Hakuna kitu kigumu kama kutetea uongo haya uliyoandika ni kupayuka payuka ovyo
Hoja ya msingi ni kwamba Paulo ni muongo na mafundisho yake aliyekufundisheni nyinyi wakristo yanapingana na Yesu
Paulo anasema Yesu ni Mungu
Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Lakini Yesu anakaata hayo mafundisho ya Paulo na anasema ili uende peponi ni lazima ukubali kuwa Mungu ni mmoja nayeye Yesu ametumwa na huyo Mungu mmoja
Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma
SASA KAMA WEWE UNAMUAMINI PAULO NA KUMUONA YESU NI MUONGO NDIO USEME SASA
Sent using
Jamii Forums mobile app