captain

Captain is a title for the commander of a military unit, the commander of a ship, aeroplane, spacecraft, or other vessel, or the commander of a port, fire department or police department, election precinct, etc. The captain is a military rank in armies, navies, Public Health Service, coast guards, etc., typically at the level of an officer commanding a company or battalion of infantry, a ship, or a battery of artillery, or similar distinct unit. The terms also may be used as an informal or honorary title for persons in similar commanding roles.

View More On Wikipedia.org
  1. Mad Max

    Marvel's Captain America: Brave New World inakuja February 2025

    Wakuu na wadau wa Marvel. Marvel Studio wametoa teaser ya upcoming superhero movie ya Captain America iitwayo Brave World. Usichanganye na TV Series yao ya Captain America & Winter Soldier, hii ni full movie na hatutakua na Steve Rodgers kwakua alifariki kwenye Avengers: End Game. Ila...
  2. mkalamo

    Indian-origin astronaut Captain Sunita Williams and her fellow veteran NASA astronaut Butch Wilmore are set to fly into the ISS on the brand new space

    Washington, May 6 Indian-origin astronaut Captain Sunita Williams and her fellow veteran NASA astronaut Butch Wilmore are set to fly into the International Space Station (ISS) on a brand new spacecraft, the Boeing Starliner on Monday. The duo will launch into space from the Cape Canaveral...
  3. BARD AI

    B Dozen (B12) achukua nafasi ya Captain G Habash kwenye Jahazi

    Kituo cha Redio cha Clouds FM kimetangaza kuwa Mtangazaji wa Show ya Mchana (XXL), Hamis Mandi (B Twelve) atamrithi aliyekuwa Meneja na Mtangazaji wa Show ya Jioni ya Jahazi marehemu Gadner G. Habash aliyefariki wiki chache zilizopita. Ikumbukwe, B 12 ni zao la Gadner kwenye utangazaji ambapo...
  4. Arnold Kalikawe

    Captain Geogre Bantu kurithi usukani kuliongoza jahazi bila Captain Mkuu Gardner G. Habash

    Sisi wengi wakongwe tunakumbuka historia ya Captain Gardner nguli wa vipindi vya redio, alianza kama muuza cassette (Kanda) za audio na video pale jijini mwanza kama mtu wa masoko, ndipo Othman Njaidi baada ya kuuona uwezo wa Gardner wa kushawishi wateja, akamchukua na kumpeleka Clouds FM japo...
  5. Jamii Opportunities

    Principal Captain at Marine Services Company Limited (MSCL)

    POST PRINCIPAL CAPTAIN (RE-ADVERTISED) – 1 POST EMPLOYER MSCL APPLICATION TIMELINE: 2024-04-16 2024-04-29 JOB SUMMARY NIL DUTIES AND RESPONSIBILITIES To perform Commander of the vessel of less any vessel (Master Mariner); To be representative of the owner; To navigate the vessel using a range...
  6. A

    Mapinduzi ya kifikra ya Thomas Sankara yaliyoibukia Kwa captain Ibrahim Traore

    Wakuu Ukimuua mwanamapinduzi umeua mwili wake na sio mawazo ya kiana mapinduzi ndani yake. Tom Sankara aliwahi kupata uchungu mkubwa juu ya wizi wa rasilimali uliofanywa Kwa miaka mingi nchini Burkinabe na mfaransa ambae huiba na kwenda kujenga kwake, mapinduzi hayafi kuibuka Kwa captain...
  7. BARD AI

    Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu

    Mtangazaji nguli wa show za jioni kutoka Kituo cha Redio cha Clouds FM, Gadner G. Habash amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutokana na kusumbuliwa na tatizo la Pressure (Shinikizo la Damu). Kwa mujibu wa taarifa aliyoitoa mwenyewe kupitia mahojiano yake na kipindi cha...
  8. 2 of Amerikaz most wanted

    Actor Barkhad Abdi only received $65,000 for his award

    Actor Barkhad Abdi only received $65,000 for his award - winning supporting role in the film captain Phillips. After production he returned to selling mobile phones in his brother's shop.
  9. SAYVILLE

    Tetesi: Simba kupata Captain mpya hivi karibuni

    Simba imeondoka leo kuelekea Morocco katika mtanange wa kufa na kupona dhidi ya Wydad AC. Katika safari hiyo, Captain wa Simba John Bocco ameachwa nyumbani. Hii ni safari ya pili mfululizo ambapo Bocco ameachwa katika safari wakati katika uwanja wa mazoezi anaonekana. Safari ya kwanza ilikuwa...
  10. Jamii Opportunities

    Captain (30posts) at ATCL November, 2023

    Position: Captain (30posts) Minimum Entry Qualifications and Working Experience: Must have flown with more than 3500 flying hours with an Airline Transport Pilot License, Multi Engine and Instrument Rating. Must have 1000 hours as a Pilot in Command and an experience of handling a minimum of...
  11. T

    Ushauri kwa Yanga: Siku ya Simba tuvae kitambaa cha captain begani, kutambua mchango wa Mwamunyeto

    Wakuu heshima kwenu, naomba kutoa wazo kwa uongozi wa YANGA, kuwa Jumapili mechi ya Simba na YANGA wanayanga wote wavae KITAMBAA begani wakiaanisha KUTAMBUA MCHANGO WA kapten wetu Bakari Nondo Mwamunyeto. Yaani iwe Mwamunyeto day walio karibu na uongozi tufikishieni hilo
  12. Pettymagambo

    Nisaidie nyimbo kutoka Album ya mwaka 1995 ya Captain Komba na bendi yake

    Salaam wazee wa kambi. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, japo nilikua mdogo ila baadhi ya maneno katika nyimbo hizo nayakumbuka. 1. Muongo mbeya anauaa 2. Nyumba ya jirani yetu inateketea moto twende tukazime 3. Shime shime jaman, shimeshime kuomba tukazanee kuomba 4. Nakazi halina aibuu...
  13. Lavan Island

    Captain Falls Overboard From Bulk Carrier, Survived 3 Days By Clinging To Wood

    Captain Falls Overboard From Bulk Carrier, Survived 3 Days By Clinging To Wood. A Turkish captain heading a capsize bulk carrier dubbed QUORN was lost overboard on 2 May in the waters of the Java sea. This is toward the north of Bali. The ship was sailing from Australia to Vietnam. However...
  14. Jamii Opportunities

    Captain at TPA

    POST: CAPTAIN – 1 POST POST CATEGORY(S): TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER: Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-01-07 2022-01-20 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES Piloting Ships for safe berthing & un-berthing within the Port Ensure that the outgoing ships have...
  15. GENTAMYCINE

    Captain Mbwana Samatta nakuomba tusamehe Watanzania, Taifa Stars ikifungwa mbaya Wewe ila ikishinda Sifa wanapewa Wengine

    Najua unavyoumia Mdogo wangu ila GENTAMYCINE nasema Watanzania tutakutusi, kukashifu na kukuona huna lolote ila hapo hapo ulipo tambua kuwa Wewe ndiyo Shujaa yetu namba Moja ndani ya Kikosi cha Timu ya Taifa Tanzania ya Taifa Stars. Najua kuwa Taifa Stars ikifungwa basi Sisi Waswahili...
  16. U

    Dunia haina usawa kwanini muongoza meli/ndege aitwe captain halaf wa basi aitwe dereva

    Ili tuwe na tukae katika usawa basi tuheshimiane , kwanini muongoza chombo meli au ndege anatambulika kama captain na anavaa kofia na nguo za kiaskari wakati muongoza basi anaitwa dereva , hiyo sio haki na wao waitwe madereva, au wa basi aitwe kaptain apewe nguo na kofia ya kijeshi Kama wenzake...
  17. Shigganza

    Rubani Kapteni Mapunda aliyetunukiwa na Rais Magufuli afunguka

    Kapteni Mapunda ambaye ni Rubani mstaafu aliyetunukiwa na Rais Magufuli katika siku za hivi karibuni kutokana na uzalendo wake kwa taifa alioufanya kwa kutorosha ndege ya Tanzania baada ya kuvunjika kwa iliyokuwa jumuiya ya Afrika Mashariki, amefunguka kuhusu sintofahamu iliyotokea baada ya...
Back
Top Bottom