Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
1 Peter 1:25. Neno la Mungu litadumu milele.
leo waislam wanadanganya eti limepotea, ila wanaliamini japo hawalijui huuonintatizo boss
Mungu hakusema kama atayalinda, na binaadamu kasema litadumu milele. Umewahi kuona wapi hilo jambo?

Mungu hakutaka lidumu na halijadumu. neno alotaka lidumu, lipo hadi saiv na hadi mwisho wa dunia ukifika ambapo kazi yake itakuwa imekwisha
 
1 Peter 1:25. Neno la Mungu litadumu milele.
leo waislam wanadanganya eti limepotea, ila wanaliamini japo hawalijui huuonintatizo boss
Luka 1:1
Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,
Luka 1:2
kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,
Luka 1:3
nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,

waache wafu wawazike wafu wao
 
Luka 1:1
Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,
Luka 1:2
kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,
Luka 1:3
nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,

waache wafu wawazike wafu wao
Umemaliza kila kitu mkuu.

Wamebakia "Sikio la kufa halisikii dawa"
 
Mwanzo 3:8
Kisha wakasikia sauti ya Bwana Mungu, akitembea bustanini wakati wa jua kupunga; Adamu na mkewe wakajificha kati ya miti ya bustani, Bwana Mungu asiwaone.
Mwanzo 3:9
Bwana Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?

hapo bibilia inasema Adam na mkewe wamejificha Mungu hawaoni kwa hiyo sasa anawatafuta kwa tunao zijua sifa za Mungu muumba mbingu na ardhi hivyo ni vichekesho
 
Wwewe ndio mkiristo wa kwanza kukusikia kuwa unakubali kama Majini yameumbwa na Mungu. Nilijua siku zote mnawakana kama hawakuumbwa na Mungu. Sasa unasema kuwa Waliasi, maana yake kumbe wanao uwezo wa kutoasi, sasa kama wana uwezo wa kutoasi, kwanini ukatae uwepo wa wema na wabaya? Jini kaumbwa na moto na malaika ameumbwa na nuru. Usichanganye madawa.

Bibilia inakosa elimu kama hizi. Nasubiri jibu
Hiyo ni elimu ya quraan na quraan ni kitabu cha upotofu. Hayo unayoita majini yalikuwa malaika na waliasi mbinguni. Hivyo walifukuzwa na hawana nafasi ya toba tena. Wanasubiri hukum Yao na wanajua kuwa wanasubiri hukum ya moto. So hakuna jini jema hata mmoja. Nakushauri usiendelee kupotea we Njoo kwa Yesu wakati bado upo kwenye neema.
 
Hiyo ni elimu ya quraan na quraan ni kitabu cha upotofu. Hayo unayoita majini yalikuwa malaika na waliasi mbinguni. Hivyo walifukuzwa na hawana nafasi ya toba tena. Wanasubiri hukum Yao na wanajua kuwa wanasubiri hukum ya moto. So hakuna jini jema hata mmoja. Nakushauri usiendelee kupotea we Njoo kwa Yesu wakati bado upo kwenye neema.

Maliza hili kwanza kifaranga;

Capture.JPG
 
Wwewe ndio mkiristo wa kwanza kukusikia kuwa unakubali kama Majini yameumbwa na Mungu. Nilijua siku zote mnawakana kama hawakuumbwa na Mungu. Sasa unasema kuwa Waliasi, maana yake kumbe wanao uwezo wa kutoasi, sasa kama wana uwezo wa kutoasi, kwanini ukatae uwepo wa wema na wabaya? Jini kaumbwa na moto na malaika ameumbwa na nuru. Usichanganye madawa.

Bibilia inakosa elimu kama hizi. Nasubiri jibu
Mungu aliumba Malaika wazuri.
Malaika mwenye sifa ya Kerubi Lucifer akaongoza uasi mbinhuni.
Yeye na 1/3 ya malaika wote waliomuunga mkono na waliokuwa ndumila kuwili wakatupwa.
Hukumu yao wote imeshafungwa wanasubiri moto wa milele.
Wao wanajua ndio maana mmoja alipiga kelele kwenye sinagogi karpenaumu akimuomba Yesu asiwatese kabla ya Muda wao.


Malaika hawa waasi ambao wanasuburi Moto hakuna namna.
Nyie kwa kutokujua mnawaita majini masafi na machafu, mashetani.

Huu mtego mlioingia ni mbaya na hatari sana. Nakushauri uachane kabisa na story za majini mema.

Mwenzako zurri anasema anaamini kinazadharia tu hata hajawahi kuyaona. Wewe nakuomba utete imani yako ya majini safi kwa mimi kukuhoji practical questions unarukaruka tu
 
Hakuna mahala paliporukwa, wewe lete context ya hicho nilichokiandika na ulichokiandika tuone.

Kwani wapi waislam tunatumia injili ya wakiristo? sisi tunatumia Quran, kitabu ambacho kimekuja kukamilisha yale aliyoshusha Mungu. Vile vile, hatuna shida ya kutumia taura, Zabur wala Injili ya Issa, kwani hakika vitabu ivo walishushiwa MAYAHUDI TU! vikiwepo au visiwepo, havina faida wala hasara kwetu, Quran kila kitu kimo alichoshusha Mungu. 🙂

Ata mimi nakupenda ndugu yangu ila tatizo lako wewe nuru umeshaiona na iko wazi kabisa sema unafumba macho, unasema nuru inakuumiza macho. nitakuzoesha uizoee mpaka uweze kufumbua moja kwa moja
naiomba injili ambayo mmeambiwa muiamini.
Basi naomba injili ya waislam basi.
Unafanya kosa baya sana kuamini Injili ya Yesu ambayo eti wanadamu waliharibu alafu unaamini quran ya juzi tu ambayo hakuna hata evidence kuwa maneno aloyoambiwa mtume huko mapangoni ndio haya maana imepita kwenye mikono ya watu wengi tena wanaposhana hadi kesho.
 
Siwezi kumuamini Mwana wa Mungu, wakati kuna Mungu aliemleta huyo mwana. Wala mwana wa Mungu hawezi kuwa Mungu mkuu ikiwa aliletwa na Mungu. Hivi kuna ugumu kweli kwenye hii statement au ndio kujitoa ufahamu tu. Usione aibu kujiunga na uislam. Utafundishwa mambo yote ya msingi ya uislam ukijiunga nasi. Dhambia zako zote za nyuma zinafutwa na mema yako yote ya nyuma yanaendelea kuhesabiwa.

Karibu uje msikitini siku yoyote sisi waislam ni wajibu wetu kumuabudu Allah. Mungu wetu hayupo J2 tu. Wiki nzima, mwaka mzima Mungu yupo. Mungu wetu hawezi kufa, achana na Mungu ambae amewahi kufa, atakufa tena na saiv akirudi shaba moja tu kichwani chini.

Uislam ndio dini sahihi na Waislam walio wema ndio watakaoingia peponi tu. Twende mkono kwa mkono tuingie peponi tukiwa na furaha in Sha Allah
kwanza nikusaidie mkuu.
Mimi ni Muadventista Msabato SDA. Jpili ni utamaduni sio Agizo la Mungu kama ilivyo ijumaa. Pia Tunqchokitengo maalum Adventist Muslim relation kinachoshughulika na waislam tu. Na wengi wanaamini na tunawabatiza katika level zote. Na wengine wengine wanaogopa kutengwa kuuwawa.

Yuko mmoja shehe kuliko hata wewe hata kesho ntakutana naye Ibada kuwa tu Msabato Ukoo umekaa kumtenga, anahofu ya hata ya maisha yake. Ila Mungu mwana Yesu yuko naye hata akitumiwa jini (Sijui kama ni jema au ovu kwa imani zenu linaungua na kumuunguza mtumaji)
Dini za vitisho ni moja ya ushahidi wa Kuwa mfumo huo wa imani ni Potofu.

Kwa uzoefu wa harakaharaka humu na kwingineko japo sijajikita kwenye mambo ya uislam maana siku hata kwenye hicho kitengo waislam wengi hawajui mambo ya dini yao, wanadandiadia tu hoja, na kutegemea maoni ya wananzuoni.
 
Mungu hakusema kama atayalinda, na binaadamu kasema litadumu milele. Umewahi kuona wapi hilo jambo?

Mungu hakutaka lidumu na halijadumu. neno alotaka lidumu, lipo hadi saiv na hadi mwisho wa dunia ukifika ambapo kazi yake itakuwa imekwisha
Mungu hakusema wapi?

Yaani mkuu hadi unachosha.
Yaani Mungu aandike kupotia mitume wake na manabii kwa miaka 1400, alafu kiibuke kikundi kiandike kitabu kwa miaka hata kumi isifike kiseme hayo Mungu hakusema atayalinda.
Unatakiwa Uquote hivyo vitabu useme Vimesema havitalindwa.
Yaani nimegundua umesimama juu ya msingi wa Propaganda. Unatumia ulaghai kutetea imani.
Usimsingizie Mungu
 
Luka 1:1
Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,
Luka 1:2
kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,
Luka 1:3
nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,

waache wafu wawazike wafu wao
Maandishi haya yanauhusiano gani tunachojadili. Nimesema huko nyuma Mungu alitumia watu kuqndika na Kusema kwa Uwezo wa Roho mtakatifu. Ndio maana Luka, Mathayo, Yohana, Paulo kila mmoja kaandika kivyake lkn picha inaendana.

Sio kitabu kimoja wakae jamaa wajifungie ndani waanze kusema ni Mungu kasema.
 
Mwanzo 3:8
Kisha wakasikia sauti ya Bwana Mungu, akitembea bustanini wakati wa jua kupunga; Adamu na mkewe wakajificha kati ya miti ya bustani, Bwana Mungu asiwaone.
Mwanzo 3:9
Bwana Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?

hapo bibilia inasema Adam na mkewe wamejificha Mungu hawaoni kwa hiyo sasa anawatafuta kwa tunao zijua sifa za Mungu muumba mbingu na ardhi hivyo ni vichekesho
naona sasa na wewe ingizo jioya umekuja na uongo wa kitoto kabisa.

" Adamu na eva wakajificha Mungu asiwaone'' ni tofauti na '' ... wakajificha Mungu akawakosa au walimpiga chenga''.

o
Kuna maswali yanaitwa '' Retoric questions''
haya Mungu anauliza watu wke wengi tu hata kama anajua kabisa anachouliza ila anataka mtu ajitambue kuwa yuko mbali kiasi gani na Mungi.
'' Ndio maana torati Musa anamshawishi Mungu, na Mungu anabadili mawazo''
Mungu ni Mungu wa mahusiano sio kama jiwe.

kuna gap kubwa sana naliona hapa
 
Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

sijui mnasoma bibilia gani ambayo inasema Yesu Mungu
Maana Injili haisemi kuwa Yesu ni Mungu
Injili ipi muu ile ya msikitini ambayo hajui ilipo na majawahi kuiona ila mnaabiwa muiamini?
mbona mnapewa mitihani mizito.
ona sasa unaquote mahala unapopaponga na kupaogopa.
 
Mungu aliumba Malaika wazuri.
Malaika mwenye sifa ya Kerubi Lucifer akaongoza uasi mbinhuni.
Yeye na 1/3 ya malaika wote waliomuunga mkono na waliokuwa ndumila kuwili wakatupwa.
Hukumu yao wote imeshafungwa wanasubiri moto wa milele.
Wao wanajua ndio maana mmoja alipiga kelele kwenye sinagogi karpenaumu akimuomba Yesu asiwatese kabla ya Muda wao.


Malaika hawa waasi ambao wanasuburi Moto hakuna namna.
Nyie kwa kutokujua mnawaita majini masafi na machafu, mashetani.

Huu mtego mlioingia ni mbaya na hatari sana. Nakushauri uachane kabisa na story za majini mema.

Mwenzako zurri anasema anaamini kinazadharia tu hata hajawahi kuyaona. Wewe nakuomba utete imani yako ya majini safi kwa mimi kukuhoji practical questions unarukaruka tu
Malaika kaumbwa kwa Nuru na hana Free will. Hivo hawezi kuasi. Upupu kama huo unaupata kwenye bibilia tu.

Mmeingia mtegoni
 
naiomba injili ambayo mmeambiwa muiamini.
Basi naomba injili ya waislam basi.
Unafanya kosa baya sana kuamini Injili ya Yesu ambayo eti wanadamu waliharibu alafu unaamini quran ya juzi tu ambayo hakuna hata evidence kuwa maneno aloyoambiwa mtume huko mapangoni ndio haya maana imepita kwenye mikono ya watu wengi tena wanaposhana hadi kesho.
Tumeambiwa tuamini kuwa Allah ameshusha Injili, na tunaamini kuwa alimshushia Issa a.s Injil. Suala la kukwambia iko wapi, sijui iko wapi na haina umuhimu kwetu kujua iko wapi, kwa sababu Injil wameshushiwa mayahudi wakati ule, kwa ajili yao peke yao. Sasa wewe kama unataka kujiita Ahlu kitab, basi tuoneshe kitabu cha Issa ibn Maryam, kama huna, wewe jiite Ahlu Nicea tu.
 
kwanza nikusaidie mkuu.
Mimi ni Muadventista Msabato SDA.
Jpili ni utamaduni sio Agizo la Mungu kama ilivyo ijumaa.
Pia Tunqchokitengo maalum Adventist Muslim relation kinachoshughulika na waislam tu. Na wengi wanaamini na tunawabatiza katika level zote. Na wengine wengine wanaogopa kutengwa kuuwawa.
Yuko mmoja shehe kuliko hata wewe hata kesho ntakutana naye Ibada kuwa tu Msabato Ukoo umekaa kumtenga, anahofu ya hata ya maisha yake. Ila Mungu mwana Yesu yuko naye hata akitumiwa jini (Sijui kama ni jema au ovu kwa imani zenu linaungua na kumuunguza mtumaji)
Dini za vitisho ni moja ya ushahidi wa Kuwa mfumo huo wa imani ni Potofu.
Kwa uzoefu wa harakaharaka humu na kwingineko japo sijajikita kwenye mambo ya uislam maana siku hata kwenye hicho kitengo waislam wengi hawajui mambo ya dini yao, wanadandiadia tu hoja, na kutegemea maoni ya wananzuoni.
Kumbe unabatiza watu wasiojua dini yao 😀 sisi tunasilimisha wenye kuujua ukiristo. Yale maonesho yenu tumeshawazoea, mnaokota watu na kuwapa hela ya maji waje stejini ku act. Kanisa lako lishafufua wafu ama mpaka meseji mlotuma kwa mungu kwenye Whatsapp was not delivered?
 
Mungu hakusema wapi?

Yaani mkuu hadi unachosha.
Yaani Mungu aandike kupotia mitume wake na manabii kwa miaka 1400, alafu kiibuke kikundi kiandike kitabu kwa miaka hata kumi isifike kiseme hayo Mungu hakusema atayalinda.
Unatakiwa Uquote hivyo vitabu useme Vimesema havitalindwa.
Yaani nimegundua umesimama juu ya msingi wa Propaganda. Unatumia ulaghai kutetea imani.
Usimsingizie Mungu
Anatakiwa kuthibitisha kuwa Mungu kasema atavilinda ivo vitabu ni wewe na sio mimi. Na kama huna sehemu ambayo Mungu kasema atalinda basi hakuona haja ya kulinda kitabu ambacho zama zake hazitaendelea. Uislam ndio umekuja kukamilisha dini halali ya Mungu alieumba mbingu na ardhi.

Kucopy na kupaste inachukua mda mfupi sana. Hao walioandika Quran hawakukaa na kutunga aya za kuandika, walichukua aya zilizokuwepo na kuzikusanya kwenye kitabu.

Kuna mdau kaleta aya za Bibilia ndo kamaliza kila kitu.

Ahlul Nicea mnakaa lini kuifikiria Injili ya Judas kuiweka kwenye bibilia?

Fuata maneno ya Allah na sio ya kina petro sijui paulo wazinifu na wauwaji.

Mda upo hujachelewa kusilimu.
 
Anatakiwa kuthibitisha kuwa Mungu kasema atavilinda ivo vitabu ni wewe na sio mimi. Na kama huna sehemu ambayo Mungu kasema atalinda basi hakuona haja ya kulinda kitabu ambacho zama zake hazitaendelea. Uislam ndio umekuja kukamilisha dini halali ya Mungu alieumba mbingu na ardhi.

Kucopy na kupaste inachukua mda mfupi sana. Hao walioandika Quran hawakukaa na kutunga aya za kuandika, walichukua aya zilizokuwepo na kuzikusanya kwenye kitabu.

Kuna mdau kaleta aya za Bibilia ndo kamaliza kila kitu.

Ahlul Nicea mnakaa lini kuifikiria Injili ya Judas kuiweka kwenye bibilia?

Fuata maneno ya Allah na sio ya kina petro sijui paulo wazinifu na wauwaji.

Mda upo hujachelewa kusilimu.
Allah wenu anaitwa nani? Maana hata Ngombe ni allah kwa Hindu.
 
Mwana wa Mungu ambaye ni Mungu.??


Mungu yupo ila huyu wa vitabuni ana vituko sana.
 
Back
Top Bottom