Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Nikacheka kidogo,katika Tafsir ya Ibn Kathir,tunakutana na haya :

"(a similitude; the Dwellers of the Town, when there came Messengers to them.) In the reports that he transmitted from Ibn `Abbas, Ka`b Al-Ahbar and Wahb bin Munabbih - Ibn Ishaq reported that it was the city of Antioch, in which there was a king called Antiochus the son of Antiochus the son of Antiochus, who used to worship idols. Allah sent to him three Messengers, whose names were Sadiq, Saduq and Shalum, and he disbelieved in them. It was also narrated from Buraydah bin Al-Husayb, `Ikrimah, Qatadah and Az-Zuhri that it was Antioch. Some of the Imams were not sure that it was Antioch, as we shall see below after telling the rest of the story, if Allah wills."

Sasa utaniambia huyo Sadiq,Saduq na Shalom,yupi ni Yohana,yupi ni Simon na yupi ni Paulo na kwa ushahidi gani...?
hapa namnukuru ibn Kathir.

قال ابن جرير عن وهب بن سلمان عن شعيب الجبائي قال كان اسم الرسولين الأولين شمعون ويوحنا واسم الثالث بولص والقرية انطاكية فقالوا » أي لأهل تلك القرية « إنا إليكم مرسلون » أي من ربكم الذي خلقكم يأمركم بعبادته وحده لاشريك له قاله أبو العالية وزعم قتادة أنهم كانوا رسل المسيح عليه السلام إلى أهل انطاكية « قالوا ما أنتم إلا بشر مثلنا » أي فكيف أوحي إليكم وأنتم بشر ونحن بشر فلم لا أوحي إلينا مثلكم ولو كنتم رسلا لكنتم ملائكة وهذه شبهة كثير من الأمم المكذبة كما أخبر الله تعالى عنهم في قوله عز وجل « ذلك بأنه كانت تأتيهم رسلهم بالبينات فقالوا أبشر يهدوننا »

Imesimuliwa na Ibn Jurayj kutoka kwa Wahb bin Sulayman, imepokelewa na Shu`ayb Al-Jaba’i,

“Majina wajumbe wawili wa waliotumwa mwanzo ni Simoni na Yohana na jina la wa tatu ni Paulo. Na mji huo ulikuwa Antiokia” , and the city was Antioch. Na wakasema (kwa watu wa mji huo) “hakika sisi tumetumwa kwenu kama wajumbe”, hii ina maanisha “Wajumbe kutoka kwa Allah aliyewaumba nyinyi na anayewaamrisha mumwabudu yeye peke yake na msimfanyie washirika.” Qatada amesema walikuwa ni wajumbe wa Masihi Isa bin Maryam (a.s) waliotumwa kwa watu wa Antiokia. Wakasema “Ninyi ni wanadamu kama sisi…ni kwa vipi munaweza kupokea ufunuo wakati nyie ni wanadamu na sisi tu wanadamu kama nyie, kwanini sisi hatupokei ufunuo kama nyie?” hivi ndivyo ilivyokuwa kwa watu wa mataifa mengine walivyosema ‘hatuamini’, kama vile Allah anavyotuambia katika sura ya 64:6 , “Hayo ni kwa kuwa walikuwa wakiwajia mitume wao kwa hoja zilizo wazi, nao wakasema: Hivyo binadamu ndiyo atuongoe? Basi wakakufuru na wakageuka upande. Mwenyezi Mungu akawa hana haja nao…”


Hivyo twaona kuwa hoja ya kumkataa Paulo ni uzushi wa hivi karibuni. Waislamu, wasomi na Maulamaa wa kale hawakuwa na hoja hii ya kumkataa Paulo.
 
Ushajidi pekee wa kuonyesha kwamba Paulo ni mtume wa uongo ni kwamba

Mnanesema utume amepewa na Yesu sasa mbona mafundisho yake yanapingana na Yesu?

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;

Yesu anakataa kuwa yeye sio Mungu bali yeye ametumwa na Mungu na ukiamini hayo ndio utapata uzima wa milele

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


Hapa kwanza Yesu ana ndugu zake inamaana yeye ni bina adamu

Pia anasema Mimi wewe na yeye Yesu mwenyewe Mungu wetu ni mmoja

Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.


Iweje nyinyi wagalatia msiamini na kufuata mafundisho ya Yesu badala yake mnafuata maneno ya mtume wa uongo Paulo

Sent using Jamii Forums mobile app
Je Paulo Mwenyewe anajishuhudia vipi kuhusu utume wake?
Wagalatia 1:1
“Paulo, mtume, si mtume wa wanadamu aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu”

Wakolsosai 1:1
“Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu tumaini letu.”

Hapa Paulo anatusaidia kujibu swali la Mada yetu, anasema ni “Mtume wa Mungu”

1622468906072.png


1622468935817.png
 
Kuna error moja kwenye quran inasema kuwa Mary mama yake Yesu ni dada yake na Harun pia ni mtoto wa Imran.
Hi ni error
Imran ambaye alikuwa baba wa Harun na Mariam ni muda mrefu sana kipindi Cha Musa.

Kwenye Bible inaleza uzao wote wa Mariam kuanzia kwa Adam mpaka kufikia kwa Mariam

Aliyeandika mathayo, luka, Yohana na Marko sio Paul na hizi zote zinafundisha kuwa Yesu ni mwana wa mungu na alikufa na kufufuka siku ya tatu na alikufa kwa ajili ya dhambi za wanadamu kama ilivyotabiliwa na manabii na atarudi Tena hio ndio Injili. Maana ya Injili ni habari njema ya ufalme wa mungu na sio ujio wa Muhammad.

Allah alituma manabii zaidi ya laki moja dunia nzima kwenye Kila kabila, nikikuuliza tofauti na wale wa Israel ambao utarejea Tena kwenye Bible hao wengine vitabu vyao vipo wap?

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Wewe kilaza tu Musa ya Yesu wamepisha miaka 1500 kwa hiyo katika nchi yote ya Israel kwa miaka yote hiyo 1500 hapajawahi tokea watu wengine wenye majina ya Imran na Haruni zaidi ya hao waliokuwepo kipindi cha Musa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je Paulo Mwenyewe anajishuhudia vipi kuhusu utume wake?
Wagalatia 1:1
“Paulo, mtume, si mtume wa wanadamu aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu”

Wakolsosai 1:1
“Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu tumaini letu.”

Hapa Paulo anatusaidia kujibu swali la Mada yetu, anasema ni “Mtume wa Mungu”

View attachment 1803679

View attachment 1803681
Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;

Yesu anakataa kuwa yeye sio Mungu bali yeye ametumwa na Mungu na ukiamini hayo ndio utapata uzima wa milele

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Kwa hiyo wewe hapo unamuani nani kati ya Paulo na Yesu?

Maana hapo mmoja ni muongo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tahadhari: huu si mjadala wa mashambulizi ya Kidini. Ni mjadala wa kisomi wa kujenga Hoja. Kelele za Dini zenu pelekeni kwingine. Hapa tunataka hoja na uelewa. Sisi wengine hatuna Dini.

1. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini huyu Nabii kwenye Quran anatambulika kama Issa Bin Mariam. Kwa jina la Mama yake ni si ukoo wa Baba yake kama wengine wote waliosalia.

2. Je wenye Quran wanamwamini katika namna gani? Kuwa ni mtume. Je ni mtume kama Mtume mwingine?

3. Je wasiotumia Quran wanamfaham na wanamkubali kuwa ni mmoja ya manabii?

Naomba tujadiliane kwa utulivu kwa nia ya kujifunza. Mimi naifaham Quran na ninaifahamu Biblia. Kwa kuwa nmekulia katika mazingira yote mawili.
ISSA bIN MARIAM ni mwarabu mmoja aliishi huyo arabia, na sio Yesu Kristo wa Nazareth. ushuhuda ni kwamba, ukitaja jina na issa bin mariam mbele ya mashetani yanakuchapa hadi makofi, ila ukitaja Jina la Yesu Kristo wa Nazareth, mashetani yanapaliwa na kukimbia bila breki. Jina la Yesu Kristo ndilo Jina pekee tulilopewa sisi wanadamu litupasalo kuokolewa kwako, na kwa JIna la Yesu kila goti litapiga la vitu vilivyoko juu mbinguni, vilivyoko duniani na vilivyoko chini ya nchi, na yeyote atakayeliitia Jina la Yesu atakokoka.
 
please, iki kitabu ni kweli kina exist hapa duniani na kuna watu wanakitumia? au umeweka tu hapa. inawezekanaje, au ndio maana zenji watu tupu za nyuma sio intact.
NI KWELI JAPO HUWA WANAFICHAFICHA SANA

VITABU VYAO MIMI NINAVYO KIBAO, MAMBO MENGI YAMEFICHWA HUMO, NDIO MAANA WENGINE KAMA KINA FaizaFoxy HAWTAKI KABISA KUZIKUBALI HADITHI ZOZOTE, JAPO UKIMUULIZA SWALA 5 AMEZITOA WAPI HANA MAJIBU

Quran 2:223. Wake zenu ni kama konde zenu. Basi ziendeeni konde zenu mpendavyo. Lakini jitangulizieni kheri nafsi zenu, na mcheni Allah , na jueni kuwa hakika nyinyi mtakutana naye. Na wape bishara njema Waumini.
Aya 223
Anasimulia Naafii :Siku moja nilisoma aya hii :Abdallah bin Umar bin Khattab akauliza unajua aya hii ilishuka kwa ajili gani? Nikajibu Sikujui :Akasema Imeshuka kwa ajili ya kuwaingilia wanawake tupu zao za nyuma yaani Matakoni
1622469868153.png


1622469901212.png
 
huna swali, mimi ndio nimeshangaa unajibiwa maswali, unarukia kuuliza muandishi

anzisha mada uliza waandishi wa biblia
Kuwa serious kijana. Fanya kitu kimoja,chukua swali nililo kuuliza kisha weka na hilo ulilo sema kuwa ni jibu umejibu swali langu. Ukiweza naacha kujadili hii mada.
 
hapa namnukuru ibn Kathir.

قال ابن جرير عن وهب بن سلمان عن شعيب الجبائي قال كان اسم الرسولين الأولين شمعون ويوحنا واسم الثالث بولص والقرية انطاكية فقالوا » أي لأهل تلك القرية « إنا إليكم مرسلون » أي من ربكم الذي خلقكم يأمركم بعبادته وحده لاشريك له قاله أبو العالية وزعم قتادة أنهم كانوا رسل المسيح عليه السلام إلى أهل انطاكية « قالوا ما أنتم إلا بشر مثلنا » أي فكيف أوحي إليكم وأنتم بشر ونحن بشر فلم لا أوحي إلينا مثلكم ولو كنتم رسلا لكنتم ملائكة وهذه شبهة كثير من الأمم المكذبة كما أخبر الله تعالى عنهم في قوله عز وجل « ذلك بأنه كانت تأتيهم رسلهم بالبينات فقالوا أبشر يهدوننا »

Imesimuliwa na Ibn Jurayj kutoka kwa Wahb bin Sulayman, imepokelewa na Shu`ayb Al-Jaba’i,

“Majina wajumbe wawili wa waliotumwa mwanzo ni Simoni na Yohana na jina la wa tatu ni Paulo. Na mji huo ulikuwa Antiokia” , and the city was Antioch. Na wakasema (kwa watu wa mji huo) “hakika sisi tumetumwa kwenu kama wajumbe”, hii ina maanisha “Wajumbe kutoka kwa Allah aliyewaumba nyinyi na anayewaamrisha mumwabudu yeye peke yake na msimfanyie washirika.” Qatada amesema walikuwa ni wajumbe wa Masihi Isa bin Maryam (a.s) waliotumwa kwa watu wa Antiokia. Wakasema “Ninyi ni wanadamu kama sisi…ni kwa vipi munaweza kupokea ufunuo wakati nyie ni wanadamu na sisi tu wanadamu kama nyie, kwanini sisi hatupokei ufunuo kama nyie?” hivi ndivyo ilivyokuwa kwa watu wa mataifa mengine walivyosema ‘hatuamini’, kama vile Allah anavyotuambia katika sura ya 64:6 , “Hayo ni kwa kuwa walikuwa wakiwajia mitume wao kwa hoja zilizo wazi, nao wakasema: Hivyo binadamu ndiyo atuongoe? Basi wakakufuru na wakageuka upande. Mwenyezi Mungu akawa hana haja nao…”

Hivyo twaona kuwa hoja ya kumkataa Paulo ni uzushi wa hivi karibuni. Waislamu, wasomi na Maulamaa wa kale hawakuwa na hoja hii ya kumkataa Paulo.
Nimecheka sana,hujaweka hili tunalipata wapi ?
 
Jibu swali nililo kuuliza. Usicjanganye mada,hili lako lilete baada ya wewe kujibu swali nililo kuiliza. Itifaki lazima izingatiwe.
tuambie kwanza, hivi kweli hiyo aya ipo? kama ipo basi kuna umuhimu wa kuifanyia marekebisho. au?
 
Back
Top Bottom