Captain is a title for the commander of a military unit, the commander of a ship, aeroplane, spacecraft, or other vessel, or the commander of a port, fire department or police department, election precinct, etc. The captain is a military rank in armies, navies, Public Health Service, coast guards, etc., typically at the level of an officer commanding a company or battalion of infantry, a ship, or a battery of artillery, or similar distinct unit. The terms also may be used as an informal or honorary title for persons in similar commanding roles.
Wakuu na wadau wa Marvel.
Marvel Studio wametoa teaser ya upcoming superhero movie ya Captain America iitwayo Brave World.
Usichanganye na TV Series yao ya Captain America & Winter Soldier, hii ni full movie na hatutakua na Steve Rodgers kwakua alifariki kwenye Avengers: End Game. Ila...
Washington, May 6
Indian-origin astronaut Captain Sunita Williams and her fellow veteran NASA astronaut Butch Wilmore are set to fly into the International Space Station (ISS) on a brand new spacecraft, the Boeing Starliner on Monday.
The duo will launch into space from the Cape Canaveral...
Kituo cha Redio cha Clouds FM kimetangaza kuwa Mtangazaji wa Show ya Mchana (XXL), Hamis Mandi (B Twelve) atamrithi aliyekuwa Meneja na Mtangazaji wa Show ya Jioni ya Jahazi marehemu Gadner G. Habash aliyefariki wiki chache zilizopita.
Ikumbukwe, B 12 ni zao la Gadner kwenye utangazaji ambapo...
Sisi wengi wakongwe tunakumbuka historia ya Captain Gardner nguli wa vipindi vya redio, alianza kama muuza cassette (Kanda) za audio na video pale jijini mwanza kama mtu wa masoko, ndipo Othman Njaidi baada ya kuuona uwezo wa Gardner wa kushawishi wateja, akamchukua na kumpeleka Clouds FM japo...
POST PRINCIPAL CAPTAIN (RE-ADVERTISED) – 1 POST
EMPLOYER MSCL
APPLICATION TIMELINE: 2024-04-16 2024-04-29
JOB SUMMARY NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
To perform Commander of the vessel of less any vessel (Master Mariner);
To be representative of the owner;
To navigate the vessel using a range...
Wakuu
Ukimuua mwanamapinduzi umeua mwili wake na sio mawazo ya kiana mapinduzi ndani yake.
Tom Sankara aliwahi kupata uchungu mkubwa juu ya wizi wa rasilimali uliofanywa Kwa miaka mingi nchini Burkinabe na mfaransa ambae huiba na kwenda kujenga kwake, mapinduzi hayafi kuibuka Kwa captain...
Mtangazaji nguli wa show za jioni kutoka Kituo cha Redio cha Clouds FM, Gadner G. Habash amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutokana na kusumbuliwa na tatizo la Pressure (Shinikizo la Damu).
Kwa mujibu wa taarifa aliyoitoa mwenyewe kupitia mahojiano yake na kipindi cha...
Actor Barkhad Abdi only received $65,000 for his award - winning supporting role in the film captain Phillips.
After production he returned to selling mobile phones in his brother's shop.
Simba imeondoka leo kuelekea Morocco katika mtanange wa kufa na kupona dhidi ya Wydad AC. Katika safari hiyo, Captain wa Simba John Bocco ameachwa nyumbani. Hii ni safari ya pili mfululizo ambapo Bocco ameachwa katika safari wakati katika uwanja wa mazoezi anaonekana. Safari ya kwanza ilikuwa...
Position: Captain (30posts)
Minimum Entry Qualifications and Working Experience:
Must have flown with more than 3500 flying hours with an Airline Transport Pilot License, Multi Engine and Instrument Rating.
Must have 1000 hours as a Pilot in Command and an experience of handling a minimum of...
Wakuu heshima kwenu, naomba kutoa wazo kwa uongozi wa YANGA, kuwa Jumapili mechi ya Simba na YANGA wanayanga wote wavae KITAMBAA begani wakiaanisha KUTAMBUA MCHANGO WA kapten wetu Bakari Nondo Mwamunyeto. Yaani iwe Mwamunyeto day walio karibu na uongozi tufikishieni hilo
Salaam wazee wa kambi.
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, japo nilikua mdogo ila baadhi ya maneno katika nyimbo hizo nayakumbuka.
1. Muongo mbeya anauaa
2. Nyumba ya jirani yetu inateketea moto twende tukazime
3. Shime shime jaman, shimeshime kuomba tukazanee kuomba
4. Nakazi halina aibuu...
Captain Falls Overboard From Bulk Carrier, Survived 3 Days By Clinging To Wood.
A Turkish captain heading a capsize bulk carrier dubbed QUORN was lost overboard on 2 May in the waters of the Java sea. This is toward the north of Bali. The ship was sailing from Australia to Vietnam.
However...
POST: CAPTAIN – 1 POST
POST CATEGORY(S): TRANSPORT AND LOGISTICS
EMPLOYER: Tanzania Ports Authority (TPA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-01-07 2022-01-20
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Piloting Ships for safe berthing & un-berthing within the Port
Ensure that the outgoing ships have...
Najua unavyoumia Mdogo wangu ila GENTAMYCINE nasema Watanzania tutakutusi, kukashifu na kukuona huna lolote ila hapo hapo ulipo tambua kuwa Wewe ndiyo Shujaa yetu namba Moja ndani ya Kikosi cha Timu ya Taifa Tanzania ya Taifa Stars.
Najua kuwa Taifa Stars ikifungwa basi Sisi Waswahili...
Ili tuwe na tukae katika usawa basi tuheshimiane , kwanini muongoza chombo meli au ndege anatambulika kama captain na anavaa kofia na nguo za kiaskari wakati muongoza basi anaitwa dereva , hiyo sio haki na wao waitwe madereva, au wa basi aitwe kaptain apewe nguo na kofia ya kijeshi Kama wenzake...
Kapteni Mapunda ambaye ni Rubani mstaafu aliyetunukiwa na Rais Magufuli katika siku za hivi karibuni kutokana na uzalendo wake kwa taifa alioufanya kwa kutorosha ndege ya Tanzania baada ya kuvunjika kwa iliyokuwa jumuiya ya Afrika Mashariki, amefunguka kuhusu sintofahamu iliyotokea baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.