captain

Captain is a title for the commander of a military unit, the commander of a ship, aeroplane, spacecraft, or other vessel, or the commander of a port, fire department or police department, election precinct, etc. The captain is a military rank in armies, navies, Public Health Service, coast guards, etc., typically at the level of an officer commanding a company or battalion of infantry, a ship, or a battery of artillery, or similar distinct unit. The terms also may be used as an informal or honorary title for persons in similar commanding roles.

View More On Wikipedia.org
  1. 100 others

    JamiiForums Tanzania Captain Tesha, Habil na Kabil ilikuwa si project ya Night walk ya Wana usalama Kama Baadhi Ya Member Wanavyopotosha

    Kuna huu uzi nimesoma. https://www.jamiiforums.com/threads/je-captain-tesha-habil-na-kabil-ilikuwa-project-ya-night-walk-ya-wana-usalama.2437201/page-2 Nimeona jinsi baadhi ya wadau wanavyopotosha , wakihalalisha maoni yao kana kwamba ni facts, kitu ambacho si kweli. Naomba nijibu kama...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Je, Captain Tesha, Habil na Kabil ilikuwa project ya Night walk ya Wana usalama?

    Hamjambo! Bado nipo njia panda, Namkumbuka Captain Tesha, utulivu wake, Maneno yake, na body language yake, kisha baadaye tukuo la sauti kuvuja za kina Mafwele na kikao chao. Baadaye kabisa baada ya MO29 anazuka Mhusika Mwingine, machachari, unknown Character, anapata umaarufu mkubwa bila sura...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Captain Ibrahim Traole: Demokrasia Haifai na Muisahau. Siyo Yenu

    Ndugu zangu Watanzania, Nawasogezeeni Habari Hii njema na nzuri kabisa kwa wake wasiopenda kuukubali ukweli mchungu. Haya Kunyweni Kikombe Hiki👉Kiongozi wa Kijeshi wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traore, amewataka Wananchi wa Taifa hilo la Afrika Magharibi kuacha kabisa kufikiria kuhusu...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kumbe CDF alikubali ombi la barua ya Captain Tesha na wenzake

    https://youtu.be/nirLti-Vxt0?si=a_hn41CAuu1SUE0m
  5. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Captain Tesha awaacha watanzania kwenye mataa

    Jamaa mbwe mbwe zote zile na kuahidi atarudi kabla ya uchaguzi kutoa tamko lakini mpaka sasa ameufyata kimya. Sasa tumueleweje? Je naye amelambishwa asali? Kapewa onyo na wakubwa wake wa kazi? Kabadili maamuzi kwa mapenzi yake? Au alikuwa anatafuta umaarufu (attention seeker)?
  6. R

    JamiiForums Tanzania Captain Tesha alisema atarudi, sijui meishia wapi? Au alikuja kupata maoni ya watu

    Nilitegemea mpaka muda huu awe amerudi kukamilisha majukumu aliyoyatangaza. Kulikoni? Naona double double...Duble Duble!
  7. K

    JamiiForums Tanzania Wazalendo wa jeshi ni watendaji kama Captain kuliko majenerali

    Wazalendo wa jeshi ni watendaji kama Captain kuliko majenerali mafisadi. Rushwa ndiyo imewafanya hawa askari watendaji kuchukuwa nchi. Mfumo bora kwa nchi ni demokrasia tatizo hiyo demokrasia hatuna na vijana wanachoshwa na rushwa na familia tatu nchini kuendesha nchi kama yao pekee
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Jimmy Mafufu, Stivin Mangele, Mbona hamumjibu Captain Tesha? Jitokezeni mjue vizuri tuko serious !!

    Wakuu Mama sianaupiga Mwingi? Jitokezeni Wakuuu ,au nyie Hamlindwi?? 🤣🤣
  9. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Kwanini Vijana wa UVCCM Wamepata Kigugumizi Kumjibu Captain Tesha the Hero?

    Haya haya wale vijana wa UVCCM mko wapi kuitisha press za kumjibu Captain Tesha? Au hamjasikia chochote? Kama hamna bando njooni niwape free WiFi🤣🤣🤣.
  10. Luca Paguro

    JamiiForums Tanzania Captain Tesha ameleta taharuki

    "Tumeanza kuona mwenendo na mtiririko wa viumbe wakiwa wanakuja mitandaoni na kuandaa maudhui ya kuvuruga amani yetu" "Captain Tesha anajaribu kuleta nywinywi, na nywinywinywi" "Anataka tufuate katiba, kwa nini tufuate katiba? Katiba ni kitabu tu" "Eti analalamika kuwa tunaua wakosoaji. Ni...
  11. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Trab Trat ( Captain Tesha,) yupo Facebook

    Ana leanings kidogo towards Chadema. Slight leanings. Lakini analysis yake ya hali ya siasa ni quite accurate.Anaongea mambo yale yale ambayo Watanzania wanayazungumzia. Nadhani everyone should be calm,na hawa vijana idealistic,kama huyu Captain Tesha,ambao wanafikiria nchi yetu...
  12. Ashampoo burning

    JamiiForums Tanzania Je, Captain Tesha ni nani?

    Je kweli ni mwanajeshi au kavaat mavazi jeshi Je ni kweli yupo kikosi cha anga Je kuna watu wamesoma nae majirani wanaweza kuthibisha kuwa ni mwanajeshi JWTZ pia watoke watoe tamko nani ni captain tesha Kachafua hali ya hewa sana leo hapa nchini
  13. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Captain ya Yanga Dickson Job akimtambia Captain wa Simba Shomari Kapombe kabla ya kuanza mchezo

    Ukiwa unajiamini bwana, raha sana. Unajua kabisa matokeo yatakayokuwa, unaweza kutamba utakavyo. Kabla mechi haijaanza, wakati macaptain wa Simba na Yanga, Shomari Kapombe na Dickson Job wakiwa na waamuzi kuchagua upande wa kuanza, Job alimwambia mwamuzi Arajiga na Kapombe kuwa hakuna haja ya...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Watoto wa captain John Komba na nyimbo za baba Yao za kuudhihaki upinzani!! Kweli hakuna aijuae kesho yake!!

    Kweli tusiichezee Dunia!? John Komba wakati anaimba nyimbo za kuwatukana na kuwazodoa wapinzani hakikua nn kitaikuta familia yake,akidhani hiyo ndio Dunia atakayoishi yeye na familia yake!!! !! Naomba hili liwe fundisho!! Wewe ua Teka lakin Saa yaja!! " Nawavimbe wapasuke,waacheni waandamane...
  15. Damaso

    JamiiForums Tanzania Casting Captain Jack Sparrow for Pirates of the Caribbean movie (Parody)

    Choose your favourite to play Captain Jack Sparrow 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10.
  16. kyagata

    JamiiForums Tanzania Pombe ya Captain Morgan haileweshi kabisa

    Wazee sijui ni mimi ndo nimekua konkodi kiasi kwamba pombe zinadunda au vipi? Kuna hii pombe ina ladha ya whiskey inaitwa captain Morgan. Wahusika wanajitahidi sana kuipromote but sioni kama inatoboa hii pombe ina alcohol % ya 37 5. Mimi leo nikasema niijaribu, nimepiga vile vidogo vitatu...
  17. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Kwanini Pro West humu jukwaani wengi wanamchukia Captain Ibrahim Traore?

    Mzuka wana jamvi ?? Nashangaa sana chuki zimekuwa nyingi kwa Kamanda Rais wa Burkinafaso Captain Ibrahim Traore kutoka kwa Pro_West maarufu humu jukwaani tena chuki za kipuuzi sana. Tukianza na Hawa ; Yoda ; huyu ni chawa mkubwa wa Marekani na matendo yake ameshika usukani kwa vinyuzi yake...
  18. I

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Burkina Faso lasema lilizuia njama 'kuu' ya mapinduzi

    Jeshi la Burkina Faso lasema lilizuia njama 'kuu' ya mapinduzi. Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imesema ilitibua "njama kubwa" ya kumpindua kiongozi wa kijeshi Kapteni Ibrahim Traoré, huku jeshi likidai kuwa wapangaji hao walikuwa na makao yao katika nchi jirani ya Ivory Coast. Waziri wa...
  19. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Simba iteue Captain Multilingual, Zimbwe hawezi kuwasiliana kwa lugha nyingine zaidi ya Kiswahili

    Kwa vile Simba ina uhakika wa kushiriki michuank ya kimataifa kila mwaka,Captain Zimbwe hatoshi.Waamuzi wengi wanaongea Engliish,Arabic,French or Kiswahili Japo football ina lugha yake. Lakini bado matamshi yana nguvu. Ngoma apewe u captain anajua kiswahili,kifaransa,kingereza na kiarabu...
  20. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Tuna mengi ya kujifunza Burkinafaso

    Rais wa Burkinafaso Bwana Ibrahim Traore ameamua kuwaongezea mshahara walimu na madaktari nchini kwake Burkina Faso huku akiwa ameshusha mishahara ya wabunge wa nchini humo. Maoni ya mdau: Yaani kaangalia kaona wabunge wanachukua pesa za bure bila kufanya kazi, hizo pesa bora nikawaongezee...
Back
Top Bottom