Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Jina haibadili asili. Wewe leo unaweza kuwa polisi na kesho ukiiba unaitwa mwizi ila bado ni binaadamu.
Polisi utakua rafiki ukiwa mwizi utakua adui ila ubinadamu bado utakua nao.

Hata hao bado ni viumbe wa Mungu pia
 
Sasa kwanini iwe kwa viumbe wasionekana tu?
Sijaelewa swali lako mkuu.

Unapoasi unakua tofauti kifikra na mtazamo ule wa mwanzo.

Wao waliasi hivyo hawana zile sifa za malaika. Kuna kitu wanakikosa nacho ni utii kwa Muumba.
 
Sijaelewa swali lako mkuu.

Unapoasi unakua tofauti kifikra na mtazamo ule wa mwanzo.

Wao waliasi hivyo hawana zile sifa za malaika. Kuna kitu wanakikosa nacho ni utii kwa Muumba.
Utii kwa muumba hata binaadamu tunapaswa kuwa hivyo sio malaika tu, sasa kama kuasi kunawafanya kukosa sifa za malaika kwahiyo wanakuwa nani?
 
Huwezi fukuza pepo kwa jina la isa likatoka.
Yesu kwa Biblia za kiarabu anaitwa Yasua

“Yasua bin Mariam” ni sahihi ukitumia mtindo wa Kiarabu unaoeleweka haraka katika majina ya watu:

✅ Ufafanuzi:

🔹 يسوع بن مريم (Yasū‘ ibn Maryam)
➡️ يسوع (Yasū‘) – Yesu
➡️ بن (ibn) – mwana wa
➡️ مريم (Maryam) – Mariamu

Hivyo “Yasua bin Mariam” maana yake ni “Yesu mwana wa Mariamu”,
ambayo hutumika sana katika maandiko ya Kiarabu, haswa wakati wa kutambulisha kwa heshima au katika maandiko ya kiroho.

🔹 Katika Qur’an, kama nilivyotaja, jina lake huwa ʿĪsā ibn Maryam (عيسى بن مريم)
➡️ lakini kwenye Biblia za Kiarabu jina lake ni Yasū‘ ibn Maryam (يسوع بن مريم).

Hii ni kuonyesha ni watu wawili tofauti
 
Hujaleta ushahidi wowote kutokana na haya maneno yako ya hapa chini , hizo ni fikra zako baada kula ugali mwingi na maharage

uliandika nakunukuu

Uislam;
Akaja maamuma mudi, ili aaminike na wayahudi na wakristo na yeye akaanza kufanyia remix hekaya za wayahudi na hekaya za wakristo na hekaya akidai zimechakuchuliwa na akaja na version yake huku akiongeza yakwake na kuchanganya na upagani wa kiarabu


Tuwekee ushahidi wa uislamu ku copy na kuchakacua aya moja tu ya biblia

kama huna cha kuchangia ni afadhali usome kwanza uelimike baadaye uanze kuuliza maswali
Hiyo niliokupa ni ushahidi wa Yesu ambao umeuthibitisha wewe mwenyewe jinsi alivyochanganya madesa kati ya Injili yake na Torati ya Musa

(Tumia akili ndogo tu) hekaya za Injili na quran zipi zilitangulia kuja?….. Ni injili

So tofauti ya injili kuhusu Yesu(ambayo tunai regard kama original version) na Quran iliokuja baadae ambayo imemuhadithia Yesu yule yule kwa namna nyingine(imebadilisha original version)…. Sasa sijui unataka UTHIBITISHO gani?….. unless ukatae kwamba hao ni characters wawili tofauti

Sio Yesu tu aliyetajwa kwenye quran na “Bibilia” kuna Adam, Noah, Musa, Yakobo na wengine wengi
Na wote hao Hadithi zao zimefanyiwa remix lakini kimantiki ni zilezile

Tatizo lenu waamini Mungu huwa hamtaki kutumia AKILI mmekalia kukariri kwamba kila kitu LAZIMA kiandikwe kwenye hekaya zenu

Yaani hata nikikwambi hakuna Mungu eti unataka nikupe maandiko ya “mungu” yanasema hakuna mungu 😂😂😂
 
Hiyo niliokupa ni ushahidi wa Yesu ambao umeuthibitisha wewe mwenyewe jinsi alivyochanganya madesa kati ya Injili yake na Torati ya Musa

(Tumia akili ndogo tu) hekaya za Injili na quran zipi zilitangulia kuja?….. Ni injili

So tofauti ya injili kuhusu Yesu(ambayo tunai regard kama original version) na Quran iliokuja baadae ambayo imemuhadithia Yesu yule yule kwa namna nyingine(imebadilisha original version)…. Sasa sijui unataka UTHIBITISHO gani?….. unless ukatae kwamba hao ni characters wawili tofauti

Sio Yesu tu aliyetajwa kwenye quran na “Bibilia” kuna Adam, Noah, Musa, Yakobo na wengine wengi
Na wote hao Hadithi zao zimefanyiwa remix lakini kimantiki ni zilezile

Tatizo lenu waamini Mungu huwa hamtaki kutumia AKILI mmekalia kukariri kwamba kila kitu LAZIMA kiandikwe kwenye hekaya zenu

Yaani hata nikikwambi hakuna Mungu eti unataka nikupe maandiko ya “mungu” yanasema hakuna mungu 😂😂😂

Kasome uelewe alau unachokiandika , maana hata maana ya kukopi hujui
 
Huwezi fukuza pepo kwa jina la isa likatoka.
Yesu kwa Biblia za kiarabu anaitwa Yasua

“Yasua bin Mariam” ni sahihi ukitumia mtindo wa Kiarabu unaoeleweka haraka katika majina ya watu:

✅ Ufafanuzi:

🔹 يسوع بن مريم (Yasū‘ ibn Maryam)
➡️ يسوع (Yasū‘) – Yesu
➡️ بن (ibn) – mwana wa
➡️ مريم (Maryam) – Mariamu

Hivyo “Yasua bin Mariam” maana yake ni “Yesu mwana wa Mariamu”,
ambayo hutumika sana katika maandiko ya Kiarabu, haswa wakati wa kutambulisha kwa heshima au katika maandiko ya kiroho.

🔹 Katika Qur’an, kama nilivyotaja, jina lake huwa ʿĪsā ibn Maryam (عيسى بن مريم)
➡️ lakini kwenye Biblia za Kiarabu jina lake ni Yasū‘ ibn Maryam (يسوع بن مريم).

Hii ni kuonyesha ni watu wawili tofauti

Pepo ni dudu gani hilo ? au ni popobawa ? mbona wacha jina la yesu , Yesu mwenyewe alibebwa na shetani akaenda kuonyeshwa miji

yesu anabebwa na shetani.jpeg
 
Yesu ni mwana wa Mungu kulingana na Biblia Takatifu

Nabii Issa ni mtime kulinfana na waislamu

Kwahiyo kuna tofauti kubwa mno

Yesu Kristo yu hai na atarudi tena kwa nabii issa hatorudi tena
 
Kasome uelewe alau unachokiandika , maana hata maana ya kukopi hujui
Kuna tofauti kati ya copy and paste na copy kisha fanya remix na kuja na version ya remix

Mudi alikopi hekaya ya fundi selemala anaitwa Yesu aliyezaliwa na bikira mariam kisha akaifanyia mabadiliko kiaina na akaja na version yake ya Isa ibn Maryam

Kuthibitisha hayo kasome Injili kisha kasome kwenye Quran kuhusu Isa……. Utofauti utakao uona ndio remix yenyewe hiyo

Au unakataa kwamba Yesu sio isa?
 
Yesu ni mwana wa Mungu kulingana na Biblia Takatifu

Nabii Issa ni mtime kulinfana na waislamu

Kwahiyo kuna tofauti kubwa mno

Yesu Kristo yu hai na atarudi tena kwa nabii issa hatorudi tena
Nabii Isa atarudi kama atakavyorudi Yesu

Tofauti ni kitakacho mrudisha
 
Back
Top Bottom