Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Paul hakuwa moja Kati ya wanafunzi wa yesu lakini alikuwepo wakati huo na mafundisho ya Paul juu ya uungu wa yesu hayakuwa tofauti na ya mitume 12 wa yesu ambao wote waliamini katika kufufuka kwa yesu, hakuna Kati ya mitume wote wa yesu ambaye aliamini katika uislamu wote waliamini kuwa yesu ni mwana wa mungu alikufa na kufufuka siku ya tatu na atarudi Tena.
Ushahidi wa hili uko wapi ? Unao onyesha ya kuwa Paul alikuwepo wakati huo ?
Paul alipewa jukumu la kusambaza habari njema za ufalme wa mungu kwa mataifa (yaani wasio wayahudi).
Jukumu hili alipewa na nani ns nani alikuwa shahidi ?
Vitu vyote hivi vinashuhidiwa na vitabu mbalimbali vya kipindi hicho vikiwemo vya kihistoria na findings mbalimbali za kisayansi
Tuwekee vitabu vitatu tu,ili tukasome tupate faida.
On the other hand Habari za Issa zinatoka na Quran na hadithi za Muhammad ambaye aliishi uarabuni, 600 years baada ya yesu ambaye hakuwahi kukutana na mitume wa yesu. Isitoshe zinakinzana na Habari za mitume wa yesu.
Mitume wa Yesu ni kina nana na huo utume walipewa na nani na ushahidi uko wapi ?
 
Ushahidi wa hili uko wapi ? Unao onyesha ya kuwa Paul alikuwepo wakati huo ?
Mwanzo wa Utume wa Paulo;

Katika Hesabu 12:6
Mwenyezi Mungu anaeleza namna mitume na Manabii wanavyopata Wahyi kutoka kwa Mungu:

Je sifa hii ya kuletewa Wahyi Paulo alikuwa nayo?
Tunasoma katika Matendo. 16:9
“Wakati wa usiku Paulo akaona maono…”

Je Mungu alieleza kuwa Paulo alitumwa kwa watu gani?
Matendo. 9:15

“Lakini Bwana akamwambia Anania…Mtu huyu ni chombo changu kiteule nilichokichagua apate kulichukua jina langu kwa watu Mataifa na wafalme wao na mbele ya watu wa Israeli.”

Matendo 13:2
“Walipokuwa wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu akasema “Nitengeeni Sauli na Barnaba kwa kazi ile maalumu niliyowaitia”

Je Paulo Mwenyewe anajishuhudia vipi kuhusu utume wake?
Wagalatia 1:1
“Paulo, mtume, si mtume wa wanadamu aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu”

Wakolsosai 1:1
“Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu tumaini letu.”

Hapa Paulo anatusaidia kujibu swali la Mada yetu, anasema ni “Mtume wa Mungu”
 
Huyu Paul sio pekee aliyesema kuwa yesu ni mungu. Yesu mwenyewe alijishuhudia kuwa yeye ni mungu.
Alishuhudia hili wapi ? Yaani nabii na Mtume wa Allah ashuhudie ushirikina ? Hili halipo.
Ukimuona Mimi, umemuona baba, Mimi na baba ni kitu kimoja.
Maneno haya ameayasema Yesu wapi ?

Lakini,kwani nikisema "Ukimuona mwanangu ndiyo umeniona mimi". Kauli hii vipi ifidishe ya kuwa mimi na mwanangu ni mimi ?

Lakini utasemaje mbele ya muwakilishi wa bosi au mtawala anapokwambia "Ukiniona mimi ndiyo umemuona bosi mimi na bosi ni kitu kimoja". Hii ina maana huyo muwakilishi naye ni bosi ?

Sasa huu uzushi huwa mnautoa wapi ?
 
Mwanzo wa Utume wa Paulo;

Katika Hesabu 12:6
Mwenyezi Mungu anaeleza namna mitume na Manabii wanavyopata Wahyi kutoka kwa Mungu:

Je sifa hii ya kuletewa Wahyi Paulo alikuwa nayo?
Tunasoma katika Matendo. 16:9
“Wakati wa usiku Paulo akaona maono…”

Je Mungu alieleza kuwa Paulo alitumwa kwa watu gani?
Matendo. 9:15

“Lakini Bwana akamwambia Anania…Mtu huyu ni chombo changu kiteule nilichokichagua apate kulichukua jina langu kwa watu Mataifa na wafalme wao na mbele ya watu wa Israeli.”

Matendo 13:2
“Walipokuwa wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu akasema “Nitengeeni Sauli na Barnaba kwa kazi ile maalumu niliyowaitia”

Je Paulo Mwenyewe anajishuhudia vipi kuhusu utume wake?
Wagalatia 1:1
“Paulo, mtume, si mtume wa wanadamu aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu”

Wakolsosai 1:1
“Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu tumaini letu.”

Hapa Paulo anatusaidia kujibu swali la Mada yetu, anasema ni “Mtume wa Mungu”
Niambie kwanza kitabu cha hesabu kimeandikwa na nani na kitabu cha matendo kimeandikwa na nani ? Nani shahidi wa uandishi wa vitabu hivyo.

Kadhalika "Utume ni nini hasa ?"

Hiki kifungu cha Wagalatia 1:1,nani msimuliaji wa hizi habari ?

Unaweza au unalo andiko lonalo sema ya kuwa Paulo ni Mtume toka kwa Yesu mwenyewe ? Kama hakuna,huu uongo nani aliuweka ?
 
Tahadhari: huu si mjadala wa mashambulizi ya Kidini. Ni mjadala wa kisomi wa kujenga Hoja. Kelele za Dini zenu pelekeni kwingine. Hapa tunataka hoja na uelewa. Sisi wengine hatuna Dini.

1. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini huyu Nabii kwenye Quran anatambulika kama Issa Bin Mariam. Kwa jina la Mama yake ni si ukoo wa Baba yake kama wengine wote waliosalia.

2. Je wenye Quran wanamwamini katika namna gani? Kuwa ni mtume. Je ni mtume kama Mtume mwingine?

3. Je wasiotumia Quran wanamfaham na wanamkubali kuwa ni mmoja ya manabii?

Naomba tujadiliane kwa utulivu kwa nia ya kujifunza. Mimi naifaham Quran na ninaifahamu Biblia. Kwa kuwa nmekulia katika mazingira yote mawili.
Ikiwa huna Dini, unauliza ili iweje?
 
Hebu tuangalie mada hii kwa kutumia Qur’an na Hadith pamoja na Sherehe za Wanazuoni mbalimbali ndani ya Uislam.

Tunasoma Katika Qur’an 36:13-14 kwamaba

Mwenyezi Mungu hapa anamkumbusha mtume juu ya wakazi wa mji Fulani, ambapo yeye Mwenyewe Mwenyezi Mungu anasema—alituma “wajumbe wake”.

Wafasili wengi wa Qur’an wakiwemo Shekhe Balwani, pamoja na Yusufu Ali katika tafsiri zao wanautaja mji huo kuwa ni ANTIOKIA.

Ibn Kathir yeye anatueleza zaidi juu ya mitumehao kuwa majina yao yalikuwa, Yohana, Simoni pamoja na Paulo.

Ni dhahiri basi kwamba hoja hii ya upizani juu ya Paulo ndani ya Uislam ni ya hivi karibuni sana. Ushahidi wa hadithi za mtume Muhammad waonyesha kuwa Waislamu wa mwanzo hawakuwa na tatizo juu ya utume wa Paulo.

Katika kitabu kilichoandikwa na Ibn Hisham kiitwacho Sirat Nabawiyat, juzuu ya 4 uk. 140


kuna section nzima Mtume Muhammad anawaelezea Masahaba wake orodha ya mitume wa Bwana Yesu na Sehemu walizotumwa, Miongoni mwa mitume hao, ametajwa pia Mtume Paulo, na kwamba Yeye Paulo alitumwa kwa watu wa Rumi.
Wapi ibn Kathir kamtaja Paulo?
 
Yesu hakuna mwenye uwezo wa kuutoa uhai wangu Nina uwezo wa kuutoa na kuurudisha mwenyewe. Huu ni uwezo wa mungu pekee.

Alithibisha kuwa alikuwepo kabla ya Ibrahimu

Alisema katika kitabu Cha ufunuo Mimi ni Alfa na Omega mwanzo na mwisho niliyekuwepo,niwaye na nitakayekuja.
Kitabu cha ufunuo kimeandikwa na nani ?

Alithibitisha ya kuwa alikuwepo kabla ya nabii Ibrahimu kwenye kitabu gani na hicho kitabu kimeandikwa na nani ?
 
Niambie kwanza kitabu cha hesabu kimeandikwa na nani na kitabu cha matendo kimeandikwa na nani ? Nani shahidi wa uandishi wa vitabu hivyo.

Kadhalika "Utume ni nini hasa ?"

Hiki kifungu cha Wagalatia 1:1,nani msimuliaji wa hizi habari ?

Unaweza au unalo andiko lonalo sema ya kuwa Paulo ni Mtume toka kwa Yesu mwenyewe ? Kama hakuna,huu uongo nani aliuweka ?
“Na mitume tuliokwisha kukuhadithia kabla yake, na mitume wengine hatukukuhadithia. Na Mwenyezi Mungu alinana na Musa kwa Maneno”

“Semini nyinyi: Tumemwamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyoteremshiwa sisi, na yaliyoteremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyopewa Musa na Isa, na pia waliyopewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutofautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.”

Aya hii inawataka Waislamu kuwa amini mitume wote wa zamani, aya inasema wanatakiwa waamini walioteremshiwa wajukuu wa Yakobo, na Manabii wengine wote ambao hawakutajwa ndani ya Qurani.

Paulo Mwenyewe amesema kuwa ni Mjukuu wa Yakobo.

“…mimi ni Mwisraeli wa kabila la Benyamini, Mwebrania wa Waebrania..” (Wafilipi 3:5)

Benjamini alikuwa mtoto wa Yakobo. Hivyo twaona kuwa Qurani Sura ya 2:136 inakusudia kuaminiwa kwa mitume wote waliotangulia akiwemo na Paulo na manabii wote waliotajwa ndani ya Taurat, Zaburi na Injili.

Hivi yaonekana kuwa umati mkubwa wa mitume bwana Muhammad hakuweza kuelezwa habari zake. Sehemu kubwa ya Mitume na Manabii waliotajwa ndani ya Qur’an ni wale waliotajwa pia ndani ya Biblia. Hivyo basi Mwislam anapotaka kufahamu zaidi juu ya habari za Mitume na manabii yampasa kuzingatia agizo la Mwenyezi Mungu kwa Mtume katika Sura 10:94 kwamba;

“Na ukiwa na shaka juu haya tuliyokufunulia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako (Mayahudi na Wakristo)…”
 
Wapi ibn Kathir kamtaja Paulo?
Wafasili wengi wa Qur’an wakiwemo Shekhe Balwani, pamoja na Yusufu Ali katika tafsiri zao wanautaja mji huo kuwa ni ANTIOKIA.

Ibn Kathir yeye anatueleza zaidi juu ya mitumehao kuwa majina yao yalikuwa, Yohana, Simoni pamoja na Paulo.

Ni dhahiri basi kwamba hoja hii ya upizani juu ya Paulo ndani ya Uislam ni ya hivi karibuni sana. Ushahidi wa hadithi za mtume Muhammad waonyesha kuwa Waislamu wa mwanzo hawakuwa na tatizo juu ya utume wa Paulo.

Katika kitabu kilichoandikwa na Ibn Hisham kiitwacho Sirat Nabawiyat, juzuu ya 4 uk. 140 (Tazama sehemu ya tatu ya somo hili) kuna section nzima Mtume Muhammad anawaelezea Masahaba wake orodha ya mitume wa Bwana Yesu na Sehemu walizotumwa, Miongoni mwa mitume hao, ametajwa pia Mtume Paulo, na kwamba Yeye Paulo alitumwa kwa watu wa Rumi.
 
Huyu Paul sio pekee aliyesema kuwa yesu ni mungu. Yesu mwenyewe alijishuhudia kuwa yeye ni mungu.

Yesu hakuna mwenye uwezo wa kuutoa uhai wangu Nina uwezo wa kuutoa na kuurudisha mwenyewe. Huu ni uwezo wa mungu pekee.

Alithibisha kuwa alikuwepo kabla ya Ibrahimu

Alisema katika kitabu Cha ufunuo Mimi ni Alfa na Omega mwanzo na mwisho niliyekuwepo,niwaye na nitakayekuja.

Ukimuona Mimi, umemuona baba, Mimi na baba ni kitu kimoja.

I am the truth, the way and the life no one come to the father except by me.

Hayo ni baadhi tu.

Wayahudi waliomuua Yesu waliona kuwa anakufuru kwa kujiita kuwa yeye ni mungu pasipo kujua kuwa hayo yalitabiriwa na manabii , yaliandikwa kwenye zaburi. Kasome ile Isaiah 53 iliyoelezea hayo yote imeandikwa na nabii Isaiah miaka mingi kabla ya yesu kuzaliwa. Imani inakuwa backed na prophecy kama hizi ambazo unaweza ukaprove hata hii leo.

Lakini ukiambiwa wewe uprove kuwa Isa hakufa na ilifanyika ionekane kuwa alikufa lakini hakufa unaweza ukaprove to us outside ya Quran? Angali wanafunzi wake walishuhudia kuwa alifufuka siku ya tatu hata wakawa tayari kufa kwa ajili ya Imani yao.

Proove kuwa Isa alitabiri ujio wa Muhammad nje ya Quran.

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Hata kama Paulo sio peke yake aliyesema Yesu ni Mungu haiwezi kuhalalisha uongo wa Paulo

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.


Kama kweli Yesu ni Mungu hapa anamuomba Mungu gani tena ? Tena anamuomba amuokoe dhidi ya binaadam

Tena hapo amesuju kama tunavyomsujudia Mungu sisi waislam wa sasa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ibn Kathir yeye anatueleza zaidi juu ya mitumehao kuwa majina yao yalikuwa, Yohana, Simoni pamoja na Paulo.
Nikacheka kidogo,katika Tafsir ya Ibn Kathir,tunakutana na haya :

"(a similitude; the Dwellers of the Town, when there came Messengers to them.) In the reports that he transmitted from Ibn `Abbas, Ka`b Al-Ahbar and Wahb bin Munabbih - Ibn Ishaq reported that it was the city of Antioch, in which there was a king called Antiochus the son of Antiochus the son of Antiochus, who used to worship idols. Allah sent to him three Messengers, whose names were Sadiq, Saduq and Shalum, and he disbelieved in them. It was also narrated from Buraydah bin Al-Husayb, `Ikrimah, Qatadah and Az-Zuhri that it was Antioch. Some of the Imams were not sure that it was Antioch, as we shall see below after telling the rest of the story, if Allah wills."

Sasa utaniambia huyo Sadiq,Saduq na Shalom,yupi ni Yohana,yupi ni Simon na yupi ni Paulo na kwa ushahidi gani...?
 
“Na mitume tuliokwisha kukuhadithia kabla yake, na mitume wengine hatukukuhadithia. Na Mwenyezi Mungu alinana na Musa kwa Maneno”

“Semini nyinyi: Tumemwamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyoteremshiwa sisi, na yaliyoteremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyopewa Musa na Isa, na pia waliyopewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutofautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.”

Aya hii inawataka Waislamu kuwa amini mitume wote wa zamani, aya inasema wanatakiwa waamini walioteremshiwa wajukuu wa Yakobo, na Manabii wengine wote ambao hawakutajwa ndani ya Qurani.

Paulo Mwenyewe amesema kuwa ni Mjukuu wa Yakobo.

“…mimi ni Mwisraeli wa kabila la Benyamini, Mwebrania wa Waebrania..” (Wafilipi 3:5)

Benjamini alikuwa mtoto wa Yakobo. Hivyo twaona kuwa Qurani Sura ya 2:136 inakusudia kuaminiwa kwa mitume wote waliotangulia akiwemo na Paulo na manabii wote waliotajwa ndani ya Taurat, Zaburi na Injili.

Hivi yaonekana kuwa umati mkubwa wa mitume bwana Muhammad hakuweza kuelezwa habari zake. Sehemu kubwa ya Mitume na Manabii waliotajwa ndani ya Qur’an ni wale waliotajwa pia ndani ya Biblia. Hivyo basi Mwislam anapotaka kufahamu zaidi juu ya habari za Mitume na manabii yampasa kuzingatia agizo la Mwenyezi Mungu kwa Mtume katika Sura 10:94 kwamba;

“Na ukiwa na shaka juu haya tuliyokufunulia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako (Mayahudi na Wakristo)…”
Naomba ujibu maswali niliyo kuuliza. Maana naona unayapita kama huyaoni.
 
Hizi habari anasimulia nani ?

Maono hata wewe unaweza kuyaona kwenye ndoto.
unakataa maono unakubali mudy kupewa utume na mkewe

1622468298861.png
 
Kuna error moja kwenye quran inasema kuwa Mary mama yake Yesu ni dada yake na Harun pia ni mtoto wa Imran.
Hi ni error
Imran ambaye alikuwa baba wa Harun na Mariam ni muda mrefu sana kipindi Cha Musa.

Kwenye Bible inaleza uzao wote wa Mariam kuanzia kwa Adam mpaka kufikia kwa Mariam

Aliyeandika mathayo, luka, Yohana na Marko sio Paul na hizi zote zinafundisha kuwa Yesu ni mwana wa mungu na alikufa na kufufuka siku ya tatu na alikufa kwa ajili ya dhambi za wanadamu kama ilivyotabiliwa na manabii na atarudi Tena hio ndio Injili. Maana ya Injili ni habari njema ya ufalme wa mungu na sio ujio wa Muhammad.

Allah alituma manabii zaidi ya laki moja dunia nzima kwenye Kila kabila, nikikuuliza tofauti na wale wa Israel ambao utarejea Tena kwenye Bible hao wengine vitabu vyao vipo wap?

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Wafasili wengi wa Qur’an wakiwemo Shekhe Balwani, pamoja na Yusufu Ali katika tafsiri zao wanautaja mji huo kuwa ni ANTIOKIA.

Ibn Kathir yeye anatueleza zaidi juu ya mitumehao kuwa majina yao yalikuwa, Yohana, Simoni pamoja na Paulo.

Ni dhahiri basi kwamba hoja hii ya upizani juu ya Paulo ndani ya Uislam ni ya hivi karibuni sana. Ushahidi wa hadithi za mtume Muhammad waonyesha kuwa Waislamu wa mwanzo hawakuwa na tatizo juu ya utume wa Paulo.

Katika kitabu kilichoandikwa na Ibn Hisham kiitwacho Sirat Nabawiyat, juzuu ya 4 uk. 140 (Tazama sehemu ya tatu ya somo hili) kuna section nzima Mtume Muhammad anawaelezea Masahaba wake orodha ya mitume wa Bwana Yesu na Sehemu walizotumwa, Miongoni mwa mitume hao, ametajwa pia Mtume Paulo, na kwamba Yeye Paulo alitumwa kwa watu wa Rumi.
Wapi ibn Kathir kamtaja Paulo?

Usilete ngonjera please
 
Kuna error moja kwenye quran inasema kuwa Mary mama yake Yesu ni dada yake na Harun pia ni mtoto wa Imran.
Hi ni error
Imran ambaye alikuwa baba wa Harun na Mariam ni muda mrefu sana kipindi Cha Musa.

Kwenye Bible inaleza uzao wote wa Mariam kuanzia kwa Adam mpaka kufikia kwa Mariam

Aliyeandika mathayo, luka, Yohana na Marko sio Paul na hizi zote zinafundisha kuwa Yesu ni mwana wa mungu na alikufa na kufufuka siku ya tatu na alikufa kwa ajili ya dhambi za wanadamu kama ilivyotabiliwa na manabii na atarudi Tena hio ndio Injili. Maana ya Injili ni habari njema ya ufalme wa mungu na sio ujio wa Muhammad.

Allah alituma manabii zaidi ya laki moja dunia nzima kwenye Kila kabila, nikikuuliza tofauti na wale wa Israel ambao utarejea Tena kwenye Bible hao wengine vitabu vyao vipo wap?

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
HAWAWEZ KUKUJIBU

Waislamu wanaamini kwamba, wapo Mitume wapatao 124,000. Kati ya hao. ni 25 tu ndiyo ambao mtume Muhammad (S. A. W) aliweza kupewa habari zake. kama tunavyosoma.

[ AN-NISAAI – 164 ]
Na Mitume tulio kwisha kukuhadithia kabla yake, na Mitume wengine hatukukuhadithia. Na Mwenyezi Mungu alinena na Musa kwa maneno.

Hii inamaana kwamba Muhamad alifahamu kidogo sana kuhusu habari za mitume. yaani kama ni asilimia ni 0.0002 ya uelewa wake juu ya mitume. na huo ndio uelewa wa waislamu wote linapokuja swala la mitume. Hata hivyo. Allah s.w alikwisha kumwelekeza mtume mahala pa kupata nuru zaidi aliposema.

(YUNUS – 94)
Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.
 
“Na mitume tuliokwisha kukuhadithia kabla yake, na mitume wengine hatukukuhadithia. Na Mwenyezi Mungu alinana na Musa kwa Maneno”

“Semini nyinyi: Tumemwamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyoteremshiwa sisi, na yaliyoteremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyopewa Musa na Isa, na pia waliyopewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutofautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.”

Aya hii inawataka Waislamu kuwa amini mitume wote wa zamani, aya inasema wanatakiwa waamini walioteremshiwa wajukuu wa Yakobo, na Manabii wengine wote ambao hawakutajwa ndani ya Qurani.

Paulo Mwenyewe amesema kuwa ni Mjukuu wa Yakobo.

“…mimi ni Mwisraeli wa kabila la Benyamini, Mwebrania wa Waebrania..” (Wafilipi 3:5)

Benjamini alikuwa mtoto wa Yakobo. Hivyo twaona kuwa Qurani Sura ya 2:136 inakusudia kuaminiwa kwa mitume wote waliotangulia akiwemo na Paulo na manabii wote waliotajwa ndani ya Taurat, Zaburi na Injili.

Hivi yaonekana kuwa umati mkubwa wa mitume bwana Muhammad hakuweza kuelezwa habari zake. Sehemu kubwa ya Mitume na Manabii waliotajwa ndani ya Qur’an ni wale waliotajwa pia ndani ya Biblia. Hivyo basi Mwislam anapotaka kufahamu zaidi juu ya habari za Mitume na manabii yampasa kuzingatia agizo la Mwenyezi Mungu kwa Mtume katika Sura 10:94 kwamba;

“Na ukiwa na shaka juu haya tuliyokufunulia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako (Mayahudi na Wakristo)…”
Ushajidi pekee wa kuonyesha kwamba Paulo ni mtume wa uongo ni kwamba

Mnanesema utume amepewa na Yesu sasa mbona mafundisho yake yanapingana na Yesu?

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;

Yesu anakataa kuwa yeye sio Mungu bali yeye ametumwa na Mungu na ukiamini hayo ndio utapata uzima wa milele

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


Hapa kwanza Yesu ana ndugu zake inamaana yeye ni bina adamu

Pia anasema Mimi wewe na yeye Yesu mwenyewe Mungu wetu ni mmoja

Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.


Iweje nyinyi wagalatia msiamini na kufuata mafundisho ya Yesu badala yake mnafuata maneno ya mtume wa uongo Paulo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom