ibrahim

Ibrahim (Arabic: إبراهيم, Ibrāhīm; Arabic synonym of "Abraham") is the 14th chapter (surah) of the Qur'an with 52 verses (āyāt).
The surah emphasizes that only Allah knows what goes on inside a man's heart, implying we must accept each other's words in good faith (14:38).Regarding the timing and contextual background of the revelation (asbāb al-nuzūl), it is a "Meccan surah", which means it is believed to have been revealed in Mecca, instead of later in Medina. It was revealed around 2-3 years before Hijrah, in a later stage of Muhammad preaching in Mecca when persecution of him and fellow Muslims had become severe.

View More On Wikipedia.org
  1. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania KWELI Picha ya Ibrahim Traoré akiwa amevalia kofia yenye bunduki imehaririwa kwa kutumia akili unde

    Kumekuwepo na picha inayosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram na X ikimuonesha Rais wa Burkina Faso, Ibrahim Traoré, akiwa amevalia kofia nyekundu ambayo inaonekana kuunganishwa moja kwa moja na bunduki. Hata hivyo, uchunguzi wa kidijitali umebaini kuwa picha hiyo...
  2. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ibrahim Traore anaendelea kudanganya umma kwa simulizi kwamba bado yuko madarakani ili kuilinda Burkina Faso dhidi ya ushawishi wa Magharibi

    Muafrika na demokrasia ni kama maji na mafuta. Hio ni kwa sababu mtu mweusi ni mbinafsi, mwenye dharau, amekosa utu na mwenye kulewa na madaraka. Niliwahi kuleta uzi kuww ipo siku mwamba atazingua ila watu wakaleta makasiriko kwamba namchafua boy wao. Sasa ndio inaanzaga hivi kitakachofata...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Captain Ibrahim Traole: Demokrasia Haifai na Muisahau. Siyo Yenu

    Ndugu zangu Watanzania, Nawasogezeeni Habari Hii njema na nzuri kabisa kwa wake wasiopenda kuukubali ukweli mchungu. Haya Kunyweni Kikombe Hiki👉Kiongozi wa Kijeshi wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traore, amewataka Wananchi wa Taifa hilo la Afrika Magharibi kuacha kabisa kufikiria kuhusu...
  4. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mchambuzi IBRAHIM RAHBY ni mzuri sana wa mataifa sio imani yako ila swala la IRAN mbona unakwepa na mda mwengine unakwepa nchi yako

    Huyu mchambuzi ana media nzuri na mpaka Azam wanamtumia na BBC. Ila swala la IRAN kama mda mwengine unaona ni la nchi yake kutaka kutoa dukuduku lake. Ila umefikisha ujumbe japo kama makonda kupewa uwaziri ,Ndugu yetu tumekusoma sasa.
  5. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Picha mbalimbali za Sheikh , Ibrahim Bakonzi

    Nimewaletea picha maridadi za yule shekhee wa mchongo limbukeni wa elimu duuniya, aliyesema atakata watu vichwa baada ya kuhongwa pilau na dullah.. Anaitwa Ibrahim Bakonzi, asili yake ni kigoma ila kwa sasa anaishi magomeni daslam... Kulingana na majina yake yamkini huyu tahira ni Mcongo...
  6. Fbn

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa mchambuzi wa Azam na ana youtube channeli yake IBRAHIM RAHBY uchambuzi wake ni wachumbuzi wa mpira wenye mahaba na timu zao.

    Kutaja wachambuzi list hapa tz niwengi sana yani unaona kabisa uchambuzi wao ubalance yani kuonesha hisia zao zipo wapi kwenye saisa,mlengo gani,kuwa upande gani. Katika siku ambayo nilimuona huyu mchambuzi ni shabiki wa waarabu fatilia uchambuzi wa sudani kule kwa bashiri RSF.Fatilia uchambuzi...
  7. simplemind

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mo Ibrahim foudation: One failed state is enough. Violence against the demonstrators in Tanzania is unacceptable

    We are watching developments in Tanzania, with alarm and misgivings. The violence against the demonstrators is unacceptable. After the authoritarian regime of your predecessor President Magufuli, we all welcomed you as a reformer president who believed and stood for democracy, rule of law and...
  8. Chibike

    JamiiForums Tanzania Siku yaja Ibrahim Traore wa Tanzania atakua madarakani

    Mambo ni moto . ..nilisema Kuna siku isiyo na Jina TRAORE wa Tanzania ataingia madarakani . .. Na siku hio itakapokuja, hakika kuna watu watafungwa... Wengine watakimbia nchi, wengine watanyongwa, wengine watafilisiwa, Tanzania mpya itazaliwa yenye kusimikwa ufalme na Mungu na sio shetani...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Watanzania mkiambiwa maamuzi ya Ibrahim Traor'e ndiyo suluhisho la Afrika mnsenma ni udikteta, mnalalamika nini?

    Suluhisho la ufisadi ndani ya Tanzania na Afrika nzima ni mapinduzi ya kijeshi hakuna mwanasiasa au msomi wa Afrika aliye mzalendo kwa taifa lake wote ni mafisadi na wezi wakubwa bila kutaifisha mali na fedha walizoiba wataendelea kuwa juu siku zote.
  10. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Ibrahim Ajib Migomba nani alikuroga ili tunaokujua kwa Kipaji chako Kikubwa Tanzania tujichange tukakuague?

  11. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Afrika ukifanyika uchaguzi wa uhuru ni Marais wachache watabaki kwenye viti vyao kina Ibrahim Traoré wa Burkina Faso na Hichilema wa Zambia

    Hali ya demokrasia imekuwa ni mbaya kupitiliza kila kukicha Viongozi sio chaguo la wananchi na wanafanya kila namna kuhodhi madaraka kwa dola na yeyote anaekuwa tishio kwenye nafasi zao hushughulikiwa
  12. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sheikh Ibrahim Kaniki: Wanachokifanya CHADEMA ni amana iliyokubaliwa na wananchi

    Akizungumza Julai 26, 2025 katika hafla ya kuongoza dua maalum kwa ajili ya kumuombea heri na ulinzi Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu,aliyeko rumande kwa tuhuma za uhaini na uchochezi, Sheikh Kaniki alieleza kile wanachokisimamia CHADEMA ni ridhaa kutoka kwa wananchi. Alisema "Chadema...
  13. U

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli kuwa Mtume au Nabii Mohamed ni Mbora kiimani kuliko Nabii Ibrahim?

    Karibuni wenye ilimu mje na nukuu za maandiko
  14. U

    JamiiForums Tanzania TANZIA Aliyekuwa mshindi wa Quran 2024 amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 16

    Inalilah waina ilahi rajiun Ibrahim sow kutoka Ivory coast. Aliekuwa mshindi wa Quran mwaka Jana pale uwanja wa mkapa amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 16. ==== Mshindi wa Mashindano ya Quran Tukufu Ibrahim Sow raia wa Ivory Coast amefariki. Taarifa kutoka vyombo mbalimbali Nchini Ivory...
  15. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Ibrahim Traore afuta Tume ya Uchaguzi Burkinafaso

    Power corrupts, and absolute power corrupts absolutely. Madaraka yakianza kulevya. Sababu alizotoa hazina mashiko. Bado moyo wangu ni mzito kumkubali Ibrahim Traore kama ambavyo mitandao mingi inavyomshabikia kwa "mafanikio hewa. Cc Nyani Ngabu
  16. S

    JamiiForums Tanzania Kuteuliwa kwa Jaji Mkuu Mstaafu Prof. Ibrahim H. Juma kunaacha maswali mengi kwenye mhimili wa Mahakama!

    Watu wengi wamekuwa wakijiuliza maswali mengi kitendo cha Rais Samia kumteua Prof. Ibrahim Juma aliyekuwa Jaji Mkuu wa Mhimili wa Mahakama aliyestaafu juzi tu kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha UDOM. Je, kwa kitendo hicho kuwapi dhana ya separation of power ya mihimili ya dola? Je hii haidhihirishe...
  17. Boveta

    JamiiForums Tanzania Prof. Ibrahim Lipumba Mwenyekiti wa Chama Cha Wanainchi CUF amefanya chama Wilaya ya Ubungo kuzungumza na watia nia wa ubunge

    Pamoja na mambo mengine Professa Ibrahim Lipumba amehimiza kila kata zilizo katika wilaya ya Ubungo ni muhimu kuwa na ilani inayoendana na hali ya eneo husika.
  18. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Maktaba Imepokea Kitabu Cha Rajabu Ibrahim Kirama

    MAKTABA IMEPOKEA KITABU CHA RAJABU IBRAHIM KIRAMA Rajabu Ibrahim Kirama ndiye aliyeuingiza Uislam Uchaggani kiasi cha zaidi ya miaka 150 iliyopita. Katika maajabu ya Allah alipofariki watoto wake walihifadhi nyaraka zake zote ambazo zinafika umri wa miaka 100. Nyaraka hizi zilihifadhiwa...
  19. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Marekani yapeleka meli za kivita 5 katika pwani ya Israel

  20. Se Busca

    JamiiForums Tanzania Mjue Ibrahim Abdalla Akasha: Pablo Escobar wa Afrika Mashariki

    Mtu Aliyetawala Biashara ya Dawa za Kulevya... Alilelewa huko Mombasa na wazazi wa kiPakistani, akianza kama mjasiriamali halali, akiendesha kampuni ya usafirishaji Akasha Transporters, ikiingiza mizigo ndani na nje ya Kenya kupitia bandari ya Mombasa. Je, umewahi kufikiria jinsi Bandari ya...
Back
Top Bottom