Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Nakuuliza allah wako anaitwa nani?
Lini Utaanza kunijibu masuali nlokuuliza? Nikikwambia wewe ni bwana mdogo huamini.

Nini maana ya Allah? Na nini Maana ya Ng'ombe? Ushawahi kwenda kwenye butcher ukasema unataka Allah? 😀

Jibu Masuali mepesi uloulizwa
 
Malaika kaumbwa kwa Nuru na hana Free will. Hivo hawezi kuasi. Upupu kama huo unaupata kwenye bibilia tu.

Mmeingia mtegoni
Hayo ni Maoni.
Ila kwa Mujibu wa Bibilia Malaika anafree will, na Ndio Maana aliasi akiongozwa na malaika mkuu.
Mungu sio Dicteta aabudiwe na viumbe ambao hawana utashi kama maroboti.

Ndio maana nakukumbusha amini Bibilia, Hicho kitabu cha karne ya saba hakiwezi kuwa superior kwa maneno ya Mungu yaliyoandikwa kwa range ya miaka 1500+ alafu yanauhusiano utadhani yameandikwa siku moja na jopo la watu wanaofahamina.
 
Tumeambiwa tuamini kuwa Allah ameshusha Injili, na tunaamini kuwa alimshushia Issa a.s Injil. Suala la kukwambia iko wapi, sijui iko wapi na haina umuhimu kwetu kujua iko wapi, kwa sababu Injil wameshushiwa mayahudi wakati ule, kwa ajili yao peke yao. Sasa wewe kama unataka kujiita Ahlu kitab, basi tuoneshe kitabu cha Issa ibn Maryam, kama huna, wewe jiite Ahlu Nicea tu.
Acha unafiki mkuu

Surah 10

94. Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.94


Sasa Quran inadanganya kusema wapo watu waliosoma kitabu kabla yako.
Na ukisema hawapo basi, njoo nikubatize maana kitabu kinadanganya.

Nicea hujiui mkuu. Maandiko Yapo kabla hata ya Yesu Kuzaliwa, Yamekuwepo kabla hata hao unaowaita nicea kuwepo. Kuna maelefu ya wakristo ambao hata hawajui wala hawakujua kama kuna kitu nicea kiliwahi kukaa lkn wanamaneno hayahaya unayoyasoma kwenye Bibilia. Unadhani St thomas christians wa India ambao ni wafuasi wa Thomaso mwanafunzi wa Yesu walijua hayo mambo ya Nicea, Tena cha ajabu walijua makao makuu ya ukristo ni Bagdadi enzi hizo.


Usipotoshwe kirahisi hivyo mkuu.
 
Kumbe unabatiza watu wasiojua dini yao 😀 sisi tunasilimisha wenye kuujua ukiristo. Yale maonesho yenu tumeshawazoea, mnaokota watu na kuwapa hela ya maji waje stejini ku act. Kanisa lako lishafufua wafu ama mpaka meseji mlotuma kwa mungu kwenye Whatsapp was not delivered?
unachanganya mambo nimekupa kweli mbini.
1: Waislam wengi hawajui mambo ya dini yao. Ndio maana hata ukimuuliza wewe ni sunni, amadiya, shia, hajui chochote. wala quran hana..
2: Wanabatizwa hadi mashehe. ntakuwekea hapa link nikishindwa kuipata nitakupa jina ukaulizie tu cv ya huyo kijana wa Bagamoyo. Wewe humsogelei.
 
Anatakiwa kuthibitisha kuwa Mungu kasema atavilinda ivo vitabu ni wewe na sio mimi. Na kama huna sehemu ambayo Mungu kasema atalinda basi hakuona haja ya kulinda kitabu ambacho zama zake hazitaendelea. Uislam ndio umekuja kukamilisha dini halali ya Mungu alieumba mbingu na ardhi.

Kucopy na kupaste inachukua mda mfupi sana. Hao walioandika Quran hawakukaa na kutunga aya za kuandika, walichukua aya zilizokuwepo na kuzikusanya kwenye kitabu.

Kuna mdau kaleta aya za Bibilia ndo kamaliza kila kitu.

Ahlul Nicea mnakaa lini kuifikiria Injili ya Judas kuiweka kwenye bibilia?

Fuata maneno ya Allah na sio ya kina petro sijui paulo wazinifu na wauwaji.

Mda upo hujachelewa kusilimu.

18:27 Na soma uliyo funuliwa katika Kitabu cha Mola wako Mlezi. Hapana wa kubadilisha maneno yake. Wala nawe hutapata makimbilio isipo kuwa kwake.

6:115 Na yametimia maneno ya Mola Mlezi wako kwa kweli na uadilifu. Hapana awezaye kuyabadilisha maneno yake. Na Yeye ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua. 115

unathibitisha kiwango cha juu cha kutoelewa unaamini nini na hauamini nino.
Kitabu chako kinasema hakuna mtu anayeweza kubadili maneno ya Mungu.
Wewe unasema maneno ya Mungu (Zaburi, Taurat na Injil) watu waliyabadili.

Nakushangaa sana mkuu maana hata quran inakushangaa na propaganda zako.
 
Anatakiwa kuthibitisha kuwa Mungu kasema atavilinda ivo vitabu ni wewe na sio mimi. Na kama huna sehemu ambayo Mungu kasema atalinda basi hakuona haja ya kulinda kitabu ambacho zama zake hazitaendelea. Uislam ndio umekuja kukamilisha dini halali ya Mungu alieumba mbingu na ardhi.

Kucopy na kupaste inachukua mda mfupi sana. Hao walioandika Quran hawakukaa na kutunga aya za kuandika, walichukua aya zilizokuwepo na kuzikusanya kwenye kitabu.

Kuna mdau kaleta aya za Bibilia ndo kamaliza kila kitu.

Ahlul Nicea mnakaa lini kuifikiria Injili ya Judas kuiweka kwenye bibilia?

Fuata maneno ya Allah na sio ya kina petro sijui paulo wazinifu na wauwaji.

Mda upo hujachelewa kusilimu.
Quran inasema hakuna mtu anayeweza kubadili maneno ya allaha ikiwemo quran.
wewe na quran mnakili zabur, injil nantauran ni maneno ya Allah.
wewe huyohuyo unasema ameneno ya allah ya injil, zabur na taurat yalibadilishwa.
Mtume anaandika kwenye quran hata wakati wake injil na taurat vilikuwepo.
Waraqa alikuwa anatafsiri injili kwa kiarabu siku mtume alipopelekwa akiwa anaumwa baada ya kutokewa na jibrili Pangoni.
Wewe unasema injili ilichakachuliwa Nicea (325 AD) ila aliyemthibitisha mtume alikuwa nayo 610AD.


mkuu ukiendelea hivi, utachanganyikiwa, maana hueleweki unaamini nini.
Hadi ubatizwe ndio utaanza kuona mambo kwa usahihi🤓
 
Hayo ni Maoni.
Ila kwa Mujibu wa Bibilia Malaika anafree will, na Ndio Maana aliasi akiongozwa na malaika mkuu.
Mungu sio Dicteta aabudiwe na viumbe ambao hawana utashi kama maroboti.

Ndio maana nakukumbusha amini Bibilia, Hicho kitabu cha karne ya saba hakiwezi kuwa superior kwa maneno ya Munvu yaliyoandikwa kwa range ya miaka 1500+ alafu yanauhusiano utadhani yameandikwa siku moja na jopo la watu wanaofahamina.
Huna akili ndio maana unafikiri Mungu kuumba kiumbe kilichokosa free will kuwa ni dikteta.

Mungu unaemuabudu wewe ni dhaifu. Hana uwezo wa kuumba kiumbe kisichokuwa na free will. Mungu wetu ameumba kiumbe ambacho hakina free will nao ni Malaika, aliwaumba kwa nuru. Akisha akaumba majini ambao amewapa free will huku wakiwa na nguvu kuzidi binaadamu, halafu akaumba mwanadamu ambae ana free will akiwa dhaifu wa nguvu lakini akiwa mwenye akili kuliko wote. Hawa ndio viumbe wa Allah. Imani ya kuwa malaika aliasi, huo ni uzushi wenu mlolishwa na watu msiowajua wakaandika vitabu nyie mkaviita bibilia.

Unataka niamini Bibilia ilosema dunia iko flat! ovyo kabisa
 
Acha unafiki mkuu

Surah 10

94. Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.94


Sasa Quran inadanganya kusema wapo watu waliosoma kitabu kabla yako.
Na ukisema hawapo basi, njoo nikubatize maana kitabu kinadanganya.

Nicea hujiui mkuu. Maandiko Yapo kabla hata ya Yesu Kuzaliwa, Yamekuwepo kabla hata hao unaowaita nicea kuwepo. Kuna maelefu ya wakristo ambao hata hawajui wala hawakujua kama kuna kitu nicea kiliwahi kukaa lkn wanamaneno hayahaya unayoyasoma kwenye Bibilia. Unadhani St thomas christians wa India ambao ni wafuasi wa Thomaso mwanafunzi wa Yesu walijua hayo mambo ya Nicea, Tena cha ajabu walijua makao makuu ya ukristo ni Bagdadi enzi hizo.


Usipotoshwe kirahisi hivyo mkuu.
Umesema kuwa aya inasema tuwaulize watu wa bibilia, mbona haikuandikwa bibilia? kitabu gani hicho kilichozungumzwa kwenye aya uloileta.

Kuna sehemu nimesema hakukuwa na watu waloshushiwa kitabu na Allah 😀 😀 hapa unajadiliana na mtu mzima sio wale watoto mnaowalisha sumu kwenye seminary sijui mnaziita nini. ONESHA WAPI NIMEKWAMBIA HAKUKUA NA AHLU KITAB.

Nicea imekaa kitako na kcuhagua lipi liwekwe kwenye bibilia na lipi lisiwekwe, sasa wewe unaejua, twambie msingi gani umetumika kuchagua lipi neno la mungu na lipi sio la mungu. Nasubiri jibu
 
unachanganya mambo nimekupa kweli mbini.
1: Waislam wengi hawajui mambo ya dini yao. Ndio maana hata ukimuuliza wewe ni sunni, amadiya, shia, hajui chochote. wala quran hana..
2: Wanabatizwa hadi mashehe. ntakuwekea hapa link nikishindwa kuipata nitakupa jina ukaulizie tu cv ya huyo kijana wa Bagamoyo. Wewe humsogelei.
Ni vizuri kuwa umekiri unaowabatiza hawajui dini yao. Mana anaejua dini huwezi kumbatiza 😀

Wakiristo wenyewe hawajui dini yao.

Mbona uislam tumesilimisha mapadri wakubwa wakubwa wengi tu 😀

Isitoshe, uislam ndio dini inayokuwa kwa kasi... sasa jiulize kwanini!
 
18:27 Na soma uliyo funuliwa katika Kitabu cha Mola wako Mlezi. Hapana wa kubadilisha maneno yake. Wala nawe hutapata makimbilio isipo kuwa kwake.

6:115 Na yametimia maneno ya Mola Mlezi wako kwa kweli na uadilifu. Hapana awezaye kuyabadilisha maneno yake. Na Yeye ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua. 115

unathibitisha kiwango cha juu cha kutoelewa unaamini nini na hauamini nino.
Kitabu chako kinasema hakuna mtu anayeweza kubadili maneno ya Mungu.
Wewe unasema maneno ya Mungu (Zaburi, Taurat na Injil) watu waliyabadili.

Nakushangaa sana mkuu maana hata quran inakushangaa na propaganda zako.
Hapa unathibitisha kama wewe huna elimu na unadandia treni kwa mbele maskini.

Aya inasema soma ULIYOfunuliwa na mola wako mlezi. Alhamdulillah kwanza umethibitisha kuiamini Quran. Pili mtume Muhammad s.a.w hajafuniliwa Zbur, taurati wala injili 😀 nlikwambia wewe unabatiza wasiojua dini, anaejua dini kamwe huwezi kumbatiza. Mnatuletea watu wa sinema zenu mnajidai mmesilimisha shehe 😀 Pole. Jifunze tena.

Wapi umeona Muhammad s.a.w amefunuliwa Injil, taurat au Zabur? Wekeni kikao chengine cha Nicea mueke aya kama hio basi na nyinyi.
 
Quran inasema hakuna mtu anayeweza kubadili maneno ya allaha ikiwemo quran.
wewe na quran mnakili zabur, injil nantauran ni maneno ya Allah.
wewe huyohuyo unasema ameneno ya allah ya injil, zabur na taurat yalibadilishwa.
Mtume anaandika kwenye quran hata wakati wake injil na taurat vilikuwepo.
Waraqa alikuwa anatafsiri injili kwa kiarabu siku mtume alipopelekwa akiwa anaumwa baada ya kutokewa na jibrili Pangoni.
Wewe unasema injili ilichakachuliwa Nicea (325 AD) ila aliyemthibitisha mtume alikuwa nayo 610AD.


mkuu ukiendelea hivi, utachanganyikiwa, maana hueleweki unaamini nini.
Hadi ubatizwe ndio utaanza kuona mambo kwa usahihi🤓
Wewe umechanganyikiwa kwa kweli. Kwa sababu unashindwa kutumia akili ipasavyo, lakini ndio ukiristo kikwazo chenu. akili hamzitumii ipasavyo kupima mambo. Kama waraka alikuwa na Injili aloshushiwa Issa, mbona kwenye bibilia hakuna injili aloshushiwa issa, bali kuna Injili ya matayo?
 
Wewe umechanganyikiwa kwa kweli. Kwa sababu unashindwa kutumia akili ipasavyo, lakini ndio ukiristo kikwazo chenu. akili hamzitumii ipasavyo kupima mambo. Kama waraka alikuwa na Injili aloshushiwa Issa, mbona kwenye bibilia hakuna injili aloshushiwa issa, bali kuna Injili ya matayo?

Tatizo lako Hujui KUSOMA na hata aliye tumwa kuwasomesha Anawashangaa kwa uongo na uzushi wenu [emoji44][emoji12] Huyo unaye TAKA kufundisha hata Allah Anatambua NI MSOMI NA Mcha MUNGU...[emoji117]
IMG_20190703_101414_440.jpeg
IMG_20190703_101601_769.jpeg
IMG_20190702_084944_387.jpeg
 
Tatizo lako Hujui KUSOMA na hata aliye tumwa kuwasomesha Anawashangaa kwa uongo na uzushi wenu [emoji44][emoji12] Huyo unaye TAKA kufundisha hata Allah Anatambua NI MSOMI NA Mcha MUNGU...[emoji117]View attachment 1145201View attachment 1145202View attachment 1145203
Sasa mgen, aya ulizoleta na ulichoquote unajaribu kutwambia nini? au unataka kutwambia watu waliobeba kwa uadui ni mayahudi na washirikina. Hatujakataa kama KULIkuwa na wakiristo wacha Mungu. Hakika ni wale waliokuwa wakisoma injili aloshushiwa Issa na sio upupu wa "Pengine ni kutoka kwa matayo"
 
Sasa mgen, aya ulizoleta na ulichoquote unajaribu kutwambia nini? au unataka kutwambia watu waliobeba kwa uadui ni mayahudi na washirikina. Hatujakataa kama KULIkuwa na wakiristo wacha Mungu. Hakika ni wale waliokuwa wakisoma injili aloshushiwa Issa na sio upupu wa "Pengine ni kutoka kwa matayo"

Ulicho andika ni hakika kama alivyo sema allah wewe ni muongo na mzushi [emoji44] Allah kwa kinywa muhammad ibn Abd'Allah Amesema [emoji117] "WALE WASEMAO SISI NI WAKRISTO!" wewe Hujui KUSOMA [emoji106]unasomeshwa na aliye tumwa kukusomesha unamuona hajui unaongeza TOKA kichwani mwako [emoji44] [emoji117]eti ni wale walio KUWA wakisoma INJILI ALIYO shushiwa isa [emoji44] Kwani WASEMAO SISI NI WAKRISTO HAWAPO NA HAWASOMI INJILI??¿ [emoji12]
 
Ulicho andika ni hakika kama alivyo sema allah wewe ni muongo na mzushi [emoji44] Allah kwa kinywa muhammad ibn Abd'Allah Amesema [emoji117] "WALE WASEMAO SISI NI WAKRISTO!" wewe Hujui KUSOMA [emoji106]unasomeshwa na aliye tumwa kukusomesha unamuona hajui unaongeza TOKA kichwani mwako [emoji44] [emoji117]eti ni wale walio KUWA wakisoma INJILI ALIYO shushiwa isa [emoji44] Kwani WASEMAO SISI NI WAKRISTO HAWAPO NA HAWASOMI INJILI??¿ [emoji12]
Sasa mgen si kwamba hujui bibilia uisomayo waandishi wake hamuna uhakika nao. Unajua fikka kuwa unasoma kitabu kilichoandikwa na mwanadamu.

Kwani aya ulioileta ndio unataka kututhibitishia nini sasa katika yote tunayozungumzia?

Kwamba wewe ndio sawa na Ahlu Kitab? Kama wewe ndio sawa naomba utuoneshe Injili aloshushiwa Issa ndio ipi?

Naam wakiristo walikuwepo enzi izo, waliozungumziwa hapo ni wale waliokuwa wakisoma maneno ya Issa ibn Maryam, sio wewe mgen na mitale mnaosoma kile waachotaka mapapa musome na muamini. Nakumbuka hata Mitale alidai waislam wanaamini kuwa Quran na hadithi ni maneno ya Mungu 😀

Soma Luke kwanza ujifundishe kuwa miaka yote mnasoma maandishi ya watu: haina tofauti na hadithi za kwenye Bukhari, wamesikia, wameandika. Kisha mnawadanganya watu maneno ya Mungu 😀 😀 😀

1 Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,


2 kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,


3 nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,


4 upate kujua hakika ya mambo yale uliyofundishwa.
 
mkuu unamshkaji yoyote JINI ambaye amesilimu. Maana mmeambiwa mfanye nao urafiki.
na naona mashehe wakipunga mapepo huwa wanayasilimisha.

Nilitaka nikuhoji maswali kadhaa japo nje ya mada. Ila kama unaamini kinadharia tu lkn hu anexperience nayo potezea
Hii point yako ni weak sana
 
Huyu ni Baba Wa kumlea, angalau mmgemuita isa bin Yusufu. Kama Leo tumekubaliana Yesu hana Biological father, Basi tukubaline baba ni Yule aliyekuwa akimuomba na anasema yuko naye siku zote yeye na Baba huyo ni ummoja, uungu una yeye 100% na Yesu sio Kiumbe ni Muumba pamoja Baba yake. Sasa rudi kusoma Yohana Moja uje ubatizwe


Yohana 1 ni maneno ya nani hayo ??
 
Back
Top Bottom