Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Kasome Mwanzo, uchafu wenu... Shhhhhhh mtoto mdogo anatakiwa anyamaze wakubwa wakiongea.
View attachment 1139622
hoja yako ni nini hapa.
mtume kuleweshwa na kuzini bila hiyari yake.
Hata angezini kwa hiyari yake, Mitume walikiwa Binadamu sio UFO.
Yesu tu ndiye hakukosea wengine wote walikosea.
Kuandika makosa yao ni ushahidi mkuu kuwa Bibilia ni sahihi maana inawahusu watu kamili ambao nao wanamapungufu licha ya kuwa na jitihada ya kuwa karibu na Mungu.

Mmekuwa programmed uongo kuwa ili mtu awe mtume inabidi awe malaika. Hii imepelekea wengi kuwa wanafiki
 
Wapi hapo nimekiri kuwa Bibilia ndio kitabu kikuu na kinafuatwa? Niachane na Muhammad nimfate Yesu alosulubiwa msalabani? 😀 Nimfate Mungu aloshindwa kujizuia asisulubiwe? Nimfate Mungu anaekufa? Duh!
Mfuate Yesu ambaye hata Muhammad licha ya kukwepeshakwepesha kwenye Mushaf Bado anamuita nabii wa ufufuo.
anajua Yesu anasema '' mimi ndimi ufufuo na uzima''.
"Yoyote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe, nitamfufua siku ya mwisho''.

Sasa unaamini mtu aliyekufa unaacha kumuamini Mungu mwana '' nalikiwa nimekufa na sasa ni hai, nami ninazofunguo za mauti na kuzimi''.😁😁
Hapa hata majini yakisoma comment hii yanaruka na kukanyagana na kugonga cheers maana kazi ya kukudivert kukutoa kwenye uzima imefanikiwa kwa asilia kubwa.
 
Ivi kweli najadiliana na mtu ambae hajui maana ya sinproof na kufananishwa na kurogwa? Ivi kuna sehemu nimesema mtume wetu kuwa ni mtu wa ajabu? Mbona alipokufa Abu bakr bin Siddiq aliweka wazi? mbona kila mtu anajua kuwa mtume alikuwa binaadamu kama sie tu?

Mnaemwita Mungu kauliwa msalabani, ata ulinzi wake mwenyewe hakuwa nao
Hakuuliwa aliutoa uhai wake kisha akaurudisha. hii sisemi mimi anasema Yesu.

Yohana 10:17 - Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.

Ilibidi iwe hivyo ili wewe ukiamini kufa na kufufuka kwake uokolewe milele.
Ukiendelea kubisha ufe milele. Mimi nakupendekezea uchague uzima wa milele. Alikuwa na uwezo wote wa kushuka pale msalabani, Ndio Maana aliweza hata kumponya mtu upofu, mwingine akarudishiwa sikio unadhani Yesu angeshindwa kuondoka pale?

Jiulize kwa nini, mengine sio ya kitafuniwa.
Ulinzi ulikuwepo wote, ndio maana Angels walikua kumuhudumia ila walijua Mwana wa Mungu kaaga Mbinguni kuja duniani kukinywea kwa ajili Chilubi uwe na uwezo wa kusimama kwa ujasiri mbele ya shetani, kwa jina La Yesu uko huru na mauti.

Allah amemkosoa mtume kwenye Quran mbona? Kwaio ushakiri kuwa mtume Muhammad s.a.w alikuwa mtume sahihi, umebakisha ubishi. usione aibu kusilimu.
kuhusu usahihi au ufeki wa SAW hiyo ni mada nyingine. Ila vyovyote atakavyokuwa. Tunapoonhea sasa amekufa na Yesu Yu hai anatawala na kuqbudiwa na viumbe vyote vya mbinguni pamoja na mimi akiwa na baba Yake.
Hukumu ya wema na waovu kakabidhiwa yeye na Baba, Utake usitake Utafufuliwa na atakuhukumu sio wewe tu bali mitume wote hadi huyo SAW. Ikiwa alimkubali Yesu kimyakimya maana nauhakika anajua vizuri Ataokolewa, Ikiwa alibaki na misimamo ya Kumoinga atapotea milele. Hii changamoto inakuhusu wewe pia. Hakuna neutral katika hili.

Kamwe huwezi kukuta uchafu kama huu kwa mitume wa Allah.

Hivi unachagua mlevi kuongoza familia unategemea nini? Hapa tayari unatuonesha kuwa huyo mnaemwita mungu na mitume yake yote ni dhaifu hakujua nani amchague kuongoza watu. 😀 Hivi mtu una akili timamu unafuata mitume wenye kusema uongo? kuzini na watoto wao?

Unaanzaje kumuamini mtume Paulo muuaji?

Asante @mitale na midimu leo umetuthibitishia kuwa Wakiristo mnafuata wahuni na washenzi kuwaongoza kwenye dini.

Kama hao ndio walikuwa mitume wenu, sisi waislam mitume wetu walikuwa wema na walichaguliwa kwa wema wao.

Mtume anapokuwa hana dhambi basi ni ushahidi wa kuwa huyo ni mtume sahih kwani Mungu anachagua aliekuwa mwema miongoni mwa watu kuongoza wenzake.
Mungu hufanya kazi na wazinzi waliotubu, waongo na walevi walioachana na huo, wauaji walibadilika, walioanguka wakaamua kusimama. Umekilimmwenyewe kuwa hata Mtume alikuwa na madhaifu. Ni unafiki kushangaa wengine kuwa dhaifu. Ila hakuna udhaifu mkubwa ambao hatahivyo haujawahi kutokewa kwa mtume yoyote ulimwenguni kama eti mtume '' analogwa''.

Hakuna unafiki mkubwa kama kumuita paulo (Muuaji aliyetubu na kubadilika) muuaji alafu unamsherehekea Umar ibn Khattab ambaye alikuwa anatembea na jambia amuue Mtume baadaye akabadilika. Huyu kubadilika na kuwa swahaba na baadae Caliph aliyefanikisha kusambaza uislam hadi jerusalem na maeneo mengi ni sawa, Ila Muuaji paulo kubadilika na Kuupindua ulimwengunwake kuwa wafuasi wa kristo ni dhambi na bado anaitwa Muuaji.

Acha unafiki mkuu. Nimeandika haya nikisukumwa na upendo mwingi wa Mungu wetu na mwana wake Yesu kristo Mwokozi wako. sio wewe tu bali na Ulimwengu wote.

Asalam aleikum
 
Nawaelewa watu wa kitabu vyema sana. Ni watu ambao walikuwa wanatumia Taurat ya Mussa, Injili ya Issa na Zabur ya Daud. Waliokuwa wanatumia Injil ya matayo, na kitabu cha pauolo na wengine hawahuwahi kuitwa watu wa kitabu. Council of nicea ilifanya nini?
hii narudai ni propaganda ya kukufanya ubaki gizani ili usinyumbuke moyo ukaokolewa.
waislam wa awali enzi za mtume walikuwa watunwa reasoning sio mikumbo.

mfano unaweza kunipa majibu haya.
1: Hao watu walienda wapi?
2: Kama mtume aliwaagiza waislam waamini Taurat, Injili na Zaburi maana yake vilikuwepo. Wewe kama Muislam niletee basi ili na mimi nivisome?

3: Kama vimepotezwa, au hao nicea walivichakachua, unaamini ni maneno ya mwenyezi Mungu sasa huoni kuwa huyo Mungu mnamfanya kuwa dhaifu kiasi cha kuzidiwa akili na Nicea kiasi kwamba ashindwe kutunza vitabu viingi abakize kimoja mabacho hataivyo hakuwahi kumuagiza mtu yoyote akiandike ni ubunifu tu wa viongozi wa kiserikali wakina Abu Bakar. Mtume hakuwaambia, Allaha hakuwaambia. Na kama sio maagizo ya hao wahusika basi hata chenyewe kuna uwezekano mkubwa kujaa maono yao. Ndio maana hata OG manuscriot za Quran hazipo duniani pote japokuwa uislam upo tangu ulipoanza.

4: Unatumia nini kusema hivi ni uongo wakati cha ukweli huna na hujawahi kukiona. Huoni kuwa hizo ni propaganda za kitoto ili kukutisha usiamini Bibilia.

5: Je, wewe unaakili kuliko aliyetafsiri Quran kwa Kiswahili Sheikh Farsih alipoweka neno Bibilia mahala pa Kitabu. Maana anajua Received texts ambazo pia zilitumika kuandaa King James Version zilikuwepo huko siku zote kabla na baada ya Mtume. Syria yote hiyo ilijaa nyaraka na hizo injil za wafuasi wa Yesu.
 
Hapa unadanganya watu kuwa eti alikuwa anaongea na watu wakati ni mnaneno ya watu wenyewe tu wakijidai wame quote kutoka kwa yesu. Kwa mfano kwenye agano la kale kuna kitabu alichoandika mussa lakini alikufa ila bado kitabu kinaendelea na story zake.

Bibilia sio maneno ya Mungu.

Maneno ya Mungu ni Taurat, Injil ya Issa na Zabur tu. akina pauolo wakatia uongo wao kujifanya wameshushiwa wahyi. wauwaji, wabakaji na wazinzi wamekuwa mitume?

Sasa nkufundishe kuhusu Quran.

Kwanza Quran ilikuwa imehifadhiwa ndani ya mioyo ya masahaba wengi sana. Hapo awali, masahaba walikuwa wakiandika Quran kwenye vitambaa, vipande vya ngozi, mifupa n.k

Wakati wa vita ya Yamama, masahaba 70 ambao walikuwa wamehifadhi Quran, walifariki kwenye hio vita, hii ikaleta hali ya wasiwasi kuwa wakifa wote waliohifadhi basi hakutakuwa na Quran tena.

Ikaundwa kamati ya watu 12, vikakusanywa vitu vyote vilivopo ambavo Quran iliandikwa, halafu ikawa inasomwa kwa sauti ili kila mmoja ajue na kama pana makosa akosolewe.

Sasa wewe chukulia kama leo misahafu yote imepotea, toka Tanzania nenda kenya halafu msomee Quran mtu aliehifadhi, badilisha aya, hapo hapo atakukosoa.

Wakati Quran hii inasambazwa, hakuna mtu aliekataa kilichopo kwenye Quran kwa sababu ndicho kile kile alichokifundisha Mtume. waliohusika kuieka Quran kwenye kitabu ni masahab ambao walikaa na mtume.

Waliohusika Nicea wao walikuwa na Yesu? Twambie ni vitabu vingapi vimepigwa makofi?

Gospel of Judas!
Hivi ndivyo ulivyokaririshwa mkuu, Bila hivi ungeshabatuzwa. Tatizo lako ni dogo sana. Umetishwa kwa kutengenezewa propaganda nyingi kuhusu Bibilia ili uoate nafuu za kiimani.


Naziomba hizo Zaburi, Taurat na Injil basi mkuu mbona unanisumbua sana ninapotaka hilo.
Kama huna unamaanisha Allah wa Kwenye quran anauwezo mdogo wa kuhifadhi maneno yake kiasi cha wanadamu kuyaaribu.
Kama leo china kuna mavitabu ya miaka 5000BC, Allah anashindwaje Kutunza tuvitabu twa Injil miaka 20AD.

Huu ni uthibitisho tu zile huwa ni propaganda za kuwapumbaza waumini wapuuze Bibilia.
Bibilia Yite ile ndio Maneno ya Mungu ambayo waislam mnaambiwa muyaangalie.
Hata Idea ya Paulo hafai, ilikuwa haipo enzi za Mitume, Imeibuka tu miaka ya 1000AD hapo Baada ya Kuona akikubaliwa jahazi litazama zaidi.
 
miaka 6? 9? ni ipi hasa alikuwa? Kwani Bikra maria alikuwa na umri gani wakati yupo na Yussuf?

Zama hizi si ndio zama mbovu kabisa kuwahi kutokea? Mtu anaepinga ushoga anafungwa ila mashoga wanatembea barabarani na wameekewa wiki kabisa inaitwa pride week. Ujinga umekutawala... eti zama hizi ukifikiri kuwa ndio zama bora 😀
Bibilia haielezi popote umri wake hivyo toa ufafanuzi tu wa Mtume mkuu kama unadhani kuna haja.
Usibunibuni vitu. Jibu ambacho tayari kina data mezani
 
Unaweza kuleta hiyo iliyosahihi kwa 100%
hawana wanababaika tu, ndio kichaka cha kukimbilia.
Hadith inaonyesha aliyemthibitisha utume wa mohammad Waraqa alikuwa mkristo na scholer wa Injili.
Na alikiwa anatafsiri Injili kutoka kiebrania kuja Kiarabu. Watuoe basi hata hiyo.

Hawana lolote wataishia kukupiga chenga.
Wasumbusufu sana wa watu wa Mungu. Hawataki kuwa straight.
 
Kisheria ya kutumia ubin, huangalia mzazi halisi wa mtoto. Haiangaliwi Mlezi wake, ndiyo maana hata Mtume Muhammad(S.A.W) mtoto wake wa kumlea Zaid alitumia ubin wa baba yake wa damu, na si wa baba aliyemlea.

Sasa nirejee kwenye swali lako:

Mtoto anapopewa jina, jambo la kwanza huangaliwa ubin wa baba yake mzazi, kama haijulikani hutazamwa ubin wa mama yake mzazi. Kama nao haujulikani, basi huangaliwa ubin wa jamii inayomzunguka, au mlezi wake.

Issa Bin Maryam, kachukua ubin wa mama kwakuwa hana ubin wa Baba mzazi. Ambapo inatakiwa achukue wa mama, kama ukikosekana.

Yusuf ni baba yake mlezi, ikiwa ungekosekana wa wazazi wote wawili ndiyo angepewa wa mlezi wake.

Nadhani nimelijibu swali lako, masuala mengi kuhusu uislamu hufafanuliwa na hadithi na si Quran pekee. Kile ni kitabu cha kisheria na katiba ya uislamu.


Huko kwenye uungu ni wewe na mtazamo wako, ila kiuislamu ni Nabii na Mtume pekee. Kuzaliwa bila baba, ni sehemu ya upekee tu ambao kila mjumbe wa Mungu alipatiwa kwenye maisha yake.

Yupo Nabii ambaye alifariki lakini hakuwahi kutolewa roho duniani, ilitolewa roho akiwa mbingu ya tatu na bado hakupewa sifa zaidi ya hapo.

Mtume Muhammad(S.A.W) naye alishapasuliwa kifua akiwa hai, akaushusha mwezi na kuupasua vipande viwili. Yote hiyo ni sehemu ya mambo aliyofanyiwa, lakini amebaki ni Nabii na Mtume pekee na huo ni sehemu ya karama aliyopewa kuaminisha umma wake. Kama ilivyo Nabii Issa kujaaliwa hilo.

Yupo Nabii Yahya, mtoto wa Nabii Zakaria ambaye ni mlezi wa Mariam mama yake Nabii Issa. Huyu alijaaliwa kipawa cha kuongea alipozaliwa tu, kama ilivyo Nabii Issa.

Hivyo hayo maajabu yote aliyokuja nayo Nabii Issa, ilikuwa ni kwa lengo la kuaminisha umma wake kuwa ni mjumbe halisi wa Mungu. Kama ilivyo manabii na mitume wengine, hakuhusiani na hayo madai yako kwenye msingi wa dini yetu.
asante kwa maelezo mazuri.

Yeye Issa kwenye Bibilia anasema anaye Baba.
Ila sio mwanadamu ni Mungu Baba.
Anasema hajaanzia tumboni mwa mariam, Humo ni kama alipita tu, Yeye katokea Mbinguni.
Na anadai kabla hajaja alikuwa Mbinguni na utukufu kabisa mwingi.
Kuthibitishia hilo wafuasi wake alipokuwa maeneo ya kaisalia filipi alibadilika na kutwaa utukufu mkubwa akakutana na manabii wengine wa zamani ambao wako mbinguni Musa na Eliya. Mitume wakabaki wanashangaa.

Yeye mwenyewe anasema baadaye '' Ni kweli nilikuwa nimekufa, ila sasa niko hai, na niazo funguo za kuzimu na mauti'' akimuambia rafiki yake yohana.
Wanafunzi wake wote Wanamuita Mungu na hakuwahi kukataa.
wakati Mitume tu kuitwa Mungu wanalaani maana umekufuru Ila Yesu hakulaani wala kukataa.

Bibilia Inamuonyesha tunapoongea Yuko Mbinguni anaabudiwa na Viumbe Vyote,, yeye na Baba Yake.
Sasa mkuu tumuamini nani Wewe, Quran ambayo kiukweli lichelewa mbaka inaandika maneno hayo nilioyoasema hapo juu yakikuwa yameshatapakaa ulaya, india, iraq, afganstan, asia yote. Na Usisikilize uongo wa chiluba kuwa bibilia imetungwa na Nicea. Maneno kuhusu Yesu yapo miaka mingi mno kabla hata waliokaa nicea hawajatungwa mimba.
 
Cha kwanza huyo Issa sio YESU
Ulikuwa mpangonwa Mungu Issa aingizwe kwenye quran ili Tuoate fursa ya kumjadili na kumlinganisha na Yesu.
Binafsi naona ni distorted na propaganded version of Jesus.
Tunajaribu kuwaelekeza kwa Yesu mwenyewe kwenye vitabu kabla ya Quran ila naona ni wabishi kuelewa.
Ila ninahakika hii kazi haiendi Bure.
 
Wapi kwenye Quran imesema ivo? nakusubiri ulete.

Majini kusilimu ni jambo la kheri mana sisi na wao Mungu wetu mmoja na ndie alietuumba. Sasa kama wewe Mungu wako Yesu na unajua kuna majini kisha unawakana, basi tambua kuwa dini yako ni utumbo mtupu. Maana kama unajua mapepo yapo kisha unakana hayana uhusiano na dini yako, basi utwambia mapepo yameumbwa na nani!

Ndio maana nakuona mpumbavu mana hujui ukisemacho. Ila sishangai, unafuata dini ambayo mitume wake walikuwa wazinifu 😀 sitegemei kuwa utakuwa na akili
mkuu unamshkaji yoyote JINI ambaye amesilimu. Maana mmeambiwa mfanye nao urafiki.
na naona mashehe wakipunga mapepo huwa wanayasilimisha.

Nilitaka nikuhoji maswali kadhaa japo nje ya mada. Ila kama unaamini kinadharia tu lkn hu anexperience nayo potezea
 
Dah ivi kuna mtu anaweza kufanya aliyo fanya muddy , jiulize tu apo mtoto wako miaka 6 mpaka 9 mzee amchukue kama huja mtoa uhai huyo mzee, alafu kama mapepo na majini walisilimu ana maaana ata shetani au yy alikataa
Kwani Maria alivobeba mimba ya Mungu alimtoa uhai? hakuona tabu kumpa mimba Maria?

Jibu yale masuali yangu kwanza basi... naona unayaogopa kama ebola!
 
Ubakaji wa watoto unajua nani kaanzisha? Bila muhamad kusingekuwa na ubakaji wa watoto chini ya miaka 9. Alafu unataka kuongea nn? Kweli mtume atembee na katoto ka miaka tisa alafu anasema katumwa na allah. Sasa huyo allah wake kama sio pepo ni nani?
Lete tafsiri ya kubaka kwanza kisha tuendelee na hio mada. Ila walau saivi umejua kama mitume yenu walikuwa waovu na ndio mnaowafata. 🙂
 
hoja yako ni nini hapa.
mtume kuleweshwa na kuzini bila hiyari yake.
Hata angezini kwa hiyari yake, Mitume walikiwa Binadamu sio UFO.
Yesu tu ndiye hakukosea wengine wote walikosea.
Kuandika makosa yao ni ushahidi mkuu kuwa Bibilia ni sahihi maana inawahusu watu kamili ambao nao wanamapungufu licha ya kuwa na jitihada ya kuwa karibu na Mungu.

Mmekuwa programmed uongo kuwa ili mtu awe mtume inabidi awe malaika. Hii imepelekea wengi kuwa wanafiki
Hoja yangu ni kuonesha uchafu mnaowasingizia mitume kwenye bibilia na kuwachafua kwa uzushi wenu. Mungu huchagua mtu mwema kuwa mtume sio mzinifu. Hivi unaweza kunambia nini kiliendelea baada ya hio zinaa?
 
Mfuate Yesu ambaye hata Muhammad licha ya kukwepeshakwepesha kwenye Mushaf Bado anamuita nabii wa ufufuo.
anajua Yesu anasema '' mimi ndimi ufufuo na uzima''.
"Yoyote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe, nitamfufua siku ya mwisho''.

Sasa unaamini mtu aliyekufa unaacha kumuamini Mungu mwana '' nalikiwa nimekufa na sasa ni hai, nami ninazofunguo za mauti na kuzimi''.😁😁
Hapa hata majini yakisoma comment hii yanaruka na kukanyagana na kugonga cheers maana kazi ya kukudivert kukutoa kwenye uzima imefanikiwa kwa asilia kubwa.
Hapa cha kushangaza wewe unaabudu mungu ambae kumbe anaweza kufa, mungu ambae anamuomba mungu mwengine, huu si upofu?

Hayo majini yanakuchekeni nyie mnaowakataa kuwa viumbe wa Mungu lakini mnakubali kama wapo, mkiulizwa muumbaji wa Majini nani sijui mtajibu nini 😀?
 
Hakuuliwa aliutoa uhai wake kisha akaurudisha. hii sisemi mimi anasema Yesu .
Yohana 10:17 - Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.
Suicide tu.

Sijui unasubiri usotoa shahada kuwa Allah ndie Mungu wa kweli.

Eti mwana wa Mungu. Hamujui ata mnaamini nini. Mara Yesu Mungu, Mara mwana wa Mungu, mara mtumishi. Ahahahaah wamishinari wamewavuruga kwa kweli 😀

Yeye mwenyewe anasema baadaye '' Ni kweli nilikuwa nimekufa, ila sasa niko hai, na niazo funguo za kuzimu na mauti'' akimuambia rafiki yake yohana.

😀 😀 😀 Mungu anakufa DUH!
 
1: Hao watu walienda wapi?
Walikuwepo wenye ivo vitabu na walikuwepo waliokuwa wakipotosha.
Kama mtume aliwaagiza waislam waamini Taurat, Injili na Zaburi maana yake vilikuwepo. Wewe kama Muislam niletee basi ili na mimi nivisome?
Sisi tunaamini Allah alishusha Taurat, Injil, Zabur na Quran. tunaamini hivi ndio vitabu vya Allah. Vengine Mattayo, sijui Petro, havikushushwa na mungu na ndio maana hatuamini bibilia. Wewe unaejiita mtu wa kitabu, tuletee tuvione ivo vitabu.

3: Kama vimepotezwa, au hao nicea walivichakachua, unaamini ni maneno ya mwenyezi Mungu sasa huoni kuwa huyo Mungu mnamfanya kuwa dhaifu kiasi cha kuzidiwa akili na Nicea kiasi kwamba ashindwe kutunza vitabu viingi abakize kimoja mabacho hataivyo hakuwahi kumuagiza mtu yoyote akiandike ni ubunifu tu wa viongozi wa kiserikali wakina Abu Bakar. Mtume hakuwaambia, Allaha hakuwaambia. Na kama sio maagizo ya hao wahusika basi hata chenyewe kuna uwezekano mkubwa kujaa maono yao. Ndio maana hata OG manuscriot za Quran hazipo duniani pote japokuwa uislam upo tangu ulipoanza.
Mwenyezi Mungu hakuahidi kuvilinda. Isitoshe, vile ni vitabu tu yeyote anaweza akachakachua. Au ulitaka mtu akibadilisha maneno apigwe radi 😀 Maneno yake Mungu amekuja kuyakamilisha ndani ya Quran. Kitabu kilichokuja kuwadhalilisha wakiristo na mayahudi waliokuwa wanazusha juu ya mitume wa mungu na maamrisho yake.

4: Unatumia nini kusema hivi ni uongo wakati cha ukweli huna na hujawahi kukiona. Huoni kuwa hizo ni propaganda za kitoto ili kukutisha usiamini Bibilia.
Quran imeshatwambia kuhusu Mungu na imetufundisha jinsi mitume walivoishi. Sasa unapokuja na aya kwenye bibilia isemayo Lut amefanya ngono na watoto wake, basi ni rahisi kujua kama huo ni uzushi mtupu.

5: Je, wewe unaakili kuliko aliyetafsiri Quran kwa Kiswahili Sheikh Farsih alipoweka neno Bibilia mahala pa Kitabu. Maana anajua Received texts ambazo pia zilitumika kuandaa King James Version zilikuwepo huko siku zote kabla na baada ya Mtume. Syria yote hiyo ilijaa nyaraka na hizo injil za wafuasi wa Yesu.
Lete snapshot ya hapo alipoweka Bibilia mahala pa watu wa kitabu. Kwa taarifa yako, katika uislam hatufuati mkumbo kama nyie, mkienda kanisani mnachoambiwa ndo icho icho. Sisi tunaweza kuchallenge. Sasa lete hio snapshot niione. Achilia Injili za wafuasi wa Yesu, sisi tumefundishwa kuna Injil kashushiwa Issa na Mungu. Sio injil zenu ambazo hamuna uhakika nani kaziandika.
 
Hivi ndivyo ulivyokaririshwa mkuu, Bila hivi ungeshabatuzwa. Tatizo lako ni dogo sana. Umetishwa kwa kutengenezewa propaganda nyingi kuhusu Bibilia ili uoate nafuu za kiimani.


Naziomba hizo Zaburi, Taurat na Injil basi mkuu mbona unanisumbua sana ninapotaka hilo.
Kama huna unamaanisha Allah wa Kwenye quran anauwezo mdogo wa kuhifadhi maneno yake kiasi cha wanadamu kuyaaribu.
Kama leo china kuna mavitabu ya miaka 5000BC, Allah anashindwaje Kutunza tuvitabu twa Injil miaka 20AD.

Huu ni uthibitisho tu zile huwa ni propaganda za kuwapumbaza waumini wapuuze Bibilia.
Bibilia Yite ile ndio Maneno ya Mungu ambayo waislam mnaambiwa muyaangalie.
Hata Idea ya Paulo hafai, ilikuwa haipo enzi za Mitume, Imeibuka tu miaka ya 1000AD hapo Baada ya Kuona akikubaliwa jahazi litazama zaidi.
Allah hakuahidi kuvilinda ivo vitabu. Isitoshe, ikiwa unaweza kuchukua karatasi ukaandika unachotaka na kuficha ya ukweli haimaanishi kuwa Allah ni dhaifu wala nini. Hakukuwa na haja ya kuhifadhi ivo vitabu maana vilekuwa kwa wana wa kondoo tu, ata Yesu alisema alitumwa kwa wana wakondoo na wengine kuwafananisha na Mbwa tu 🙂 Si unaona Quran ilivolindwa? Akifa A, kuna B na C wanaijua na wanaisambaza.
 
mkuu unamshkaji yoyote JINI ambaye amesilimu. Maana mmeambiwa mfanye nao urafiki.
na naona mashehe wakipunga mapepo huwa wanayasilimisha.

Nilitaka nikuhoji maswali kadhaa japo nje ya mada. Ila kama unaamini kinadharia tu lkn hu anexperience nayo potezea
Kwani Mkuu wewe unaamini uwepo wa majini? Tuanze hapo
 
Back
Top Bottom