa na alikuwa ana enjoy sana kumpa muda zaidi Mh. Mughwai Tundu Antiphas Lissu kutoa shule ya sheria. ✌️✌️✌️
Shule ya jana mahakama ya kisutu hata Law School haipo kabisa