mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,419
- 17,762
naomba kauli za Yesu za kwenye injiili.Kauli hio ya Yesu haikutoka kwenye Injili ya Yesu, bali kutoka kwenye vitabu vya watunzi wengine. 🙂
Hakuna mahali niliposema kuwa Mungu hana uwezo wa kutunza kumbukumbu. Mungu hakuahidi kutunza ivo vitabu. Au kama ipo hio ahadi basi tuletee tuione.
unatetea kitu ambacho huna wala hujui utakitoa wapi.
Yaani unasema simu hii ni fake, unaulizwa kwa nini unasema, kwa sababu ya simu flani orfinal ambayo siijui na sijawahi kuiona.
hapa kama ni mimi nakutandika bakora sita za nguvu ili ufahamu ukurudi. Maana unapotezea watu wenye ufahamu muda.