Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

Kwa Niaba ya Watanzania wote Naomba radhi kwa kuchelewa kwetu kuleta uzi huu Jukwaani.

Shukrani sana kwako Mkuu kwa kukumbuka

Screenshot_2025-05-19-14-15-16-1.png
 
💥‼️UJUMBE KUTOKA TUNDU LISSU‼️🔥
@TunduALissu ni kiboko yao madhulmat! Walijua wamemfunga mdomo na watamnyanysa ila alitumia fursa mahakamani na wanasheria wake na alipaza sauti kuhusu uminywaji wa haki zake gerezani sasa madhulmat wamepiga U-Turn 🤣 Yamewashuka shuu!
1. Sasa anaweza kukutana na mawakili faragha ana kwa ana japo katika maofisi yao.
2. Anafanya mazoezi katika uwanja mkubwa wa mpira.
3. Anapata huduma za kiroho. Juzi padre George Mathias Syai alimtembelea japo room kwake lakini amepata huduma ya kiroho.
Na bado mapambano ndo kwanza yameanza! 🔥
Dawa ya madhulmat ni kudai haki 👊🏽 piga tu
Na anasema:
"I demanded it, I got it"
"You don't demand it, you don't get it"
Long live TAL
Simba wa nyikani 🦁
#NoReformsNoElectionView attachment 3381744
Huyu ndie Mussa wetu tuliekua tukimngojea Tanganyika tokea Mwalimu aondoke


No reform No Election
 
Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu.

Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya uhaini na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanganyika

Ana historia yake maalum .. Ana mengi mazuri ya kiwango kaifanyia Tanganyika.. TUMUENZI SASA. NI WAKATI WAKEView attachment 3381742
Mwamba wa ukweli
 
Tundu Antipas Lissu has taken Tanzanian politics to a new level, exposing animosities, treacheries, double faces, and corruption in both the opposition and the government of the day. Through Tundu, a streak of a new free Tanzania is rising! God, who spared him from those who intended to kill him, has a greater reason for a prosperous Tanzania. Jailing Tundu shall not stop it; it will only delay what God intends through him for Tanzania!
 
Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu.

Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya uhaini na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanganyika

Ana historia yake maalum .. Ana mengi mazuri ya kiwango kaifanyia Tanganyika.. TUMUENZI SASA. NI WAKATI WAKEView attachment 3381742
Eti anataka U-Rais, Rais gani ananyoa panki
 
Back
Top Bottom