Chief, kwani Mud na Yesu walikutana wapi hadi AKAMWAMBIA kuwa hakusurubiwa?.
Mud aliwai kumuona Yesu? Kwanini una muamini ikiwa kigezo ni KUONA?.
Mbona una m-attack Paul kisa TU HAKUMUONA YESU?.
Ila hapo hapo unakubali Muhammad mafunuo ya Muhammad.
MFANO:
Miaka zaidi ya elfu 6 anatokea mtu uko naijeria aanze kusema Nyerere hakuzaliwa butihama,bali amezaliwa muhimbiri.
Nyerere sio Mzanaki, bali mnyakisa.
Nyerere hakuwa rais wa Tanzania bali alikuwa mwana harakati tu kama akina Che guava,wanaosema Nyerere alikuwa rais ni waongo....alafu wanatokea wajinga fulani wanamuamini huyu mtu.
Dhana ya kusema kwamba uwongo ukisemwa sana unakuwa ukweli uwa naiona kupitia Mud na kitabu chake.
Yaan nishinde kuwa amini akina walyoba, John LUPI, Abdul sky..Maria Nyerere, wazazi wa Nyerere walio mzaa, ishi nae, kupigania uhuru pamoja nije ni muamini kilaza wa uko naijeria..
Hakyanani bora nikitoe kwenye imani.