Huyo jamaa ameamua kuipeleka nchi kijeshi, muda wote ana bastola kiunoni hadi kuonana na Putin kiunoni alikuwa na chuma.Sina hakika kama Burkina Faso wana resources za kutosha.
Ponapona yake ndiyo hiyo.
Anaongoza Taifa lisilo na chochote kama Burundi au Rwanda..hapo anaweza kudumu.
Ni ngumu sana ku apply style hiyo kwa nchi tajiri kama Tanzania au Drc au hata Kenya.hufiki kokote.utakufa.
Taifa halina chochote, Ufaransa na mataifa mengine ya magharibi yanatafuta nini nchini humo? Wanafadhili vikundi vya kigaidi na kutaka kumuua Traore kwa manufaa gani kwao?Sina hakika kama Burkina Faso wana resources za kutosha.
Ponapona yake ndiyo hiyo.
Anaongoza Taifa lisilo na chochote kama Burundi au Rwanda..hapo anaweza kudumu.
Ni ngumu sana ku apply style hiyo kwa nchi tajiri kama Tanzania au Drc au hata Kenya.hufiki kokote.utakufa.
Kumbe alikutanishwa na putinHuyo jamaa ameamua kuipeleka nchi kijeshi, muda wote ana bastola kiunoni hadi kuonana na Putin kiunoni alikuwa na chuma.
Jamaa amejitoa na hacheki na kima..
Yupo kivita muda wote full gear, full loaded.. hata hapo Burkinafaso angekuwa kifala wangeshamlaza dakika ya 0.
Burkina Faso ni moja ya nchi zinazo produce dhahabu kwa wingi barani Africa, usifananishe na Burundi.
2023 walishika nafasi ya 4 kwa ku produce dhahabu Africa, Tanzania ikashika nafasi ya 7...
Wanasiasa sio watu wazuri sana wanaweza kuanza harakati za chini chini kumuondoa.Sina hakika kama Burkina Faso wana resources za kutosha.
Ponapona yake ndiyo hiyo.
Anaongoza Taifa lisilo na chochote kama Burundi au Rwanda..hapo anaweza kudumu.
Ni ngumu sana ku apply style hiyo kwa nchi tajiri kama Tanzania au Drc au hata Kenya.hufiki kokote.utakufa.
Zilianza muda mrefuWanasiasa sio watu wazuri sana wanaweza kuanza harakati za chini chini kumuondoa.
mh atarekebisha kweli
Hapa serikali ya CCM ndiyo kwanza inaongeza idadi ya majimbo na kuongeza mishahara na marupurupu ya wabunge huku shule hazina walimu na Hospitali hazina madaktari wakati kuna madaktari zaidi ya 3000 hawajaajiriwa na malaki ya walimu hawajaajiriwa. Hakiki CCM ni laana.Rais wa Burkinafaso Bwana Ibrahim Traore ameamua kuwaongezea mshahara walimu na madaktari nchini kwake Burkina Faso huku akiwa ameshusha mishahara ya wabunge wa nchini humo.
Maoni ya mdau:
Yaani kaangalia kaona wabunge wanachukua pesa za bure bila kufanya kazi, hizo pesa bora nikawaongezee walimu na madaktari.
Kila Mwafrika anahitaji hiki kitu nchini kwake kwani ni kweli wabunge wanakula mapesa mengi bure kabisa halafu kuna watu wanahangaikia afya zetu, wanawahangaikia watoto wetu wanapokea mishahara kiduchu kutofautisha na watu wanaopigwa viyoyozi bungeni.
View attachment 3289239
I wish tungekuwa na vijana wazalendo aina ya Captain Ibrahim Traore ndani ya JWTZ na TISS.Dogo ana uthubutu sana, na pia ni mfano wa kuigwa na wengi.
Umeesahau kuwa mtu ni rais, waziri mkuu, speaker, anavuta pesa ndefu na akiwa madarakani anahudumiwa kwa kila kitu, bado akistaafu anaendelea kulipwa mshahara, bado anapewa gari na walinzi na kubadilishiwa kila baada ya miaka 5. na bado wakaona ela anayolipwa ambayo haina matumizi kila kitu anafanyiwa hadi kufa kwake wakaona ajengewe na nyumba kabisa eti akistaafu na mwenza wake alipwe mshahara.Kama kweli, anastahili pongezi..
Kuke jamhuri ya DANGANYIKA mbunge, waziri anakunja zaidi ya 10 kwa mwezi, bado anapewa gari, mafuta, nyumba, halipii maji, wala umeme, dereva bure, bima kubwa(sawasababu ya mshahara wake) ana, wasaidizia nalipiwa na serikali
Halafu kuna mwl/dr mshaharau ukikatwa kodi ni kamilioni tu, hapo nyumba, usafiri wa kazini, maji, umeme, bado ka bima kake hakatoi Baadhi ya huduma
Jamaa wale wakuda wezi machawa kawadhibiti mapemaaJaribu Tanzania, utalogwa dk hiyo hiyo
Bibi Ushungi na waganga wake wale wanaoroga na Mbuzi mbele ya Camera wanatangaza kabisa ataemsogelea wao wameshaloga hao ndio Wameloga na wanaendelea kulogaSisi leo deni la taifa ni zaidi ya tr 90 vp nan katuloga?