Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Tuletee ushahidi wa hayo maneno yako ?
Ushahidi wa kwanza ni huu hapa jinsi Fundi Salemala alivyokua anachanganya madesa wakati anafanyia REMIX hekaya za kiyahudi👇👇👇
hekaya za wayahudi ni hizi


YESU ALITANGUA TORATI AU HAPANA

Bwana Yesu Kristo alisema kwamba “Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua Torati na manabii, la, sikuja kutangua bali kutimiliza kwa maana amin nawaambia, mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi wala nukta moja ya Torati haitaondoka hata yote yatimie. ”Basi mtu yeyote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo na kuwafundisha watu ataitwa mdogo kabisa katika ufame wa mbinguni.” (Mathayo 5:17-19).

Tukiendelea kusoma mbele, haipiti hata dakika moja tunaona kwamba Bwana Yesu tayari amekwisha sahau aliyoyasema, na anaanza kusema kinyume kabisa na amri za Torati.

Anasema kwamba: “Mmesikia kwamba imenenwa jicho kwa jicho, na jino kwa jino, lakini mimi nawaambieni msishindane na mtu muovu; lakini akupigaye shavu la kuume mgeuzie la pili, mtu atakaye kukushitaki na kuitwaa kanzu yako, mwachie na joho pia.” (Mathayo 5:38-40).

Sasa Bwana Yesu Kristo ambaye alikuja kuitimiza Torati wala si kuitangua, mara anaonekana anaanza kuzipinga amri za Torati zinazopatikana katika “Kutoka 21:24’ Mambo ya Walawi 24:20, Kumbukumbu la Torati 29:21.”

Na hivi inaonekana kwamba ilikuwa kuna hitilafu kubwa katika maneno ya Bwana Yesu.

Na mtu anachanganyikiwa kabisa kwa mafundisho yake.
 
Ushahidi wa kwanza ni huu hapa jinsi Fundi Salemala alivyokua anachanganya madesa wakati anafanyia REMIX hekaya za kiyahudi👇👇👇

Hujaleta ushahidi wowote kutokana na haya maneno yako ya hapa chini , hizo ni fikra zako baada kula ugali mwingi na maharage

uliandika nakunukuu

Uislam;
Akaja maamuma mudi, ili aaminike na wayahudi na wakristo na yeye akaanza kufanyia remix hekaya za wayahudi na hekaya za wakristo na hekaya akidai zimechakuchuliwa na akaja na version yake huku akiongeza yakwake na kuchanganya na upagani wa kiarabu


Tuwekee ushahidi wa uislamu ku copy na kuchakacua aya moja tu ya biblia

kama huna cha kuchangia ni afadhali usome kwanza uelimike baadaye uanze kuuliza maswali
 
Kwahiyo Issa aliwahi kuwepo?

Tatizo lilianzia hapa


Born in a Stable?



Was Jesus born in a stable? Or a barn? Or a cave?


Luke* says only a manger. There was no room for him in the kataluma (“inn” or guest room).

But Joseph supposedly had returned to his ancestral home, “the lineage of David”. So the place should have been chock-full with his own relatives. And not one of them would accommodate a heavily pregnant woman? Tut-tut.


The reality is that the story of Jesus is enhanced by the “humble birth”.


Early Christians were taken by the idea that he was, in fact, born in a cave. Can you get any more humble than that?


* Matthew, a tad more realistic, says, “And when they had come into the house …” (2.11).
 
Tatizo kwenye hili suala ni wakristo kujimilikisha Yesu, yani hapo ndio mzizi wa tatizo kwa maana wao wanataka vile wanavyomuelezea na kumtambua wao basi ndio iwe hivyo hivyo kinyume na hivyo basi huyo sio Yesu. Lakini cha ajabu wakristo na waislamu wanapozungumzia majini huwa wote pamoja wanakusudia kitu kimoja japokuwa ukitizama maelezo ya uislamu majini ni tofauti na wakristo ila hukuti wakristo wakisema majini wanaoelezwa na waislamu ni majini tofauti na majini wenye kuelezwa na wakristo.
Kwenye ukristo hakuna hao viumbe wa kuitwa majini kabisa,kwahiyo hakuna sababu ya kuwaelezea,maana hawajulikani!!!
 
Back
Top Bottom